Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akitekeleza majukumu ya kiserikali na kuzungumza na Wananchi wa maeneo mbalimbali kabla ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bwawa la kufua umeme la mto Rufiji
Пікірлер: 50
@edwardisack18905 жыл бұрын
chato ya kisaki hiyo,haahaaaa,hongera watumishi wangu kazi yenu nzuri
@martinngonyani54945 жыл бұрын
Mungu akubariki Rais wetu na akulinde siku zote,Tanzania yetu sawa ni raha tupu
@athumanomary11715 жыл бұрын
Watanzania wenzangu kwa umoja wetu kwa mshikamano wetu kwa pamoja tuzidi kumuombea raisi wetu kwa imani zetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nasi
@zefamange72815 жыл бұрын
DAAAA NAMKUBALI SANAAA COMMANDO JPM
@hassanabdu68625 жыл бұрын
Tuendelee kumuombea Rais wetu Mungu azidi Kumlinda
@kuluthumkalonga47575 жыл бұрын
Ni kweli kabisa tumuombee
@richardndumbaro35665 жыл бұрын
Mh. Rais Tunakupenda
@kemmymuhandiki52435 жыл бұрын
Huyu raisi 2020 wala asihangaike kupiga kampeni ni hatari sana jmn!!!!!!
@nyangetaissa49165 жыл бұрын
Hongera xana Rais wetu mpendwa mh Dr John Pombe Joseph Magufuli; kwa uchapakaz uliotukuka
@petergebo81985 жыл бұрын
Wewe ni rais wa wanyoge daima tutaendelea kukuombea rais wetu
@petergebo81985 жыл бұрын
Safi snaa uncle magu
@shijasagali51615 жыл бұрын
Hongera jembe letu ,kwa hizo shs400 milioni ni heshima kubwa na wajibu wa kiongozi wetu kututendea haki hii ya kujenga hicho kituo cha afya.
@samwelmfinanga47695 жыл бұрын
Ongera jembe ltu Mungu awe upande wko pmja nasi
@simbawateranga70205 жыл бұрын
JPM BW. KAONA AMTOE KBS KWENYE GARI MAMA WA TAIFA HONGERA SANA MH
@mtakimjinja23285 жыл бұрын
Mungu akubariki
@tamiymabubakar36655 жыл бұрын
Aisee safar hii tume mpata rais wakwel Mungu ashukuliwe
@bedamichael71035 жыл бұрын
Kwenye ziara ya mh Rais ujipange usiende kifisadifisadi!
@april7teen5 жыл бұрын
Hii style mpya ya kuchangisha inanikosha sana 😅 endelea kuwachangisha mzee baba.. 🤣🤣🤣🤣🤣 Angalau waweke kumbukumbu kwenye maisha yao 😊
@ahmadnassor73755 жыл бұрын
Kabisaaaaaa labda watakuwa na uchungu . Maana ukiwa kwenye msafara wake ujipange na kibunda cha michango Kama waenda msibani
@rajabuseleman45155 жыл бұрын
Mungu akulinde rais wetu hakika ww nikiongozi mchapakaz
@abdulabass58085 жыл бұрын
Eti huyu 2020 asishinde sio bure
@williamngazija72845 жыл бұрын
Ooo! Haleluya mangufuli Rais wetu rais wa wanyonge mungu azidi kukutunza milele daima.....
@emanuelshayayi545 жыл бұрын
Nani kama Rais wangu Magufuli. 2020√√√√√√
@hasanially92945 жыл бұрын
Raisi wetu itabaki historia tu Tuta kusimulia kwa wototo wetu
@zefamange72815 жыл бұрын
Sanaaaa
@famitoissanawanda70115 жыл бұрын
Kkkkkk mbavu zangu mie Mungu yu nawe mzee jpm
@hasanially92945 жыл бұрын
hii sela ya hapa kazi Kazi yaonekana magu
@khamiskidiko38275 жыл бұрын
Fantastic Mr president
@kambiibrahim4155 жыл бұрын
HAPA KAZI TU!
@chidboychichalo92015 жыл бұрын
Safi sana kiongoz wetu
@deodatusdeogratias63325 жыл бұрын
Asnte sana baba
@isayaerasto75505 жыл бұрын
Hongera sana rais wetu
@nassoronkelanza61615 жыл бұрын
Pamoja Mkuu
@mpondaahamida21465 жыл бұрын
Safi rais wetu, kanyaga twende mzee
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo3 ай бұрын
Mungu akiwa anakuongoza siku zote utafanya kazi Kwa kujiamini utawala mzuri wa haki kukamilika Kwa muda bila watu kuchukia ukiona wale wachache wanakuchukia ujue hata mambo wanayoyafikiria ni mabaya ndo maana ni wachache God bless you doctor magufuli
@mohamedkassimu87895 жыл бұрын
Na sisi tutachangiaje! Mfungue akaunti ya wadau wa mitandao ili tushiriki wote kuijenga nchi yetu.✍️
@richardaron87975 жыл бұрын
Muwe na kazalika ntakuja kununua
@MpayOnlineTv46965 жыл бұрын
Diwani wa Chadema nachangia laki 2 🤣🤣🤣, halafu mnataka nchi😜😜
@burhanrashidhussein60375 жыл бұрын
Hhhhhh umeniacha hoi
@abdulabdul63705 жыл бұрын
Duh! 😂 😂 😂 😂
@MpayOnlineTv46965 жыл бұрын
ukisikia nchi inajengwa kwa fedha za wananchi ndio hivi, leo ww unakuja na laki moja,kuleta maendeleo
@corrolesscps5 жыл бұрын
Elias Mpay . Ndio maana yake nchi inajengwa na mwananchi, Sio kwamba atakuja mchina kujenga, ni kujidanganya, mchina atakuja na stayle zake ili apate faida au kukomba, si mmeshidwa kujenga wenyewe nchi yenu alafu mwisho wa siku manaendelea kubaki na umasikini wenu,si mmelala mnasubiria mpka furani aje kutujengea. Wnakwambia usimwamshe alie lala, usije ukalala wewe
@mathiasnsegenelo75985 жыл бұрын
Huyu jamaa anawapenzi hatar,watu wananjaa c kawaida
@luluamri3705 жыл бұрын
Nchi inajengwa na wananchi yao
@luluamri3705 жыл бұрын
Rais mgawa thawabu
@aminamwivita76908 ай бұрын
Rest in peace jpm
@hanifawaliya79765 жыл бұрын
Raisi anachangia milioni tano. Alafu we unatoa laki tano ndo nini asa hamuoni aibu
@hanifawaliya79765 жыл бұрын
Mnaulizwa umeme utakuja lini mnaanza kumuimbia raisi ngonjera. Hekaya za abunuwas