KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT MAGUFULI AKIWA CHATO MARCH 29,2016
Пікірлер: 41
@ThobiasMarandu8 жыл бұрын
Ingawa CCM (sio wote) Walimchagua Magufuli ili Wampande Kama lifti ya Kupata Madaraka, He is a Good Man! God Bless Him.
@hajiissa92008 жыл бұрын
mh rais .nakuombea sana .mungu akupe kila la kheri na akuondoshee kila la shari mh tunakupenda sana sis vijana .tunakuwahid hatutokuangusha
@elisspeter23348 жыл бұрын
safi sana. mola akulinde .raisi wetu
@adelaudarutagwela5070 Жыл бұрын
Nitakukumbuka daima shujaa wetu
@dottokulwa7075 Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@janieanthony5948 жыл бұрын
may Almight GOD be wz u our Prezdaa, amen
@lucaskashimwita63868 жыл бұрын
Mungu wetu ni mwema atakulinda Rais wetu na Mabayo yote.
@siperatusjames84898 жыл бұрын
tuombeeni taifa letu
@akhousesolutionsltd94338 жыл бұрын
tunakuombea maisha bora marefu madarakani from Canada
@gaspercharles4242 Жыл бұрын
Jishusheupandishwe.
@user-zs3ex1gd7k8 ай бұрын
Pumzika kwa aman mzee wangu,dr John joseph magufuli
@MAKUZIVESI Жыл бұрын
Jembe letu mungu amlalaze malipema
@estherkajange70168 жыл бұрын
Huyu ndiye tulikuwa tunamsubiria
@methodlyaruu6418 жыл бұрын
Tunaomba kwa ajili yake Mungu amwekee nguzo ya moto mbele na Nyumba na ngao ya shaba maadui wake wajikwae waanguke
@expartvictorsadala26318 жыл бұрын
very diplomatic not offensive.......shame on you guys who are not for him.....he's a great guy history never seen in Tanzania
@user-de6ys8dj5j9 ай бұрын
Never seen and we will wait 4 long time libarikiwe tumbo la mama yake kwa kuzaa mtu wa watu
@richardkobero68478 жыл бұрын
Mungu akulinde na akusimamie raisi wetu ili uliyoyakusudia yatimie
@dickkieluther23518 жыл бұрын
JPM unanipa FARAJA sana moyoni kwa namna unayvo hutubia kwa hisia kali na uchungu wa taifa lako halafu unayatekeleza kwa vitendo!Nchi yetu ilishaoza kwa baadhi ya viongozi na raia kuifanya ya kwao pekee!JPM TUMBUA MAJIPU HATA KUKATA MGUU MIMI NITAKUSAIDIA KUYATUPA KWENYE SHIMO LA TAKATAKA!U'RE GREAT MAN IN THIS CENTURY!
@noahkasasamashaka86468 жыл бұрын
Ahsante
@edwardsenkondo62198 жыл бұрын
Mungu akulinde raisi hata tuione Tanzania mpya. Tutatimiza wajibu wetu.
@evelynebwire7684 Жыл бұрын
Nimejikuta nalia kwa uchungu mwingi, Pumzika kwa AMANI kipenzi chetu
@veeraise95238 жыл бұрын
magufuli ni mfano wa kuigwa barani Afrika maana nchi hii ilikuwa imefika pabaya kila mwenye nafasi kujichukulia atakavyo .
@manzialexpapi17468 жыл бұрын
tunashukulu kbsa
@mohamedgilala84235 жыл бұрын
Kama Mungu anachagua kifo nice mm Jpm abakii nakupenda mpaka nataka kufaa
@ismailjuma14528 жыл бұрын
salute juu yako Rais wetu ndani ya mda mfupi umefanya mambo makubwa mungu akulinde milele daima Amen
@salumumzuzuli Жыл бұрын
,,😉😉😉😉,,0,
@expartvictorsadala26318 жыл бұрын
Baba Magufuli kamatia juu usishuke chini you are the prophet people of Tanzanian have been waiting for
@chomasongidion6047 Жыл бұрын
Buriani baba angu,daima watanzania hawakusahau,tunakuombea pumzika kwa amani
@charlesnguge58255 ай бұрын
NI MUNGU WA MBINGUNI TU NDIO ANAJUA. RIP Dkt JPMagufuli
@user-hj3gt2bl1g10 ай бұрын
Mfano bora wakuigwa na ma rais wengi wa inchi zetu wa afrika
@laitinesswiliamukimati-if6wx Жыл бұрын
Me
@ericktemu18758 жыл бұрын
hahahahaha, 'unatakiwa ukafungwe, ' magufuli unanifurahisha sana, dah kura yangu
@geneouscravery3428 Жыл бұрын
Da
@HelmanMnazi4 ай бұрын
Pumzika kwa amani
@YosiaYohana9 ай бұрын
Tumpate wp ten e MUNGU mkumbuke laisi wet kipenzi popote alipo usimuache