Hotuba ya Rais Dkt. Magufuli alipozindua Mwaka Mpya wa Kimahakama Feb 04,2016

  Рет қаралды 35,231

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

8 жыл бұрын

Hotuba ya Rais Dkt. Magufuli alipozindua Mwaka Mpya wa Kimahakama Feb 04,2016

Пікірлер: 21
@kletusEdward
@kletusEdward 8 жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa kwa hotuba nzuri na yenye changamoto nyingi za kiutendaji kwa maana chombo hicho ndicho kinacho onyesha dira ya nchi yetu.
@dct4lif
@dct4lif 8 жыл бұрын
Kilio cha watanzania mungu kakisikia. We finally have a president who actually cares about the country and its people. God bless you Mr President we are ready to lay down our lives to protect you. Tanzanians have suffered enough
@yonathansimon7147
@yonathansimon7147 8 жыл бұрын
Tunakuombea kwa MWENYEZI MUNGU akupe afya njema na nguvu na katika kasi yako nzuri ya kutuletea maendeleo ya kweli utuvushe hadi nchi ya ahadi hongera sana baba kwa kuwa na moyo wa kizalendo na kwa utumishi uliotukuka hakika Mungu ametupa kiongozi mahiri wa Tanzania wote tuwekeni itikadi za vyama pembeni tumuunge mkono Rais wetu mpendwa.
@frankmbige1515
@frankmbige1515 8 жыл бұрын
Hongereni sana Rais kwa hotuba makini na yamamlaka Mungu akupe Afya njema pia tunatamani sana ungekuwa na hotuba kila mwezi
@matukimerchant5170
@matukimerchant5170 8 жыл бұрын
Hongera sana Mh.JPM Rais wetu mtukufu. Mungu yupo na wewe kila hatua unayoipiga maana ameaidi hivyo. Songa mbele kuijenga nchi yetu.
@YUDATHADEYSHINE
@YUDATHADEYSHINE 8 жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli
@yonathansimon7147
@yonathansimon7147 8 жыл бұрын
pongezi za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa hotuba nzuri iliyosheheni hekima, busara pamoja dira kwa mahakama yaTanzania inavyotakiwa kwendana na kasi ya awamu ya tano.#HAPA KAZI TU!!
@abrahammaleko4304
@abrahammaleko4304 8 жыл бұрын
Mheshimiwa Raisi Dkt John Magufuli hongera sana kwa hotuba nzuri iliyojaa kila chachu ya uzalendo. Hakika namwomba Mungu akulinde ili uwawafikishe watu wake kwenye kilele cha kufurahia neema na utajiri tuliyojaliwa. Amina
@najmaibrahim282
@najmaibrahim282 8 жыл бұрын
mh rais hongera mungu akulinde maana umengusa sana ktk moyo wagu.
@sospeterwankuru987
@sospeterwankuru987 8 жыл бұрын
Pongezi sana Mh.Magufuli ila ni vizuri kama utakuwa unatoa hotuba elekezi na mrejesho wa utekelezaji wa maagizo yako aidha kila mwisho wa mwezi au kwa mda utakao jipangia mwenyewe.
@walterkayombo1362
@walterkayombo1362 8 жыл бұрын
Hotuba imetulia na Mh kaongea uhalisia na sio mbwembwe kama ambavyo tulizoea!!!!Bravooooo Mh Magufuli
@mgenikisukari1371
@mgenikisukari1371 8 жыл бұрын
hapa kazi tu!!!
@cleopasmheluka7482
@cleopasmheluka7482 8 жыл бұрын
hongera hutuba ni zaidi ya uzalendo japo kuna maneno mengi yenye mwelekeo wa kuvunja sheria wanasheria wa serikali muwe msaada kwa raisi @AG,RAISI NI TAASISI
@eddydben
@eddydben 8 жыл бұрын
safi sana rais john magufuli .sasa tunaona mwanga wa matumaini
@jameszombe5610
@jameszombe5610 8 жыл бұрын
Magufuli ametxha salute kwake
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 7 жыл бұрын
wewe ndiyo baba,sasa tuna mtu mwenye mamlaka katka nchi anaye jua anachosimamia anaongea kile kilichopo moyoni bila kujali utampenda ama utamchukia Mimi nina matumaini sasa na nchi yangu hongera mheshimiwa Rais Magufuli
@stevenmamba2464
@stevenmamba2464 8 жыл бұрын
Anaejilipa millioni 35 kwa mwezi nafikiri ni Mkurugenzi wa NHC Nehemia Mchechu aliwaita Watanzania vigeugeu baada ya watu kumuuliza kuhusu mshahara wake. Na ni mtaalam wakufanya vikao vya bodi Ulaya.
@josephkatembo4138
@josephkatembo4138 8 жыл бұрын
Serikali ya awamu ya tano inajitahidi kurudisha matumaini kwa wa anchi ktk kuwahudumia, sheria na taratibu zitumike vema ktk kudhibiti watendaji wanaoenda kinyume
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 8 жыл бұрын
Baadhi ya hawo majaji walionekana kukosa raha kabisa wakati wakimsikiliza Rais Magufuli. ..kwa sababu wengi wao tayari ni corrupted na hii speech anawagusa vitendo vyao vya kula rushwa
@MrKhatibu
@MrKhatibu 8 жыл бұрын
DR Magufuli you true Socialist , salute mr President
@jumahassan7909
@jumahassan7909 8 жыл бұрын
pokeeni hotuba makini yakizalendo yakumjali mnyonge
KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT  MAGUFULI AKIWA CHATO MARCH 29,2016
52:42
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 81 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 194 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 5 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 434 М.
Hotuba ya Rais Magufuli katika Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere
1:40:35
RAIS DKT. SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE IKULU DAR ES SALAAM
59:08
KIPINDI MAALUM CHA ZIARA YA RAIS DKT MAGUFULI BANDARINI SEPT 26,2016
34:35
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015
1:38:02
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 146 М.
ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI RUANGWA  MKOA WA LINDI.
2:15:46
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 21 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42