Magufuli, baba lala salama, watanzaniya watakuliliya kama Raïs wa wanyonge...Amin.
@upendohalisi804 жыл бұрын
Kama umeona polisi wametoa macho makubwa wameogopa kusema pikipiki sio laki nane hebu cheka kidogo
@EbondoSounds3 жыл бұрын
😁😁🤔😢😭😭
@jordankomba44183 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆
@fabiomemba95633 жыл бұрын
hahaahaaaaaaaaaaaaaaaAaaaaa
@awadhally10522 жыл бұрын
😂🤣
@josephchiluka93572 жыл бұрын
😂😂😂🤔
@kassimukipingu53432 жыл бұрын
Ulitengeneza heshma sana mzee wa chato
@dorahpaulo81582 жыл бұрын
We miss u papa
@adamdaudi61912 жыл бұрын
Hatuwezi kukaa na upumbavu wa namna hii🤣🤣🤣, hili jamaa lilikuwa siyo la kisport sport!, tutafika tu🤣🤣🤣
@jameskyando178 Жыл бұрын
Sema mshua alikua anajua sana daah ... R.I.P JPM
@amangervacy8793 жыл бұрын
Jamaaa amelala daa R I P chuma
@venturejackson63572 жыл бұрын
Dah pumzika kwa aman mzee wetu magufuli 😭😭😭😭😭😭
@integerconsulting93443 жыл бұрын
Mchapa kazi kweli kweli. RIP
@nurdinngwegwe29432 жыл бұрын
Strictly. R I P Father Magufuli.
@gibsonjosephat63522 жыл бұрын
Baba umetuacha sasa Mama anatunywesha chai ya moto na Pilipili kichaa.
@francisndama44004 ай бұрын
😂
@jumatingi20472 жыл бұрын
Yani JPM bora ungemtumbuaga huyu mama ulietuachia, kwa maana anayumbisha msimamo wa familia sasa....
@modudaniel51492 жыл бұрын
😂
@chimbokiswaga86622 жыл бұрын
Ee shangazi yangu ,😄😀😁💓
@fredythomas1848 Жыл бұрын
R.I.P JPM🙏
@jacklinmasawe26972 жыл бұрын
Lala salama baba yetu tunakulilia mpaka leo
@adnanidarous31172 жыл бұрын
R.i.p legend 🙌 👏
@husseinyusuph49812 жыл бұрын
R.i.p legend 😭😭😭😭😭
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@geofreyambakisye44812 жыл бұрын
My present daaah .
@comradejonasrwegoshoramwal57274 ай бұрын
Dah! Mungu amrehemu hayati Magufuli.
@daudimputillah82623 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akupumzishe mahala pema peponi amiiiin mkuu wangu
@EdsonSanga-zt2fw3 ай бұрын
Rest in peace our father
@saidhassan77792 жыл бұрын
Kwa hakika huyu alikua ni kiungo kikubwa Saan,
@oscargmosha31082 жыл бұрын
Ee mwenyezi mungu ututizame sisi na taifa letu la tanzania 🇹🇿
@mohamedelkarim25574 ай бұрын
Daa sema kazi ya Mungu haina makosa 😢
@kikongajoel51722 жыл бұрын
Ulijitoa akwaajili ya watu lkn mambo dunia híi
@djatm13193 жыл бұрын
Enyewe hii ilikuwa Simba ya Africa
@awadhally10522 жыл бұрын
Kwel kabisa
@flova70222 жыл бұрын
Make Kwanza ncheke Mzee alikuaa mchumi balaa , pikipiki laki 8 hata yangu mbovu sikupi...dahhh RIP legend
@denistarange55802 жыл бұрын
😂😂
@user-xs6sh5wh4p4 ай бұрын
Kiukweli baba huyo tanzanzia na watu wake tumeku miss sana.
@user-kw1ur5sk4f3 ай бұрын
R I P Baba
@hasinauuwimana84052 жыл бұрын
Yaani navyoona siasa ya Magu, imekaa kama siasa ya Chama cha Tramp wao tatizo Linashughuliki hapo hapo, kisha navyoona siasa ya Mama ni kama Chama cha Obama wao ni kukaa kweny Meza ili kutatua tatizo
@bickosichula9863 ай бұрын
meza ipi hiyo tatizo lipi lililotatuliwa wizi kila kona.mpeni mwendazake maua yake.mama yenu kafeli tu
@enoskilongo76852 жыл бұрын
Tulieni napigiwa simu na Mh.Rais
@MasumbukoNgata2 ай бұрын
Safi Sana mzee wangu mungu akulaze mahari pema aminaa
@gmaillameckmnyika4 ай бұрын
Dah pumzika baba😭😭😭😭😭😭
@jumakapola4192 жыл бұрын
Lala salama baba yani utafikili upo na sisi kumbe uliisha tutangulia mbele za haki
@ramadhanimwinyi-74454 ай бұрын
Hatutampata tena Kama huyu
@emilysanga76624 ай бұрын
Mwamba huyo ukilikologa lazima ulinywe
@mwana-unique2 ай бұрын
Nani ametazama hapa 2024
@noelnoel49162 жыл бұрын
Miss you
@agustinoezekiel3673 жыл бұрын
Eti umelala,dar kazi ya MUNGU kwakua hata mm sina muda hapa
@frankmwinuka6298 Жыл бұрын
Rais wetu wa wanyonge
@EmmanuelMajele-ny2hk4 ай бұрын
❤❤
@mwinukafundibombanjombe10 ай бұрын
😢😢Tutafika tu
@sabihimngetuka69714 жыл бұрын
Hzo pkpk mtazipata wap mbili ili muongeze mbili ziwe nne kwan hakuna pipk ya million moja
@majaliwacosmas33222 жыл бұрын
Huyu ndio Rais. Kaondoka sasa tutakiona
@user-hi2gh2jx4s5 ай бұрын
Duh pkpk laki 8 hhhh watu wameogopa kusema
@gosbertireneus55582 жыл бұрын
Daaaaah ila Magufuli ulitisha baba endelea kupumzika kwa amani
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Cm inapigwa hiyo😅
@rockycity72134 ай бұрын
Mr presidentAlikua ni 🔥🇹🇿
@Gab2174 жыл бұрын
Mmmmmh Tutafika tu
@frankmwinuka6298 Жыл бұрын
Jembeeeeeeeeeeeee dah kweli ni kama tupo ndotoni
@alkadkomba54492 жыл бұрын
Hahahhah Mis u Dady's Nation
@SafariMsafi-um1pz4 ай бұрын
Walio sikia IGP akijibu kusema ndio afande piga makofi tafadhari
@MajaliwaKapolo7 күн бұрын
Yes huyo ni kiongozi wake ni afande wake
@onesmoretz27854 жыл бұрын
On the spot
@sir_ENOCKMACHA4 жыл бұрын
Magufuli kuna waziri mmoja umemteua hujui historia yake ni muonevu mzee wangu,ni mtu hafai kabisa ni mbunge wa jimbo moja huko mbeya
@ramadhanikasebulla52214 ай бұрын
Chuma 😢
@shorewanda563511 ай бұрын
Naliaga tu! ntalia mpaka mwisho wa maisha yangu!!
@hamisrajab53402 жыл бұрын
Huyu ndio alikua rais wawanyonge sio filam
@zainabrajab78623 жыл бұрын
Suguye 30:12:2020
@eliasstafawa49356 ай бұрын
Chuma kimelala😢😢😢😢😢😢😢
@OmanOman-dn6dj4 ай бұрын
Hizi hekahela tumezimisi❤
@sir_ENOCKMACHA4 жыл бұрын
Nataka nikujulishe kwakina kuhusu mtu huyo
@loreensaimon39582 жыл бұрын
Jamn huyu baba bodyguard wa raisi yukwap
@jesuittemba6632 жыл бұрын
USA
@josephmwabange96332 жыл бұрын
Jamani nyie,Tanzania hatuna bahati
@onesmothimos26352 жыл бұрын
Inchi ambayo Kuna madini aina mbili ambayo aya patikani kwingine duniani nayo ni tanzanite na Doctor magufuri
@abedysteven49302 жыл бұрын
Baba tutakukumbka daima !! Hakika ulikuwa rais ! Cjui kama 2tapata kama ww
@mechackmarwa57892 жыл бұрын
Hua natokwa na machozi napoona krp za magu Mungu anajua2 jamani ila tumedondosha chuma cha uhakka