RC CHALAMILA AMCHEKESHA RAIS SAMIA - ''HATA MIMI PIA ni MSANII - INABIDI MJE MCHEZE HAPA''...

  Рет қаралды 56,658

Global TV  Online

Global TV Online

2 ай бұрын

RC CHALAMILA AMCHEKESHA RAIS SAMIA - ''HATA MIMI PIA ni MSANII - INABIDI MJE MCHEZE HAPA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 45
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@matukutajuma156
@matukutajuma156 2 ай бұрын
HONGERA SSSSSSANA MH RAISI WANGU KWA KUJIACHIA URAIANI! NCHI IMETULIA KIMYAAAA!❤
@samwa9496
@samwa9496 2 ай бұрын
Mama kapendeza 👏👏👏
@NurdinSaleh-jf8so
@NurdinSaleh-jf8so 2 ай бұрын
Kwa kweli kutoka moyon mwangu nampenda sana Rais mama Samia SULUHU HASSAN
@juliusphaustine
@juliusphaustine 2 ай бұрын
Big up harmonize
@user-cu9sq7yk3z
@user-cu9sq7yk3z 2 ай бұрын
Ladies in publck hongera mama uko vizuri tuko pamoja unanweza
@faridahalwaily85
@faridahalwaily85 2 ай бұрын
MashaAllaah MashaAllaah mama samiyaa uumependezaaa khan saa khamasaaaaa
@diplomaticdiplomatic3931
@diplomaticdiplomatic3931 2 ай бұрын
Hata Mimi pia. Msanii
@angolina1768
@angolina1768 2 ай бұрын
Love you mama ❤❤❤
@dn.n4983
@dn.n4983 2 ай бұрын
Kweli kabisa hili tukio ni kubwa nzuri nipwnda ningetamani niwepo kwa kweli
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 2 ай бұрын
Mama kaonesha ishara wa2 wakacheze mbele aone wanavo serebuka watoto wake na wajuku zake
@peterkasonso3169
@peterkasonso3169 2 ай бұрын
Dizeli petroli inazidi kwenda juu,maisha yanazidi kuwa. Magumu,Kila mahali upigaji tu,alafu eti anaupenda ,dah!!!!!!!!!?
@mohdsaid8744
@mohdsaid8744 2 ай бұрын
Huyo ndio Raisi Mstaarabu na ni Mama mwenye upendo Mungu Ambarik na Amkinge na kila aina ya shari
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 2 ай бұрын
Amin
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 ай бұрын
Muuza Tanganyika 😂😂
@Sheba4651
@Sheba4651 2 ай бұрын
​@@shinipapaya846Kauza kiasi gani, acha izo
@deogratiaskatinda9232
@deogratiaskatinda9232 2 ай бұрын
Kuna kuchanganyikiwa kwingi kwa viongozi wetu kwa sasa
@jamesloshilunye414
@jamesloshilunye414 2 ай бұрын
Ki ukweli mpka roho inauma sana,,Nani anaangalia kesho ya Tanzania??? 😭😭😭😭😭Tnajenga nchi ya namna gani ??? Tutakuwa na vijana wenye uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi???😭😭😭😭 Tanzania nchi yangu nakulilia sana,,umepoteza mwelekeo,, Tanzania nchi yangu unawayawaya kama kondoo walio kosa mchungaji . Ole wako Tanzania kwa sababu kesho yako ipo hatarini, huna uwakika wa kustawi tena ,tumain lako limefifia, usatwi wako umezikwa kwenye makaburi ya maiti wanaoishi. Sikia Tanzania,,usikie kutoka mashariki,na uwe makin kupokea sauti kutoka magaharibi na ujifunze Maarifa yalitwayo na upepo kutoka kaskaszini na uvute hewa iliyo toka kusini . Ndani yake Kuna maneno yameandikwa" ujitetee kwa maana watu wako wamekusaliti, miti yako ikutetee,maji, hewa, udongo, wanyama, mawe, na kila kitu kilichopo kisimame kukutetea sasa maana umebaki mpweke""
@twalibmassea6593
@twalibmassea6593 2 ай бұрын
Siku ya wafanyakazi anamtuma mipango, Uzinduzi wa album yupo😅
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 2 ай бұрын
Ndio labda siku ya wafanya kazi hakuwepo nchini na pengine iyo siku ilikua mchana na hakupata nafasi
@beatricefelix1271
@beatricefelix1271 2 ай бұрын
😆😆😆😆
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 2 ай бұрын
Mama wawatu acheni chuki. Mama yetu habagui wa mtu wa khali yeyote penda sasa mama love sana Rais wangu. Siku zote siichoki kukuombea na sintokaa nichoke kukuombea mama yangu
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 2 ай бұрын
Imebuma hiyo
@Gracemagoma-mi9ub
@Gracemagoma-mi9ub 2 ай бұрын
siyo siri mama kapendeza sana leo
@AzoryIgnas
@AzoryIgnas 2 ай бұрын
Hata mm pia ni msanii
@muniraahmed624
@muniraahmed624 2 ай бұрын
Chalamila comedian mno asee
@aminielyusufu4351
@aminielyusufu4351 2 ай бұрын
Mama ni Mrembo Sana. Ana roho ya Upendo Kwa watu wake
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 2 ай бұрын
Makubwa hayo
@shmaiderkiborey5144
@shmaiderkiborey5144 2 ай бұрын
Mbona mama huwa anakwenda kwenye matukio mengi
@JacksonNovatM
@JacksonNovatM 2 ай бұрын
Chalamila huna taarifa. Mbona huyu huyu alienda kwa Sugu?
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 2 ай бұрын
Sound poor jeshi hawa managers zako wanaocontral spund wafute kaxi
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 ай бұрын
Mama karibu kwenye wedding yangu, nitafurahi sana kukuona maana nayo itakuwa pambe
@user-nm8ym6iq7n
@user-nm8ym6iq7n 2 ай бұрын
Kwa sugu , samia alikuwepo
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Haikuwa kuzindua Album.
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 2 ай бұрын
Mbona kila siku hafla za ajabu ajabu mama kuwa siliuzi kama baba mambo ya harmonize we unaenda kufanya nini
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 2 ай бұрын
Sio ya ajabu ajabu sekta ya michezo na sanaaa inachangia uchumi wa nchi nyingi analengo analengo la kuikuza kama diamond kodi analipa zaisi ya ml 300 kwa mwaka msanii mmoja wakiwezeshwa wengi kodi itakuwa kiasi gani
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 2 ай бұрын
@@AllyMaya-yj3xd kwani nani kasema haiingizi. Ameshindwa kuzuia wezi wanaitafuna nchi anaharibu muda kwa mambo ya mipasho huo muda akautumie kuzuia wezi ambao wanatuibia Kodi zetu Kila siku nchi imemshida kafeli kusimamia rasilimali za nchi nchi Sasa hivi imekuwa pango la wanyanganyi huku akipoteza muda kwenye mipasho ya harmonize
@mwakimedia291
@mwakimedia291 2 ай бұрын
UliSkia wap rais joe biden kaudhulia uzinduzi wa album ya Tyga😓😭😭😭
@aminakasim1198
@aminakasim1198 2 ай бұрын
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmh
@NDEWARA
@NDEWARA 2 ай бұрын
​​@@Hussein-gx4quPole sana. Faida ya hili jambo analofanya Mama yetu siyo rahisi kila mtu kulielewa. Inahitaji mtu kuwa na mtazamo chanya wa mambo😂
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 114 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 123 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 27 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 76 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 114 МЛН