No video

RIDHIWANI AFUNGUKA: Ni kuhusu kukamatwa kwa Yusuph Manji

  Рет қаралды 74,401

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Kwenye On Air With Millard Ayo Ridhiwani Kikwete ambaye ni Mbunge wa Chalinze amezungumzia swala la Yusuph Manji ambapo alikamatwa kwa ajili ishu ya matumizi ya Dawa za Kulevya,

Пікірлер: 23
@zaudatmakula3454
@zaudatmakula3454 7 жыл бұрын
barikiwa Sanaa mwana wa kikwete daa umemgusia manji roho imeniuma na yanga yetu
@summanelson3718
@summanelson3718 7 жыл бұрын
Riziwani kaongea point sana. Ndiyo maana watu walimtetea manji pamoja na tuhuma nyingi alizonazo.
@peterherman4279
@peterherman4279 7 жыл бұрын
unabusara sana kaka
@jimmyhabarugira4232
@jimmyhabarugira4232 7 жыл бұрын
Umeongeya point,
@stormingfoh
@stormingfoh 7 жыл бұрын
Ridhwani..Ndugu yangu... Umeongea mambo mazito...yenye akili! Hakika unastahili Uongozi.. Wewe ni nyayo za kipenzi chetu Jakaya Kikwete! Wewe ni mzao wa CCM kweli kweli Mola Akubariki..Akujalie mema... Aminia
@marblebaswige614
@marblebaswige614 7 жыл бұрын
StormingFo HADI huyu ana busara na hekima kama baba yake big up sana
@stormingfoh
@stormingfoh 7 жыл бұрын
Safi
@fafi9092
@fafi9092 7 жыл бұрын
Bagamoyo tanzania kuzur sana
@henrystanley4077
@henrystanley4077 3 жыл бұрын
Yani lazima ujiamini Sana kama hv hakika hakuna wakukutisha kbs mzee hawamjui tu alipotoka na nchi hii... hahahahahaha uliwachana vzur kbs kbs sasa habari yao imekwisha...walikua wanaongoza nchi kwa misifa tu na kuaibisha watu hadharani..walikua wanaropoka na walijawa na roho za visasi...na hili wasituharibie nchi yetu na maendeleo yake amewawahi mapema sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 4 ай бұрын
Point kubwa sana mkuu
@danielmwaipopo1858
@danielmwaipopo1858 7 жыл бұрын
mh upo vzur
@husnaaliy6158
@husnaaliy6158 3 жыл бұрын
unaongea point lkn uwongzi huupati ww mwenywe muuza madawa mzri tu
@eliajonathan6090
@eliajonathan6090 7 жыл бұрын
MUNGU AKUINUE KAKA
@ShashuMihayo
@ShashuMihayo 7 жыл бұрын
msomi ni msomi tu, mh, Rizone kaongea point, hili janga nitaratibu tu lisifananishwe na kutawanya machinga kariakoo ,
@aikadonath812
@aikadonath812 7 жыл бұрын
Subscribe kwene KZfaq Channel yangu kupata Fursa mpya za Elimu na Ujasiriamali kila wiki.
@romanomlanda7184
@romanomlanda7184 6 жыл бұрын
kila la kheri ridhiwani
@meshacklwambano7744
@meshacklwambano7744 6 жыл бұрын
Uko. Vizuri. Kaka. Mungu. Akuweke
@saladaniel907
@saladaniel907 7 жыл бұрын
mtoto WA baba yangu kikwete , umenena vema
@yasiniramadhan8391
@yasiniramadhan8391 6 жыл бұрын
Sala Daniel isadie basi yanga
@yasiniramadhan8391
@yasiniramadhan8391 6 жыл бұрын
Tutafutie mzamin yanga
@tereseamasawe8111
@tereseamasawe8111 7 жыл бұрын
mi napita njia tu.
@sareheporesanadiyoupabanaj9057
@sareheporesanadiyoupabanaj9057 6 жыл бұрын
kweri wwe umefata yayo ya baba wetu
@mekikileo5702
@mekikileo5702 3 жыл бұрын
LIAR
"Yusuph Manji akitoka Hospitali aje, tunamuhitaji UHAMIAJI"
7:51
Millard Ayo
Рет қаралды 106 М.
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 21 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,2 МЛН
Mengi ataja mafisadi papa (2008/09)
9:04
SK Media Online TV
Рет қаралды 2,8 М.
Dakika 215 za Yusuph Manji kujitetea kesi ya dawa za kulevya leo
2:59
Yusuf Manji 'wa Yanga', afariki dunia
0:56
Azam TV
Рет қаралды 21 М.
NAMTAKA HUYU
10:37
Joti TV
Рет қаралды 779 М.