🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 12
@ThobiasMarandu25 күн бұрын
Hii tabia ya kunyanganya watu vizimba ndio lilisababisha jkuunguzwa soko
@mculwe539725 күн бұрын
Asante masaluu
@IsayaSosolo-nx8zk25 күн бұрын
Hapo Shaka tayari hapo mnataka kuwagawia watu kwa itikadi ya vyama janja y
@shaksbinsalim25 күн бұрын
tena huyu ndiyo hakili kama kichwa chake kilivyokuwa hakina macho si ulisema utapeka majeshi na police peleka basi mana hii nchi ni ya baba yako na mamako
@CotaManywele-vg9ti25 күн бұрын
Ww c kiongozi Bali ni muhuni flani tatizo unakuwa na kauli mbovu za ubabe ubabe hii nchi c yako wala c ya familia yako na wala c ya chama tawala, ati unasema mtapigwa kama alivyo furumishwa akina manji we ni nani je hiyo ni kauli mzuri, kwa kiongozi?
@hamzakimaro376425 күн бұрын
haki huinua taifa serakali ihakikishe wale wote waliokuwepo sokoni warudishwe kwenye maeneo yao!! Wasianze kugwana na mashemeji wao na wajomba zao!!
@evamacha486125 күн бұрын
Hizo ndio figisu zilizotumika soko la mbagala zakhiem kwa wafanyabiashara waliopisha soko kujengwa. Majina yote yalikuwa ya 3:19 wageni na wageni wengine walipewa fremu tatu mpaka nne . Wafanyabiashara Waliopisha soko kujengwa hatukupata kabisa.bado tunalia machozi ya damu
@chalokalunde942925 күн бұрын
Hao wanao chukua fremu mbili mbili mtu mmoja ndio wanaoleta matatizo.Msikubali kabisa mchezo huo.
@furaha715425 күн бұрын
TUMIA NIDA ILIKUEPUSHA WATU KUJIRUDIA
@CotaManywele-vg9ti25 күн бұрын
Viingozi wajinga wajinga kama hawa hawakutakiwa kuwa viongozi ktk nchi yt umeumiza wt kwa kauli zako za ubabe ubabe, ww hii nch c yk wala c ya ccm, kuwa muungwana unapozungumza na wenye nchi, ww ni mtumwa tu mbele ya wenye nchi ambao ni watanzania,
@mwalimukhamisi168025 күн бұрын
Kikweli aliyoyasema RC kama yatatelezwa ameupiga mwingi mno. Ajitahidi kuyasimamia kama alivyosema hasisubiri taarifa tu.