Musukuma amfokea Waziri, Amwambia, Nataka gari lako lifungwe Gesi uone linavyopiga kelele.

  Рет қаралды 79,276

Ngasa Tv

Ngasa Tv

9 ай бұрын

Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo
MEDIA COVERAGE
1.Goverment Events
2.Social Events
3.Documentary
4.Live Streaming
5.Zoom Meting
6.Photo & Videograph
BUSINESS ADVERTISEMENT
#Hotel
#Appartiment
#Restaurant
#Supermakert
#Hall
#Sallon
#New Business
PTINTING
1.Banner
2.Sticker & Flyers
3.Brochures
4.Business Card
5.Graphics Design
6.Logo Design
7.Tshirt Printing
Call Us
0716909567
0766909567
DODOMA

Пікірлер: 55
@ericrukamba6802
@ericrukamba6802 9 ай бұрын
Nashangaa watu ambao sio wasomi,wanachangia vitu vya maana 😂😂😂
@stevenrichard189
@stevenrichard189 9 ай бұрын
🇹🇿 ndio Nchi pekee inayo mwambia marehemu Amuombee kwa Mungu.
@MariamSitta-eq5pz
@MariamSitta-eq5pz 13 күн бұрын
Mungu akulinde baba
@user-yr5nx2nw8r
@user-yr5nx2nw8r 7 ай бұрын
msukuma unayajua zaidi hakika unafaaaa
@alexiuscornely1449
@alexiuscornely1449 9 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akujalie tena na tena msukuma
@isihakaog8355
@isihakaog8355 Ай бұрын
Huyu jamaaa anajua
@lazboylazboy6188
@lazboylazboy6188 8 ай бұрын
Nakubali sana msukuma mwenzangu
@user-gw7fu9pu7d
@user-gw7fu9pu7d 8 ай бұрын
Wote walio shiriki, kuuza ngo'mbe watarahaniwa.. Nawafugaji.. Mungu anawaona
@ericrukamba6802
@ericrukamba6802 9 ай бұрын
Uko sahihi kabisa Mweshimiwa
@FadhiliMgalla-ds9fx
@FadhiliMgalla-ds9fx 9 ай бұрын
Kaka safi sana nimubunge peke anaye piga nia malanyingi haki zamasikini wanyonge kaka safi sana
@khamisibundala4805
@khamisibundala4805 8 ай бұрын
Naamuunga mkono mbuge msukuma chapa kazi baba
@IrackMdalingwa-jw8ui
@IrackMdalingwa-jw8ui 8 ай бұрын
Mitandao Utaratibu inakuaje.
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 8 ай бұрын
DP World na Musukuma oyeeeed
@Ashahabibu-yr1rn
@Ashahabibu-yr1rn 5 ай бұрын
Huyo jamaa anapoint kubwa sana
@user-uz5cu7cr9h
@user-uz5cu7cr9h 9 ай бұрын
Kabisa kk
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw 9 ай бұрын
huyu jamaa ni sawa na wasomi 20 ana hoja nzito sana
@lilymuro4993
@lilymuro4993 8 ай бұрын
Msukuma nakuhunga mkono tunajuwa hujasoma lakini maneno Yako yanatupa moyo Sisi wana mchi nakupa mkono 👋👋👋
@maadigitalpro
@maadigitalpro 8 ай бұрын
Msukuma Mungu akubariki
@user-cr5kr1vm2x
@user-cr5kr1vm2x 8 ай бұрын
Msukuma mungu akulinde unapepo yako kwa mungu
@user-gw7fu9pu7d
@user-gw7fu9pu7d 8 ай бұрын
Jamaa huyu mungu Akusahidie
@michaelcosmas9540
@michaelcosmas9540 8 ай бұрын
Sawa kaka
@estominmrema5782
@estominmrema5782 8 ай бұрын
Yani mheshimiwa msukuma kwakweli mungu atazame juzi mama mmoja kafungwa miaka ishirini nambili kisa chake nivipande vya nyama ya swala lakini walioiba mabilioni wako mabarabarani wanatamba tu
@akimmbwego797
@akimmbwego797 8 ай бұрын
SH LAKI MOJA NG'OMBE
@KelvinDeniswilliam
@KelvinDeniswilliam 8 ай бұрын
Saw mbuge
@bayekefarijala5042
@bayekefarijala5042 9 ай бұрын
Sababu kubwa gas ni nafuu, kilo 1500, na inapatikana hapa, tunaweza kupunguza mabilioni ya pesa kuagiza mafuta
@KelvinDeniswilliam
@KelvinDeniswilliam 8 ай бұрын
Washatukela
@paulombay6884
@paulombay6884 8 ай бұрын
Msukum anatumia nature
@ZAKAYOMASOTA
@ZAKAYOMASOTA 2 ай бұрын
Msukuma unathamani ya shingapi uje kwenye jimbo langu
@user-rg7tx2cc1l
@user-rg7tx2cc1l 9 ай бұрын
Mbunge ni mmoja
@Princewaweru
@Princewaweru 9 ай бұрын
Daah
@AmiryMmanga
@AmiryMmanga 9 ай бұрын
Msukuma hongera unaongea ga vitu vya akili wengine wanatetea matumbo Yao hawajali wananchi
@kulwankuba2785
@kulwankuba2785 8 ай бұрын
🎉🎉🎉
@BernadethaSimba-qi4dw
@BernadethaSimba-qi4dw 9 ай бұрын
Huo ni mpango wa upigaji hawalidhiki na mali ya serikali sasa wanaingia mpka kwa wananchi Mungu atatenda
@PartySekemi
@PartySekemi Ай бұрын
Halafu huyu kairuki ni lazima atakua ni mhaya kwa sababu ni kabishi
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 9 ай бұрын
Huyu jamaa ana akili sana
@sheyosquad5755
@sheyosquad5755 9 ай бұрын
Raisi uyu..apewe
@lucasmabula9745
@lucasmabula9745 8 ай бұрын
Meli ya. Tetanic
@lucasmabula9745
@lucasmabula9745 8 ай бұрын
Meli. Ya. Tetanic
@yasiniswedi8835
@yasiniswedi8835 9 ай бұрын
HV mnatofautishaje uzembe wamawazili nalaisi?pengine wnatumwa namteulewao wafanyemadudu HV kamahuliziki nawayafanyayo mawziliwako kwaniniusitengue?lakini klambunge utamsikia pongezikwamama cchuku tunaumia naufsadiunaoendelea kwakweli wabunge pongezihizo Zinawavunjia heshima sanahukumtaani niwakujikweza
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 9 ай бұрын
Kaulinnj ,fomu ya kugombea urais 2025 inamuhusu
@Dailyminescommunity1
@Dailyminescommunity1 8 ай бұрын
Msukum akiwa raisi watasema wampe jamani Yani huyu kaka ANAYO akili sana
@mringoarts3710
@mringoarts3710 8 ай бұрын
Msukuma hapa kwenye suala la vituo vya gesi umeniangusha mkuu, au kwasababu na wewe ni mnufaika wa mafuta nini?
@katutaramadhani7193
@katutaramadhani7193 9 ай бұрын
Ukiangalia comments za watu unabaki unashangaa. Mpka sasa kuna gari zaidi ya 5000. Gesi si hatari kama wengi wanavyodhani, petroli inalipuka haraka zaidi kuliko gesi hii inayotumika. Hapa kunatofauti ya kujua mambo kwa kina na elimu. Elimu elimu, elimu.
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 8 ай бұрын
Gesi is not good for the environment. Tumieni EV wapimbafu nyinyi.
@user-nk3nd4fn6t
@user-nk3nd4fn6t 9 ай бұрын
Msukuma unaongea aunamsaada ii sio serekali ya masikini ii selekali ya matajili
@philipolubuva4102
@philipolubuva4102 8 ай бұрын
Msukuma suala la mfumo wa gesi hulijui linavyofanya kazi kama una vituo vya mafuta naomba jiheshimu acha serikali ijenge vituo vya kujazia gesi magari umeongea uongo sana eti gari inabadilisha mlio ni uongo mtupu leo umeniboa sana
@user-yr5nx2nw8r
@user-yr5nx2nw8r 7 ай бұрын
huna point kalale
@philipolubuva4102
@philipolubuva4102 7 ай бұрын
@@user-yr5nx2nw8r soma kwa sauti ulichoandika kisha waonyeshe watu point yako.
@daudysanga8492
@daudysanga8492 9 ай бұрын
Hio mitungi wanayoweka ndani ya magar kwanza niatar
@lordsm.k-db3wy
@lordsm.k-db3wy 8 ай бұрын
MWANZA Endeleeni kumuamini mtu huyu ANA AKILI nyingi.
@philbertcelestin7057
@philbertcelestin7057 8 ай бұрын
Kwani ni wa Mwanza???
@kingkendrickk
@kingkendrickk 9 ай бұрын
Anaongea pumba
@user-hk9oy6ip9u
@user-hk9oy6ip9u 9 ай бұрын
Anaongea vitu makini na yuko sa hihi asilimia 100
@maikomatayo2794
@maikomatayo2794 8 ай бұрын
msukuma popote ulipo mungu akubariki akuepushe na maofu ya dunia uko sahihi kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-jw3zo5no2n
@user-jw3zo5no2n 8 ай бұрын
Msukuma bora uwe rais baba umeongea meng ya msing vichwa vigum hawaelew
Schoolboy - Часть 2
00:12
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 5 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 91 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 26 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 17 МЛН
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
Schoolboy - Часть 2
00:12
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 5 МЛН