No video

APPARMENT ZA BEI NAFUU JENGA HIVI UMILIKI KIJIJI CHAKO KWA BEI NAFUU

  Рет қаралды 4,390

Sanuka Media

Sanuka Media

Күн бұрын

Пікірлер: 22
@newgeneration-et5to
@newgeneration-et5to 8 ай бұрын
Mr house mm Niko nje ya nchi nakufatilia sana 2024 Ninataka nifanye project na ww uko vzr sana
@Waitalamula-su4lv
@Waitalamula-su4lv 8 ай бұрын
Unaweza kupangisha laki moja...ila cjajua ni maoni tuu kaka nilio yaona ....nakukubali sana mzee nikiwa freshi
@hellenngana3882
@hellenngana3882 5 ай бұрын
Hi! Mr house decoration,kuhusiana na zile nyumba 4,single rooms,ni nzuri,lakini sehemu yakujenga karo la u have liko karibu sana na kisima cha maji hivyo jitahidi uchimbe septic tank mbali ,kwani maji ya kisima yatachanganyika chini kwa chini na maji machafu! Watu wakitumia yatakuwa na infection!
@saidsalum6101
@saidsalum6101 7 ай бұрын
Kwahuku kwetu lakimbili kwakila mwezi zahalaka halaka hizi mwanza
@heavenlight5084
@heavenlight5084 7 ай бұрын
Umenipa hasira ya kujenga walai
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 7 ай бұрын
Shukran xana bro❤❤❤❤❤
@mobadrymohammed9762
@mobadrymohammed9762 8 ай бұрын
Na Mimi nataka unifanyie savey Kiwanja changu kipo Kigamboni Kibugumo na unichoree ramani Lakini nataka nijuwe inakuwa kiasi gani
@user-dl1gy9pe1g
@user-dl1gy9pe1g 7 ай бұрын
Safiyo
@saeedahhenry711
@saeedahhenry711 8 ай бұрын
Utuambie unakwenda kufanya savey ni sh ngapi tujipange
@GeorgeKasinga
@GeorgeKasinga 4 ай бұрын
hakika wewe ni mbunifu, unastahili kupongezwa
@leahmollel6589
@leahmollel6589 8 ай бұрын
Mm nina eneo kama hili na natamani hizo appartments ila ukuta angalau uwe mmoja!
@fatumaaybu8648
@fatumaaybu8648 4 ай бұрын
Naomba namba yako nataka kujenga
@zaituniallyjuma8845
@zaituniallyjuma8845 8 ай бұрын
kodi kwamwezi Lakimbili
@johnthesimba4764
@johnthesimba4764 8 ай бұрын
100,000 kwa huku kwetu
@katalamohamed4305
@katalamohamed4305 8 ай бұрын
Mbona hakuna sitingroom
@katalamohamed4305
@katalamohamed4305 8 ай бұрын
Je choo ni pamoja na bafu
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 8 ай бұрын
Eneo langu ni 46kwa48 mbona niko naeleo kubwa sana.
@obedyngavatula2106
@obedyngavatula2106 15 күн бұрын
Hujibu Whatsapp messages
@naumikabila5880
@naumikabila5880 8 ай бұрын
Hv mita 14 ni sawa na hatua ngapi jamn😂, please msaada
@isaactweve2114
@isaactweve2114 8 ай бұрын
Mara 2 yake so 28
@user-np4xu1oi8h
@user-np4xu1oi8h 7 ай бұрын
Kufanya savei kwenye kiwanja ni pesa ngap?
@user-gl9qp4ym9v
@user-gl9qp4ym9v 7 ай бұрын
Naomba no yako ya wattsap please
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 21 МЛН
Советы на всё лето 4 @postworkllc
00:23
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 14 МЛН
ujenzi unaendelea
4:49
Jiver Kasigara
Рет қаралды 3,5 М.
NAGONGA KOKOTO
10:48
Joti TV
Рет қаралды 431 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /29/ #love
43:38
BabaJoan
Рет қаралды 252 М.
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 21 МЛН