HONGERA SANA... Upo vizuri na kazi zako zinajieleza na tunakukubali sana..BIG UP
@bandaally3695 күн бұрын
Mkali
@fidelfidel-jz4iw5 ай бұрын
Hongera sanaa unajua KAZI yako tiles ni muhimu hazipitishi maji. Na unyevunyevu na hauwezi ona maji yakipenya KAZI nzuri.
@user-tn3gw5qv9e3 ай бұрын
Good job 👍🏾
@mmake305 ай бұрын
Dogo uko vizuri saana, nayaona mafanikio yako ya baadae.
@innocentthobias924Ай бұрын
Umetisha mkuu yamenikuta ayoo
@Halimamchafu11743 ай бұрын
Mashallah kazi nzuri
@joyceassey23475 ай бұрын
Woooiiiiii mi niliona ctaki shida nikawaambia nipaulieni imwage maji upande mmoja,,sikutaka izo mambo za utaalam kabisa
@shakilabakari69285 ай бұрын
Kwakweli
@ericoguri83683 ай бұрын
Mimi kama Mkenya napenda Kiswahili cha Bongo. Mwalimu umefanya kazi nzuri.
@masumbukosiyougomvi79005 ай бұрын
Upo safi sn, heri yako kuwa mwalim mwema
@deniskimenyi8995 ай бұрын
Watu hawataki kutafuta watalaam , wengi wanapenda akina Fundi Michael . Good job
@user-fq5mb6fv2r5 ай бұрын
Nakuelewa sana kaka. Mungu akubariki sana kwa kuendelea kutusanua.
@kelvinkencho4015 ай бұрын
May god bless you
@mathiasswai70065 ай бұрын
Elimu zuri🎉🎉🎉 chukua mau yako
@user-ef1zl5gi1k4 ай бұрын
Kwer kabisa upo sahihi nikijenga nitawaitaji🎉🎉❤
@eddyeddy13375 ай бұрын
Safi sana bro
@user-lr2ff5mp5t5 ай бұрын
Umetis bro
@warakawayohana28965 ай бұрын
Safi sana mdogo wangu
@salimabdul44245 ай бұрын
Upo vizuri
@iddimngazija19575 ай бұрын
Kwa hali hii unaweza kutafuta mtu na panga😎
@user-sv6zy3hc8o5 ай бұрын
Haswaaaa mana wañaona watu pesa wanaokota
@amisamaurid18825 ай бұрын
Yes sir
@koperawasona95513 ай бұрын
Hongera unajuwa
@galantsoldier92585 ай бұрын
Nakukubali fundi
@GodfreySylvester5 ай бұрын
Nimekuelewa sana kwenye hii video. Hongera sana
@tumsifushoo35445 ай бұрын
Sababu ya kupenda rahisi sasa itamgharimu
@williamjonasmangurama98525 ай бұрын
Safi sana nekuelewa
@handenitakuru669617 күн бұрын
Daaaah huyu fundi jamaa kama kamfanyia makisudi yani kamtia hasara kubwa sana sasa uwe na pesa kama nimwenzangu namie pesa yetu ni yakuunga unga unatamani uende ukamchabange mapanga
@ahadibuge52464 ай бұрын
Nimependa sana hiii.... umeonyesha mambo mengi ambayo watu wanakosea.
@hamzamwaya4635 ай бұрын
Yaan mi nakuelewa sana
@ItsNasto3 ай бұрын
Good job i have same problem
@isamony585 ай бұрын
😢😢😢Yani hiiii mijengo jengeni tu wala sina hamu nao
@magretangel52425 ай бұрын
Hata mi sjatoneaga kuzipenda aina hizi mimi za kufunika kawaida ndio simple
@mburuumbe56595 ай бұрын
Mimi sio fundi Ila nimekuelewa sana
@user-bg2yc4kw9k5 ай бұрын
Kweli
@user-np4cn5zy9p5 ай бұрын
Sema gata bwana sio dude
@ayubustefanoАй бұрын
Nimekusoma mr,hause
@abdulbonomali65485 ай бұрын
Usimlaumu sana fundi inawezekana mwenye nyumba ndio chanzo kupenda kuraisisha
@saraikayo46945 ай бұрын
Nimekuelewa kk
@amisamaurid18825 ай бұрын
Muda ukifika mm ntakuita Tunduma brother
@user-qf9dw9ki1g5 ай бұрын
Duh
@salimmachila57365 ай бұрын
Hasara kubwa sana
@emmanueltuppa54593 ай бұрын
Yes sir😂💪
@geofreymalekana80005 ай бұрын
Asante sana kwa kutupa ufahamu, exallent bro
@magretangel52425 ай бұрын
Majiran zake wamepiga roof za kunyanyua very simple ila huyu mwenye nyumba kajifanya mzungu ili wamsifie kumbe kawekewa bwawa juu ya bati
@zeddymourice42495 ай бұрын
Kila mtu anaamua nyumba yake aipaue kwa style gani sio lazima wafanane,shida nihuyo fundi ndio kamtia hasara.
@azzaalhabsi15055 ай бұрын
Yes sir. Kumbe wenye shida hii tupo wengi. Mafundi wanatutia hasara jamani.kama hawajui kupauwa dizain hii si waseme ukweli tu.
@fadhilimsangi8755 ай бұрын
😂
@SalomeNkwera-wr1jg2 ай бұрын
Usimuhumu mtu bila kujua anaamua yeye na ela yake
@JamesMsigwa-q6l6 күн бұрын
Yani uwe unafundisha sio kujifanya unajua yote na kujikuta unajua zaidi
@hurumajosephat63335 ай бұрын
Hao mafundi ni wa kuweka ndani
@fanni-ck6do5 ай бұрын
sooo sad yaumiza kwa kweli
@JumaMario-px8tt5 ай бұрын
Huyo fundi nae alizidi fundi wake msamehe
@fatimakhatibu82565 ай бұрын
Hasaraa jamanii
@jumafumao15194 ай бұрын
Kaka nime kuku bar
@moriscollins44942 ай бұрын
Shida watu wanapenda vitu vya rahisi kwani bati tsh ngapi
@kelvinmugambi86425 ай бұрын
Hongera sana...waeza fika Kenya?
@user-fi9ye7ek5y5 ай бұрын
😢
@yassinbachu48193 ай бұрын
Engineer swala langu hii contemporary roofing ni bri rahisi ku weka?
@user-pr8tz8tc8s5 ай бұрын
Acha ujinga ww
@teedullah57085 ай бұрын
Nawakuchukiye lkn utuokowe
@hamzamwaya4635 ай бұрын
Ni kweli kabisa, Harmonise, Diamond ni upuuzi tu
@iddymfinanga94245 ай бұрын
Nyumba za Jenga uza izo, ndivo zilivo
@abuujibriltv52335 ай бұрын
😂ila usiwe una tumia neno wadogo wangu. Video zako wengi wanao angalie ni watu wazima
@ngoshasaluminium40625 ай бұрын
Amesema wadau wangu,, Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi
@ngoshasaluminium40625 ай бұрын
Amesema wadau wangu,, Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
@ngoshasaluminium40625 ай бұрын
Amesema wadau wangu,, Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
@ngoshasaluminium40625 ай бұрын
Amesema wadau wangu,, Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
@ngoshasaluminium40625 ай бұрын
Amesema wadau wangu,, Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
@user-hm1vg9vr6b5 ай бұрын
Na nikitaja unifanyie ww
@swaggadiv3 ай бұрын
Hizi nyumba zakuficha paa ni balaa ata kurekebisha iko costly sana
@martinmunene90404 ай бұрын
Niko Kenya nimejaribu kupiga no zako nyote hajigii
@avelinaandrea50315 ай бұрын
jamani mafdi wanachukua pesa zabure
@EDDOSTEVEN5 ай бұрын
mm nimeweka gatta ndogo but aivuji mwaka wa 8
@amisamaurid18825 ай бұрын
Uzuri nina.namba yako ww ndo utakae nipaulia nyumba
@ElizabethMakwaia2 ай бұрын
Kaka mbona hupokei cm? Sasa wateja tunakupataje?
@salama11135 ай бұрын
Sasa uogopi huko juu ukipolomoka wakati imeshiba maji
@methodiuskikoti58705 ай бұрын
Uko vizuri sana kwenye suala la ujenzi. Utafika mbali sana kijana. Ila Hilo neno linatamkwa hiden sioo haiden. Ingawa neno lake la msingi linaandikwa hide na kutamkwa haid. Kwa kifupi. Hide tamka haid. Hiden tamka hiden. Mungu akubariki kusanua mabosi na kuelimisha mafundi pia.
@AdamuDamasi-qq9uv5 ай бұрын
Fuala wewe unajifagilia kizembe
@AdamuDamasi-qq9uv5 ай бұрын
Sema fundi ujenzi sio fundi matope fuala wewe
@user-lr8kg8yu7s5 ай бұрын
🎉
@zuenajohn83255 ай бұрын
Jamani wewe niache tu nimepata hasara mimi uwiiii. Nililetewa fundi anajidai mjuzi wa jpsum. Acha baada ya muda zilianguka zote rumu 3. Tails zime umuka. Naumia mimi jmn maana sinauwexo tena.
@user-rj4cd7oc4x5 ай бұрын
Umenitisha uuwi😢😢😢
@jenipherseleman77525 ай бұрын
Pole
@user-vy2bc6xg3i5 ай бұрын
Ujenzi huu niliukataa kabisa na unikome. Napauwa kisusu tu
@user-sv6zy3hc8o5 ай бұрын
Nikweri kabisa bola kupaua na borit tu
@AdamuDamasi-qq9uv5 ай бұрын
Onaongea sawa ila umezingua kusema mafundi tope
@Mpakauseme5 ай бұрын
Shida hawana akili ata mimi si fundi naona tu hapo kunamakosa aisee inasikitisha sana
@mwabuselectors5 ай бұрын
Yaah hapo hata kama sio fundi unaona kabisa wamebugi..
@fatmaabdallah77095 ай бұрын
Daaah umenifungua akili mr house hilo ndio tatizo nililonalo hapa kwangu kariakoo. Unaweza kuja kuniangalizia tatizo lililopo hapa kwangu?