WANDUGU WANA TUHIBIA SANA MPAKA KUTUZULUMU ENEHO . KUTOKA AUSTRALIA
@user-dl1gy9pe1g2 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-bt8bk7pm6e5 ай бұрын
Nakuombea uwezekufungua na kampuni ya vifaa vya ujenzi. Vp kazizako kwa sisi wazanzibari. From omn Tim rial.
@SophiaMnguyu-ob4gh5 ай бұрын
Hongera sana kaka tupo pamoja DR HOUSE OG
@AminaKida-ik8fc5 ай бұрын
Ila umeweza Allah akulinde kwa kila hatuwa
@user-ks6wj1uf9k3 ай бұрын
Shukrnii man wanaon km pesa tunaokota
@LailaLaila-kg2qd3 ай бұрын
Kakaangu mi naitaji unijengee nipo arabuni lkn ujenz wng sio wa moja kwa moja siunajua mpk ujikusanye mara kwa mara ndio utume
@user-wq2jf6zq5r4 ай бұрын
Asante sn
@meryamabdullah20815 ай бұрын
Asee barikiwa saana ndugu 🙏
@felicianamutakyahwa15494 ай бұрын
Ubarikiwe maana umekombolewa ki fikra
@gracekakwezi89415 ай бұрын
Barikiwa sana
@erinestangowi77855 ай бұрын
Yani kweli mbagala vitu bei sana
@user-xl4zq9ow9u5 ай бұрын
Safi sana ndugu...
@fanni-ck6do5 ай бұрын
Allah akuweke twaelimika
@FelistaAsenga5 ай бұрын
asnate san jmn
@aliyahmedahmed5905 ай бұрын
Inategemea na ndugu sisi Wazanzibari tunajenga na nyumba zinaisha vizuri....na akichukua hiyo hela ya ziada wala hatujali na nyengine tunamuongeaza
@user-bt8bk7pm6e5 ай бұрын
😂😂😂
@MawaddaKhamis-zh3kc5 ай бұрын
Weee sio wote mwenzangu hakuna cha mzanzibari wa mzanzibara kwenye pesa kuna mandugu uko znz wanakula pesa za ndugu zao mpaka wakirudu wanakuwa machizi 😢nna mpaka ushahidi kamili km umebahatika ni weye mwenzangu na sio wote wapo na huruma 😢Allah atusaidie tu na familia zetu kinacho takiwa ni tuhurumiane tu
@salmamlokela19872 ай бұрын
Nashukur nipo kwenye kupaua lkn huo mziki wakee nahis kuvurugwa😢
@washa13465 ай бұрын
👏👏👏👏
@user-dl1gy9pe1g5 ай бұрын
Asante
@bentybenty23435 ай бұрын
I wish ungeweza kunisaidia ,bt I'm 4rm Kenya 🇰🇪 😢
@mohamedismail26625 ай бұрын
bonge la darasa
@AminaKida-ik8fc5 ай бұрын
Umetusanuwa vyema
@aminathaabubakarmasoud5655 ай бұрын
MashaAllah nakufatilia sana brother, ila hujibu message zangu Whatsapp 😢
@hawamafuru67914 ай бұрын
Namba unge eka hapa unataja haraka haraka wenzio tupo mtingo😂
@ramadhanimpate-yj3qp5 ай бұрын
hawezi kujua yote elfu 50000/= utakuwa wakutoa mitaroni mwa balabal kipindi hiki cha mivua
@lil-masougee73885 ай бұрын
Mwanangu mm kweli npo USA napambana huku na ni kweli umenipa upeo mkubwa juu ya material Maana nyumba ya kwanza nimejenga huko tz na walionisimamia n rafiki angu wa karbu sana nilituma takribani million 650 lkn nyumba yenyewe sijaielewa
@zaharampenda99735 ай бұрын
Acha uwongo😂😂
@shakilabakari69285 ай бұрын
😂😂😂😂 jmn nimecheka sanaa
@salmamlokela19872 ай бұрын
Mmmmh..ni nyumba au stendi ya mabas eti million ngap
@Tamtam-wd1dy5 ай бұрын
Mr House hapo umeongelea. Mwana sheria wako tu raha mtu nae awe na mwana sheria wake ndio contract itakua nzuri zaidi. Je unafanya hivo pia? Mana mtu mwingine ye anataka kumuhusisha mwana sheria wake pia.
@hawamafuru67914 ай бұрын
Nikweli ulicho zungu mza ndugu zetu hawa tuelewi tunavyo surubika huku pia wasimamiz hatuna watoto ni wadogo had tuna ogopa hata kuhusisha maana hata maisha Yao yaweza kuwa mashakan je na weza kukutumia wewe kuanzia kiwanja?
@SaidSaid-ef8md5 ай бұрын
Nimekubali mwana, vipi kuhusu zenji, ningependa pia utusanue baba.. Kabla hatujaumizwa.. Unafanyaje kazi zako kule?
@user-eu4pk3eh5d5 ай бұрын
Zenji vitu ni bei sana vya ujenzi na yeye si mkaaji wa kule ni ngumu kutambuwa hali ya bei za vifaa vya ujenzi
@devothasimbi10555 ай бұрын
Kama kupigwa nimeshapigwa mpaka basi
@user-dy3gq3qf4h5 ай бұрын
Ndungu nimecheka,😂😂😂tu
@Juliana-fx8tr5 ай бұрын
Mkimjengea mtu vifaa unanunua au mteja ananunua yeye
@JumaMario-px8tt5 ай бұрын
Mimi nimekosa hata WA kumuamini ili ninjenge
@Happy-tx7p5 ай бұрын
Shid ukitumiw sms wsp ujibu ukasave number kila nikituma sms ujib sasa cjui unaangalia na number za kujib
@ramadhanimpate-yj3qp5 ай бұрын
bei ya tofal haijui vzri tofli nch6 bei gani
@felicianamutakyahwa15494 ай бұрын
Je mikoani unaweza kwenda pia? Maana mi nipo nje ya nchi lakini nataka kujenga kibanda changu huko kijijini morogoro please