Mjadala unazungumzia hali ya uwekezaji katika soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) na fursa zinazo patikana kupitia soko hilo? Ungana na mwanahabari wetu kujua mengi zaidi.
Пікірлер: 2
@barakayusuph51908 ай бұрын
Biashara ya hisa muhim elimu yake isambazwe vyuoni
@politeboy66815 ай бұрын
Mtu anapataje faida na ni uhakika au it's just like betting