Рет қаралды 14,274
Je, umefanya uwekezaji wowote kwenye mifuko ya uwekezaji nchini?
Je, unajua ni faida kiasi gani unaweza kupata kwa kuwekeza kwenye mifuko sahihi?
Ungana na Daud Mbaga kutoka UTT-AMIS akifafanua kwa kina uwekezaji na manufaa yake na fursa zilizopo kwenye UTT-AMIS.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz