WEKEZA KWENYE HATI FUNGANI ZA SERIKALI ZA MUDA MREFU (GOVERNMENT BONDS) Na Lawrence Mlaki

  Рет қаралды 22,890

Edmund Munyagi

Edmund Munyagi

3 жыл бұрын

Пікірлер: 61
@imaniseba
@imaniseba Жыл бұрын
Asante sana Edmund.....Nasikitika sana kuwa watu wachache wanatazama video hizi...I am passionate about personal finance and personal development vilevile...Going through these and other videos online....learning a lot....
@mariagrayson5414
@mariagrayson5414 Жыл бұрын
Am learning a lot here . My brother told me about this and today i told my sel i want to learn i hope am not late . Thanks bro
@happytitus2119
@happytitus2119 Ай бұрын
Bila C3 huwezi kuelewaa huu mtanange
@eliascosta2479
@eliascosta2479 24 күн бұрын
Very powerful presentation
@brobabuu3973
@brobabuu3973 2 жыл бұрын
Elimu kubwa sana hii...Ni watu wachache sana wanaoangali hizi video.. na hao ndo watakaofanikiwa. Keep it up bro.
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
Kabisa. Wengi wanaangalia video za wasafi.. 😂
@brobabuu3973
@brobabuu3973 2 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi Very SAD.. In four weeks wanaviewers 7.4M katika masuala ya Burudani ila kwenye mambo ya msingi like Financial Education unakuta viewers ni chini ya 1K na hapo Average view duration ni less than 20%
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
@@brobabuu3973 Kabisaa na ndio maana watakaofanikiwa ni wachache. Wengi watabaki kulalamika tu.
@RoseKalinga
@RoseKalinga 14 күн бұрын
Elimu nzuri sana
@protasmtechula9705
@protasmtechula9705 Жыл бұрын
Thanks bro
@mwizalubimafwele8245
@mwizalubimafwele8245 2 жыл бұрын
Asante sana kwa hili darasa
@sherianabdul1354
@sherianabdul1354 2 жыл бұрын
Safi saana
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын
Edmund, secondary bonds huwa zinatangazwa na benki kuu au mpaka mtu binafsi akufate akuuzie?
@dennismongi8970
@dennismongi8970 4 ай бұрын
Du! Hii elimu ni muhimu sana sana,jamani huu ni utajiri wa kutosha kabisa
@davidkimambo205
@davidkimambo205 2 жыл бұрын
Alieshika camera badala ya kuonyesha board ananionyesha Manka🤔
@israel1331
@israel1331 16 күн бұрын
Je naweza kopa Hela commercial bank na kuinvest kwenye Treasury bonds then nikatumia coupon kulipia mkopo wangu?
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 2 жыл бұрын
Sorry, naomba kujua, kwa hiyo nikinunua primary bond let say ya 20 milioni kwa miaka 5, pamoja na kupewa hizo interests on semi annually basis, mwisho wa hiyo miaka 5 narudishiwa capital yangu yote au ndio inakua mali ya bank kuu mimi nakua nimefadika na riba tu? Naomba kujibiwa kitaalamu wapendwa. No jokes.
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
Mwisho unarudishiwa pesa yako.
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 2 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi OK. Ahsante kwa taarifa 🙏🙏
@jonathanhellen1
@jonathanhellen1 Жыл бұрын
​@@EdmundMunyagi Hello Edmund. Umeongea kuhusu building portfolio. Lets say nimeinvest bond ya 25yrs amounting to 100m with an 80% loan on the bond ie from crdb now giving loan on 13% interest rate, it will take 14yrs to repay the loan. So there will be 11yrs left to collect the interest plus the capital of 100m at the end of yr 25. Then the second loan will be 80% of the (80% of 100m) ie 64m worth of loan also will take 14 yrs at 13% given they are given within the same yr meaning few months apart and interest hasnt changed. Then take another loan 80% of the 64m which is 51.2m (this one will take all 25yrs for this 51.2m) to be paid using the dividend received yearly and some additional amounting to 498,692 yearly. So at the end of year 25 portfolio itakua na 100m (11 yrs of interest) + 80m (11 yrs of interest) + 64m (with no interest since its paying loan ya 51.2m for 25yrs) + 51.2m (with its monthly interest) Capital only Amounting to (100+80+64+51.2)= 295,200,000 from 100m initial amount. Interest (12.56 p.a) 1. 100m p 138,160,000 2. 80m p 110,528,000 3. 51.2m p 160,768,000 QNS. 1. Is this applicable in our banks? Kuna uhalisia katika hili? 2. Can any bank offer these kind of loans back to back. Or for a duration of that many years? (14 to 25)
@davidkimambo205
@davidkimambo205 2 жыл бұрын
Ngoja nitafute 20bn niweke huko.
@asteriayohana3746
@asteriayohana3746 7 ай бұрын
Samahani brother ninawaza kununua bond ya 1m alafu nitaruhusiwa kuongezea??? Au hairuhusiwi kuongezea???
@user-kn7ul8vq9h
@user-kn7ul8vq9h 8 ай бұрын
Kwan lazma uwee na million 100 ungetolea mfano pesa ambazo mtu wakawaida anawezaa pata mfano kuanziaa million1
@bballdunks869
@bballdunks869 10 ай бұрын
taarifa ni utajiri
@sigaladaniel653
@sigaladaniel653 6 ай бұрын
Je gawio la faida linalipwa kwa wakati?maana gvt muda mwingine huwa wana mambo mengi.
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy 5 ай бұрын
Kwa elimu kidogo nliyonayo, hizo Bonds zinatolewa na Bank Kuu(BoT) na ndio namna Bank Kuu(BoT) inavyotengeneza pesa mpya kwenye mzunguko. Hizo riba(mf: 15% kwa 100M Bonds) ndo zinakuwa pesa mpya. So malipo hayachelewi sababu BoT ndo wanaoruhusa/dhamana ya kutengeneza/ku-print pesa mpya.
@ereneusmujuni6380
@ereneusmujuni6380 2 жыл бұрын
Government bond huwa wanatangaza bei ya kuanza kubid ?
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
1,000,000/- ndio minimum.
@ereneusmujuni6380
@ereneusmujuni6380 2 жыл бұрын
Thanks for the answer
@abasisapi5474
@abasisapi5474 2 жыл бұрын
Elimu nzuri, ila nashangaa mimi ni mtu wa kwanza kuweka comment!
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
😂😂😂 Nadhani watu wengi wamekuwa wanaenjoy somo wanasahau kuweka comment.
@jonasmaginga2374
@jonasmaginga2374 2 жыл бұрын
kama 6 hv
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
@@jonasmaginga2374 sio mingi sana lakini nakuelewa unavyofeel baada ya kupata hili somo.
@abasisapi5474
@abasisapi5474 2 жыл бұрын
Nataka kuwekeza kwenye Treasury Bonds. Nafunguaje account kwenye simu?
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
@@abasisapi5474 hauwezi kufungua account kwenye simu. Unahitaji kuwasiliana na broker atakusaidia kufungua. List ya brokers inapatikana kwenye site ya bot www.bot.go.tz
@user-uw9tn8uz7d
@user-uw9tn8uz7d 11 ай бұрын
asante sana Edmund.....natamani kuwekeza lakin mtaji wangu autoshi nifenyeje namimi niwekeze ?
@kingangiejansie7731
@kingangiejansie7731 7 ай бұрын
Tengeneza mkakati, weka kidogo kidogo
@gapsonrevocatus1641
@gapsonrevocatus1641 2 жыл бұрын
Natamani namna ya kujua kushiriki hio minada lakini sijui unafanyaje
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
Unatakiwa uanze kwa kumtafuta Broker ndio atafanya kila kitu kwa niaba yako.
@latifaeifan3573
@latifaeifan3573 Жыл бұрын
@@EdmundMunyagi nataka nianze kununua bonds lakini sijui nianzeje. Naomba nitumie contacts za brokers
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi Жыл бұрын
@@latifaeifan3573 dse.co.tz/sites/default/files/dsefiles/REGISTER%20OF%20LICENSEES%20-%202022_1_1.pdf
@nivardhalechi6217
@nivardhalechi6217 2 жыл бұрын
..ni kwa namna gan naweza kutana na brocker..?
@protasmtechula9705
@protasmtechula9705 Жыл бұрын
Nend kwa bank yoyote ya crdb unawapata hawa
@BenMtenga-iu1tg
@BenMtenga-iu1tg 8 ай бұрын
Nahitaji kuhudhuria hizi Seminar Napataje ratiba?
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 8 ай бұрын
Tufuatilie kwenye Instagram @letstalkfinancetz semina inayofuata ipo December tarehe 9.
@jonasmaginga2374
@jonasmaginga2374 2 жыл бұрын
Nimetamani nistafu mapema hela zote niweke bondi
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
Hahaha.. kwani una miaka mingapi imebaki mpaka kustaafu?
@jonasmaginga2374
@jonasmaginga2374 2 жыл бұрын
Sana, hapa siwezi kuchukua mkopo benki tena nahawataniona daima
@jonasmaginga2374
@jonasmaginga2374 2 жыл бұрын
Kufungua akaunti kwenye simu sifahamu utaratibu wake. maana hii elimu nilikuwa siijui.
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
@@jonasmaginga2374 Sasa hauwezi kufungua account kwenye simu ili kununua Hatifungani. Unahitaji kuzungumza na broker ambao unaweza kupata list yao kwenye site ya BOT www.bot.go.tz
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
@@jonasmaginga2374 😂😂😂 Vizuri kama umeona kuna tija zaidi kwenye huu uwekezaji.
@Maisha-Halisi
@Maisha-Halisi 2 жыл бұрын
Hao brokers unawapataje?
@lukematthew1269
@lukematthew1269 2 жыл бұрын
Check na Solomon Stocks Brokers
@homan_nkwama
@homan_nkwama 2 жыл бұрын
Kiukweli Mimi exposure ya Kuelewa Mambo ninayo kiasi chake lakini mwalimu anafundisha as if anafundisha wanauchumi wenzie au pengine Sisi wavamizi Ni maususi kwa wanauchumi tuu?
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
Kitu gani kimekufanya useme ni kwa wana uchumi?
@homan_nkwama
@homan_nkwama 2 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi rejesta iliyo tawala na vocabulary nyingi Yani misamiati mingi inatuhitaji tuwe na background kiasi Fulani ILA wenye background naamini wameelewa na kuinjoy sana mfano Mimi Ni medical laboratory technician nikiwa naeleza afya ya jamii nitalazimika kuswitch niandane na jamii badala ya kusema worms spicies itabidi n niseme aina za minyoo hata Kama kiswahili akifiti sana incinerator itabidi nisema majalala ya kuchoma taka hata Kama aijitoshelezi sana ili niende na wote
@homan_nkwama
@homan_nkwama 2 жыл бұрын
Samahani kwa comment zangu nitafuta hivi punde ili zisiwape mkumbo wengine kisaikolojia mana sikuwa na access yakujua account zako insta ili niku DM
@richard2218188
@richard2218188 2 жыл бұрын
Je kwenye secondary market, mtu anaweza kununua kiasi cha bond za mtu au lazima iwe full amount? Yaani mfano mtu anabond za 10M from primary market, anaweza kuuza 5M kwenye secondary market?
@msellegodwin
@msellegodwin 2 жыл бұрын
kaka Edmund tusaidie jibu la hili
TENGENEZA UTAJIRI KUPITIA HISA na Emilian Busara
57:11
Edmund Munyagi
Рет қаралды 47 М.
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
UWEKEZAJI NA MANUFAA YAKE: UTT AMIS WANATOA UFAFANUZI ZAIDI
22:47
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 29 М.
BUILDING WEALTH WITH REAL ESTATE by Larry Lyayuka
33:03
Edmund Munyagi
Рет қаралды 5 М.
UHURU WA KIFEDHA Na Edmund Munyagi
44:34
Edmund Munyagi
Рет қаралды 9 М.
ANGALIA HII KABLA YA KUANZA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MITI
30:10
Edmund Munyagi
Рет қаралды 13 М.
UWEKEZAJI WA PAMOJA KWENYE MIFUKO YA UTT Na Daudi Mbaga
50:09
Edmund Munyagi
Рет қаралды 15 М.
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
Hamasika Tv
Рет қаралды 18 М.
JINSI YA KUWEKEZA NA UTT By Pauline Kasilati
14:57
Edmund Munyagi
Рет қаралды 13 М.