Umati huu mashallah wanaumiya watu kushikamana na mtu mwenye mtazamo wa mwezi wakimataifa allah ambariki salilm barahiyani
@user-wf8eb6nm4s3 ай бұрын
Hao SI answari pekeyao ilikua waislamu wote Mimi nilikuwepo na SI answari suna
@mkude2 ай бұрын
Mashaallah ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH
@Time-ev3dw3 ай бұрын
Mashalla Allah akuhifadhi sheikh akupe umri mrefu wenye afya
@davidruhasha96703 ай бұрын
Mungu atawapa ushindi wetu wa suna watashinda insha alhah
@ibnhassan99803 ай бұрын
Amiin
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Ulifkiria sunna ni NONGO!
@AtiqQassim-od9jr3 ай бұрын
allahuma amiin
@swahibually83493 ай бұрын
Sasa mtashindaje wakati mshaanza kugawana makundi makundi,kuna Salafi, kuna Salafi Jadiidu,kuna Mawahabi na Fur'qaanul-haqi,nyote mkiianza kukosoana na kitiana kwenye Ukafiri,NB;nyinyi kinachowasumbua Njaa,Uroho wa Madaraka,na upanmbe wa kuishabikia Saudia,
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
@@swahibually8349 wote mbwa wa mayahudi hudi na mfalme wao yupo hio nchi ulioitaja. Sunna yao ni kufuata amri za wayahudi na fatafhi yao ni kufarakanisha waislamu
@aminaosman33152 ай бұрын
,mwenyeenzi mungu anakuona zulma uliifanyia familia marhum said janjira na wanajiita ansar wote wahusika kwa kuogopa kusema ukweli allah hakim
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Chuki hasadi havitokusaidia hata mtume alizuliwa uongo lakini haikumzuia kutangaza hakki na uislamu ulishinda kwahiyo ww ikiwa unafunga muandamo wa nchi humu watafuta nini roho zinawauma Allah ndo mlinzi wa hakki sikuzote so ninyi vijitu vipinzani mtakufa na roho zenu za chuki sunna itaendelea kushinda Allah ndo mjuzi ata Abu lahab alimzuia mtume asifikishe hakki lakini alishinda mtume kwa nusra ya allah
@saidabdurahman96313 ай бұрын
MaashaAllah tuko pamoja
@seifkhalfan18813 ай бұрын
Allah akuhifadhi
@user-jk7sm1dl7p3 ай бұрын
Shukran sana sheikh wetu Bakwata ndio wachochezi wakukwa
@JumaOmar-ku6cr3 ай бұрын
Haki haijifichi wala haikaliwi juu mashekh hawa ndio waliowakoa Mama zetu kutoharishwa na watu wasioilewa dini wengi hawajui wanatukana tu
@HanifaOman-oo4pl3 ай бұрын
Maashaallah tabarakallah❤
@mbjunior1663 ай бұрын
Allah atupe nguvu na mshikamano na istiqama ktk dini yake watu wa sunna wote duniani.
@AllyhHassani3 ай бұрын
Amen
@ibnhassan99803 ай бұрын
Tangamano pamefurika
@hamisimkulu65712 ай бұрын
Hata watu wafaradhi pia
@ibnhassan99802 ай бұрын
@@hamisimkulu6571 unakizana na haqi???
@salummbarouk42163 ай бұрын
Amiin
@user-bm2pd8jd3u3 ай бұрын
Yani tuache kumfuata Mwenyezi mungu tuwafuate watu wafalaki ama kweli dunia tumeibeba haya Mwenyezi mungu atuhifadhi
@hafidhwajina67183 ай бұрын
Wewe mpuuzi elewa,kisemwacho,
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Acha kutumia saa kwanzia Leo na simu kama hutaki falaki. Mbwa mnafiki mkubwa wewe
@mzeerajab91543 ай бұрын
Makubwa!!Sheikh unatwambia sasa tusahau Quran ,Hadith,na Wanavuoni tufuate watu wa Falak.Kuchanganikiwa huku waislamu tuwe makini.
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
@@mzeerajab9154 nyie mawazo ni wanafiki tu. Mbona mnaambiwa mfunge mwezi MKIUONA, nyie HAMUMFUATI mnafuga ukionekanwa kakuamieni Nani
@AbuuAbdillah-hb8li2 ай бұрын
@@mzeerajab9154 wewe ndio uwe makini kwasababu wewe ni muislamu mbumbumbu unajua maana ya falaki kasome suurat yaasiin acha ujinga chuki ziangalie zisikutie upofu
@salummbarouk42163 ай бұрын
Mashallah sheikh
@zakayolazoro482 ай бұрын
Poreni Sana wasoma mwezi mutajiona mupo sawa ila hamupo sawa jawabu ra kufika poponi ni Yesu tu hakuna mwezi wara nyota bari ni Yesu tu
@MuhsiniPapara2 ай бұрын
Ww unamjua yesu
@husseinbachwa83723 ай бұрын
Allah akuifah Sheikh..
@AllyRamadhani-wl3um3 ай бұрын
Siku ya mwisho hatutaulizwa maswala ya mwezi funga yako ikiwa sahihi ndio Jambo la msingi mabishano yenu hayana maana yoyote pambanieni dini isonge mbele tu ndio msingi
@user-tm2ng8fw4k2 ай бұрын
Sheik zulma
@saidybhoky-lb7hg3 ай бұрын
ni kweli sheikh wang
@salummbarouk42163 ай бұрын
Wewe unamtukana sheikh Allah atakulipa
@mohamedswaleh67783 ай бұрын
Shekh mchochez
@muhammedomaryshembilu85392 ай бұрын
Bafadhil mbona kakakaa jamani kafanyaje
@saidabdurahman96313 ай бұрын
Kasim mafuta nikiboko ya mashia Barahiyan nikiboko wa makhurafi
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Na wenyewe ni kiboko wanagombana kama makafiri
@AlhajiIssa-jb9hr3 ай бұрын
😂😂😂 umegonga ndipo.@@hilalkhalfan1452
@mahmoudsameja643 ай бұрын
Aluta kontinyua..? Mapambano yanaendela..?
@kimrudiger44543 ай бұрын
Yemen mwenyewe anafata Saudia
@user-wf8eb6nm4s3 ай бұрын
Swala yaidi hii iliyoswaliwa hapa si answari suna peke yao mpaka sisi tulikuwepo na si answari suna
@alidochi28893 ай бұрын
Hizi takbira c mmeambiwa mzisome kijeshijeshi au hamjafahamu
@msafiriswalehe6833 ай бұрын
Sheikh uko hovyo sana tufate kitabu au tufuate watu wa falaki
@husseinihassani35412 ай бұрын
Si aliwahi kusema huyu mzee kuwa watu wa falaki ni washirikina ndo maana hata suudia wapo lakin hawafatwi leo wamekuwa ni hoja kumbe😂😂😂😂😂😂
@masumaihashim93103 ай бұрын
MAWAHABI WANAOJIITA ANSWARI SUNA LAKINI TUJIULIZE UANSWARI WA KIWAHABI UMEANZA TANZANIA MWAKA 1970. HIVI NYIE MAWAHABI HAMJUI KUWA DUNIA NI MVIRINGO? HAIWEZEKANI KUWE NA MWEZI WA DUNIA NZIMA, HATA JUA HAKUNA JUA LA KIMATAIFA YAANI JUA LICHOMOZE DUNIA NZIMA KWA WAKATI MMOJA. SHEKH KUSHKI
@DiudaKozi-qu8sl3 ай бұрын
Wewe ni mjinga wa kisufi au kishia.mbona kiama vyo hushangai kuwa siku moja
@DiudaKozi-qu8sl3 ай бұрын
Acha ujinga wa kishia
@saidalhinai11313 ай бұрын
Sio sahihi hakula hilo saudia wanasema kila nchi ifuate mwezi wao sisi oman tuko mpaka mmoja na saudia lkn hatuwati saudia maana wanaenda na kalenda na sio mwezi
@user-kt1ee2qm1k3 ай бұрын
Kama Saudi wa naenda na calendar mbona hawakufungua na 29 pumbavu wewe
@binseif22163 ай бұрын
Hivi kweli sisi kwa sisi waislamu tunagombana?kwanini nyie ansary wachochezi sana hasa wewe seikh kijogoo????kwanini hulinganii wasiokuwa waislamu waingie kwenye uislamu?
@JumaOmar-ku6cr3 ай бұрын
Wallahi ajabu mtu anamtukana shekhe huu ni msiba kwahakika hii kazi ni yamabii na hii ndio sunna yake
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Shekh yupi?
@AliSalim-yu4mo3 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452Sheikh Hilalkhalfani!
@abakibibi99173 ай бұрын
KUNA HAJA YA MAKUSUDI KUANDIKA BARUA RASMI KWA WAHUSIKA WAONDOLEWE WAFANYA BIASHARA UWANJA UBAKI KAMA ZAMANI IPO SIKU KUTATOKEA MAAFA MAKUBWA IKIWA HALI HII ITAENDELEA
@mohamedamiri45972 ай бұрын
Sheikh wacha kuwapoteza ummah utakwenda uulizwa kila kitu
@soudsaidi97083 ай бұрын
Mnawalisha watu matango Poli kumbe hamuangalii kama mwezi umeandama mnafuata watu wa falaq
@mohamedhamismagoraonlinetv4593 ай бұрын
BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU kzfaq.info/get/bejne/eNSCnMWLmc-vfnU.htmlsi=pgMhUUvEIAYACLTT
@ibnuabdallathabit1423 ай бұрын
Kuhusu mwezi hamna jipya..
@msafiriswalehe6833 ай бұрын
Hayo ni yako
@hamidmussa8383 ай бұрын
MSIJIBU KITU.
@jumakitato42483 ай бұрын
Hebu tusomee hapo na utafsri kwa ikhalaswi
@HamadHamduni3 ай бұрын
Hawateseki isipokua ukweli unauma,na inashangaza sana,kwani kila sheikh anaesema ukweli anaitwa muwahabi! Muislaamu akishikamana na quran na suna nae anaitwa muwahabi! Ni nini maana ya uwahabi ?
@rushu12323 ай бұрын
Huo sio mswala sheria yasema kuswaliwe kwenye mswala sio uwanja wowote munalazimisha mswala nilazma ardhi iwe ya waislamu.
@mohamedswaleh67783 ай бұрын
We mjinga kufa
@rushu12323 ай бұрын
@@mohamedswaleh6778 shukran lakini nimestahi majina ya mitume Sayyidna Muhammad na nabiyunaa Swaleh.
@user-wf8eb6nm4s3 ай бұрын
Naona umeshindwa kufafanua kwanini hamfuati mwenzi wa Mali na afuganistani
@bakarithegeoinformatician74062 ай бұрын
Kwann mmefunga siku 29?
@salumhassanallymkurdistan70063 ай бұрын
WATU WAMEKUWA WENGI KWASABABU TUMEFUNGUA KWA PAMOJA
@AbouArqamRashidi3 ай бұрын
Mwezi utafutwe na watu wa Faraq ndy maelekezo ya Allah? Mali wameswali Jumanne kwa mwezi upi jamani?
Tujifunze pale lililotokea tukio la kupata kwa jua. Mbona hapa Tanzania hatukufanya? Ulimwengu unatofautiana Barhaniyya
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Mtasema sana na kuzuia hakki Allah atazidi neemesha umoja wa suna unazidi songa mbele na vitimbi vyenu haviwezi mdhuru shekhe wetu madamu yupo katika hakki alllah anamnusuru na watu kama ninyi mahasidi mnaozuia hakki ya muhammadi isi fanyike hamueezi ng'o kapigwa Vita mtume sembuse shekhe wetu barahyani
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Mtasema sana na kuzuia hakki Allah atazidi neemesha umoja wa suna unazidi songa mbele na vitimbi vyenu haviwezi mdhuru shekhe wetu madamu yupo katika hakki alllah anamnusuru na watu kama ninyi mahasidi mnaozuia hakki ya muhammadi isi fanyike hamueezi ng'o kapigwa Vita mtume sembuse shekhe wetu barahyani
@soudsaidi97083 ай бұрын
Tangia aanze kuongea hajatoa Hadith Wala Ay ya mwezi wa falaq😂😂
@user-wf8eb6nm4s3 ай бұрын
Watu wa falaki wakisema mwenzi hautoonekana wewe ukiuona hutofunga kwasababu watu wafalaki wamesema
@radimkuu3 ай бұрын
Msiba huu
@rushu12323 ай бұрын
Mbona hatujasikia saudia imefuata Tanzania mwezi umeonekana Tanzania.
@ramadhanimandoa7163 ай бұрын
Hiyo ni juu yao ila hakki ni kufuat popote
@rushu12323 ай бұрын
@@ramadhanimandoa716 kwahivyo Brazil wakiona nahuku ni saa 8 usiku itakuaje kama ni popote.
@ismailmsangule13803 ай бұрын
Ilmu lfalak gani unaozungumzia na nani muanzilishi wa hiyo ilmu kwa dalili gani
@rashidmaulid73123 ай бұрын
Huyu sheikh nahisi kachanganyikiwa
@abuutamiimattanzaaniy86763 ай бұрын
Kachanganyikiwa kwa kuwa kaongea ukweli au sio?
@ayubuzomboko95023 ай бұрын
MIMI NAKUSHAURI KAMA UNAUWEZO ZAID YA MUFTI TANGAZA MWEZI
@davidruhasha96703 ай бұрын
Kwani hukuona jana alivyo tangaza, na tumeswali leo kwa tangazo lake, mufti ni wa bakwata sio waenswar sunah
@cheapunderage82283 ай бұрын
Ujitambui ww akhy
@mohamedswaleh67783 ай бұрын
Shatangaza Tyr mbwa ww
@HalphaniAlbano3 ай бұрын
Nyinyi waisilamu gani mnatukana mashehe mnakua Kama mayahudi
@Sheba46513 ай бұрын
Matusi kusema hivyo katika Uislamu hakuna na hakutakiwi uzushi, kusema maulid, hitma na arobaini ni uzushi
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Shekh ni yupi
@mohamedswaleh67783 ай бұрын
Mashekh wazush lzm watukanwe
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
@@Sheba4651 tena ni matusi makubwa na ukafiri kusema mazazi(maulid) ya Mtume Muhammad saw ni uzushi uovu na kukataza watu kuyajua. Wakasoma mazazi ya bwana wao ibilisi na firauni. Sisi tutafundisha ya Mtume wetu Muhammad saw
@Sheba46513 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 Nyie mnasoma mashairi ya mashia, uongo na ukweli humo humo, sawa na nyimbo tu. Sasa hamtaki kuambiwa kama barzanji kasema uongo, kwani kaandika Quran? Vile mkisoma na uongo huwa mnapata thawabu? Ati siku aliyozaliwa Mtume mama Asya na Mama Maryam walihudhuria, wakati Quran wala hadithi za Mtume hazikutibitisha, vile alivyozaliwa mwanga mkubwa ulitoka kwa mamake.
@salumhassanallymkurdistan70063 ай бұрын
BARAIYANI NAONA UNAJICHANGANYA KUPATWA KWA JUWA HUTAKI LIWE LA DUNIA NZIMA LAKINI MWEZI MNATAKA UWE WA DUNIA NZIMA UNASEMA JUWA LIKIPATWA LA HAO HAO WALIO LIONA JUWA KUPATWA HALIHUSU DUNIA NZIMA LAKINI KUANDAMA KWA MWEZI UNATAKA UFATWE DUNIA NZIMA BARAIYANI ALLAH ANAKUONA ALLAH ATAKUJA KUKUHUKUMU SIKU YA KIYAMA USITAKE UMAARUFU TU WADUNIANI UNAWAPOTEZA WAISLAM HIVI KWELI UKAWAPE WANA SAYANSI HAKI YA KUTANGAZA MWEZI WEWE KWELI YAHUDI MAWAHABI MNAKIBURI SANA
@rashidabeid1723 ай бұрын
Hakuna chuki ila ni welewa tu.
@user-qv9ep6wq1t3 ай бұрын
Barahiyani wacha uzwazwa nyinyi mwadai Ambalo hakulifanya mtume halifai jee mwezi wa falaki ulikuwepo zama za mtume?
@HamadHamduni3 ай бұрын
Tumuombe Allah atuondolee bakwata kwasababu matatizo yote ya mizozanozozano baina ya waislaamu kwa waislaamu chanzo ni bakwata.kama bakwata ingesimamia waislaamu kwamujibu wa Quran na suna na kwa haki na kwa Sheria za kiislamu hiyo mikwaruzano isingekuepo,isipokua badala yake Ina isimamia dini kisiasa kwakisingizio Cha eti selikari Haina dini! Kwani uislaamu hauna miongozo yake? Imefikia Hadi mapote yenye akida potofu yamejumuishwa kwenye uislaamu kwa kisingizio eti Cha umoja wa waislaamu! Bakwata jitazameni wapi mna kosea Kisha mludi kwenye siira na sariila ya mtume s.aw.
@adamhashim33522 ай бұрын
@@HamadHamdunijibu. Swali
@HamadHamduni2 ай бұрын
@@adamhashim3352 nijibu swali gan? Mi sio mfuasi wa mwezi wa kimataifa,nafunga nakufungua kama mtume s.a.w. ila nashangazwa Sana ninapoona waislaamu tunazozana kwa ajiri ya mwezi! Hivi hatuwezi kuvumiliana kwenye suala la mbalamwezi Hadi tunalumbana? Hao wakimataifa waachwe nawakimataifa wao na sisi tunaosubiri Hadi tuuone tuachwe na kuuona kwetu. Hakuna sababu yakulazimishana.bakwata na sheikh barahiyan wakae shuura wajadili Hili suala vizuri na kwa hekima Hadi muafaka upatkane.
@jumakitato42483 ай бұрын
الرئيسة الموسوعة الحديثية شروح الأحاديث روابط مهمة البحث الموضوعي خدمات - أخبرني كُريبٌ أن أمّ الفضلِ بنتُ الحارِثِ بعثتهُ إلى معاويةَ بالشامِ قال فقدمتُ الشامَ فقضيتُ حاجتها واستهلّ عليّ رمضانُ وأنا بالشامِ فرأيت الهلالَ ليلةَ الجمعةِ ثم قدمتُ المدينةَ في آخِرِ الشهرِ فسألنِي عبد اللهِ بن عباسٍ ثم ذكرَ الهلالَ فقال متَى رأيتُم الهلالَ فقلت رأيناهُ ليلةَ الجمعةِ فقال أنتَ رأيتهُ قال نعم ورآهُ الناسُ وصاموا وصامَ معاويةُ فقال لكنّا رأيناهُ ليلةَ السبتِ فلا نزالُ نصومُ حتى نكملَ ثلاثين أو نراهُ فقلْتُ أو لا تكتفِي برؤيةِ معاويةَ وصيامهِ قال لا هكذا أمرنا رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم
@jumakitato42483 ай бұрын
Acha uongo mzee hicho kisa cha kuraibu unakijua?
@jumakitato42483 ай бұрын
Sio chuki wewe sema tu una mipango yako tu unayo yajua wewe ila mche mungu utakuja kuulizwa siku hio ya qiyama
@jumakitato42483 ай бұрын
Kukicha watu wanakuhama hivi walijua hili ?
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
@@jumakitato4248 wanakuhama weye
@muhammednassor35693 ай бұрын
كل قوم بحلالهم وهوا قول النبي المحترم خلي كلامك بحريان
@jumakitato42483 ай бұрын
Wewe unafata wasaudia kwakua unajua unacho kifanya wala usimsingizie Abu idi Halafu watu wafalaki wanapata na wanakosea usiwatangulize sana ukaacha hadith ya mtume Haiwezekani matwaali ikawa moja, msome imamu shafi vizur ongea ukweli kuhusu matwalii soma kiswa cha kuraib
@SleyumSalim-pq9pr3 ай бұрын
Kila mji na mwezi wake tanga na mwezi wao mwanza na mwezi wao kigoma na mwezi wao zanzibar na mwezi wao,bakwata watuambie wameona wapi mwezi?
@maftahmusa95133 ай бұрын
Elewa wewe huu ulimwengu Allah ameuumba kwa mtiririko wa kisayansi kuhusu masuala ya Falaqi soma quran uone.mwezi unavituo vyake na hesabu zake haya kayaweka Allah wala sio kubahatisha muwe mnasoma quran
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Kwani yeye anatumia saa ni hadithi au falaki?. Wapi Qur-an imesema tuswali saa ngapi na tuftari saa ngapi kama hawa mawahabi sio MBWA WALIOLAANIWA?. WANAKATAA KITU HUKU KIMEWAGANDA MATAKONI WANAKITUMIKIA NI UNAFIKI WA MBWA HAWA.
@cheapunderage82283 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452we ni mnafq si maana hpn si khivyo aiwezekani utoke ktk mwez wa ramadhani alafu matusi yakawa ivyo au kafiri pengn
@AliSalim-yu4mo3 ай бұрын
Ni kweli haiwezekani kuwa matlai mamoja!sasa kama ni hivyo kwanini Zanzibar na Dar es Salaam wanaofuata mwezi unaoonekana Kigoma?au hamufahamu kwamba Kigoma ktk matlai ni tofauti?
@user-yj5on8cz3e3 ай бұрын
Ww ulomtukana shekhe mbwa Allah akuteremshie raaana mpk siku ya kiama akufufue kwa sura ya huyo mnyama ulomtaja mtatoa mapovu sunna inadhidi songa mbele tuu,watu wa maulid mtabaki na chuki hii ndo ushindi wa Allah kuwapa watu wa sunna kajiuweni hamuezi rudisha nyuma sunna hii ndo hakki
@ibnhassan99803 ай бұрын
Usimuombee Laana wenda ktk mgongo wake wakatoka wema
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
ASTAGHFIRULLAHA Shekh mbwa Allah ndio nani ewe kafiri wa kiwahabia?
Hilal sijaelewa kama umesema neno Kwa yakin ama!! Kweli umemtaja mbwa sheikh? Kama ndivyo basi Allah akuongoze..
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
@@husseinbachwa8372 mie nimeuliza huyo alioandika juu ndio kaandika nini?. Mmesoma
@omarsuleiman90643 ай бұрын
Sasa kumbe unataka na wew usiswali tena hap
@sefuriyembe78643 ай бұрын
Wahabi, mwezi hauja andama, wanafunga. Mwezi haujaandama wanafungua !!!Ndo itikadi yao.😅😅
@HassanSalim-hl8qs3 ай бұрын
Shekh hapo umekosea kwani hao wafanya biashara sio raia? Wewe unachotakiwa ni kupangwa tu wafanyabiashara wakae kwa mpangilio na na mipaka sio kuawaondoa kwani na wao wanahaki kama raia ukiwaondoa utawapeleka wapi?
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Hili babu fitna linaitwa. Hizi ni tabia za makafiri kazibeba huyu mzee.
@user-ft4uk5fz8g3 ай бұрын
Umeisikiliza vizuri??
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
@@user-ft4uk5fz8g ukisha sikia weye inatosha
@cheapunderage82283 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452hii ni adiki ta wanafq
@cheapunderage82283 ай бұрын
Inawezekana ukawa ktk makagqfir au mnafq
@AbduliSeleman3 ай бұрын
Ww nhunatofaut na mwanamke
@aliabdulla75163 ай бұрын
Kwaiyo ni sawa na mamako au sio
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Kabisa kwa fitna AFAA kufungwa kanga ya kiuno
@khamiskhamis99473 ай бұрын
Nyinyi nyote hamumcho Mola wenu na ndio mana hamuchungi mnayo yasema.
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Angechunga kwanza hilo huni la kiwahabia
@ahlusunna89323 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452unadhihirisha ujinga wako bora unyamaze mana kila amaesoma comment zako ashaelewa kuwa wewe hujielewi.
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
SHENZ KUBWA FITNA WEWE LA KIWAHABIA. MBWA WA MAYAHUDI
@jabirmaulidi34203 ай бұрын
Huna adabu matusi ya nini sasa huangalii hata umri
@TisaMkenda-oj5uj3 ай бұрын
Umebarikiwa mdomo wa kutamka matusi,,Huna haya wala imani
@user-it3ee7zq2y3 ай бұрын
Nikukosa hishma Ijue Nikama mzee wako
@cheapunderage82283 ай бұрын
Mchee mola wako..asa yupi ktk ya ww na yy ndo hao mmh,,
@cheapunderage82283 ай бұрын
Iv ww ni mtu wa aina gan huna hofu na ALLAH TABARAQ eeeh nyinyi ndo wale wale maana aiwezekan mtu utoe maneno mazito ktk tatatif
@yasinmasawe64213 ай бұрын
WAHABI MNAJITESA BURE KILA SIKU KULALAMIKA TU IBRAHIM BABAKO HAKUWA HIVYO KAMA HELA HUNA TANGAZA TENA TV IHSAAN HAINA A/C UTAPATA HELA TU ILA FANYA TAUBA UMRI UMEKUTUPA MKONO
@Zainabnoor0087-ze3 ай бұрын
Hiki ni "chuma" unatamani ukisikilize muda mwingi hakichoshi ,kama inakuuma vumilia tuu coz alopewa ndio kapewa tena 😂😂😂
@cheapunderage82283 ай бұрын
Ww sio ww jitambue na mkumbuke km kuna kufa na kuna kuesabiwa kwa unafq wenu..au pngine nyny makafir
@Zainabnoor0087-ze3 ай бұрын
@@cheapunderage8228 MTU kusema haki ni ukafiri na unafiki!? VP Mzee umelewa pilau ya idd
@HamadHamduni3 ай бұрын
Hizo ndo chuki anazosema sheikh
@AtiqQassim-od9jr3 ай бұрын
Akhi alianza kutukanwa nabii nuhu as had Muhammad saw kwahyo matus yak kwetu ni sunna Bali kwako ni khasara tuu tuubia akhi mapema