Shuhuda za Mwinjilisti Amiel Katekela aeleza Giza linalo tembea
Пікірлер: 127
@user-sf5gp5oi5k2 ай бұрын
Mungu ana tupenda sanaa jmn Kila kitu kimewekwa wazi uchaguzi n wetu 🙏🙏
@user-fu6fx8if6w3 ай бұрын
Uyu mchungaji Katekela amekuwa wa baraka katika maisha ya wengi,acha Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi "bendera chuma mlingoti chuma ".❤️
@vickysteven11722 ай бұрын
Ameen
@sifakarulange2 ай бұрын
Amen
@MarkMabinga2 ай бұрын
Mungu akulinde daima,atakaye kukugusa,awe anaigusa mboni ya jicho la Mungu
@Maryc2G3 ай бұрын
Mungu akusimamie, na akutumie kwa kiwango cha juu, kwaajiri unajua kila kitu. Na yesu ni bora kuliko vyote 👏🏽
@nitwelesimon43033 ай бұрын
Mwenye Masikio na Asikie, Mungu atusaidie
@user-jt3fi6bk8w3 ай бұрын
Naposikia mtu anamhubiri Yesu Kristo orijino najisikia vizuri sana
@vickysteven11722 ай бұрын
Ameen
@victorianchimbi86402 ай бұрын
Amen na mimi pia
@johnmkama89027 күн бұрын
We Yaredi katekela umeokoka kutokana na wengi walioko kigoma waliifungwa kwa giza kuu Mungu akubariki Sana AMEN
@mariakalama30142 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mchungaji katekela na mungu akulinde na atie nguvu kutangaza jina la bwana wetu Yesu kristo!!
@marianandisi16413 ай бұрын
watching from Kenya 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fitinamarando3 ай бұрын
Eee Mungu atusaidie saana. Mch katelkella Mungu akulinde uendelee kutufundisha na kutueleza ukweli. Amina
@JaneWanje3 ай бұрын
BWANA YESU APEWE SIFA UNAWEZAJE KUFIKA KWETU MASASI MTWARA?
@ntihebuwayojoselyne28763 ай бұрын
Mungu ni mwenye nguvu kuzidi wote , Mungu aendeleye kuwa nawewe siku zote .
@user-dn6tu7zq2h11 күн бұрын
Bwana Yesu azidi kukutunza sana Mtumishi wa MUNGU alie hai
@MadeleineJuma3 ай бұрын
Mungu akuwezeshe Tena na tena Bwana Yesu akulinde chini ya uvuli wa Damu yake
@EricMaingi-f8b10 күн бұрын
Amina, Mungu ametupa Neema kuu ya Yesu Kristu
@user-ut1ls8fi8f2 ай бұрын
We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
@lilianluhasi3113 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo. Pesa si kitu mbele ya mwenyezi Mungu, na ni mtego kweli wa shetani
@user-iw1yq3op8f3 ай бұрын
Amina sana mtumishi kwakweli mungu atusaidie sana Maana bila musaada wa mungu hatuwezi
@janekhanjila34136 күн бұрын
Huyu pastor ,natamani afungue kaniza huku tranzoia kitale /Kenya watu wapate hii ukweli ,mungu anue Sana pastor
@EricMaingi-f8b11 күн бұрын
Mchungaji Amiel, Mungu akubariki kwa mafundisho.
@flavianarwebangira67263 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa mafundisho yenye weredi mkubwa .Mungu aendelee kukutunza kimwili na kiroho umtangaze Kristo aliye hai pembe zote za dunia.
@MuyaHappy-j8y3 сағат бұрын
Ubarikiwe sn mtumishi wa Mungu
@irenehochstaffel83672 ай бұрын
Asante sana, Mchungaji Amiel Katekela.wewe ndio sababu yangu kuokoka kweli, kumkubali Yesu na kuacha njia za giza. Asante Yesu kwa kumuokoa Amiel Katekela kwa Shuhuda zake za kufungua Macho ya kiroho, wengi tumeokoka na hatutarudi nyuma.
@absalimlufyagile49743 ай бұрын
Mungu akutie nguvu mungu akubaliki sana
@DanielMogena2 ай бұрын
God bless you pastor amielly katika yesu akuzingire maana wengi walitolewa kusimu lakini hawajaweka mambo ya kuzimu hatarani kama wewe aisee asante yesu wa Mbinguni
@TeddyDaghau25 күн бұрын
Ni mara ya kwanza kumsikiliza. Mchukaji huyu kweli YESU ANA WATU NIMEPENDA NENO HILI BENDERA CHUMA MLINGOTI CHUMA❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@nominetjacob81372 ай бұрын
YESU KRISTO NI KILA KITU YESU kRISTO NI VYOTE KATIKA VYOTE INJILI UNAYO HUBILI BWANA YESU KRISTO AKUBALIKI SANA SANA
@annangowi55173 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu nakufuatilia Sana na niko pamoja na wewe
@fitinamarando3 ай бұрын
Semina hii ilinipita namshukuru Mungu naendelea kubarikiwa. Mungu ambariki Mch Katekella
@aminakyungu84143 ай бұрын
Amina mchungaji MUNGU atusaidie
@user-eq9hl9vg2x2 ай бұрын
Mungu azidii kumuweka jmn mchungaji Amieli nafurahia sana huduma yake mungu ambariki sanaa yeye na family yake❤❤
@user-tz5xm2ey7f2 ай бұрын
Amena Amena Amena MUNGU akubariki sana mtumishi kwamaubiri yakuokowa
@CatherineNgugi-vu2yo2 ай бұрын
From kenya
@JaneKuyokwa-ng2qf3 ай бұрын
Amen mtumishi mungu akubaliki
@WilliamNgazija-cd7cs3 ай бұрын
Hakika Nguvu ya Mungu ni ya ushindi
@Phal0ha-i1u2 күн бұрын
Weee ujumbe mzito tunahitaji wokovu wa kudumu
@DeusFesto-iz2re3 ай бұрын
Ushuhuda Safi kwa wenye Moyo wa nyama lakn wenye Moyo wa jiwe mmmm
Asante sana mtumishi kwa neno. Afadhali kuokoka sasa,
@lilianluhasi3113 ай бұрын
Damu ya Yesu Kristo imefanya ini lako kuwa hai zaidi ya asilimia mia kwa jina la Yesu Kristo
@ablankamlelwa864Ай бұрын
Mwenyez MUNGU akutunze ee Mubarikiwa
@vitaelfaustine27442 ай бұрын
Ubarikiwe Kwa mafundisho mazuri ndimi vitaely
@yalalaambobe95282 ай бұрын
Amen amen amen ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@wilsonkombeyeri46233 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi, usikae sana uje Mombasa jameni
@SudaNyalupagi3 ай бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi katekela
@rosettenyandwi63343 ай бұрын
Amen Amen hakika nimebarikiwa naMutumishi waMungu
@williammahigi8892 ай бұрын
🎉
@williammahigi8892 ай бұрын
Watching from Kenya
@josephgalandu1283 ай бұрын
Nyie mnaodanganywa na maji na mafuta ya upako poleni
@naomicharles54443 ай бұрын
Uyu jamaa anaongea vitu anavovielewa tumzingatie sana
@USHINDIMANENO3 ай бұрын
Kweli kabsa
@failaprince92503 ай бұрын
Muumbà wambingu naichiakuzidishiye kabisa amen
@angelamugoywa49173 ай бұрын
amen yesu abewasifa 🙏👏
@beatricefilbert11713 ай бұрын
Yesu nisaidie mimi
@brightondonatien5898Ай бұрын
Kweri hakika huu ushuhuda umenitia moyo sana tudiize kuonmbeanee?
@JofreyDamson-nm6ec3 ай бұрын
Amina kubwa mchungaji
@kauyemhando1077 сағат бұрын
Hizi ni siku za mwisho mwenye masikio wasikie mwenzetu kakimbia kuzimu wengine wa natamani kwenda hatuelewi?
@user-wj2ml4eq9v2 ай бұрын
Ameni MUNGU akubariki sana❤❤
@brightondonatien5898Ай бұрын
From Zambia
@user-rm2by8dx5v3 ай бұрын
Amen!
@user-lv5wh9cs7q2 ай бұрын
Kweli kabisa ubarikiwe Mutumishi wa MUNGU tusaidiye yesu
@user-bo7hp4hh1x15 күн бұрын
Nimejua kwamba kumbe shetani anadini kubwa nilitaka kuhamia huko kumbe ningemwabudu Akbar Mungu wa kuzimu
@user-ts9lp4rm9j8 күн бұрын
Wafuasi wa hyo dini ukiwaambia wanakutukana
@flm15303 ай бұрын
Ameeeenn
@user-rm8lp3tp3s3 ай бұрын
Amina
@clarisotieno38583 ай бұрын
Amen
@fitinamarando3 ай бұрын
Naendelea kuusikiliza ushuhuda huu mhimu.
@ChristinaCharles-py1ct2 ай бұрын
Mungu akubari sana, naomba namba za simu
@josephmutemi74942 ай бұрын
BWANA akulinde mtumishi katekela
@user-bj2sl5cp1w7 күн бұрын
Amen 🙏🙏
@robertsilington-cu4dz3 ай бұрын
AMEN
@smadon563813 күн бұрын
Huyu kaona Movie za kichawi 😂😂
@BeniMsokile2 ай бұрын
Mchungaji katekela amekuwa wa baraka sana
@anifaauguste65193 ай бұрын
Amen Amen
@alexnyigo88643 ай бұрын
Mungu tusaidi
@RehemaGodfrey3 ай бұрын
❤
@user-nu9ww9ly6q2 ай бұрын
Amen Amen sana
@raelnangila30063 ай бұрын
Ameeni
@elizabethnekesa6523 ай бұрын
Nakualika kariadudu Nairobi Kenya plz
@elizabethnekesa6523 ай бұрын
Utakuja?
@samwelndiletelevisionc33853 ай бұрын
Ndioo
@jescashedrack253 ай бұрын
Kasekwla mchungaji wa kanisa gani? Je naweza pata namba yako hata kukualika kwenye makanisa yetu
@acci65163 ай бұрын
Amen and Amen
@faustamwakonosya18252 ай бұрын
Ameeen
@rahabnkya82763 ай бұрын
ASANTE MTUMISHI KWA KUTUKARIBISHA KANISANI KWAKO. NA KILA MCHJ LAZM TU AONE KANISA LAKE NI MIZURI KULIKO LA MWINGINE, AMA DAA TUTAHAMA HAMA, KONDOO WATAPATA WAPI MALISHO YA UHAKIKA.
@sarifusteven46343 ай бұрын
❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
@failaprince92503 ай бұрын
Amen amen lakini mshugaji kwanini aukemee iyozambi ambaho umeifaamu wewe iyomeshe mbona watu bado wako nazo kwenye vichwa vyoho?
@mwaminimwangaza3 ай бұрын
Inaweza kuwa ngumu kwake kulikemea kwa ujasiri kama muke wake bado anavitumia tumuombee ili Mungu amupe ujasiri kwasababu ni maandiko na apate mafunuo kupitia roho mtakatifu
@annangowi55173 ай бұрын
Mchungaji Katekela nawezaje kupata simu yako?
@BonifaceLameck-bx5xe3 ай бұрын
imanaishimwe
@smadon563813 күн бұрын
Wacha uwongo 😂😂😂
@AdriaMushi3 ай бұрын
Mungu unayehubiri kweli yake ili kunusuru kanisa lake akutumie jeshi la malaika likuzingire na Simba wa kabila la akiwa juu yako
@omaruwakitaa3 ай бұрын
ameeeeeee
@aminakyungu84143 ай бұрын
Hapohongera
@shilimaabdallah-mw2bj23 күн бұрын
Hakuna sauti
@pqschalndonge62523 ай бұрын
Mtumishi mimi ninaishi masumbwe unahudumu kabisa gani ili nikuone
@trophywilson72113 ай бұрын
Mtumishi mishono hiyo mmmh Kwa Mkristo sidhani kama ni poa
@thomaspokella9093 ай бұрын
Kwa uzito wa anayoyahubiri unapata muda wakukkosoa nguo?please focus
@ellyitete9383 ай бұрын
Sasa mshono unashida gan
@assacharles10473 ай бұрын
Jamani suti ya heshima unakosoa ulitaka avae modo jamani tuache kumsumbua mtumishi
@rithageorge24613 ай бұрын
Yani Kuna watu wanajikuta wameokoka Sana Kila kitu wao ni kujaji tu, sijui ulitaka avae shuka ndo uone kavaa. Roho mtakatifu yupo kazini muulize usijaji Kwa nafsi yako na akili zako.
@trophywilson72112 ай бұрын
@@thomaspokella909Yaani hadi macho yamefunga kwa vile unasikiliza mahubiri??Aaaa msitudanganye
@user-hz8mp5cp7v3 ай бұрын
Asante Kwa kunikarisha kanisani kwako, kwanini hautaki kupokea simu yangu?.
@IradukundaFrancine-on5yy2 ай бұрын
Nipo Burundi nakufata asili Mia
@geitandelwa2993 ай бұрын
Aaa ŵanawake tuache ķujipamba
@dorcaskinyamasyo2 ай бұрын
Poor cameraman. Know when and where to focus
@AlexanderKibona-os2bt3 ай бұрын
Camera mqn ovyooo kabisa aendi na matukio
@RodahAdonice-dz4sm3 ай бұрын
Nautaka huo wokovu nikiwa duniani
@colyndelwa17383 ай бұрын
Bado hujaokoka?
@RodahAdonice-dz4sm3 ай бұрын
@@colyndelwa1738 nimeokosa sasa kwakupitia shuhuda za huyu pastor
@user-ut1ls8fi8f2 ай бұрын
We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto