Heshima haipewi kiongozi mwizi, rais anayetaka kuifanya Kenya Mali yake binafsi, hatumtambui . He must go.
@WILLY_SKY12 күн бұрын
You are right better angefanya huyo Dennis Itumbi hapa alimdanganya the ground is still hostile
@BenBella2542 күн бұрын
Maswali aliyoulizwa ni yale wananchi walitaka aulizwe😂
@hassanomar10412 күн бұрын
Bro Sma, kuna vile labda umezoea wataka rais waulizwe maswali kulingana na cheo chake na hizi ndio bado tunarudi nyuma ila fuatilia round table za awali pia alikua anaulizwa maswali kama haya na Mohamed Hussein. This is kenya Uhuru wa wanahabari upo.
@allycruzz3991Күн бұрын
Real talk
@matukutajuma1562 күн бұрын
DJ SMAA KENYA WANA KATIBA YAO NA TAMADUNI ZAO TANGANYIKA TUNA KATIBA YETU NA TAMADUNI ZETU RAISI KWAO SIO MUNGU MTU KAMA RUANDA!!
@mohamedsuwari25882 күн бұрын
Very good answer for this Analyst.Kenya we don't take Presidents as GOD.
@abdulswamadabdallashee58022 күн бұрын
Kweli kabisa ndugu yngu mwambiye ukweli Huku Rais nikma MTU wakawaida ,
@abdallazakaria69532 күн бұрын
Yow brother Sky.....pin this please......
@aby.beka16302 күн бұрын
sio kenya tuu dunian kote mwandish kaz yake ni kuuliz hawan makos bhan~
@CandyLoud2 күн бұрын
Mwambie kweli maana hii ya leo hajui asemalo Sma wewe sio Mkenya na kuna mengi huyajui
@maxwellnzai95422 күн бұрын
Dj sma,,,tunamujua raisi wetu,ndo maana kulikuaa hivyoo
@nicoledinga99482 күн бұрын
He don't get it...ruto is a psychopath and that's how he should be treated
@GentleGiant-pj2rk2 күн бұрын
You are the psychopath, Ruto is beyond your level of thinking and acting
@tinakaitsa73342 күн бұрын
In Kenya we have boring president 😢
@ibrahimsalim68352 күн бұрын
Ndugu Hawa walilazimishwa na ruto huo ndio ukweli na kule kuvamiwa na wandishi was habari nikwasababu ruto ni nimzuri wakuongea bro huyo twamfahmu sana.kweli ruto siorahisi kumuolewa mpaka uwe Kenya coz amedanganya sana.tosha hio mdahalo wa ruto haukuwa na maana hivyo.shukran
@abdallazakaria69532 күн бұрын
Infact the journalists asked the right questions zenye kwa ground tulitaka aulizwe
@shantisam-wo8wj2 күн бұрын
Period
@jafaribori54282 күн бұрын
Naitwa Mr. Bori nakufatilia sana kutokea hapa UK England hakika upo vizuri mdogo wangu nimefurah sana na uchambuzi wako.
@naqiahmad26Күн бұрын
Dj asma binafsi nakukubali, lakini usiingize udini kwenye siasa, kiongozi wa Siasa hachaguliwi na mungu. Umemshusha sana mungu kwenye macho yako
@AbubakarAlly-th6op2 күн бұрын
Kosa lako smaa hujaimaliza kuiyangalia mchambuzi mkubwa kama wewe kitugani kinakushindwa kumaliza kuiyangalia yaani leo umeboa smaa, ulitakiwa uiyangalie yote kisha ndio uchambue sasa utatoa faida gani hali yakua wewe hujamaliza kuiyangalia
@mpjozzegalvanize49262 күн бұрын
We ni miongoni mwa anti-fuse, lala mbele mzee
@Qqambaa2 күн бұрын
Mi ni mkenya kachambua vzr 😂😂
@allankenyali15352 күн бұрын
uyu kama ame hongwa na RUTO this SNS ni Kama wafwasi wa RUTO Wana taka Kenya tuangamie
@hadijagere2 күн бұрын
😂😂😂😂 kunywa maji kidogo
@agwalubifaridah70792 күн бұрын
Leave us alone sns
@user-sq1ol2fb3i2 күн бұрын
Watazania nyinyi wakatiwote uwamwanjifanya mwanjifanya kujuwa sana Matapeli wa tazania wengi
@Chettymlambalipsi-lb9km2 күн бұрын
Familia ya SNS,FUSE nimerudi kwenye kipindi baada ya simu yangu kupotea sasa tupo pamoja
@FrancisDonald-go9cs2 күн бұрын
Poie sana ndugu karibu tena
@kasaisatv97652 күн бұрын
Karibu tena
@alphadreammediaКүн бұрын
😊😊😅😅😅
@BigZhumbe2 күн бұрын
Wakenya hawataki kumsikiliza RUTO they want to hear what they want to hear na sio tatizo lao ni hasira na maumivu yanayomsikiliza RAISI ni kama Dj Sma alivyosema timing ya interview ndio mbaya na hata RUTO angekuja na facts nzuri kiasi gani bado watu wasingemuelewa.
@Abbasbakarsth2 күн бұрын
Sure
@ombeniyohaneaustin84152 күн бұрын
Tupo pamoja toka cape Town south africa 🇿🇦
@Hassan_Mengi2 күн бұрын
Mh. Zakayo amelewa anasa anataka kuuza nchi kwa NATO
@BenBella2542 күн бұрын
In Kenya we have free media. Kiungo muhimu katika kujenga Demokrasia
@GeorgeAkasha-zx2rj2 күн бұрын
Kwahilo wakenya hongereni, mko na free media and most of the media it's vibrants.Kongole karibu Tanzania ila Mimi napenda kuangalia sana Citizen Tv ya Macharia.
@Hassan_Mengi2 күн бұрын
Bongo CCM inacontrol kila kitu mpaka hewa tunayopumua😂
@JastoLeleJnr2 күн бұрын
Kenya kuna uhuru wa media Sma, hao waandishi waliuliza maswali ya wakenya kutoka ground and Ruto did not give clear answers to all the questions...one thing i must agree with you though, it was not the right move for the president to conduct any kind of interview given the intensity of the situation at hand..... and by the way, i think It's the responsibility of the journalist to ask the hard and critical questions
@emmanuelnzaligo626223 сағат бұрын
Dj smaa sawa ila usisahau ukinunua umeme makato yameongezeka!.
@makaoyafutaa13022 күн бұрын
WanaSNS Rais wetu ni mdanganyifu mno😂😂 ndio maana hata alikuwa anakwepa maswali mengine, hongera sana wanahabari wetu Joe, Linus na Erick Latiff 😂viva✊💪
@kawogoremigius81522 күн бұрын
Nafikiri Wakenya wampe muda Rais Ruto ,, na pia alikuwa sahihi kufanya roundtable ili kuonyesha serikali imeonaje na inachukua hatua gani ,, kuliko kusubilo muda upite , wananchi wanatakiwa kupata taarifa hasa Rais kuongea mapema zaidi kukiwa na matatizo makubwa kama hayo yaliyotokea Kenya
@JIMBO_MEDIA2 күн бұрын
You are getting it wrong. Hayo maswali hayakuwa ya Wanahabari yalitoka kwa raia. So usilaumu waandishi wewe hauko neutral uko upande wa Ruto 😂
@kevicristian27382 күн бұрын
Without two D you can not understand Dj asma😂
@salmasaid7058Күн бұрын
Kbs
@salmasaid7058Күн бұрын
@@kevicristian2738d gn nyinyi mumezoea kuabudu raisi nop cc tuko n democracy kwetu sw
@user-de8qk5ij6m2 күн бұрын
Hujui lolole tuachie wenyewe huyu
@wemakalama64582 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ttss77162 күн бұрын
Kabsa huyu namuona hajielewi akwende uko nyau😂
@hollymore49042 күн бұрын
Ni sahihi katka hili kafel
@jumajames1767Күн бұрын
😂😂😂😂
@allycruzz3991Күн бұрын
Real talk
@mohammadabdul45bb57Күн бұрын
The protest begins in Mombasa
@alexsilungwe1620Күн бұрын
Watching from Zambia
@vinnyinjenga2 күн бұрын
wewe wachana na mambo ya Kenya,ruto is our servant,he is our servant we are his Boss,hapa sio tanzania mnapiga upinzani risasi 30 na hakuna kelele
@raymondjohn37982 күн бұрын
Following from Swaziland 🇸🇿,Ruto hafai kuwa Rais wa nchi hiyo.
@cath-ef7wd2 күн бұрын
Mpeleke mamako akaongoze kenya
@BraveMajaliwa-gf7ru2 күн бұрын
Umewahi kuona wapi mtu muongo kupewa heshima tatizo ruto anaongea sana .
@thierrybisimwa33122 күн бұрын
Bro, this is the real democracy, sio kukosea rahisi heshma. Wali mkatisha alipo kuwa na kwepa swali, the guy is smart but the reporters were smart too. Tz jifunzeni kitu apa sio ku ponda tunacho kililiya Kilasiku accountability ya leadership.
@evansogutu41672 күн бұрын
Tunamjua ruto vile wewe unamjua Mama Samia
@rosemaryogambe44982 күн бұрын
Dj Sma wachana na wakenya utaumwana kichwa bure. Haujui machungu tunayoyapitia wewe si mkenya haujui katiba ya kenya. Chambua ya kwenu tafadhali hautawai kupata wakenya waki waste time yao wakizichambua mambo yenu.
@fistonmakasi3803Күн бұрын
Ruto ana makosa nyingi kka sma maneno yak na matendo yk nivitu viwili tofauti adjusi from Mombasa
@benardmakori40122 күн бұрын
Waandishi wa habari wanamujua vizuri sana,Ruto na kupanga,na kutenda alaah!
@moonamoona68382 күн бұрын
Kupanga ruto kutenda aaaaah😅
@gideonmageto4623Күн бұрын
Sisi ndo tulimchagua anafaa atuheshimu .. period my guys did well
@gracelema23742 күн бұрын
University of Dar es Salaam motto say "HEKIMA NA UHURU".
@athmanabushir16222 күн бұрын
kaka tafadhali mambo ya kenya tuachie wakenya sns hufuatilia sana chanel yako rais wetu tumechoka nae sai ndio aseme ukweli. siku zote wakati mtu ako na hasira kauli anayotoa huleta maana kuliko kumuacha ajiandae ndio atudanganye.
@Abdullah-hb6sf2 күн бұрын
Kabsa bro
@abuuaisha61102 күн бұрын
Kweli kabisa
@everrineanyango74102 күн бұрын
Our president is having mental health challenges.he is mad
@mariamkassim99252 күн бұрын
Respect
@everrineanyango74102 күн бұрын
@@mariamkassim9925 andika comment Yako nkt
@hamooummar72982 күн бұрын
I gat u my fellow kenyan😂hjui tofaut ya reply na section ya kukoment kiujumla😂
@mariamkassim99252 күн бұрын
@@everrineanyango7410 🤣🤣🤣🤣 makasiriko ya nini ama leo hauna chakula
@cocotz18922 күн бұрын
@@mariamkassim9925😂😂😂
@user-yp9el7xp8g2 күн бұрын
Sorry Wana SNS mauwaji yalitokea GITHURAI NA RONGAI
@philipkahindi34992 күн бұрын
Brothers from Tanzania we love you soo much.... Lakini kwa hili uyu Ruto na vibaraka wake niwaizi wameiba pesa nyingi sana huku wakenya wakawaida tunateseka sana..... Sisi hatutamhurumia ata kidogo
@MsAggie52 күн бұрын
Hii ndo laana yetu waafrica sijui Kwa nini tuko selfish, Ruto tajiri Kwa nini bado anataka kujilimbikizia mali? Lakini mnadhani mnaweza pata kiongozi mwenye kupenda haki? Wote mijizi tu.
@Ibrahimkhamis0052 күн бұрын
Sns mie ni mtanzania lakini hebu niulize mbona hamuongelei uchafu wa tanzania kwa viongozi wetu mie najua kuwa mnafahamu kila kitu kuhusu mambo yanayo endelea tanzania
@GeorgeAkasha-zx2rj2 күн бұрын
Mkuu unajifanya hujui tofauti ya katiba za kijamaa na Katiba za Kibepari?
@user-ev2xf1tv3wКүн бұрын
Kwel kbs hawaon uchafu unaofanyoka tanzania apo umefel sma sema na tanzania
@KhamisBeja2 күн бұрын
DJ sma hii ungengoja kama siku mbili Tatu bro ukafwatilia deep alfred kiter kutekwa kwake imekua issue coz he was a former member of parliament but watu wanachukuliwa bro fwatilia
@lucasmartin4312 күн бұрын
Yaani ulivyo Hara Dj sma....ningekuwa karibu ningekupokonya mike
@RamadhanBurjiКүн бұрын
Mm ningemfuta kazi, maana hajui wakenya wanafeel vp
@alexbahindolwa39212 күн бұрын
Shida ya Ruto ni mjeuri saan !!.jpt
@allankenyali15352 күн бұрын
this SNS guys nikama wameongwa na RUTO Hawa Miki kwanza na unsubscribe uku upuzi mtupu no wonder Tanzania wako nyuma democracy
@GeorgeAkasha-zx2rj2 күн бұрын
@@allankenyali1535Hawajaongwa ila hawana taarifa sana kuhusu Kenya, Nyinyi ndo mnaelewa mambo mengi sana ya Kenya ila sisi huku TZ twapenda democracy ya Kenya.
@ENGLISHMOVIES-DOCUMENTARIES2 күн бұрын
Who cares what you think bro...in kenya the president is not worshiped, and that was dialogue conversation so keep your punitive observations to youself na uache kutupigia kelele...i really like this channel 'sns' but this guy is totally underrated
@jameskitoto33156 сағат бұрын
Ndio maana napendaga Makala 360 by Fredrick bundala and frank
@Baba_Ben.2 күн бұрын
Unabrainstorm sana kabla hujaja na analysis kwenye session. I like to listen to smart minded guys like you mkali.
@mohammadabdul45bb57Күн бұрын
bro umesema ukweli ameamsha hamasa upya
@newtonmwewa62202 күн бұрын
Dj sma umeniangusha on this
@Hamisi84652 күн бұрын
Eehee heshima tena.. Heshima utapewa tu kama inakustahiki wala sio venginenyo
@kepharichard41832 күн бұрын
Acheni kuvuruga nyinyi watanzania mnajifanya wachambuzi hayo mambo hayawahusu vibaraka wa government.
@aby.beka16302 күн бұрын
sizan kam iyo ni kaulinzul husem watanzania kwa mawaz ya mt m1 ten wasem et hayatuhus inaonekan km uwezowak wa kufikilia ni mdg~
@shantisam-wo8wj2 күн бұрын
Ewaaaa😂 hakuna Kitu wanajua 😂ebu waongee kingereza kidogo
@cath-ef7wd2 күн бұрын
Kiengereza ni nn c in ukoloni tu bado mnakumbatia nyinyi wakenya...muko ovyo sana.@@shantisam-wo8wj
@RamadhanBurjiКүн бұрын
Hawa hata hawajasoma
@RamadhanBurjiКүн бұрын
@@aby.beka1630Niukwel, even me I am a Tanzania but I am educated in kenya . kenya are more Educated than Tz
@Chrisblaze-beats2 күн бұрын
Umeongea vizuri sana sema umeshindwa kuelewa walikua emotional sana na kinachondelea huko. Wanaopigwa mabomu ni wao na ndugu zao.
@pakeyzaa2 күн бұрын
Dj sma....unapotea kwa line kakangu tuachie tu wenyewe +254 tunajua wenyewe shidaa zetu ..kipindi hiki chako sijakipasisha umeniangusha....
@katsopolechonyiboy48962 күн бұрын
Ww hujuwi akili ya raisi wetu huyu tuachie wenyewe hujuwi chochote
@john_1trader2 күн бұрын
Aaapaanaaa hi round table si yake ya kwanza ata kipindi akianzia utawala wake hayamajibizano kenya sisi na hata yeye hatuonagi kama ukosefu wa kutoheshimiana
@allankenyali15352 күн бұрын
UYU JAMAA WA HII SNS ANAJIFANYA KUJUA RUTO KUTULIKONSISI WAKENYA WEWE USITU CHOKOZEE KAMA UMEONGWW KAA NA PESA YAKO SHENZI
@official_dicksonmungaКүн бұрын
Anyway nimewapenda sanaaa wakenya wanadai haki Yao fasta tena bila uoga sio kama bongo
@YustaMfugale2 күн бұрын
Dj smaa moja ya principal ya muandishi wa habri ni kuongea truth ,,,ni haki yao ya kuuliza nn wananchi wanataka kujua sio kumhoji kwa kumpamba na ilhali anakosea ,nimependa sana hao waandiashi
@yasminmustafa22822 күн бұрын
Ati you were disappointed by who?as who?...learn the kenyan culture you will understand how we think and operate...anyway your opinion on our political arena is non validative
@kwisa48992 күн бұрын
mwizi anapewa heshima
@zuricakes68172 күн бұрын
Uko Sahihi kabisa. Raisi ni Raisi lazima apewe heshima yake, kama kuwa Raisi ni kitu rahisi baba au mama zao wajaribu. Na hawa majamaa (siwezi kuwaita ma journalist) waliokuja kumuhoji wameonyesha ujinga wao ulipofikia. Unamuuliza mtu swali, haumpi nafasi ya kujibu alafu mwingine naye anauliza swali juu ya swali. Walikuja na agenda yao hawakuwa tayari kusikiliza upande wa pili (Media bias ni BAD JOURNALISM). Kwa kifupi ni wahuni tu! Naamini President Ruto alikubali hii roundtable akifikiri anaenda kukutana na ma journalist...kumbe wahuni tu, naamini hata yeye amejuta.
@SundayMtachi2 күн бұрын
Bila A mbili huwezi elewa Dj sma ni Genius....wengi hawataelewa
@yusufmwangichannel66922 күн бұрын
Kenya kuna demokrasia unaeza uliza chochote kwa kiongozi wako bora yasiwe matusi na haya pia yanafanyika pia nchi za ulaya, kama Biden uulizwa maswali magumu na wandishi wa habari Ruto ni nani
@kwisa48992 күн бұрын
pia Trump hadi alikua anachukia cnn
@MwauchiMwatela2 күн бұрын
Nawakubali sana ila kuhusu ruto tunamjua ss wakenya
@J4UPro2 күн бұрын
Huyu ni mchambuzi ko haruhusiwi kwani?
@sarahonguso6187Күн бұрын
Interviewing Ruto, don't think it's easy. He never got proper scrutiny. Kenya is a democratic republic, and the supreme power belongs to the people. Can you ask yourself this question, first it was #RejectFinanceBill2024, and now people have changed the tune to #RutoMustGo!
@laurine78982 күн бұрын
Huelewi kabisa tuachie tu mambo yetu muendelee kubembeleza wenu sisi tunajua majangili yetu na vile tunadeal nao hakuna kubembelezana na maisha yetu na ya watoto wetu.
@makwegarashid-ui1oe2 күн бұрын
Mawazo ya wakenya yashakuwa negative kwa Ruto,kwa kipindi haikuwa sahihi kufanya huu mdahalo. Pia waandishi hawakuwa na heshima ya nafasi ya Urais, waandishi walipaswa kuheshimu nafasi ya urais walikuwa wanamkandamiza walikuja na majibu yao. Kwa mantiki hii hadhi ya nafasi ya urais Kenya imedhalilishwa sana. Mawazo yangu Rais yeyote atakeyatawala kenya hatopewa hadhi.hata mtoto ndogo akijisikia kumtukana rais anaweza na asifanywe chochote. Wangempa nafasi Ruto alikuwa anamawazo mengi Zaidi mazuri na anaonyesha ni kiongozi mzuri sana.
@NikodemusOgembo2 күн бұрын
Kenya tupo na Uhuru kwani President ni mwanainchi tuu
@allankenyali15352 күн бұрын
president sio mungu mwambie uyu mpuzi KAZI yake kumteta ruta nashangaa anajifanya kuchambua kizungu
@mariamhassan1723Күн бұрын
Tumetenga tu tutafanya aaaah Uongo tu ukweli aaah.
@cocotz18922 күн бұрын
Ukiwa huna D 2 uwezi kumwelewa Dj sma vitu vingine Kama vya Taifa utakiwi kuongea kwa hisia au kuwa na upande
@romeotv254220 сағат бұрын
Bro it's better you focus on gaza and not Kenya 🇰🇪...we kenyans we know what we want ....# ruto must go... Please we know how the democracy works ...
@eliyanibitanga47709 сағат бұрын
Amen Dj ❤
@mikechidi33392 күн бұрын
Wakenya wengi hapa tunakupa mda wa kukusikiliza but umeanza kukosea wakenya respect kwa kumpongeza ruto...
@firdaussheikh4817Күн бұрын
Walimfanyia vibaya😢😢😢😢😢 wanaifanya km vijana wote walikua na kazi wakati saa zote kenya Africa sio rahisi wote au half of the country. That's disrespecting the president. They didn't want to question him just kumnyanyasa tu😢😢😢 🇬🇧
@HalimaAbdul-xd6el2 күн бұрын
My friend this is Kenya..we are used to answer questions and answers this way ..nashangaa u are seeing biased people here.. respect Kenya and our journalists
@amrunassibu51052 күн бұрын
Kaka Kenya Tulisooma Katiba Vizuri..Na pia Tunajua Uhuru wetu uko wapi Sasa wewe Wala Usisononeke
@mosesmuyamwangi7905Күн бұрын
Ruto alipiga chenga maswali mingi. Kenya twahitaji revolution
@chrisnyarugeta88142 күн бұрын
So disappointed na Dj. Bundala why allowed this guys. The way Tanzania hueshimu president wenu , it s so different na kenya.
@chrisnyarugeta88142 күн бұрын
Before huu chambue, you need to have all the resources, sio kwaku fatilia one interview moja . The MP walisema NUMBER ZAO ZIKO OPEN na akuna alie pigiwa simu.
@alphadreammediaКүн бұрын
Duuu uko sahihi kabisa
@EmanuelfrankaseiКүн бұрын
Tupo pamoja nafurahia kupata habari bora
@abdallasaid55932 күн бұрын
Dj sma humjui Ruto ...he deserved hyo kikaango .... au tukusalimie ndugu😂😂😂
@patrickochieng792 күн бұрын
SNS just know the owner of this two Media group they supported the opposition last election .. ndio maana they abush ivio even me .... Sijapenda how they handle
@Dearm-ome2in1huba2 күн бұрын
I am a Kenyan citizen and I look closely at your KZfaq but today you were not given the best among Ruto and they have news when Ruto was growing up he was asked a question Ruto answered other things
@abdallazakaria69532 күн бұрын
Brother huezi kuelewa hii kama we si mkenya.........hiku tuko na uhuru wa uandishi wa habari.....so the president can be asked anything cause he is a servant of the people.....he owes every citizen an explanation
@allotropeking59912 күн бұрын
Tunamjua sana huyo msee papa. Sisi kenya hatuna rais.
@jumajames1767Күн бұрын
Dj sma nakukubali sana ila kwa hili zii mkubwa wangu huyu jamaa ni muongo kupitiliza kaka acha tudeal nae twamjua wenyewe huyu
@wambuageorgemutua1930Күн бұрын
Sns hakuna kitu unachambua hapo, siasa za Kenya wachia wakenya...huwezi elewa hii maneno...you are so personal
@user-de8qk5ij6m2 күн бұрын
Tuliza mshono wewe huyu ni wetu twamalizana naye wenyewe
@dianajohnson72682 күн бұрын
Sasa apewe heshima gani wamezika ndugu zao walouwawa kwa police alowatuma😢
@TwahaMaziku2 күн бұрын
Dj smaa upo vizuri sana umesema kweli mingu ndo humchagua kiongoz awe mzur au mbaya
@ChireGriffinКүн бұрын
Tanzanaia waandisshi mnaweza kumuuliza maswali kama hivyo
@user-ed1cf9nq5w2 күн бұрын
Hao ni wanasiasa wanaojiita wandishi wa habari😂😂😂😂
@shenamtukufu12242 күн бұрын
Kweli man hawa mafala sana hata kama mzee kakosea lakini hawakutakiwa kumbull like that.
@shukranisibale17392 күн бұрын
Wanakomaa kumtia 18 zao
@BigZhumbe2 күн бұрын
@@shenamtukufu1224Wana hasira nae na Raisi kuna muda alikasirika lakini ametumia hekima kutoku snap back at them, hizi siasa ziko si biased.
@Hamisi84652 күн бұрын
@@shenamtukufu1224ukweli haufichiki ingawa mchungu... Maswali yalikuwa na ukweli mtupu ndani yake
@amrunassibu51052 күн бұрын
Yani wewe Hata Haujui Unaongea Nini Surely 😅😅😅
@Laughfun482 күн бұрын
We Dj sma unataka tukusalimie? Focus mambo ya Kenya huelewi
@raysonjohn34882 күн бұрын
Labda na mimi kuna kitu sielew, mswada unaanzia bungeni kwanini wakenya hamuwaunganishi MPs kwenye resignation ila ni ruto tu...naona kama ma MPs mnawapa free pass
@kusudihalisi95372 күн бұрын
Alikkosea sana kuishambulia urusi. Hiyo ni laana kwake
@miriamvihenda74082 күн бұрын
uyu anakushow mawhat ama unataka salamu kidogo zakayo amefanya kenya uchumi iko juu sana ruto shuka tu tunakujuwa
@BakariKombo-cj5iu2 күн бұрын
Huyu tumsalimie
@Moseskoome-l1t2 күн бұрын
Congratulation dj smaa Kenya we love you🇰🇪❤❤
@lowasamollel98522 күн бұрын
Kenya kuna waandishi wanaojielewa na wanajua haki yao pia niwataalam sio nyie wa Tz ambayo wengi wabebaki kama machawa wa serikali na hawawezi pigania uhuru wa vyombo vya habari
@OmmyJames-xn7ji2 күн бұрын
Bongo tuko poa kaka hawo wote wanaomba waje huku kuishi sababu KWAO ni SHIDA NA UWIZI
@BigZhumbe2 күн бұрын
Unaongelea uhuru upi, wa habari zipi? Maana habari zote za ki politics za Tanzania ziko mitandaoni.
@allankenyali15352 күн бұрын
uyu JAMAA wa SNS KA HONGWA NA RUTO TEAM #KOT #GENZ uyu me hongwa let's visit
@BigZhumbe2 күн бұрын
@@allankenyali1535 So miaka yote mnakubaliana na Dj Sma leo kaongea vitu hampendi ni kahongwa ni Raisi mliompa kiti wenyewe 🤣🤣
@abuuaisha61102 күн бұрын
@@BigZhumbeHatukumpa kura bali aliiba kura
@sarahkeivaly33512 күн бұрын
Kwanini rais Ruto anakunja 4 ktk kipindi hiki wakati ndani ya nchi yake pamejaa kilio kila pahali?!!
@philipkahindi34992 күн бұрын
Brother usjaribu kumtetea uyu jamaa kabisa ssi ndo twamjua hafai wanahabari wetu wapendwa walikua sawa kabisa in short amechosha Kila mtu