Rais Ruto atoa ONYO kali kwa Waandamanaji, awaita 'Wahalifu' na 'Wahaini' watakaoshughulikiwa

  Рет қаралды 85,213

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

5 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 490
@Shakazulu1
@Shakazulu1 3 күн бұрын
It is very painful for Kenya to have you has the president.period
@hanningtonkipngeno5492
@hanningtonkipngeno5492 3 күн бұрын
#reject finance bill.Anatuongelesha kama high school dining hall prefect
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 3 күн бұрын
Kibaraka wa mashoga uyo ruto
@allahisone6386
@allahisone6386 3 күн бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@jaybajay9973
@jaybajay9973 2 күн бұрын
Ibaraka wakila kitu huyu
@IbrahimOlenga
@IbrahimOlenga 2 күн бұрын
​@@allahisone6386😢😢😢😢🎉😢🎉🎉😢😢😢yy😢u😢uu😢😢 uyyy ya😢😢😢😢😢 uuuuu😮u🎉😢😢😢
@katamamiltonchivatsi9627
@katamamiltonchivatsi9627 3 күн бұрын
You will go at any cost...!!
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 3 күн бұрын
Haya maviongozi ya africa ni mavi kunuka
@LydiaPius
@LydiaPius 3 күн бұрын
Was mavi kunuka necessary 🤣🤣🤣
@user-zt3nj5yj2j
@user-zt3nj5yj2j 3 күн бұрын
Acha kuua wananchi wao ndio wenye nchi kumbuka wakat unaomba kula uliwaambia nini
@user-mp9oc5ii1g
@user-mp9oc5ii1g 3 күн бұрын
wakenya pambaneni kwa nguvu mumuondoe huyo kibaraka wa amerika✍️✍️✍️ ruto ni kibaraka☝️☝️☝️ he must go💪
@millymack1370
@millymack1370 3 күн бұрын
Hio kiburi tutamaliza tu.
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 3 күн бұрын
Wakenya mmeamua 🙌
@boasliberath5798
@boasliberath5798 3 күн бұрын
Viva kenya
@abdullahmanalex2306
@abdullahmanalex2306 3 күн бұрын
Tunawaunga mkono Vijana WA Kenya mmeamka
@diyembarak5506
@diyembarak5506 3 күн бұрын
Ruto must go
@mkambotv5418
@mkambotv5418 3 күн бұрын
Next time tunakuja statehouse kula lunch
@AbuArafat001
@AbuArafat001 3 күн бұрын
Am kenyan bt huyu raisi ameitaa wa kenya criminals wenye wameandamana peaceful kutaka haki zao
@omarzinga7046
@omarzinga7046 3 күн бұрын
I really don't support government but protesters shouldn't go inside parliament and break and stealing the properties that ain't peaceful demonstration act
@Mimi.Official
@Mimi.Official 3 күн бұрын
Ruto niasikize wakena wanataka nini na ajibu majibu yao. Badala aseme hoja zenu nazishuhulikia watu watulie. Yeye na mahasira zake anatishia watu .haya wacha tuone hiyo hasara atakayo ipata hii week. Hao policy wake pia wamemchoka. Huku nyuma ya pazia wanatwambia mengi😢
@allahisone6386
@allahisone6386 3 күн бұрын
WANAWAMBIA KAA GANII?
@godfreymbevi2879
@godfreymbevi2879 2 күн бұрын
Anacho takiwa ni kuwaua wote waandaaji maandamano yasiyo ya kidemokrasia yaliyo jaa wizi, uvunjifu wa sheria na kufanya mapambano na vyombo vya dora. lakini pia arudishe nguvu ya polisi mikononi mwao, Wakenya ni LGBT-Promax, hivyo mbele ya polisi wenye meno hawawezi sogea
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 2 күн бұрын
​@@godfreymbevi2879mashoga sio Kenya tu peke ake marekani Israel ufaransa uingereza Ukraine Italia ujeruman wote mashoga
@Mimi.Official
@Mimi.Official 2 күн бұрын
@@godfreymbevi2879 hujielewi wewe. Hata hujui hata hiyo katiba ya kenya .kadri wanavyo kufa ndio wanapandisha hasira hao police si ni hiyo bunduki tu. Kama hana tuko sawa tu. Na hao vijana hawawezi kosa bunduki. Unahonga police 20k anakupa unaenda kufanyia kazi kisha unarudisha. Usifanye watu hawana akili.....
@ChillianMasinde
@ChillianMasinde Күн бұрын
Hakuja ukatae naweni mmoja
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 3 күн бұрын
Marekani wanaongea nini wakati hata huko walikuwa wakiwakamata watu wanaopinga vita ya gaza
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 2 күн бұрын
Mashoga hao marekani
@trizereve3386
@trizereve3386 3 күн бұрын
Napeda kusikiliza habari zahapa na huyu mtangazaji nikimsikiliza namuelewa anaeleza vizuri ❤
@user-yk7ff9ks6q
@user-yk7ff9ks6q 3 күн бұрын
Apinduliwe huyu mbwa
@abuuaisha6110
@abuuaisha6110 3 күн бұрын
Mm ni mkenya nakuunga mkono maoni yako
@user-yk7ff9ks6q
@user-yk7ff9ks6q 3 күн бұрын
@@abuuaisha6110 poleni san
@emmanuelopiyo6408
@emmanuelopiyo6408 3 күн бұрын
Very soon we'll occupy the state house,watch and see
@Hassan_Mengi
@Hassan_Mengi 3 күн бұрын
Can’t wait to see that. Mkimuendekeza huyu kibaraka wa mabeberu nchi atauza
@najar825
@najar825 2 күн бұрын
hatuogopi
@najar825
@najar825 2 күн бұрын
hatuogopi
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 3 күн бұрын
Ruto must gooo yye ndio muhuni anapigania Tumbo lake tuu 💔
@timebakar
@timebakar 3 күн бұрын
Mukiona watu wamefanya maadamano wanataka kuzungumza na viongozi wao kwaiyo mukizuiya fujo kwa mabom ndo munazidisha maafa watukufa na majeruh majengo kuchomwa nakupomolewa
@abdullahmanalex2306
@abdullahmanalex2306 3 күн бұрын
Huyo Rais kibaraka WA Wazungu
@timebakar
@timebakar 3 күн бұрын
😂😂😂​@@abdullahmanalex2306
@JacksonMbites
@JacksonMbites 3 күн бұрын
Ruto unatumia police kuangamiza waandamanaji sasa badala ya kuupoza moto ndiyo unawasha moto
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 3 күн бұрын
Ruto wakati yupo marekani ukimtusi.putin raisi wadunia.mashoga wamekudanganya umesaini ushoga,usagaji mungu anakuona kitumbua kinaingia mchanga.
@evansogutu4167
@evansogutu4167 3 күн бұрын
Nothing he can do infact on Thursday we will occupie State House
@mohdchuma78
@mohdchuma78 3 күн бұрын
Hongeren sn
@abdulrazack9577
@abdulrazack9577 3 күн бұрын
Nooma.sana​@@mohdchuma78
@LucienMulirimbuto-eo7nb
@LucienMulirimbuto-eo7nb 3 күн бұрын
Work up 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪.........from south Africa 🇿🇦 but I'm a 🇨🇩
@Esquire266
@Esquire266 3 күн бұрын
Utakufa vibaya my friend
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 3 күн бұрын
Aende zake huko huna lolote umepata aibu mpka kwenu wamekupinga😏💪
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 3 күн бұрын
Kaka fredrick bundala tuletee kauli ya uhuru kenyatta na Raila Odinga kuhusu maandamano
@user-zt3nj5yj2j
@user-zt3nj5yj2j 3 күн бұрын
Anasema Nini yeye aelewe wananchi wanataka Nini maisha ni magumu jmn
@Esquire266
@Esquire266 3 күн бұрын
Uharibifu wa Mali unahusiana nini na ugumu wa Maisha?
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 3 күн бұрын
​@@Esquire266ujui kitu
@abuuaisha6110
@abuuaisha6110 3 күн бұрын
​​@@Esquire266 Mm siungi mkono uharibifu wa mali, lakini aliechangia kufanyika uharibifu ni Ruto na wabunge wake, ni kwa nini wasisikilize matakwa ya wananchi?
@festohaule9716
@festohaule9716 3 күн бұрын
Kibaraka wa Mashoga wa Ulaya🎉🎉🎉🎉 Waandamanaji wataingia Mpaka Ikulu🎉🎉🎉Utawafunga wangapi na kuuwa Wangapi!!! Sikiliza kero zao!!!!
@billmkushi849
@billmkushi849 2 күн бұрын
Emotional mind can never used to provide solution. Poor Mr small Biden
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 күн бұрын
Ikulu tafadhali😅😅😅
@husseinmassawa7186
@husseinmassawa7186 3 күн бұрын
Sema kuongeza kodi mpaka kwenye pedi sijui waliwaza nini aisee😅
@mohayussuf2057
@mohayussuf2057 3 күн бұрын
Ruto kauza nchi Kwa mashoga ndio maana wanamsapporti
@uwimana6533
@uwimana6533 3 күн бұрын
Mjinga huyo wamuondoe huyo kibaraka 😂😂 wawazungu
@miriamvihenda7408
@miriamvihenda7408 2 күн бұрын
huyu ni wakutenga tu😂😂😂😂
@kahindiwanje90
@kahindiwanje90 3 күн бұрын
Wewe gasia inaitwa ruto ety sisi ni wakora aaah ruto na Badoo
@simonmartin5358
@simonmartin5358 3 күн бұрын
Towen kbsa huyo madarakani hafai kwanza kigeugeu anatumika vibaya na wazungu
@augustfive5279
@augustfive5279 3 күн бұрын
We don't need anything from ruto we just need him to surrender and leave the state house that all
@EvaJuakaliTV
@EvaJuakaliTV 2 күн бұрын
Ruto must go, we don't need him 🇰🇪
@KelvinEmersonSteven
@KelvinEmersonSteven 3 күн бұрын
Nilikua namuamini sana Ruto kuwa angewavusha Wakenya na kuwafikisha Nchi ya Ahadi ila naona amefeli
@brysonmalongoza5422
@brysonmalongoza5422 3 күн бұрын
Me too! He failed us big time!!
@ce-08
@ce-08 2 күн бұрын
Tena mapema
@walowemkanjala2525
@walowemkanjala2525 2 күн бұрын
Mtazamo wako huo... Kenya tuna uhuru wa kujieleza,,, sio kama nchi zingine
@ghhj-ij7xs
@ghhj-ij7xs 3 күн бұрын
Ruto must gooo..no dialogue..corruptions everywhere
@sultanaswaleh7813
@sultanaswaleh7813 3 күн бұрын
Uharibifu wa mali na roho za watu ipi ni muhimu ?..GOD IS WOCHING YOU.😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 3 күн бұрын
Anaetolewa roho kaenda kwenye ugomvi,, maandamano gani ya Kihalifu?
@sultanaswaleh7813
@sultanaswaleh7813 2 күн бұрын
@@ameirzapy1318 Ame tuuliya watoto wetu wengi na wengine majiruhu. Amepitisha mswada kimabavu kwakuwahonga wabunge. Kama alivo chukua nchi kimabavu. Lkn. Damu itamsumbuwa . 😭😭😭Asione Ameshinda.! Kipenzi chetu UHURU . Ali twamba nawapatia miezi mitatu TU ! . Mutalia. Nanikweli !,. Walo mpigia Sasa Wana juta !. Mimi sikumpa kura yangu. Lkn ! Awaita watoto Ma CRIMINAL. Wakati yeye ndie CRIMINAL MKUBWA !.. MU'NGU ! ATA MPANISH ! 😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 INSHA-ALLAH !🙏🙏🙏
@walowemkanjala2525
@walowemkanjala2525 2 күн бұрын
​@@ameirzapy1318sio uongo. Kuna tofauti ya maandamano na uporaji
@millymack1370
@millymack1370 3 күн бұрын
Why cant he respect people's wishes..hatumtaki
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 күн бұрын
In Tanzania people are protesting na hakuna mtu kafa hakuna biashara imevunjwa wala majengo kuchomwa. PEACEFUL PROTEST IS THE BEST WAY TO GO.
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 2 күн бұрын
Asante sns❤❤❤
@Noelkitoi
@Noelkitoi 3 күн бұрын
Ruto achia nchi ya wakenya sio yako unapanga bajeti na wamarekani
@naimatemba8061
@naimatemba8061 Күн бұрын
Samahani kwani Ruto sio mkenya
@abuuvanlampard2564
@abuuvanlampard2564 3 күн бұрын
Utatuua sote uongoze wanyama sjui huo mswada utatekelezwa na nani
@bama9271
@bama9271 3 күн бұрын
Acha ujinga wewe mweu na maneno yako
@Gody360
@Gody360 3 күн бұрын
Badala aongee nao
@timebakar
@timebakar 3 күн бұрын
kukitokea maandamano viongozi munatakiwa mujitokeze kwa hekima ilikutuliza wananshi ilikuzuiya mauwaji namaharbiko ya majengo
@EverlineNgige
@EverlineNgige 2 күн бұрын
umelaaniwa hdi kizazi chako cha mwisho na ulaaniwe
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 3 күн бұрын
Magufuri alionesha mfano wa marais wa kiafrika kwamba nchi zetu ni tajiri lkn wapi viongozi
@najar825
@najar825 2 күн бұрын
HATUOGOPI....WE FEAR NONE💯💪WE KENYANS WE GEN Z💪
@user-ly7dx7vy1x
@user-ly7dx7vy1x 3 күн бұрын
Wanasiasa wa Africa wote ni wahuni, yaani wanazurura kwenye mataifa ya magharibi kukopa pesa, kisha wanaziiba halafu mzigo wa madeni hayo wanawatwisha wananchi, wakenya wasikubali hadi kibaraka Ruto aondoke, inakera sana kuongeza kodi hadi kwenye pedi, hiyo inakera
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 2 күн бұрын
Kweli huyu jamaa wa hovyo aisee 🤔 kesho tu anapeleka mswada wa ndoa ya jinsia moja bungeni.. pole sana kenya kwakupata kiongozi kibaraka dooh masikini weee🤔 Zakayo must goo🤗 wewe ni adui wabara la afrika kwa sasa
@user-zt3nj5yj2j
@user-zt3nj5yj2j 3 күн бұрын
Thanks!❤❤❤❤
@Gody360
@Gody360 3 күн бұрын
Ndio nini?
@user-zt3nj5yj2j
@user-zt3nj5yj2j 3 күн бұрын
@@Gody360 nimejichanganya nimelipa pesa google bila hata kuelewa
@fridambithi6874
@fridambithi6874 2 күн бұрын
My opinion l congratulation my president. Leadership comes from above, that's from God, when God chooses a leader no one can stop him or her. C
@yussufoptic
@yussufoptic 2 күн бұрын
Napenda saana jinsi Raisi wa Tanzania anavyo toa hotuba yake kwa lugha ya kiswahili, hivi Ruto angesema kiswahili hangeskika inchi yote jamani!?!?? Hongera sana kwa Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania
@BraxtonWanjiru-qr8zv
@BraxtonWanjiru-qr8zv Күн бұрын
Ruto must go ✊👊
@safarivahocha8077
@safarivahocha8077 3 күн бұрын
Ruto is out of his mind, he can’t even prepare a meaningful speech. He is just reading trash prepared for him.
@zenajustus5731
@zenajustus5731 3 күн бұрын
Kwani Ruto una adress nchi gani?kama ni hii yenye tumekataa bill usitulazimishe.
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du 3 күн бұрын
Simulimchagua wenyewe
@TinahFrank
@TinahFrank 3 күн бұрын
Ruto nakupenda Sana 💋💋💋💋💋
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 3 күн бұрын
Ruto achia nchi wananchi wachague kiongozi wanaomtaka wewe muda wako umesha kwisha hata ukiwatisha haisaidi
@samuelkalama-nr1ui
@samuelkalama-nr1ui 3 күн бұрын
Hustlers,si n watu wa bodaboda na mama mboga - wakakusikiza,ukaomba 100days ukapewa na zkaisha hehehe😂
@nusramunini9650
@nusramunini9650 3 күн бұрын
Ata mwaka alipewa sasa akaamua kuwanyonga na maushuru 🤣🤣🤣
@Ambagaye
@Ambagaye 3 күн бұрын
Kosa kubwa analofanya ni kuralibu kuzima moto kwa kutumia moto. Rutto amechelewa badala ya kuzima moto wa Gen-Z wakati ule kabla haujawaka yeye akatoa vitisho na kulazimisha bajeti yake ipite bila hata kuilainisha kidogo japo kwa kuahirisha isijadiliwe akidai serikali inaifanyia revisions ili vijana wajione wanasikilizwa..
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 3 күн бұрын
Kaka Sky halali ni kaz juu ya kazi t
@fatmaZakiya
@fatmaZakiya 3 күн бұрын
Ajishughulikie mwenyewe yeye pia ni muuwaji muandaaji wa maandamano akwende hukoo!!
@user-nk4oq4ek9y
@user-nk4oq4ek9y 3 күн бұрын
We kuwa kishipa tu lkn chako kikomotoni ww ruto
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 3 күн бұрын
Huyo ruto mjinga sana
@albertmbise2670
@albertmbise2670 3 күн бұрын
Uyu Ruto kiburi imemjaa maana naona kama ndyo anatia petrol
@zenajustus5731
@zenajustus5731 3 күн бұрын
Uki isolate crime Anza na ufisadi ndani ya serikali umevunja record
@krisantmwaipungu1434
@krisantmwaipungu1434 3 күн бұрын
You out of your mind. Leave the office, no longer president of Kenya
@MohammedRuto
@MohammedRuto 2 күн бұрын
Unawaita wahalifu wewe utaituaje?
@kidyybravo5267
@kidyybravo5267 3 күн бұрын
Zakayo na iyo kiburi yako usitutishe moron
@elijahm.muthini
@elijahm.muthini 3 күн бұрын
Huyu ni mtu mgonjwa
@halimasawa611
@halimasawa611 3 күн бұрын
Yuafikiria kenya n yake Ama babake😅😅😅 sis tuko tayr ruto unajifnya kiburi sio
@user-kh7bc4js1m
@user-kh7bc4js1m 3 күн бұрын
Anamkemea nani huyu zakayo
@kennedynjuguna3806
@kennedynjuguna3806 3 күн бұрын
At whatever coast....ni sawa Mr president bt jua history re-write itself.
@sultanaswaleh7813
@sultanaswaleh7813 3 күн бұрын
Tuna mis aur beloved president UHURU MWIGAI KENYATTA . KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 TUMEKUA MAYATIMA😭😭😭😭
@aminakasim1198
@aminakasim1198 3 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢 subhanallah subhanallah which president of this he don't care about poor people of Kenya, stupid ruto,
@sultanaswaleh7813
@sultanaswaleh7813 3 күн бұрын
@@aminakasim1198 Ana kiburi sana !.Jeuri ! Roho mbayaa ! . Lakini....... WACHATU !. You keep and woching !
@aminakasim1198
@aminakasim1198 3 күн бұрын
@@sultanaswaleh7813 my God protect our sister and brother Kenya people, because is not good President to talk like that ya Allah ya Allah ya Allah,
@aminakasim1198
@aminakasim1198 3 күн бұрын
@@sultanaswaleh7813 ya Allah ya Allah protect Kenya
@sultanaswaleh7813
@sultanaswaleh7813 3 күн бұрын
@@aminakasim1198 AMEEEN ! 🙏🙏🙏MY LOVELY SIZ .EVEN IF I DON'T NO YOU. BUT . I LOVE YOU 🫶
@joshuamweta5550
@joshuamweta5550 3 күн бұрын
This is not Gud speach why ruto people imeingia hadi bungeni zen unasema they are climinal?
@mememmeme7939
@mememmeme7939 3 күн бұрын
Ruto must goooooo
@hasani565
@hasani565 3 күн бұрын
Hawa watu wanachaguliwaga na nani ndio hawa wezi wa kura
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 2 күн бұрын
Inchi jirani na Kenya amkeni,, Hii ROHO inaambukiza taratibu,, Viongozi tawaleni kwa matakwa ya wanainchi
@user-ku1rg7mr3i
@user-ku1rg7mr3i 3 күн бұрын
Naona urusi wanacheka tyuh
@willymauki7426
@willymauki7426 3 күн бұрын
Kabla ya kupeleka polisi wa kuleta Amani Haiti angeanza Amani nyumban
@ThomasLucas-rh7wf
@ThomasLucas-rh7wf 3 күн бұрын
Ruto wewe huna busara tatizo lako na wezako wote hasira haizuii kitu kaka
@DAVIDMMASSY
@DAVIDMMASSY 2 күн бұрын
I think someone is shaking the jar from outside
@michaelMuiru-iq4ke
@michaelMuiru-iq4ke 2 күн бұрын
Ruto must go
@user-ic1fs9bf1v
@user-ic1fs9bf1v 2 күн бұрын
Commanding lounguage Not Aproching sound 😂😂😂
@judywaciuri
@judywaciuri 3 күн бұрын
Ruto must go with emediate effect
@musalumbi8490
@musalumbi8490 2 күн бұрын
SNS, mimi kama Mkenya nasema kwa kinywa kipana: waandamanaji waliandamana kote nchini hasa katika kaunti mbalimbali kama vile Mombasa, Nairobi, Bungoma, Kilifi, Kwale, Lamu, Kisumu; kote nchini. Mnadhani waandamanaji wote hao walikuwa wahalifu? Isitoshe, ghadhabu yetu ilizidi pale maafisa wa polisi walipoanza kutuua kwa kutupiga risasi...
@DennoDenno-ws8mj
@DennoDenno-ws8mj 3 күн бұрын
Kenya tunaumia sana sana
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 2 күн бұрын
Akina William hatunaga mbambamba,, Nikuweka sawa na moyo wangu❤ Umedanganywa na wamagharibi!?!?!
@saleheabdallah5461
@saleheabdallah5461 3 күн бұрын
Hyo nchi ni ya wananchi na sio ya kwako
@henrylugendo280
@henrylugendo280 3 күн бұрын
Ruto pole sana
@mercyserem1821
@mercyserem1821 3 күн бұрын
Yeye mwenyewe lijimwizi likubwa.
@marymutai1440
@marymutai1440 3 күн бұрын
This is more than financial bill
@marykiarie6658
@marykiarie6658 3 күн бұрын
Isili imkuwa ya wasomalia ruto akiwa wapi na mnasema mko na president badala ya ifunguwe ni president wa somali anakuja kuifunguwa kube kenya imsaa usa😭😭
@IRENEIRENE871
@IRENEIRENE871 3 күн бұрын
Uyu sio binafamu jamani aki hana hata hofu
@KarisaJomba
@KarisaJomba 2 күн бұрын
Usitishie watu hatuachi kufanya maandamano mpaka uache kupandisha maisha
@zaumukasiayaamisi4392
@zaumukasiayaamisi4392 3 күн бұрын
Hata heri mlevi wetu mara mia,huyu n mwizi kabisa,
@hasani565
@hasani565 3 күн бұрын
Huyu ruto ni nyoka ... Africa haito kuwa na amani Tena mmesha iba sana hawa wezi wote watolewe .
@LukasKipkorir-ug7ne
@LukasKipkorir-ug7ne Күн бұрын
😮ruto mwana wa shakahola
@evansogutu4167
@evansogutu4167 3 күн бұрын
Please snS better muweke cartoon thn this speech
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 күн бұрын
Safi saana Mzee Ruto, pakichafuka huko huwa wanakimbilia huku TZ , tatizo mambo haya huwa hayaishii huko tu huwa yanasambaa, kama mnamuona Ruto dictator hamieni North Korea mkaone
@MsAggie5
@MsAggie5 3 күн бұрын
😂😂
@ELEVATOR_TO_JANNAH
@ELEVATOR_TO_JANNAH 3 күн бұрын
Wacha ujinga NORTH KOREA HAMNA DICTATOR...UNAANGALIA SANA CNN NA MEDIA ZA AMERICA..KIOGNZI YOTE ASIYEFWATA AMERICS WANAMWITA DICTATOR..
@husseinmassawa7186
@husseinmassawa7186 3 күн бұрын
Nahisi Zile stori za north korea ni za kutengenezewa, wananchi wake wanampenda kiduku wao mpaka wanalia😂
@ELEVATOR_TO_JANNAH
@ELEVATOR_TO_JANNAH 3 күн бұрын
@@husseinmassawa7186 usipofwata misingu ya America wanakuita dictator..gadaffi wlaimeita hvo..sadam putin...kim jong wao kla mtu ni dictator
@annekage2733
@annekage2733 3 күн бұрын
Ruto stop threating the gen z they will put you down dont joke with this generation they will.come for you to state house step down step down zakayo
@user-rx9vl2tu6z
@user-rx9vl2tu6z 3 күн бұрын
How dare he call us criminals and call those rogues in parliament innocent Kenyans.
@amournassorsaid7694
@amournassorsaid7694 3 күн бұрын
Mkimbizeni marekani au Ukraine uko akotolee hutuba yke huko hatutaki vibaraka wamashoga na utawala wa shetani unaokandamiza watu katika umasikini hapa africa
@lawrenceobwoto4506
@lawrenceobwoto4506 2 күн бұрын
So sad to have you has our president
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 54 МЛН
СНЕЖКИ ЛЕТОМ?? #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 111 МЛН
Rias Ruto atoa onyo kwa naibu wake dhidi ya siasa ya kikabila
4:08
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 104 М.
Rais Ruto ataka Mswada wa Fedha kuidhinishwa ulivyo
2:15
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 64 М.
Volkswagen судится с Volkswagen?
1:00
Кик Брейнс
Рет қаралды 2,2 МЛН
perbaikan busi loncat dudukan dol #shorts
0:53
Belajar Mekanik Dari Nol
Рет қаралды 9 МЛН
25 Cent Car / P Kyddy Car
1:01
British Seany
Рет қаралды 5 МЛН
Это мои машины😏
0:16
PetrBillion & Father
Рет қаралды 719 М.