Hizi media mbona zinapenda sana kuhoji wagonjwa wa akili ?
@shamimyusuf976312 сағат бұрын
Nina maoni kabla watu hawajatoa kwenye media wakapimwe kwanza akili maana huu ni upotoshaji wa jamii kuhoji watu wenye changamoto ya afya ya akili
@ClassicUsed-jg6ri21 сағат бұрын
Mimi Kwa mwezi natumia milioni 50
@AfricaQueen19 сағат бұрын
Huyu mshamba wa maisha tangu kuingia mjini anajipigia debe sura yake akatengeneze kwanza sura mbaya😏😏
@andrewemmanuel186121 сағат бұрын
Ajipangee huyo dd ataishia kudanga tu na ndoa hatapata na akipata hachukuiii mda atachik
@hanifahkhamiss848519 сағат бұрын
😂😂😂hayo mataya ndo unajiona malaika😂😂una mataya km bundi😂😂😂uzuri hana picha za iPhone sizikudanganye😂😂....sishkiki utashikika tu😂😂afew moments later unaolewa na mganga wa kienyeji half siri siri 😂😂😂
@l.marley_254219 сағат бұрын
Wasafi wako busy na kuingiza wapuzi wenzao mjini
@trecygohy784719 сағат бұрын
Niliosoma comments nyingi naona mnamkandamiza dada wa watu.iko hivi kila mtu hajalishi wa kike au kiume kwenye mahusiano yoyote atavaa kiatu kutokana na size ya mguu wake. Kama wewe n mwanaume mwenye kipato cha chini dont expect utakuja ku-date na mtu kama huyu mdada, wolper, Zuchu n.k high value women its better utafute kiatu chako kinacho kukutosha coz utakuja kuumia na usiseme n malaya au wanapenda pesa. Tafuta size ya kiatu chako kwa wale men wanaongea upuuzi juu ya hawa wanawake
@ambroceharouna161221 сағат бұрын
Anakunya au hanyi kama hanyi nipo Tyr kulipa😂😂
@elvismabena763021 сағат бұрын
Waandishi wa sasa NI wapuuzi sanaaa kuna mambo ya muhimu Sana ya kulipoti wanakuja kulete ungese huu pumbavuu sanaa
@melanialeonard403121 сағат бұрын
Muombe mungu akujalie uzima akuepushe na mitihan ya dunia hayo mengine ni ziada
@MauBonde21 сағат бұрын
Mama mia ndio mana wanawake kama hao hawawezi kukaa na mwanaume muda mrefu ,akivua nywele kwenye upande wa mahaba kama alipendewa nywele na kucha ,ndio nimeelewa mahusiano hayadumu kwa sababu ya ujinga kama huu huku ulaya ataishia kudanga mbele.,apate mwanaume anayependa huo ujinga kuna wakati vichwa vinanuka madawa mpaka vinatoa mzuka...😂😂ujinga
@AsdDsa-fi5qk21 сағат бұрын
Mchaga shat yako zur
@deega123421 сағат бұрын
kiki kwa kweli.
@user-cf3lt8ji4j21 сағат бұрын
Maaaaaaanina wagonjwa wa akili wameongezeka sana doooh
@alonchobasamiye684421 сағат бұрын
kwani huyo dada ni nani ni msanii au ni nani?😊
@saadabakar775021 сағат бұрын
Mmmmmmh asubiri babu wa mama yake afufuke ndio atatolewa hayo mahari 😂😂
@LucasMagukuru-hc9kr21 сағат бұрын
Me, wondering fro from Kuma moto in Japan
@vanessarichard446814 сағат бұрын
Nice
@MarckyCholla19 сағат бұрын
Wabongo kwa mitandaoni mhhh mungu atusamehe cz tutafika mbinguni tumechoka mno😅