TAPELI MKUBWA AKAMATWA | AWAIBIA WAISLAMU NDANI YA MIAKA 3 |YEYE NI MKRISTO ATEMBEZWA MISKITI YA DAR

  Рет қаралды 59,202

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

2 жыл бұрын

Пікірлер: 274
@mariamkhalfan2346
@mariamkhalfan2346 2 жыл бұрын
Mimi ni muislam nampenda mtume wangu mohammad (s a w) na namtwii mola wangu Allah kama na wewe unakubaliana na mm like down
@aliybecka5169
@aliybecka5169 2 жыл бұрын
Mimi si like ila nakoment, je unafuata maamrisho na unaacha makatazo ya Allah na mtume?
@mariamkhalfan2346
@mariamkhalfan2346 2 жыл бұрын
@@aliybecka5169 hayo mengine ni miongoni mwa mapungufu kwani hatujakamilika
@aliybecka5169
@aliybecka5169 2 жыл бұрын
@@mariamkhalfan2346 Hapana unakosea kwa sababu hatutakiwi kifuata dini kwa hisia bali ni elimu na Allah anasema "sema ikiwa munampenda yeye basi munfuate mtume na yeye(Allah)atakupendeni na atakufutieni madhambi
@mariamkhalfan2346
@mariamkhalfan2346 2 жыл бұрын
@@aliybecka5169 shukran ndugu yangu kwa ukumbusho Allah akujaze elimu biidhnillah nakupenda kwa ajili ya Allah
@aliybecka5169
@aliybecka5169 2 жыл бұрын
@@mariamkhalfan2346 Ahsante sana dadaa Allah akupe kheri na akujalie uwe mwenye kufuata mafundisho sahihi ya quran na sunnah na akuepushe na shirk
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 2 жыл бұрын
Asalaam Alaikum, Msameheni waisilamu...huu ni mtihani Allah kawapa katika haki yenu, hakika ya Allah atatujaribu kwa khairi na shari sasa hapa tunatakiwa tuweni makini ili tufuzu, inshaaAllah atawapa zaidi ya hicho yalichochukua, msameheni , fajazakumullahu khairan
@selemaniselemani7014
@selemaniselemani7014 2 жыл бұрын
Mashaa allah , allah awaongoze ,,! Uislam ni dini ya amani kabisa.
@methodiutou7278
@methodiutou7278 2 жыл бұрын
Mimi ni Mkristu ila huyu jamaa amekosea sana! Mungu amsamehe maana hakuna dhambi mbaya kama kutumia jina la Mungu au Madhabahu ya Mungu kidhuluma
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 2 жыл бұрын
Allah amuongoze, huenda ikawa akaja kusimama imara ktk kumjua Allah...
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 2 жыл бұрын
Kweli,watu wakifanyiwa hisani mwisho ujirudilia
@eusterusaji1920
@eusterusaji1920 2 жыл бұрын
In shaa Allah
@FeisalMNoor
@FeisalMNoor 2 жыл бұрын
Ma Sha Allah! The Goodness of Muslims in Islam 👏👏
@uthmanmaluja7005
@uthmanmaluja7005 2 жыл бұрын
Allah amwongoze afuate haq..
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 2 жыл бұрын
M/ mungu hafichwi leo umeumbuka yani mungu akusamehe badilika mzee tafuta pesa kwanjia nyingine
@abdulhamidsalim6927
@abdulhamidsalim6927 Жыл бұрын
Waislamu Twazalilishwa Subhanallah Allah Atupeupendo InshaAllah
@suleimanisaid6926
@suleimanisaid6926 2 жыл бұрын
Nimependa Sana uwamuzi.... mzuri tulio chukuwa waislam,na Mwenyezi Mungu atuzidishie na kutupa Moyo WA subra na uvumilivu....
@hafsahajiabeid5768
@hafsahajiabeid5768 2 жыл бұрын
Allaahu Akbar waislamu wenzamgu tufahamisheni na.sisi namna yakumpata mtu alie kutapeli kupitia.simu ikasaidia.simu mpaka nyumbani kwake ukamgongea
@alphayokibangali378
@alphayokibangali378 2 жыл бұрын
Mnajiona mmekamilika "mnakumbuka mbagala mtoto aliyekojolea quran mlihaha sana mkataka kumuua badala yake mkachoma makanisa ila wakristo waelewa wakamwachia Mungu"
@mdgmedia2543
@mdgmedia2543 2 жыл бұрын
Kwa ivyo ww pia ni mwizi mwenzake
@rezikomer9552
@rezikomer9552 2 жыл бұрын
Mashallah niviuri utomudhurmungu akuzidishiye
@hadharaalli5201
@hadharaalli5201 2 жыл бұрын
Allah amjaalie aweze kuingia kwenye dini hii ya hakk na Allah ameahidi kua ataulinda uislam mpaka mwisho wa Dunia
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 жыл бұрын
Uislam utalindwa kwanini wasilindwe waislam wenyewe!!!
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@josephwilliam5813 ANGALINDWA YESU ASIPIGILIWE MISUMARI UBAONI UCHI .
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
@@josephwilliam5813 ulikua unataka ulinzi gani ata wewe pia una malaika asubuhi jion usiku
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
@@Awatee wakiristo wanajua yesu aliteswa msalabani wakati hakuuliwa wala hakusulubiwa ila wanajifanya vichwa maji
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
@@heyumi2340 Mtihan mkubwa dear ALLAH atuongoze ktk njia ilionyooka na atuepushe na ukafir pamoja na vizazi vyet Amiin
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 2 жыл бұрын
Huwenda Allah atampa tawhid
@abdulsaid4579
@abdulsaid4579 2 жыл бұрын
Kaka yng Mungu akubaarik. Unamaono n busafa y hali y juu. Kw kuweza kumsoma huyo kaka n kumchambua kiundani. Ama kweli za mwizi arobaini..ushauri wangu mtafutieni kazi y kufanya ili akawalishe wanawe kw rizki za halali .
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 2 жыл бұрын
Muache asilimu kwa hiari yake. Kakosea na kama kawaida binaadam wote tunakosea.
@rukkyxarat
@rukkyxarat 2 жыл бұрын
Alisema anataka kuslim? Hata hilo.pia kwa sababu ya utapeli wake anaweza kuwa muongo
@hamadali5062
@hamadali5062 2 жыл бұрын
Ndugu ramadhani kasiba umefanya kazi nzuri Sana. Allah ukupe kila kheri
@edoyoseph4606
@edoyoseph4606 Жыл бұрын
Kongole sna waislam M/Mungu awape Moyo WA subra Zaid ila mpeleken kwa Paroko ktk Parokia alikokuwa anasalia asiseme TU mie Mkatoliki bc ikaishia hapo
@laurentjoseph2957
@laurentjoseph2957 2 жыл бұрын
Kweli yawezekana alshaababu ni kichaka Cha wahuni kuuchafua uislamu
@jamilajuma757
@jamilajuma757 2 жыл бұрын
Ni kweli ni wachafuaji wa dini ya kiislamu
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Kwani hamjui??? Mbona kila siku tunakwambieni???
@asiyharoon9471
@asiyharoon9471 2 жыл бұрын
Subuhannaallah innalillah wainna ilaihi rajiun mungu amsamehe
@somane512
@somane512 Жыл бұрын
MANSHALLAH ALLAH HAFID All of you
@rajeep-ni7lh
@rajeep-ni7lh Жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
@nooraallahuakibarumwenyeez3079 2 жыл бұрын
INNA LLAH MAA SWABRIN LAANATU LLAH POLE NAKUOMBEYA DUA SIKU USILIMU KABISA HAPO HUJATUIBIYA SS UMEMUIBIYA ALLAH NDIYO MAANA KATUBAINISHIYA MAANA MISKITI MADRASA HIZO N NYUMBA ZA ALLAH
@alialibablly7010
@alialibablly7010 2 жыл бұрын
Si hoja kumpeleka polisi ilikuwa tumsamehe inshallah Huezi jua Mungu atambadilisha nia yake ikabaki story alivyo kuwa
@ashunebeibe2641
@ashunebeibe2641 Жыл бұрын
Hasbana Allah wanemal wakil
@mwanawatusalum5766
@mwanawatusalum5766 Жыл бұрын
Mwizi.mkubwaaa uyooo anahayaaa mungu mbwa kazililikaaaa Sana surambayaaaa surandigo kamapliton
@jacobponga1540
@jacobponga1540 2 жыл бұрын
Assalam Aleikum ndugu zangu ktk imani, huyo tapeli ukweli amekosea na amekir kutorudia hilokosa tena, kweli mui huwa mwema na huenda pia akaslimu biidhinllah. asamehewe na asirudie tena, ni maoni yangu
@rajabpepo1224
@rajabpepo1224 2 жыл бұрын
Innalilah wainna ilaihi rajiun
@saudambinga3832
@saudambinga3832 2 жыл бұрын
Subhanaallah 🙆
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 2 жыл бұрын
Halafu huyu nimemkumbuka alikiwa anafanya kazi ya kuwatapeli wapemba pale Bandarini alikuwa akichukuwa vichupa na kutia makaratasi ya sigara ya Rex anaipanga vizuri anasema ni dhahabu anauza kwa ajili ya matatizo anasema nimepata ajali ndugu yangu yupo Hospitali tumetokea mwadui na alikiwa akiramba sana wapemba wakitoka Zanzibara pale Bagage Rom kwa Bakhresa pale Bandari watu wanamjuwa sana huyo watu wamelizwa sana kwa kujifanya anauza dhahabu alikuwa na mwenzie mmoja mwanamke.
@bongue6003
@bongue6003 2 жыл бұрын
Subhanallah Allahu akbar
@bahrujbaura8042
@bahrujbaura8042 2 жыл бұрын
Anabahati angekua Mombasa Kenya angeshakufa!
@minabuelysee8
@minabuelysee8 2 жыл бұрын
Allah azjdi kutuongoza Wakristo wajuwe kama sisi waislam ndio watu wazuri ndio tunachangia kwakua tunataka pelo yake
@thresherjordan6829
@thresherjordan6829 2 жыл бұрын
Nyie kuiba so vizur ila watu wa hv wapo wengi jamn kikubwa ni kupeleka mchango yetuuu sehem husika yan wapo kila kona namuonea huruma na umri umemtupa mkono 😪😪😪
@asmamjema8539
@asmamjema8539 2 жыл бұрын
Kweli huyu baba jaman alinitapeli kwa swala la madini manzese wapo na mwanamke na mwanaume mwingine nawafaham Sana Allah azidi kuwaangaza
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 17 күн бұрын
Subhanllah 😢😢😢
@solomonsteve3749
@solomonsteve3749 2 жыл бұрын
As/alykm warahmatullahi wabarakatuh Juu ya yote hayo. Huyu anaonekana kaupenda uislam. Na atakuwa na mchango mkubwa na uislam. Kama alivyo udhalilisha uislam nnaimani atauinua sana uislam kwa fikra na nguvu kazi alionayo. Tunamkaribisha ktk uislam je yuko tayari kukubali na kuufanyia kazi uislam?
@shameemrashid5219
@shameemrashid5219 2 жыл бұрын
Hapan Hutu anatafuta kula kupitia uislam wala hajaupenda
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 жыл бұрын
Kama ao waislam wangeufuata uislam dhidi yake basi angekua Hana kiganja,,,SEMA ubinadam walionao na si kwasababu ya uislam
@iddiali8057
@iddiali8057 2 жыл бұрын
Nusra ya ALLAH inakujaa iyo
@peteryukunda9239
@peteryukunda9239 2 жыл бұрын
Jamani zeee zika,c ufanye kazi.
@josephmangera6799
@josephmangera6799 2 жыл бұрын
Hizo Ni tamaaa zake mwenyewe, Wala ukristo na uislamu hauusikiii ashughurikiwe Kama mtuhumiwa
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 2 жыл бұрын
Subhanallah
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 2 жыл бұрын
Allahu akbar
@Official83640
@Official83640 2 жыл бұрын
Subhannallah
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 2 жыл бұрын
Subhana Allah😥😥😥😥😥
@iddiali8057
@iddiali8057 2 жыл бұрын
Safi sanaaaa
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 2 жыл бұрын
Mizimu na majini ya ukoo wake yamempendekeza milango ya misikiti tuu. Anafaa kutandikwa sana huyu mlevi. Kwanza wakatoliki ndio ukorofisha dunia nzima,kutesa na kuwatawanya wakristo wa kweli
@husseinsalimmaula4254
@husseinsalimmaula4254 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu kamuumbua khabithi liamal huyo
@devothaignatus5911
@devothaignatus5911 2 жыл бұрын
Uwiiiiiiii mm kna kaka alinisumbua sana kila ciku anakuja kujenga madarasa imekuwa madarasa mala watoto yatima mpaka nilichoka kumchangia
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 2 жыл бұрын
MUNGU atakulinda
@idrissaissa5607
@idrissaissa5607 2 жыл бұрын
Mannsha allah
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 2 жыл бұрын
Yn jitu zima limeadhirika kweli mungu huwa hamfichi mtu mnafki unatudhalilishia dini yetu na mungu leo kakudharirisha kabla hujafa acha kucheza na mungu ww mzee gojo😏😏
@mariamali1887
@mariamali1887 2 жыл бұрын
Jamani makafiri mmanini na uislam . Hii si dhulma jamani. 🙉🙉🙉🙉 bora hata angekula na familia yake anaenda kunywa baa 😟😟😟
@georgesikazwe5914
@georgesikazwe5914 2 жыл бұрын
Mshamba wa dini ww muovu ni mtu yyt ttizo elimu hamna
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@georgesikazwe5914 WEWE SIO MSHAMBA WA DINI???
@mohammedali1645
@mohammedali1645 2 жыл бұрын
Watu hawachi Allah
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 2 жыл бұрын
Mwenyeji huyo pote hapo kama hamuamini mpelekeni Bandari pale Bagage Room mpaka kurasini D.m.i. pale kulikiwa na mkungu pale asubuh anawatega wanawake wanaotoka Zanzibar na meli ya Asubuhi duu za mwizi ni 40 ana lugha tamu huyoo ya biashara zake.
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 2 жыл бұрын
Yote hayo yanasababishwa na uvivu wa watu kutokwenda msikitini sababu wangekuwa wanakwenda msikitini kwa wakati wasingetowa pesa zao mitaani wangetoa kule ndani ya msikiti.
@neemafatu471
@neemafatu471 Жыл бұрын
Anaweza kuongoka inshallah
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Subuhanallah inalillah wainailahi rajuun
@salimaalsharji8354
@salimaalsharji8354 2 жыл бұрын
Asalam Alaykum . Sio kumuadhirisha . Mfikisheni kwa Sheikh amfahamishe ili apate sleem
@muhammadalibhaz1390
@muhammadalibhaz1390 2 жыл бұрын
hakudhalilishwa ila hayo yalikuwa kuwathadharisha wananchi ili wasingiye mkenge katika jina la dini
@samwelkirimi5939
@samwelkirimi5939 2 жыл бұрын
Kweri dunia ina mambo bila hukumu ya mwanadamu iko tayari adabu ya Mungu heri mwizi wa bunduki kuliko kuiba na mambo ya dini ya mwenyezi Mungu jameni afundishe kutii Mungu apate msamaha
@salehkhamis8653
@salehkhamis8653 2 жыл бұрын
Hukmu yake huyo mwizi mpelekeni kwa viongozi wa dini wana ghulamaa mashekh ili akapewa hukmu inayoendana na Uislam
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Duh kanenepa mashavu mwizi uyooo loh aibu
@edoyoseph4606
@edoyoseph4606 Жыл бұрын
Huyu mpeleken Kwene Parokia anakosali kama kweli ni Mkatolic asiudhalilishe Ukatolik
@mr.ab_officially6507
@mr.ab_officially6507 2 жыл бұрын
Hatari kubwa miaka 3 unachangisha kisha unaenda kunywa bia shetani we
@salimmgwame9504
@salimmgwame9504 2 жыл бұрын
Sawasawa, asamehewe baadae,Inshallah.
@omarmutta4999
@omarmutta4999 2 жыл бұрын
Huyu bwana yafaa atubu alafu asilim awe muislamu
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 2 жыл бұрын
Na akikamatwa huwa anajifanya mnyonge sana Duu kitambo sana Duu Sasa kkachoka kutapeli Dhahabu anajifanya mchangisha misikiti.
@robertphilip385
@robertphilip385 2 жыл бұрын
Waislamu wa Tanzania niwastaarabu sana ingekua Afghanistan wangemkata shingo
@cimpayeriziki5035
@cimpayeriziki5035 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amusamehe
@nassorhaji2637
@nassorhaji2637 2 жыл бұрын
Innalillahi wainnaailaihi raajiuun..ama kweli dunia imekwisha
@vincegelas
@vincegelas 2 жыл бұрын
Jaman mimi nipo himo kilimanjaro juzi kuna ostath kapita mtaani akichangisha hela anasema nizawatoto yatima hebu fuatilieni jaman, isijekua nimuhuni maana na mm nlichangia.
@homemohammed3244
@homemohammed3244 2 жыл бұрын
Huyo sheikh katumia busara Sana ila ngekuwa wengine hapo angekuwa sio Mtu hapo
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf Жыл бұрын
Inalillah wainailaihim rajuhun.
@zainabdjuma73
@zainabdjuma73 2 жыл бұрын
Eeeeh Allah mkubwa jamani Al shababu no ya Obama ndie kaunda hio
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojli
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 жыл бұрын
Katumwa na kanisa ⛪ hili watu wajue kwamba waislam ni omba omba leo m'mungu kamzalilisha
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@mrematvbabakoku8336
@mrematvbabakoku8336 2 жыл бұрын
Mkristo mwezangu ulikoingia umenitisha manake huko hakuingiliki wanapenda ligi kama ugali
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 2 жыл бұрын
Kwa hiyo amefanya vizuri kuiba? Hau yeye anaonewa?kwa hakika huu ni msiba!
@nuratkalinga581
@nuratkalinga581 2 жыл бұрын
Msiba huu Yarab
@habibaomary228
@habibaomary228 2 жыл бұрын
Ahsnte umemkomesha kwann asipige kazi hata yakubeba magunia y viazi
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 жыл бұрын
Uyo jamaa ayuko pekeake ni kundi kubwa la Romani katholik⛪
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 2 жыл бұрын
Asalam alaikum warahamatullah wabarakatuh. Mumusamehe jamani.amekoseya lakini mumusamehe
@laylatmlacha4729
@laylatmlacha4729 2 жыл бұрын
Innallilah wainnallilah rajiun
@nurumwenkale7278
@nurumwenkale7278 2 жыл бұрын
Kinachotakiwa hapo c mmeshamjua mxameheni Haina haja ya kwenda police maan hata akifungwa hataziludisha hizo pesa Ila mkimuachia atabaki na zambi zake na mungu ndie atakae mhukumu
@hamisimuhammad3656
@hamisimuhammad3656 Жыл бұрын
Innaalillahi wainnaa ilayhirajiuun
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 2 жыл бұрын
Na ndio maana waganga wapo wengi wakienyeji wanajiita Abdulswamadi, hussein hassan, na nikina John na kina William
@aminamarie2387
@aminamarie2387 2 жыл бұрын
Subkhanallah Kwa nini jamani from Seychelles.
@hassinaalharthi5984
@hassinaalharthi5984 2 жыл бұрын
Jamani kisha kiri kuwa kakosea kwa hiyo mumsamehe Jamani... İla kəsi yake mwacheni Allah yeye ndie hakim mkuu...
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 жыл бұрын
Mtihani
@habibamhina9075
@habibamhina9075 2 жыл бұрын
Hata kwangu alikuja mwaka juzi mwaka Jana na nilikua nikichanga mm na wapangaji wangu😭
@shameemrashid5219
@shameemrashid5219 2 жыл бұрын
Subuhnalaah ila watu jamn 😭😭
@waridiommy5823
@waridiommy5823 2 жыл бұрын
Niwaambie kitu huyo jamaa hakutakiwa kuwekwa hadharani Kuna watu wanafanya matukio zaidi ya hayo Ila hawadharirishwi mgemling'ania tu akaukubali uwislamu
@kungakunga9536
@kungakunga9536 2 жыл бұрын
Aaah! Hatar kwakwel
@lwagamwakalinga8038
@lwagamwakalinga8038 2 жыл бұрын
Hili jambo lisitiwe chumvi sana sijui eti mkristo anaewaibia waislam sababu hawa wanaochangisha kwa ujenzi wa misikiti hata wakristo huwa tunachangiaga sana, kwa upande wangu mimi sio muislam lkn nimewahi changia sana kwa watu kama huyo kwa ajili ya ujenzi wa misikiti hivyo huyo ni tapeli kama tapeli mwingine na sio issue ya dini.
@user-hn6kv6xe7m
@user-hn6kv6xe7m 8 күн бұрын
Huyo muuweni
@issabinmaryam7450
@issabinmaryam7450 2 жыл бұрын
Kwenye kuongelea al shabab ndo ameharibu mada..wew uwatoe ndugu zetu wasomali ktk uislam...watu wanakufa wana nuru na shahada af uongee utumbo huo
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 DUH ¡!!! 🤣🤣🤣 Dunia hii tunaona mengi
@zaidyabdalah3691
@zaidyabdalah3691 2 жыл бұрын
Na wewe jamaa unamng'ang'ania huyo bwana vp? Muachie aende zake unamtembeza eti kila msikiti ili umdhalilishe tu unaonekana wewe mnoko sana
@stanmrope999
@stanmrope999 2 жыл бұрын
Huyo anaitwa SAID NYANG'ANG'A, tumeishi nae Temeke kotas na kwa sasa ni kweli mkaazi wa kingugi mbagala. Sio kweli kuwa ni Frandis .muongo
@yakobomkristo872
@yakobomkristo872 2 жыл бұрын
Duuuu! Kumbe Anaitwa Side Mnyamwezi !
@skjjsj1889
@skjjsj1889 2 жыл бұрын
Hana hata aibu mzee mzima hovyo
@taturajabu8377
@taturajabu8377 Жыл бұрын
Aibuu
@najashrk3738
@najashrk3738 2 жыл бұрын
Nakunawale wanaoslimu kila mkowa kila wilaya kila mskiti lengo kuu nikupata misaada wotehawa ni wamoja matapeli wakubwa mbwatuhawa
@cornelnshubile6819
@cornelnshubile6819 2 жыл бұрын
Siyo haki kumtembeza mitaani, mnaweza kusababisha majanga, nyie siyo wahusika wa kupeleleza, mpeleke au waite wahusika na usalama, watampeleka na kumhoji inavyotakiwa.
MASHINJI ALIVYOIBUKA KUMNADI GWAJIMA BILA KINYONGO
2:47
Millard Ayo
Рет қаралды 10 М.
СНЕЖКИ ЛЕТОМ?? #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
🔴LIVE :DR.SULLE MWANADAMU WA KWANZA ALIKUA MWEUSI SIYO MWEUPE/HISTORIA
59:53