Mimi ni muislam nampenda mtume wangu mohammad (s a w) na namtwii mola wangu Allah kama na wewe unakubaliana na mm like down
@aliybecka51692 жыл бұрын
Mimi si like ila nakoment, je unafuata maamrisho na unaacha makatazo ya Allah na mtume?
@mariamkhalfan23462 жыл бұрын
@@aliybecka5169 hayo mengine ni miongoni mwa mapungufu kwani hatujakamilika
@aliybecka51692 жыл бұрын
@@mariamkhalfan2346 Hapana unakosea kwa sababu hatutakiwi kifuata dini kwa hisia bali ni elimu na Allah anasema "sema ikiwa munampenda yeye basi munfuate mtume na yeye(Allah)atakupendeni na atakufutieni madhambi
@mariamkhalfan23462 жыл бұрын
@@aliybecka5169 shukran ndugu yangu kwa ukumbusho Allah akujaze elimu biidhnillah nakupenda kwa ajili ya Allah
@aliybecka51692 жыл бұрын
@@mariamkhalfan2346 Ahsante sana dadaa Allah akupe kheri na akujalie uwe mwenye kufuata mafundisho sahihi ya quran na sunnah na akuepushe na shirk
@lacroquetalacroqueta68132 жыл бұрын
Asalaam Alaikum, Msameheni waisilamu...huu ni mtihani Allah kawapa katika haki yenu, hakika ya Allah atatujaribu kwa khairi na shari sasa hapa tunatakiwa tuweni makini ili tufuzu, inshaaAllah atawapa zaidi ya hicho yalichochukua, msameheni , fajazakumullahu khairan
@selemaniselemani70142 жыл бұрын
Mashaa allah , allah awaongoze ,,! Uislam ni dini ya amani kabisa.
@methodiutou72782 жыл бұрын
Mimi ni Mkristu ila huyu jamaa amekosea sana! Mungu amsamehe maana hakuna dhambi mbaya kama kutumia jina la Mungu au Madhabahu ya Mungu kidhuluma
@maryamabdallah31402 жыл бұрын
Allah amuongoze, huenda ikawa akaja kusimama imara ktk kumjua Allah...
@geoffreyembasa84832 жыл бұрын
Kweli,watu wakifanyiwa hisani mwisho ujirudilia
@eusterusaji19202 жыл бұрын
In shaa Allah
@FeisalMNoor2 жыл бұрын
Ma Sha Allah! The Goodness of Muslims in Islam 👏👏
@uthmanmaluja70052 жыл бұрын
Allah amwongoze afuate haq..
@jumakalukule53122 жыл бұрын
M/ mungu hafichwi leo umeumbuka yani mungu akusamehe badilika mzee tafuta pesa kwanjia nyingine
@abdulhamidsalim6927 Жыл бұрын
Waislamu Twazalilishwa Subhanallah Allah Atupeupendo InshaAllah
@suleimanisaid69262 жыл бұрын
Nimependa Sana uwamuzi.... mzuri tulio chukuwa waislam,na Mwenyezi Mungu atuzidishie na kutupa Moyo WA subra na uvumilivu....
@hafsahajiabeid57682 жыл бұрын
Allaahu Akbar waislamu wenzamgu tufahamisheni na.sisi namna yakumpata mtu alie kutapeli kupitia.simu ikasaidia.simu mpaka nyumbani kwake ukamgongea
@alphayokibangali3782 жыл бұрын
Mnajiona mmekamilika "mnakumbuka mbagala mtoto aliyekojolea quran mlihaha sana mkataka kumuua badala yake mkachoma makanisa ila wakristo waelewa wakamwachia Mungu"
@mdgmedia25432 жыл бұрын
Kwa ivyo ww pia ni mwizi mwenzake
@rezikomer95522 жыл бұрын
Mashallah niviuri utomudhurmungu akuzidishiye
@hadharaalli52012 жыл бұрын
Allah amjaalie aweze kuingia kwenye dini hii ya hakk na Allah ameahidi kua ataulinda uislam mpaka mwisho wa Dunia
@@josephwilliam5813 ANGALINDWA YESU ASIPIGILIWE MISUMARI UBAONI UCHI .
@Awatee2 жыл бұрын
@@josephwilliam5813 ulikua unataka ulinzi gani ata wewe pia una malaika asubuhi jion usiku
@heyumi23402 жыл бұрын
@@Awatee wakiristo wanajua yesu aliteswa msalabani wakati hakuuliwa wala hakusulubiwa ila wanajifanya vichwa maji
@Awatee2 жыл бұрын
@@heyumi2340 Mtihan mkubwa dear ALLAH atuongoze ktk njia ilionyooka na atuepushe na ukafir pamoja na vizazi vyet Amiin
@saynabmohammed62632 жыл бұрын
Huwenda Allah atampa tawhid
@abdulsaid45792 жыл бұрын
Kaka yng Mungu akubaarik. Unamaono n busafa y hali y juu. Kw kuweza kumsoma huyo kaka n kumchambua kiundani. Ama kweli za mwizi arobaini..ushauri wangu mtafutieni kazi y kufanya ili akawalishe wanawe kw rizki za halali .
@salimharrasy70472 жыл бұрын
Muache asilimu kwa hiari yake. Kakosea na kama kawaida binaadam wote tunakosea.
@rukkyxarat2 жыл бұрын
Alisema anataka kuslim? Hata hilo.pia kwa sababu ya utapeli wake anaweza kuwa muongo
@hamadali50622 жыл бұрын
Ndugu ramadhani kasiba umefanya kazi nzuri Sana. Allah ukupe kila kheri
@edoyoseph4606 Жыл бұрын
Kongole sna waislam M/Mungu awape Moyo WA subra Zaid ila mpeleken kwa Paroko ktk Parokia alikokuwa anasalia asiseme TU mie Mkatoliki bc ikaishia hapo
@laurentjoseph29572 жыл бұрын
Kweli yawezekana alshaababu ni kichaka Cha wahuni kuuchafua uislamu
@jamilajuma7572 жыл бұрын
Ni kweli ni wachafuaji wa dini ya kiislamu
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Kwani hamjui??? Mbona kila siku tunakwambieni???
@asiyharoon94712 жыл бұрын
Subuhannaallah innalillah wainna ilaihi rajiun mungu amsamehe
@somane512 Жыл бұрын
MANSHALLAH ALLAH HAFID All of you
@rajeep-ni7lh Жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah
@nooraallahuakibarumwenyeez30792 жыл бұрын
INNA LLAH MAA SWABRIN LAANATU LLAH POLE NAKUOMBEYA DUA SIKU USILIMU KABISA HAPO HUJATUIBIYA SS UMEMUIBIYA ALLAH NDIYO MAANA KATUBAINISHIYA MAANA MISKITI MADRASA HIZO N NYUMBA ZA ALLAH
@alialibablly70102 жыл бұрын
Si hoja kumpeleka polisi ilikuwa tumsamehe inshallah Huezi jua Mungu atambadilisha nia yake ikabaki story alivyo kuwa
@ashunebeibe2641 Жыл бұрын
Hasbana Allah wanemal wakil
@mwanawatusalum5766 Жыл бұрын
Mwizi.mkubwaaa uyooo anahayaaa mungu mbwa kazililikaaaa Sana surambayaaaa surandigo kamapliton
@jacobponga15402 жыл бұрын
Assalam Aleikum ndugu zangu ktk imani, huyo tapeli ukweli amekosea na amekir kutorudia hilokosa tena, kweli mui huwa mwema na huenda pia akaslimu biidhinllah. asamehewe na asirudie tena, ni maoni yangu
@rajabpepo12242 жыл бұрын
Innalilah wainna ilaihi rajiun
@saudambinga38322 жыл бұрын
Subhanaallah 🙆
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Halafu huyu nimemkumbuka alikiwa anafanya kazi ya kuwatapeli wapemba pale Bandarini alikuwa akichukuwa vichupa na kutia makaratasi ya sigara ya Rex anaipanga vizuri anasema ni dhahabu anauza kwa ajili ya matatizo anasema nimepata ajali ndugu yangu yupo Hospitali tumetokea mwadui na alikiwa akiramba sana wapemba wakitoka Zanzibara pale Bagage Rom kwa Bakhresa pale Bandari watu wanamjuwa sana huyo watu wamelizwa sana kwa kujifanya anauza dhahabu alikuwa na mwenzie mmoja mwanamke.
@bongue60032 жыл бұрын
Subhanallah Allahu akbar
@bahrujbaura80422 жыл бұрын
Anabahati angekua Mombasa Kenya angeshakufa!
@minabuelysee82 жыл бұрын
Allah azjdi kutuongoza Wakristo wajuwe kama sisi waislam ndio watu wazuri ndio tunachangia kwakua tunataka pelo yake
@thresherjordan68292 жыл бұрын
Nyie kuiba so vizur ila watu wa hv wapo wengi jamn kikubwa ni kupeleka mchango yetuuu sehem husika yan wapo kila kona namuonea huruma na umri umemtupa mkono 😪😪😪
@asmamjema85392 жыл бұрын
Kweli huyu baba jaman alinitapeli kwa swala la madini manzese wapo na mwanamke na mwanaume mwingine nawafaham Sana Allah azidi kuwaangaza
@zainabumartin952017 күн бұрын
Subhanllah 😢😢😢
@solomonsteve37492 жыл бұрын
As/alykm warahmatullahi wabarakatuh Juu ya yote hayo. Huyu anaonekana kaupenda uislam. Na atakuwa na mchango mkubwa na uislam. Kama alivyo udhalilisha uislam nnaimani atauinua sana uislam kwa fikra na nguvu kazi alionayo. Tunamkaribisha ktk uislam je yuko tayari kukubali na kuufanyia kazi uislam?
@shameemrashid52192 жыл бұрын
Hapan Hutu anatafuta kula kupitia uislam wala hajaupenda
@josephwilliam58132 жыл бұрын
Kama ao waislam wangeufuata uislam dhidi yake basi angekua Hana kiganja,,,SEMA ubinadam walionao na si kwasababu ya uislam
@iddiali80572 жыл бұрын
Nusra ya ALLAH inakujaa iyo
@peteryukunda92392 жыл бұрын
Jamani zeee zika,c ufanye kazi.
@josephmangera67992 жыл бұрын
Hizo Ni tamaaa zake mwenyewe, Wala ukristo na uislamu hauusikiii ashughurikiwe Kama mtuhumiwa
@majaliwamussa92682 жыл бұрын
Subhanallah
@majaliwamussa92682 жыл бұрын
Allahu akbar
@Official836402 жыл бұрын
Subhannallah
@naimamunishi12412 жыл бұрын
Subhana Allah😥😥😥😥😥
@iddiali80572 жыл бұрын
Safi sanaaaa
@geoffreyembasa84832 жыл бұрын
Mizimu na majini ya ukoo wake yamempendekeza milango ya misikiti tuu. Anafaa kutandikwa sana huyu mlevi. Kwanza wakatoliki ndio ukorofisha dunia nzima,kutesa na kuwatawanya wakristo wa kweli
@husseinsalimmaula42542 жыл бұрын
Mwenyezi mungu kamuumbua khabithi liamal huyo
@devothaignatus59112 жыл бұрын
Uwiiiiiiii mm kna kaka alinisumbua sana kila ciku anakuja kujenga madarasa imekuwa madarasa mala watoto yatima mpaka nilichoka kumchangia
@minskbelarus72552 жыл бұрын
MUNGU atakulinda
@idrissaissa56072 жыл бұрын
Mannsha allah
@ruqayaruqaya42832 жыл бұрын
Yn jitu zima limeadhirika kweli mungu huwa hamfichi mtu mnafki unatudhalilishia dini yetu na mungu leo kakudharirisha kabla hujafa acha kucheza na mungu ww mzee gojo😏😏
@mariamali18872 жыл бұрын
Jamani makafiri mmanini na uislam . Hii si dhulma jamani. 🙉🙉🙉🙉 bora hata angekula na familia yake anaenda kunywa baa 😟😟😟
@georgesikazwe59142 жыл бұрын
Mshamba wa dini ww muovu ni mtu yyt ttizo elimu hamna
@salimmalaka2562 жыл бұрын
@@georgesikazwe5914 WEWE SIO MSHAMBA WA DINI???
@mohammedali16452 жыл бұрын
Watu hawachi Allah
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Mwenyeji huyo pote hapo kama hamuamini mpelekeni Bandari pale Bagage Room mpaka kurasini D.m.i. pale kulikiwa na mkungu pale asubuh anawatega wanawake wanaotoka Zanzibar na meli ya Asubuhi duu za mwizi ni 40 ana lugha tamu huyoo ya biashara zake.
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Yote hayo yanasababishwa na uvivu wa watu kutokwenda msikitini sababu wangekuwa wanakwenda msikitini kwa wakati wasingetowa pesa zao mitaani wangetoa kule ndani ya msikiti.
@neemafatu471 Жыл бұрын
Anaweza kuongoka inshallah
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Subuhanallah inalillah wainailahi rajuun
@salimaalsharji83542 жыл бұрын
Asalam Alaykum . Sio kumuadhirisha . Mfikisheni kwa Sheikh amfahamishe ili apate sleem
@muhammadalibhaz13902 жыл бұрын
hakudhalilishwa ila hayo yalikuwa kuwathadharisha wananchi ili wasingiye mkenge katika jina la dini
@samwelkirimi59392 жыл бұрын
Kweri dunia ina mambo bila hukumu ya mwanadamu iko tayari adabu ya Mungu heri mwizi wa bunduki kuliko kuiba na mambo ya dini ya mwenyezi Mungu jameni afundishe kutii Mungu apate msamaha
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Hukmu yake huyo mwizi mpelekeni kwa viongozi wa dini wana ghulamaa mashekh ili akapewa hukmu inayoendana na Uislam
@saudahassan66672 жыл бұрын
Duh kanenepa mashavu mwizi uyooo loh aibu
@edoyoseph4606 Жыл бұрын
Huyu mpeleken Kwene Parokia anakosali kama kweli ni Mkatolic asiudhalilishe Ukatolik
@mr.ab_officially65072 жыл бұрын
Hatari kubwa miaka 3 unachangisha kisha unaenda kunywa bia shetani we
@salimmgwame95042 жыл бұрын
Sawasawa, asamehewe baadae,Inshallah.
@omarmutta49992 жыл бұрын
Huyu bwana yafaa atubu alafu asilim awe muislamu
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Na akikamatwa huwa anajifanya mnyonge sana Duu kitambo sana Duu Sasa kkachoka kutapeli Dhahabu anajifanya mchangisha misikiti.
@robertphilip3852 жыл бұрын
Waislamu wa Tanzania niwastaarabu sana ingekua Afghanistan wangemkata shingo
@cimpayeriziki50352 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amusamehe
@nassorhaji26372 жыл бұрын
Innalillahi wainnaailaihi raajiuun..ama kweli dunia imekwisha
@vincegelas2 жыл бұрын
Jaman mimi nipo himo kilimanjaro juzi kuna ostath kapita mtaani akichangisha hela anasema nizawatoto yatima hebu fuatilieni jaman, isijekua nimuhuni maana na mm nlichangia.
@homemohammed32442 жыл бұрын
Huyo sheikh katumia busara Sana ila ngekuwa wengine hapo angekuwa sio Mtu hapo
@sasha-ri7tf Жыл бұрын
Inalillah wainailaihim rajuhun.
@zainabdjuma732 жыл бұрын
Eeeeh Allah mkubwa jamani Al shababu no ya Obama ndie kaunda hio
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojli
@duniawadunia48242 жыл бұрын
Katumwa na kanisa ⛪ hili watu wajue kwamba waislam ni omba omba leo m'mungu kamzalilisha
@efrahfarahahmed89602 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@mrematvbabakoku83362 жыл бұрын
Mkristo mwezangu ulikoingia umenitisha manake huko hakuingiliki wanapenda ligi kama ugali
@fatumamwalimu57652 жыл бұрын
Kwa hiyo amefanya vizuri kuiba? Hau yeye anaonewa?kwa hakika huu ni msiba!
@nuratkalinga5812 жыл бұрын
Msiba huu Yarab
@habibaomary2282 жыл бұрын
Ahsnte umemkomesha kwann asipige kazi hata yakubeba magunia y viazi
@duniawadunia48242 жыл бұрын
Uyo jamaa ayuko pekeake ni kundi kubwa la Romani katholik⛪
@idrissamustafabukenya61102 жыл бұрын
Asalam alaikum warahamatullah wabarakatuh. Mumusamehe jamani.amekoseya lakini mumusamehe
@laylatmlacha47292 жыл бұрын
Innallilah wainnallilah rajiun
@nurumwenkale72782 жыл бұрын
Kinachotakiwa hapo c mmeshamjua mxameheni Haina haja ya kwenda police maan hata akifungwa hataziludisha hizo pesa Ila mkimuachia atabaki na zambi zake na mungu ndie atakae mhukumu
@hamisimuhammad3656 Жыл бұрын
Innaalillahi wainnaa ilayhirajiuun
@fatumamwalimu57652 жыл бұрын
Na ndio maana waganga wapo wengi wakienyeji wanajiita Abdulswamadi, hussein hassan, na nikina John na kina William
@aminamarie23872 жыл бұрын
Subkhanallah Kwa nini jamani from Seychelles.
@hassinaalharthi59842 жыл бұрын
Jamani kisha kiri kuwa kakosea kwa hiyo mumsamehe Jamani... İla kəsi yake mwacheni Allah yeye ndie hakim mkuu...
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Mtihani
@habibamhina90752 жыл бұрын
Hata kwangu alikuja mwaka juzi mwaka Jana na nilikua nikichanga mm na wapangaji wangu😭
@shameemrashid52192 жыл бұрын
Subuhnalaah ila watu jamn 😭😭
@waridiommy58232 жыл бұрын
Niwaambie kitu huyo jamaa hakutakiwa kuwekwa hadharani Kuna watu wanafanya matukio zaidi ya hayo Ila hawadharirishwi mgemling'ania tu akaukubali uwislamu
@kungakunga95362 жыл бұрын
Aaah! Hatar kwakwel
@lwagamwakalinga80382 жыл бұрын
Hili jambo lisitiwe chumvi sana sijui eti mkristo anaewaibia waislam sababu hawa wanaochangisha kwa ujenzi wa misikiti hata wakristo huwa tunachangiaga sana, kwa upande wangu mimi sio muislam lkn nimewahi changia sana kwa watu kama huyo kwa ajili ya ujenzi wa misikiti hivyo huyo ni tapeli kama tapeli mwingine na sio issue ya dini.
@user-hn6kv6xe7m8 күн бұрын
Huyo muuweni
@issabinmaryam74502 жыл бұрын
Kwenye kuongelea al shabab ndo ameharibu mada..wew uwatoe ndugu zetu wasomali ktk uislam...watu wanakufa wana nuru na shahada af uongee utumbo huo
@shifaazawadi44382 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 DUH ¡!!! 🤣🤣🤣 Dunia hii tunaona mengi
@zaidyabdalah36912 жыл бұрын
Na wewe jamaa unamng'ang'ania huyo bwana vp? Muachie aende zake unamtembeza eti kila msikiti ili umdhalilishe tu unaonekana wewe mnoko sana
@stanmrope9992 жыл бұрын
Huyo anaitwa SAID NYANG'ANG'A, tumeishi nae Temeke kotas na kwa sasa ni kweli mkaazi wa kingugi mbagala. Sio kweli kuwa ni Frandis .muongo
@yakobomkristo8722 жыл бұрын
Duuuu! Kumbe Anaitwa Side Mnyamwezi !
@skjjsj18892 жыл бұрын
Hana hata aibu mzee mzima hovyo
@taturajabu8377 Жыл бұрын
Aibuu
@najashrk37382 жыл бұрын
Nakunawale wanaoslimu kila mkowa kila wilaya kila mskiti lengo kuu nikupata misaada wotehawa ni wamoja matapeli wakubwa mbwatuhawa
@cornelnshubile68192 жыл бұрын
Siyo haki kumtembeza mitaani, mnaweza kusababisha majanga, nyie siyo wahusika wa kupeleleza, mpeleke au waite wahusika na usalama, watampeleka na kumhoji inavyotakiwa.