Kama kila mfugaji wa kimasai angekuwa na mawazo kama ya huyu mzee chuki za wakulima na wafugaji zingekuwa historia Tanzania,hongera sana Mzee wa Longido👏👏👏
@Daniel-qy4yw10 ай бұрын
Hongera sana babu yangu shambakubwa Mungu akubariki
@user-xi4ei4tz6u9 ай бұрын
Hadi nywele zina sisimkwa kwa uzito wa ujumbe, hongera saana mzazi, ujumbe umefika.
@domcityfarmingcenter775411 ай бұрын
Somo zuri na linafundisha sana 🙏🙏🙏 Mbarikiwe sana...
@isaackbaraka11 ай бұрын
Kusema kweli nawashukuru sana hakika "Fikra na mawazo yako yatatuongoza daima"
@GodfreyMwambwalo-ev9nh4 ай бұрын
Hongera sana
@frankchisemeli0911 ай бұрын
Mungu awabariki Sana! Mafunzo mazuri bado naendelea kujifunza kupitia Ngowi tv
@eliusmnyagwea951910 ай бұрын
Nipe kazi mi doctar mifugo
@marychuwa81594 ай бұрын
Kwa kweli urithi si Elimu tu ngo'mbe 16 na fikra chanya zimebadili maisha