Glory be to God. Mtubu ndani ya siku 7, Mungu adhiakiwi, repentance and accept Jesus Christ in 7 days. Don't say you were not warned.
@deborahmchona55846 күн бұрын
Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie
@chrisdeoglatias86653 күн бұрын
Na atusaidi kwlkwel
@HappyFlowers-ee8ru4 сағат бұрын
Mmmh kweli basi nmehakikisha kuwa masanja siooooo kabisaaaa maana Giza na nuru havichangamani kiboko ya wachawi sio kabisaaa maana alisemaga hata utakatifu sio kazi yake kufundusha Wala muda wa kukemea dhambi Hana
@WilbertChambilo-yl1kc9 күн бұрын
Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji
@festinamwakipale39195 күн бұрын
Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
@chrisdeoglatias86653 күн бұрын
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@festinamwakipale39193 күн бұрын
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe3 күн бұрын
Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.
@festinamwakipale39193 күн бұрын
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
@moseshaule58611 сағат бұрын
Akuogope wewe kwani ndo uliyemfia msalabani.... au wewe ni mchungaji wake? Kila mtu abaki na malezi ya babaake wa kiroho... Wewe mbona huogopi kuandika jina Yesu kwa kuanza na herufi ndogo... hujafundishwa vizuri na babaako kwa kiroho?
@user-jw8pw2pd9l6 күн бұрын
Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo
@user-dx4ow8vq1c6 күн бұрын
Anakaa sehemu gani?
@user-pw2sw1sk1b5 күн бұрын
😅😅😅😅@@user-dx4ow8vq1c
@user-pw2sw1sk1b5 күн бұрын
Anakaa wap😅
@peterrulagora74032 күн бұрын
Ndio roho mtakatifu hayupo hapo labda nguvu za majini
@evodiajohn79919 күн бұрын
Tafuta hela wacha kuhukumuhuku
@user-tt1nm9xs4n4 күн бұрын
Masanja naomba milion mbili
@chrisdeoglatias86653 күн бұрын
Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!
@user-nd9kd2wi4h5 күн бұрын
Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu
@mbonicosmas5984Күн бұрын
DRESSING CODE. they put on red, black or white golden shinning garments as working uniform. it is never a coincidence. each color represents a spiritual rank that one has got, red being the highest.
@pumarice27106 күн бұрын
Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.
@mariapendael62610 сағат бұрын
Eee mungu wangu maanget sasa wako hadharani tena wanatumia jina la yesu 😭😭huyo ni yesu gani hata hivyo? Labda yesu wa yezeberi laana na iwe juu yao
@evajeremiemunkamba36223 сағат бұрын
What is this in church
@daudiazizi84952 күн бұрын
Nanyie si muigize muwe wa uongo mpate hela,watazidi Kubarikiwa.achen kuaonea wvu
@EzekiaMtwale18 сағат бұрын
acha ujinga WEWE, wanawaonea wivu kwa lipi?! hayo maigizo?!!
@Youngers96019 сағат бұрын
Yaani nyiye majambazi wasta harabu
@StevenMwannegaКүн бұрын
Mliambiwa mtawatambua kwa matendo yao,nashukur kwa sabab nimekumbukalisem hiz nyakati zitafik inadhihilisha izo nyakat ndio hiz sasa,,,,.
@florapeudy39632 күн бұрын
Mwee😅 unajua kupamba watu hataka hawataki watatoa tu
@VictorJohn-fu7ch7 күн бұрын
Wow❤❤❤
@BeniJohn-xd3cn9 күн бұрын
Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi
@mwana38873 күн бұрын
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@BeniJohn-xd3cn3 күн бұрын
@@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani
@BeniJohn-xd3cn3 күн бұрын
@@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe
@BeniJohn-xd3cn3 күн бұрын
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
@DeogratiusAndrew-zi7zv7 күн бұрын
Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii
@user-wi8og3sv4j4 күн бұрын
Hapa and anataka hela
@HorizonLtd-ty7ep20 сағат бұрын
Anamaslai
@user-st5th2uo3sКүн бұрын
Usihukum usije ukahukumiwa acha magugu na ngano vikue pamoja
@OswardSanga-ep5jsКүн бұрын
Wote hawana hela hapo ndiomaana wanaombaomba angalau yule jamaa wa Arusha Geo Dev
@jumakihiyo4 күн бұрын
Genge la wahuni tu hilo
@BeniJohn-xd3cn9 күн бұрын
Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote
@RehemaMtono8 күн бұрын
Na zumaridi
@BeniJohn-xd3cn8 күн бұрын
@@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli
@RehemaMtono8 күн бұрын
@@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote
@BeniJohn-xd3cn7 күн бұрын
@@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc6 күн бұрын
Wewe unashingap
@emmanuelsunday83252 күн бұрын
😮😮😮masanja achaga utani ujue wewe kwa sasa ni mchunga badilika basi
@MlyakadoHassan5 күн бұрын
Jamani hebu tujiulize yakwetu
@user-vg9bu6zv8v4 күн бұрын
Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana
@chrisdeoglatias86653 күн бұрын
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
@NizerMgombele-xn5hbКүн бұрын
Kila manabii ni wa uongo hvyo hakuna wachungaji wa uongo huu ni upumbavu mjue mungu ndo maana liko neno linasema ukishakuwa na roho mtakatifu utazipima roho kujua zimetoka wapi usilopokelopoke tu , mara nyakati za mwisho unazijua hzo nyakati na maana yake ,shauri jambo unalofahamu usilalamike 2 kama hujui kitu jifunze kumjua mungu utapotosha watu mpende mungu na uwe mwaminifu kwake utabarikiwa sana
@chrisdeoglatias8665Күн бұрын
@@NizerMgombele-xn5hb Kwan shida iko wp? Usemalo nisawa ila sjajua kwa vdeo hii uko upnde upi? Au wewe unafikir manabii wa uongo mpk waweje?
@neemamwanga4073 күн бұрын
Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂
@MydearYasini-zp7rd19 сағат бұрын
Maigizo
@ashasalim6123 күн бұрын
Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe
@MlyakadoHassan5 күн бұрын
Jamani pesa nikitu kingine wewe fanya yako sikiliza tuu
@godfreysanziki14617 күн бұрын
Ulijua kuwakamata ma bishop
@user-cb7io3pk4l3 күн бұрын
Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂
@nelsonnyamle5 күн бұрын
HAKUNA MANABII TANZANIA BALI TUNAWAWAKILISHI WA SHETANI KUELEKEZA WATU KWENDA KUZIMU
@SGIT-jd6fg5 күн бұрын
Unajuaje kama hawapo mpendwa usipingane na Neno la Mungu kama wauongo wapo jua hata mmoja wa kweli anaweza kuwepo
@CharlesMakasi-jp2hs5 күн бұрын
@@SGIT-jd6fgsahh kabsa watu wanashindwa kuelewa sana
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm5 күн бұрын
Maandiko ndio yanayo. thibitsha kuwa kutakuwa na manabii soma kitabu Cha ufunuo yey sikawambia yey ni Alfa na omega mwanzo na mwisho ?@@SGIT-jd6fg
@YustoMlay-cv4zb4 күн бұрын
Acha tu Mungu atuokoe na kuzimu
@JeffJoeNya4 күн бұрын
Sawa MuNGU
@meckngenzi1690Күн бұрын
Sihukumu ila biblia inasema kwenye mithali 18-24 Ajifanyiaye marafiki wengi ni kwa uangamivu wake yeye mwenyewe
@danielbrizzy4 күн бұрын
mbalikiwe sana
@DeogratiusAndrew-zi7zv7 күн бұрын
Hao wanakuonyesha ukomavu
@EzekiaMtwale18 сағат бұрын
NI AIBU HICHO KINACHOTENDEKA! NI HERI WANAOJITOKEZA WAZ KWA WAGANGA KULIKO HAYO MAIGIZO!
@valenakomba76863 күн бұрын
MUNGU SIYO KITU CHA KUFANYIWA VICHEKESHO.
@user-bz5ti6op6z5 күн бұрын
MUNGU pamoja nasi
@GideonMsengi3 күн бұрын
Masanja😂😂😂😂😂😂
@warakawayohana28963 күн бұрын
Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira
@festinamwakipale39193 күн бұрын
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
@MasanjaTVgospel2 күн бұрын
😆😆😆
@peterrulagora74032 күн бұрын
Nani kakwambia Kila anayechangia mada hana pesa?
@warakawayohana28962 күн бұрын
@@peterrulagora7403 hata wewe Huna?😂😂😂
@ElizabethMisunza4 күн бұрын
hili ni jopo la mitume wa mashetani
@danielamosi68719 күн бұрын
Una sifa sana wew sikupendi
@neymishytz93024 күн бұрын
Dah watu wengine km wachawi ampendi maendeleo ya wenzenu
@user-oc3zp5sp4y3 күн бұрын
Dunia isisile vayawe
@MlyakadoHassan5 күн бұрын
Kwani uganga unashida gani
@hajjisanga7898 күн бұрын
Acha kumchukia mtu mwingine yeye anafikisha yale anayo ya amini kwahiyo tusiwe na donge sana kumuona masanja anafanya neno sasa unataka afanyeje atangaze ushoga au
@Godishereforus3 сағат бұрын
You guys Heaven is real, so is hell, repent in 7 day, you're warned.
@rosekihawa88246 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akutumie zaidi mtumishi
@user-kn8pw7vk4e5 күн бұрын
Hapo kuna manabii au manabii wa uongo 100%
@deborahmchona55846 күн бұрын
Kuna mtu nimemwona hapo mpka nimestuka manake hata
@BeniJohn-xd3cn5 күн бұрын
Mtaje ndungu na sisi pia tupate kushangaa maana kushangaa kunafungua kitu fulani ktk maisha yetu ya Ukristo Yesu
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm5 күн бұрын
Mbon hamjamwalika yule nabii anae gawaga pesa?
@kadejahh40364 күн бұрын
Yupo apo
@RobertMolell2 күн бұрын
Ndg zangu tuchunge midomo yetu kwani itaja tugharimu siku 1,wawe wa ukweli au wauongo watajua wao na aliyewaumba.
@julianabenard78405 күн бұрын
wanamvuta huyu masanja atakuja kujuta... so utumishi sio mchezo
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm5 күн бұрын
Kwan huy masanja kajiunga na manabii naye? Baada ya siku chache utasikia nae ni nabii hiyo ndio bongo tz
@user-tt1nm9xs4n4 күн бұрын
Ameshajiunga
@godlovemrosso59733 күн бұрын
Chaaaa uyana chu ngachoooka Kama Mungu yupo basi atatenda yenye haki maana yy ndo anaona yaliyo sirini