TAZAMA MANABII WALIVYO MWAGA PESA KWA MASANJA

  Рет қаралды 30,604

Masanja TV

Masanja TV

11 күн бұрын

TANGAZA NASI MASANJA TV:
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Пікірлер: 131
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 2 күн бұрын
Eti manabii😂😂,hao ni watabiri na waganga kwa mgongo wa jina la Yesu
@jacklinakinabo6479
@jacklinakinabo6479 22 сағат бұрын
😂😂😂😂 Nifundishe kunyamaza ee Mungu wangu ,,acha hukumu iwe juu yako .
@erodiasmallya2869
@erodiasmallya2869 4 күн бұрын
Nyakati Za mwisho tutaona mengi. Manabii wa uongo wameongezeka na wanazidi kuongezeka😭
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 4 күн бұрын
Nilichogundua Masanja umejuankucheza na fahamu zao Kwa nafasi zao kuwacgomoa pesa
@mastermurundidon1431
@mastermurundidon1431 Күн бұрын
Huwo niujinga,wanawarubuni,wanawaiba,wanawafanya mbumbumbu,hivi ninyi wa Tanzania nani kawaloga hadi stage hiyo
@danielmrashani8710
@danielmrashani8710 7 күн бұрын
Yesu akutunze Sana bishop masanja
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w 4 күн бұрын
Haahahhahha jamaa anaesambZa maiki goti mpaka chini 😂😂
@nicholausrwezaura1971
@nicholausrwezaura1971 8 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@paulezekia1041
@paulezekia1041 16 сағат бұрын
Wwe hunahakiri unampagia mungu filimasoni hawanauwezo wakumzidi mungu acha kanisa lijegwe nawewe update kuokolewa nakunjua mtendo makuu yakilisto
@barnaba3037
@barnaba3037 18 сағат бұрын
Mungu atuokoe
@user-ez7lk3it5s
@user-ez7lk3it5s 20 сағат бұрын
Nyakati.hizi.nizamwisho.tujihazari.namanabii.wauongo.ndo.hawa
@MageseBasubukundi
@MageseBasubukundi 3 сағат бұрын
Masanja ubalikiwe
@BartolomeuHenrique-mx1fn
@BartolomeuHenrique-mx1fn Күн бұрын
Duh massanja Nini????umepotea
@Godishereforus
@Godishereforus 4 сағат бұрын
Glory be to God. Mtubu ndani ya siku 7, Mungu adhiakiwi, repentance and accept Jesus Christ in 7 days. Don't say you were not warned.
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 6 күн бұрын
Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 3 күн бұрын
Na atusaidi kwlkwel
@HappyFlowers-ee8ru
@HappyFlowers-ee8ru 4 сағат бұрын
Mmmh kweli basi nmehakikisha kuwa masanja siooooo kabisaaaa maana Giza na nuru havichangamani kiboko ya wachawi sio kabisaaa maana alisemaga hata utakatifu sio kazi yake kufundusha Wala muda wa kukemea dhambi Hana
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc 9 күн бұрын
Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 5 күн бұрын
Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 3 күн бұрын
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 3 күн бұрын
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe 3 күн бұрын
Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 3 күн бұрын
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
@moseshaule586
@moseshaule586 11 сағат бұрын
Akuogope wewe kwani ndo uliyemfia msalabani.... au wewe ni mchungaji wake? Kila mtu abaki na malezi ya babaake wa kiroho... Wewe mbona huogopi kuandika jina Yesu kwa kuanza na herufi ndogo... hujafundishwa vizuri na babaako kwa kiroho?
@user-jw8pw2pd9l
@user-jw8pw2pd9l 6 күн бұрын
Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo
@user-dx4ow8vq1c
@user-dx4ow8vq1c 6 күн бұрын
Anakaa sehemu gani?
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 5 күн бұрын
😅😅😅😅​@@user-dx4ow8vq1c
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 5 күн бұрын
Anakaa wap😅
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 2 күн бұрын
Ndio roho mtakatifu hayupo hapo labda nguvu za majini
@evodiajohn7991
@evodiajohn7991 9 күн бұрын
Tafuta hela wacha kuhukumuhuku
@user-tt1nm9xs4n
@user-tt1nm9xs4n 4 күн бұрын
Masanja naomba milion mbili
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 3 күн бұрын
Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!
@user-nd9kd2wi4h
@user-nd9kd2wi4h 5 күн бұрын
Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu
@mbonicosmas5984
@mbonicosmas5984 Күн бұрын
DRESSING CODE. they put on red, black or white golden shinning garments as working uniform. it is never a coincidence. each color represents a spiritual rank that one has got, red being the highest.
@pumarice2710
@pumarice2710 6 күн бұрын
Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.
@mariapendael626
@mariapendael626 10 сағат бұрын
Eee mungu wangu maanget sasa wako hadharani tena wanatumia jina la yesu 😭😭huyo ni yesu gani hata hivyo? Labda yesu wa yezeberi laana na iwe juu yao
@evajeremiemunkamba362
@evajeremiemunkamba362 23 сағат бұрын
What is this in church
@daudiazizi8495
@daudiazizi8495 2 күн бұрын
Nanyie si muigize muwe wa uongo mpate hela,watazidi Kubarikiwa.achen kuaonea wvu
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 18 сағат бұрын
acha ujinga WEWE, wanawaonea wivu kwa lipi?! hayo maigizo?!!
@Youngers960
@Youngers960 19 сағат бұрын
Yaani nyiye majambazi wasta harabu
@StevenMwannega
@StevenMwannega Күн бұрын
Mliambiwa mtawatambua kwa matendo yao,nashukur kwa sabab nimekumbukalisem hiz nyakati zitafik inadhihilisha izo nyakat ndio hiz sasa,,,,.
@florapeudy3963
@florapeudy3963 2 күн бұрын
Mwee😅 unajua kupamba watu hataka hawataki watatoa tu
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch 7 күн бұрын
Wow❤❤❤
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 9 күн бұрын
Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi
@mwana3887
@mwana3887 3 күн бұрын
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 күн бұрын
@@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 күн бұрын
@@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 күн бұрын
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 7 күн бұрын
Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 4 күн бұрын
Hapa and anataka hela
@HorizonLtd-ty7ep
@HorizonLtd-ty7ep 20 сағат бұрын
Anamaslai
@user-st5th2uo3s
@user-st5th2uo3s Күн бұрын
Usihukum usije ukahukumiwa acha magugu na ngano vikue pamoja
@OswardSanga-ep5js
@OswardSanga-ep5js Күн бұрын
Wote hawana hela hapo ndiomaana wanaombaomba angalau yule jamaa wa Arusha Geo Dev
@jumakihiyo
@jumakihiyo 4 күн бұрын
Genge la wahuni tu hilo
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 9 күн бұрын
Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote
@RehemaMtono
@RehemaMtono 8 күн бұрын
Na zumaridi
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 8 күн бұрын
@@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli
@RehemaMtono
@RehemaMtono 8 күн бұрын
@@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 7 күн бұрын
@@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc 6 күн бұрын
Wewe unashingap
@emmanuelsunday8325
@emmanuelsunday8325 2 күн бұрын
😮😮😮masanja achaga utani ujue wewe kwa sasa ni mchunga badilika basi
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan 5 күн бұрын
Jamani hebu tujiulize yakwetu
@user-vg9bu6zv8v
@user-vg9bu6zv8v 4 күн бұрын
Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 3 күн бұрын
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
@NizerMgombele-xn5hb
@NizerMgombele-xn5hb Күн бұрын
Kila manabii ni wa uongo hvyo hakuna wachungaji wa uongo huu ni upumbavu mjue mungu ndo maana liko neno linasema ukishakuwa na roho mtakatifu utazipima roho kujua zimetoka wapi usilopokelopoke tu , mara nyakati za mwisho unazijua hzo nyakati na maana yake ,shauri jambo unalofahamu usilalamike 2 kama hujui kitu jifunze kumjua mungu utapotosha watu mpende mungu na uwe mwaminifu kwake utabarikiwa sana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Күн бұрын
@@NizerMgombele-xn5hb Kwan shida iko wp? Usemalo nisawa ila sjajua kwa vdeo hii uko upnde upi? Au wewe unafikir manabii wa uongo mpk waweje?
@neemamwanga407
@neemamwanga407 3 күн бұрын
Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂
@MydearYasini-zp7rd
@MydearYasini-zp7rd 19 сағат бұрын
Maigizo
@ashasalim612
@ashasalim612 3 күн бұрын
Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan 5 күн бұрын
Jamani pesa nikitu kingine wewe fanya yako sikiliza tuu
@godfreysanziki1461
@godfreysanziki1461 7 күн бұрын
Ulijua kuwakamata ma bishop
@user-cb7io3pk4l
@user-cb7io3pk4l 3 күн бұрын
Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 5 күн бұрын
HAKUNA MANABII TANZANIA BALI TUNAWAWAKILISHI WA SHETANI KUELEKEZA WATU KWENDA KUZIMU
@SGIT-jd6fg
@SGIT-jd6fg 5 күн бұрын
Unajuaje kama hawapo mpendwa usipingane na Neno la Mungu kama wauongo wapo jua hata mmoja wa kweli anaweza kuwepo
@CharlesMakasi-jp2hs
@CharlesMakasi-jp2hs 5 күн бұрын
​@@SGIT-jd6fgsahh kabsa watu wanashindwa kuelewa sana
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 5 күн бұрын
Maandiko ndio yanayo. thibitsha kuwa kutakuwa na manabii soma kitabu Cha ufunuo yey sikawambia yey ni Alfa na omega mwanzo na mwisho ?​@@SGIT-jd6fg
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 4 күн бұрын
Acha tu Mungu atuokoe na kuzimu
@JeffJoeNya
@JeffJoeNya 4 күн бұрын
Sawa MuNGU
@meckngenzi1690
@meckngenzi1690 Күн бұрын
Sihukumu ila biblia inasema kwenye mithali 18-24 Ajifanyiaye marafiki wengi ni kwa uangamivu wake yeye mwenyewe
@danielbrizzy
@danielbrizzy 4 күн бұрын
mbalikiwe sana
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 7 күн бұрын
Hao wanakuonyesha ukomavu
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 18 сағат бұрын
NI AIBU HICHO KINACHOTENDEKA! NI HERI WANAOJITOKEZA WAZ KWA WAGANGA KULIKO HAYO MAIGIZO!
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 күн бұрын
MUNGU SIYO KITU CHA KUFANYIWA VICHEKESHO.
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 5 күн бұрын
MUNGU pamoja nasi
@GideonMsengi
@GideonMsengi 3 күн бұрын
Masanja😂😂😂😂😂😂
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 3 күн бұрын
Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 3 күн бұрын
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
@MasanjaTVgospel
@MasanjaTVgospel 2 күн бұрын
😆😆😆
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 2 күн бұрын
Nani kakwambia Kila anayechangia mada hana pesa?
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 2 күн бұрын
@@peterrulagora7403 hata wewe Huna?😂😂😂
@ElizabethMisunza
@ElizabethMisunza 4 күн бұрын
hili ni jopo la mitume wa mashetani
@danielamosi6871
@danielamosi6871 9 күн бұрын
Una sifa sana wew sikupendi
@neymishytz9302
@neymishytz9302 4 күн бұрын
Dah watu wengine km wachawi ampendi maendeleo ya wenzenu
@user-oc3zp5sp4y
@user-oc3zp5sp4y 3 күн бұрын
Dunia isisile vayawe
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan 5 күн бұрын
Kwani uganga unashida gani
@hajjisanga789
@hajjisanga789 8 күн бұрын
Acha kumchukia mtu mwingine yeye anafikisha yale anayo ya amini kwahiyo tusiwe na donge sana kumuona masanja anafanya neno sasa unataka afanyeje atangaze ushoga au
@Godishereforus
@Godishereforus 3 сағат бұрын
You guys Heaven is real, so is hell, repent in 7 day, you're warned.
@rosekihawa8824
@rosekihawa8824 6 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akutumie zaidi mtumishi
@user-kn8pw7vk4e
@user-kn8pw7vk4e 5 күн бұрын
Hapo kuna manabii au manabii wa uongo 100%
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 6 күн бұрын
Kuna mtu nimemwona hapo mpka nimestuka manake hata
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 5 күн бұрын
Mtaje ndungu na sisi pia tupate kushangaa maana kushangaa kunafungua kitu fulani ktk maisha yetu ya Ukristo Yesu
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 5 күн бұрын
Mbon hamjamwalika yule nabii anae gawaga pesa?
@kadejahh4036
@kadejahh4036 4 күн бұрын
Yupo apo
@RobertMolell
@RobertMolell 2 күн бұрын
Ndg zangu tuchunge midomo yetu kwani itaja tugharimu siku 1,wawe wa ukweli au wauongo watajua wao na aliyewaumba.
@julianabenard7840
@julianabenard7840 5 күн бұрын
wanamvuta huyu masanja atakuja kujuta... so utumishi sio mchezo
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 5 күн бұрын
Kwan huy masanja kajiunga na manabii naye? Baada ya siku chache utasikia nae ni nabii hiyo ndio bongo tz
@user-tt1nm9xs4n
@user-tt1nm9xs4n 4 күн бұрын
Ameshajiunga
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 3 күн бұрын
Chaaaa uyana chu ngachoooka Kama Mungu yupo basi atatenda yenye haki maana yy ndo anaona yaliyo sirini
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 7 МЛН
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 216 М.
RINGO AVISHA PETE HILI APA TUKIO LOTE #MASANJATV
18:13
Masanja TV
Рет қаралды 33 М.
MITUME NA MANABII WACHACHE NDIYO WENYE SHIDA - Askofu Dastan Maboya.
22:49
Archbishop Prof. Sylvester Gamanywa
Рет қаралды 24 М.
MCH: NDACHA :ETI? MUHAMMED SI MTUME WA MUNGU!
19:52
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 6 М.
KIMEUMANA CASSIN NA KIBOKO YA WACHAWI KUZALILISHANA HAZALANI EV PASCHAL CASSIAN
1:11:12
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 20 М.
BAMBO NA MTU MREFU COMEDY RECAP
8:53
Bambo Comedy
Рет қаралды 48 М.
Hatimae mazinge abatizwa tanga #Debate #tangamjini #shalbaonlinetv
21:37
SHALBA OnlineTV
Рет қаралды 305 М.
Мама хитрая😂​⁠​⁠@ladymilanapap4610
0:16
МишАня
Рет қаралды 1,4 МЛН
Парень со странностями помог мальчику 🥺 #фильмы #сериалы
1:00
DixyFilms - Фильмы и сериалы
Рет қаралды 2,4 МЛН
Эмоции💫 | Тгк: D1ashenka✨
0:22
D1ashenka
Рет қаралды 3,4 МЛН
В поисках семьи😢😱
0:56
Следы времени
Рет қаралды 8 МЛН
😨 24 ЧАСА чтобы найти школьную ПИЦЦУ
0:41
Настя, это где?
Рет қаралды 5 МЛН
Papa yeh dila do ajse mein aapki behen 😢😊 #shorts
0:30
Sikha shorts and vlogs
Рет қаралды 130 МЛН
One Two Buckle My Shoes ! #spongebobexe #shorts
0:17
ANA Craft
Рет қаралды 7 МЛН