Kama ilikupita episode hii na Maalim Nash ambayo ilifanyika mwaka mmoja uliopita basi hii ni maalum kwa ajili yako,MC Mahiri Maalim Nash alifika na kutupa simulizi za kusisimu Kuhusa muziki na maisha yake kwa ujumla.
Пікірлер: 41
@nakalikyumile32348 ай бұрын
Tuonyeshe ufuasi wetu kwa hawa kwa vitendo sio maneno matupu,hawa wana bidhaa kama album,eps,nguo kama tisheti,tununue kazi zao hiyo ndio sapoti ya kweli
@medardsotta52118 ай бұрын
Conscious! Nilikuwa namuona Nash sana kipindi naishi Temeke miaka ya 2016-17 sikuwahi jua ana knowledge kubwa kiasi hiki. Kipindi kizuri, nimejifunza mengi!
@juliusngowi9528 ай бұрын
Mzee wa CBT (Chamazi Bamia TV)..majina mengi, Maalim Nash
@edwardfaraji11338 ай бұрын
Mwanangu Nash Mc Zuzu mtoto wa Temeke
@tahfifdilham3688Ай бұрын
Huyu jamaa ana akili siyo sana mungu amjaalie kila a kher
@rogerslwitiko39158 ай бұрын
Kk Saleh Jabir mlete Bonta Maarifa kwenye session yako
@uwezokinahi78708 ай бұрын
Bonta ni another Legend kwenye Huu Muziki ambaye watu wengi hawamfahamu... Watoto wa 2000 hawawezi kumjua
@rogerslwitiko39158 ай бұрын
@@uwezokinahi7870 Umeonae Mtaalamu hiyo haina ubishi
@frankkajoba83727 ай бұрын
Daah, kibongo bongo haheshimiki sijui kwa nn, Bonta ni noma sana
@rogerslwitiko39157 ай бұрын
@@frankkajoba8372 Bongo unafiki ni mwingi unapewa Maua yako au unashindanishwa na kuambiwa ww ni Mkali ukiwa upo kwenye futi 6 za ardhi😥😥😥😓😓😓😓😓😓😓😓
@edwardasumwisye30107 ай бұрын
Mwaka uliofuata nikarudi Masasi, Kijijini CHIGUGU kuanza maisha mapya
@Chemba678 ай бұрын
Respect to you brother Kuvi kwa kumleta Maalim Nash.......
@REVOLUTIONARYLYRICS7 ай бұрын
Amani wana🇰🇪 namkubali Maalim Oi Oi
@lawrencedeocary99407 ай бұрын
Ilala Home ndio mnatokea.shout out to dully homeboy .all the from Brazil