THE CLASSIC MCHIZI MOX:MIKASI ULIKUA WANGU/MAJANI HAKUNIKUBALI/MJ ALIKUBAL/WATU KIBAO/TULIZAMIA SAUZ

  Рет қаралды 16,061

KuviFacts

KuviFacts

6 ай бұрын

Moja ya Rappers wa muda mrefu Mchizi Mox anasifika zaidi kwa sauti ya kipekee nchini alifika kwenye meza ya The Classic mwaka 2021 na kupiga stories kadhaa kuhusu yeye,Wateule na kadhalika,Je wajua kua wimbo wa mikasi ulikua wake na alimpatia rafiki yake Ngwea?tazama sehemu hii fupi ya mahojiano yetu.

Пікірлер: 59
@GodlistenAlen
@GodlistenAlen Ай бұрын
Sema mchz ni mchz kweli. Ujambazi mwingi. Eti Tonny Akili Mbaya.
@user-gf9pb5jz9j
@user-gf9pb5jz9j 6 ай бұрын
Yaani mimi hawa ndio huwa nawasikilizaga sio hao wa sasa hivi
@westcijosh
@westcijosh 4 ай бұрын
Hata mimi
@jameskilasa759
@jameskilasa759 5 ай бұрын
Mpka leo kuna jamaa yangu anaitwa mchiz mox
@user-kb3mi2ws8h
@user-kb3mi2ws8h 6 ай бұрын
Wasanii wazamani walikua vizuri sana kwenye kila kitu, tunzi, interviews yani wanajua wanachozungumza
@bernardfrank5654
@bernardfrank5654 Ай бұрын
Wangekua hawa vijana wa saivi ungekuta ameshaongelea anatumia gari ghani, sijui saloon bei ghani.. yani interview nzima hamna kitu..
@sadiqadam7971
@sadiqadam7971 6 ай бұрын
Graveyard, Makumbusho. That's what am talking about bro
@pauljosephtarimo2279
@pauljosephtarimo2279 Ай бұрын
Hapo 2005 fiesta Arusha Uzinduzi wa Album ya Ferooz ulitisha sana pale tripple A
@TheMastertz
@TheMastertz 6 күн бұрын
Mchizi ana sauti inaitwa Gruff, ama Rough and Grimy😂...kama sikosei Busta ndo alirap haya maneno!! Jamaa mtu poa SANA.
@mrambathomas9529
@mrambathomas9529 9 күн бұрын
Dah! Mwamba ise sio poa yaani burudani mwanzo mwisho.
@FaridiIbrahim-ix6hb
@FaridiIbrahim-ix6hb 18 күн бұрын
Nawakubali sana hamna baya
@owenchimela4527
@owenchimela4527 4 ай бұрын
Mchizi mox ana vingi vya kusimulia sisi madogo wa zamani tunafaidi vingi sana
@danieldavid4733
@danieldavid4733 19 күн бұрын
Wenye roho safi
@kyannickk2be
@kyannickk2be 4 ай бұрын
hizi nzuri sana tunapata kufahamu mengine hatukufaamu tukiwa shule enzi hizo sasa watu wazima, ina inspire hii..
@qimlaw6723
@qimlaw6723 6 ай бұрын
Salute kwako sauti ya zege .
@muddylikwena128
@muddylikwena128 11 сағат бұрын
Yani bonge la idea kuwaleta malegendary sehemu kama hizi
@maufijose2294
@maufijose2294 3 ай бұрын
Vipaji Halisi Vya Muziki 🙏
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 5 ай бұрын
Bro tulete ROHO 7 kamuombe Jeshi akiwa likizo ufanye naye interview Lkn HARD MAD mtafute huyu jamaa muhimu sana mlete hapo mjengoni
@komboruga4271
@komboruga4271 Ай бұрын
Umenigusa
@VisualsByEnokaOti
@VisualsByEnokaOti 6 ай бұрын
Napenda classics za kuvifacts zinavyonipa feeling za zama zile
@GoodluckLameck-nh9tq
@GoodluckLameck-nh9tq 6 ай бұрын
Wasanii wa zamani nilipenda kazi zao
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 6 ай бұрын
Long life 🌄
@KingMuta
@KingMuta 6 ай бұрын
Mchizi Mox × Darassa × Ben Poul na Mdada mmoja.
@MOJAPROMO
@MOJAPROMO 6 ай бұрын
🔥🔥🔥
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 6 ай бұрын
Legend🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 6 ай бұрын
Mwanangu MCHIZ MOX
@jumakabota8277
@jumakabota8277 6 ай бұрын
Daaah fupi sana hii
@nyotamy3678
@nyotamy3678 6 ай бұрын
Oiii✊🏽
@jumamofu9573
@jumamofu9573 2 күн бұрын
Mi niache nifanye vitu vyangu😂😂😂
@stangebo177
@stangebo177 6 ай бұрын
OLD SCHOOL BOY
@sosomokobiasharamgaya3020
@sosomokobiasharamgaya3020 6 ай бұрын
Ni kipindiii bomba ila muda wake hautoshiii
@ramadhaniali1102
@ramadhaniali1102 2 ай бұрын
Bro jabir unajua sanaa kaka
@KuviFacts
@KuviFacts 2 ай бұрын
Asante sana fam
@mzadomwongozo3671
@mzadomwongozo3671 6 ай бұрын
Mtoto analaana😂😂 RIP Ngwair
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 5 ай бұрын
Huyu sauti mpaka sura kama darasa mbona
@farajiissa560
@farajiissa560 4 ай бұрын
Huyu jamaaa wa shat ya njano kaongea kihisia watoto wa makumbusho walikua wanakula bata
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 6 ай бұрын
Muulize Nay Ile style yake mbona kama ya Ibra upupu wa fagio la chuma
@hassanmaliki2260
@hassanmaliki2260 2 ай бұрын
Upupu ile style yake ni kwere mzeya nay anafit lakn bado kwa yule mtoto
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 ай бұрын
Haina part2?
@meshackdauda4315
@meshackdauda4315 2 ай бұрын
WALIKUA siyo WANAFIKI ,na KAZ walifanya kubwa san
@mackjr5291
@mackjr5291 6 ай бұрын
Mlete Jose mtambo
@Munyama675
@Munyama675 4 ай бұрын
Mtambo ameshafariki
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 4 ай бұрын
​@@Munyama675duh nilikuwa sijui wale fun with sense
@mariamisack_hardcore2010
@mariamisack_hardcore2010 23 күн бұрын
Mmmh jamani siyo kweli​@@Munyama675
@mariamisack_hardcore2010
@mariamisack_hardcore2010 23 күн бұрын
​@@othumanlorenzo260Yupo buana
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 5 ай бұрын
Inaonekana kuna kipande mmekikata majani alikuwa kapewa zake hapo
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 4 ай бұрын
Hakika Ali taikun hakopeshi
@BwaxyWaMichano
@BwaxyWaMichano 6 ай бұрын
After hii tuletee Bahati wa mikasi brother
@francistadayo1569
@francistadayo1569 6 ай бұрын
Hayupo bongo huyo Raa! P...yuko USA 🇺🇸
@tumpemsyani-io7pv
@tumpemsyani-io7pv 6 ай бұрын
​@@francistadayo1569daa aisee kweli nakumbuka
@KINGDOWN-rx8sy
@KINGDOWN-rx8sy 4 ай бұрын
p
@user-ef7ef4bv8t
@user-ef7ef4bv8t 6 ай бұрын
Kuva interview za kibaba zote zinaingia robo robo nn mbaya
@KuviFacts
@KuviFacts 6 ай бұрын
Brother pole hizi interview tulifanya miaka 2 iliopita bahati mbaya Channel ilifutwa so hivi ndo vipande tumebaki navyo tu kaka
@kulishaandry5730
@kulishaandry5730 5 ай бұрын
Pole sn , ila mnatisha mbaya ​@@KuviFacts
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 6 ай бұрын
Big kwann unavaa unavaa mask wakati wote?
@KuviFacts
@KuviFacts 6 ай бұрын
Kipindi hiko nlitoka kuumwa Covid mkuu
@bongomastory791
@bongomastory791 5 ай бұрын
Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile
@bongomastory791
@bongomastory791 5 ай бұрын
Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile
@prosperndelwa4560
@prosperndelwa4560 4 ай бұрын
𝐨𝐥𝐝 𝐢𝐬 𝐠𝐨𝐥𝐝
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 100 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 8 МЛН
Sitaki kua tajiri, nataka kufanikiwa
55:54
MSASA PODCAST
Рет қаралды 58 М.