Рет қаралды 797
Mji huu unapatikana kaskazini mwa mji mkubwa wa Cape Town huko Afrika Kusini, mpaka mwaka 2020 idadi ya watu katika mji huu wa Orania ilikadiriwa kuwa 1800. Ingawa sensa ya mwaka 2001 ilionesha Mji huo kuwa na watu 481, na mwaka 2011 wakawa watu 892, mwaka 2016 wakawa watu 1,305 na mwaka 2018 wakawa watu 1,602.
Mji wa Orania ulianzishwa mwaka wa 1991. Mji huu uliundwa wakati wa miaka ya mwisho ya ubaguzi wa rangi na mtaalamu wa Kiafrikana aliye itwa Carel Boshoff Snr, aliye kuwa mkwe wa Waziri Mkuu wa zamani wa Afrika Kusini aliye itwa Hendrik Verwoerd aliye tawala kuanzia mwaka 1958 na kuuwawa mwaka 1966 katika mji wa Cape Town mara baada ya Uchaguzi........ Endelea!