UFUGAJI WA MBUZI NA KONDOO:kanuni bora,mbegu,banda bora na faida za kufuga mbuzi kibiashara Tanzania pdf
Пікірлер: 38
@aminielelimringimaro77912 ай бұрын
Nimeifurahia makala yako na jinsi ulivyonielimisha kwa kutengeneza mabanda bora kwa mbuzi na kondoo. Asante kwa elimu hii. Je, urefu wa kutoka ardhini hadi ulikoanzia banda, ninaona kama mita moja ni urefu mfupi. Sehemu zenye fisi, wanaweza kubomoa na kuvuta wanyama hao, mbuzi na kondoo kirahisi sana. Urefu uzidi mita na nusu au mbili kabisa, hawajafikia kutoka chini. Kwa ujumla, asante kwa elimu njema na muhimu kwa wafugaji.
@PaskaliCharles-pz8ds2 ай бұрын
Asante kwa elimu
@kabelegeyassin26472 жыл бұрын
Safi sana nimefurahi umenipa elimu nzuri na kiukweli unajua kiuwasilisha mada. Nashukuru
@maxoniromba71082 жыл бұрын
Kusema ukweli mko vizuri nami kuna ki2 nmejifunza nitawatafuta kwa ushauri zaidi
@nemencembale56415 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@shambadarasamkusi44495 жыл бұрын
Karibu Sana ndugu
@mshindivictor16905 жыл бұрын
Yesu awabariki sana
@shambadarasamkusi44495 жыл бұрын
Aksante Sana.Karibu
@onesmoalphonce36763 ай бұрын
Kondoo wa sufi nawapatikana wap mwalim
@hawashamasi91152 жыл бұрын
Jmbo zure
@honoratussalvatory80605 жыл бұрын
Safi sana
@tracdicga4group1625 жыл бұрын
good sana
@nyakitontoyouth48424 жыл бұрын
Nimejifunza mengi. Hongereni sana. Nahitaji mbegu Bora ya mbuzi improved breed. Mnanisaidiaje? Nipo Kigoma
@omarnicesang55072 жыл бұрын
Ndugu uko kigoma sehemu gani
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante
@jamesjaju12175 жыл бұрын
uko sawa ndungu hongera
@shambadarasamkusi44495 жыл бұрын
Aksante Sana kaka
@evarestmaji514110 ай бұрын
Mnatuwekea naomba za siku lakini hampo teyari kupokea simu
@hezronbichanaga96504 жыл бұрын
Nimefurahia SoMo hili
@honoratussalvatort87005 жыл бұрын
mnajitaidi
@honoratussalvatort87005 жыл бұрын
iko poa sana
@mahadimatsawily58095 жыл бұрын
safi sana
@simonimollel96173 жыл бұрын
Kondoo wadogo ni sh ngapi na mko mkoa gani
@onesmoelias82593 жыл бұрын
Naweza mbuzi Aina ya boar
@mahadimatsawily58095 жыл бұрын
Good
@shambadarasamkusi44495 жыл бұрын
Karibu sana
@shambadarasamkusi44495 жыл бұрын
@@voijoseph9147 Dodoma
@EliaMwaijumba10 ай бұрын
Kondoo mnauzaje mko wap
@group10cga465 жыл бұрын
good
@innocentmakundi26905 жыл бұрын
Safi kaka
@shambadarasamkusi44495 жыл бұрын
Karibu
@omarykhalfan94573 жыл бұрын
nitawapataje hawa mbuz wa kisasa Niko tanga..
@pilabiliani93943 жыл бұрын
@@shambadarasamkusi4449 Dodoma mnapatikana wapi Mimi Nipo mkonze naitaji hii elimu
@dastanfussy48985 жыл бұрын
MBUZ aina ya Boer wanapatikana wapi kwa hapa Tanzania? Mawasiliano yangu 0713327782