Kutokana na maswali mengi kuhusiana na jinsi ya kuchanganya chakula cha nguruwe kupata faida
Пікірлер: 13
@ElifadhiliPhissoo14 күн бұрын
Nice work 🎉
@user-px2iu4mc5yАй бұрын
Niulize ukichanganya pumba yamuchele napumba ya mihindi na bunga yangazi hauwezi pata chakula bora???nipeni jibu plz
@CreshaRevelian-wb6ky4 ай бұрын
Wewe ni mentor Wang u.
@RichardSianga2 ай бұрын
Wapi jamani na wakuchinja unauza
@ibba80826 ай бұрын
Mnapatikana Wapi !,
@mulapfarm96646 ай бұрын
Kibaha
@ibba80826 ай бұрын
@@mulapfarm9664 Vema mngetia Hata namba za simu au Hanuani kamili !
@gonsalvamswaga64715 ай бұрын
mm kaka unamix maelezo sana creep hawatumii kwa miezi 3
@mulapfarm96645 ай бұрын
Creep wanakula hadi tunapowaachisha na mama kunyonya tuu. Weaner/Starter kuanzia siku 35 Grower kuanzia siku mwezi wa 3 akifikisha mpaka mwezi 5-6. Finisher 6-7 kwenda sokoni Samahani nilirekodi nikasahau kuweka sawa hiyo taarifa
@gonsalvamswaga64715 ай бұрын
@@mulapfarm9664 japo sijui kwanini nakubali tu ila sikubaliani yaani KOUDJUS mfano 20/15 ni ile ile zinatofautiana tu mchangano kwa kiasi ndio hapo pananishinda kujui hapa ni starter na hapa ni grower