UKIELEWA MFUMO HUU UTAOMBA CHOCHOTE NA WEWE UTAPATA

  Рет қаралды 241,430

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

4 жыл бұрын

Пікірлер: 285
@atinaminzani1372
@atinaminzani1372 4 жыл бұрын
Hakika yupo Mungu sina lugha ya kumshukuru amenitendea muujiza wa namna ya pekee wakati wa ombi nimepona tatizo liliolokuiwa linanisumbua.
@bridgitkola5341
@bridgitkola5341 Жыл бұрын
Nakataa kwa maisha yangu KUWA mtu WA kidini Bali nageuka na KUWA mtu WA kikristo, this message is so strong I have never met such a gospel be blessed Mch David Mbaga 😇😇😇😇🙏🙏🙏we love your teaching as one brother in christ from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@christerkilamlilo7013
@christerkilamlilo7013 4 жыл бұрын
Asante Baba Mchungaji nimefunguliwa maumivu ya miguu kwa kuangalia mahubiri kwa njia ya simu. Natamani kati ya watoto wangu angalau mmoja wapo awe mtumishi wa Mungu kama wewe. Hakika nabatikiwa sana
@selfaakinyi512
@selfaakinyi512 4 жыл бұрын
Umkumbuke Dada yangu eewe mungu wangu katika ndoa yake , asante baba yangu. From Qatar be blessed pastor
@evoski3
@evoski3 4 жыл бұрын
Hi Selfa, do you attend Qatar SDA church service? I'm in Qatar myself so I thought I would ask since you are also in Qatar. Obviously now our services are through Zoom due to the virus pandemic. Happy Sabbath.
@jessikaakinyi8445
@jessikaakinyi8445 3 жыл бұрын
Ameeeeen pastor Mungu anatujali sana watoto wake kuna mama alikwenda kuvunja muwa kwenye shamba la mother in law wake kumbe shamba lilikuwa limekingwa na dawa za kiganga malaika wakamzuia kweli siyo machale yetu ni Mungu be blessed pastor from Nairobi Kenya
@yohanakitinde8113
@yohanakitinde8113 4 жыл бұрын
Kuna magumu nilikua nayapitia kazin kwangu, lakin sabato moja pastor uliendesha maombi pale dodoma kati, Mungu alitenda, uliamuru tuandike kwenye karatasi, nilimuandika supervisor wang, baada ya muda wa siku kadhaa alirudishwa nchini kwao. Na mambo mpaka sasa ni shwari. Hakika Mungu kazini
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 4 жыл бұрын
Amina!! Mimi pia natumai niponyoke minyororo ya shetani kazini ka ww! Nipate sabato niabudu!
@simonochola7226
@simonochola7226 4 жыл бұрын
Asante BWANA WANGU ATUKUZWE ..MI Nicolas kiboye
@priscajonas1978
@priscajonas1978 3 жыл бұрын
Aminaa Aminaa MUNGU ni mwema
@asuminmussa2505
@asuminmussa2505 3 жыл бұрын
Hedalu
@asuminmussa2505
@asuminmussa2505 3 жыл бұрын
Hedalu
@samwelojwang3043
@samwelojwang3043 4 жыл бұрын
Unanibariki nikiwa Nairobi Kenya ubarikiwe sana mchungaji
@marymachete9152
@marymachete9152 3 жыл бұрын
Amen amen
@mainepraygod3142
@mainepraygod3142 4 жыл бұрын
Nashukuru Mungu nimeona Muujiza katika maisha yangu siku ya leo baada ya kulisikia somo hili....hakika Mungu anataka mtu mwenye IMANI juu yake, tuamini MUNGU anashughulika na sisi
@mussayebete8919
@mussayebete8919 4 жыл бұрын
Pastor Mungu mkuu mm nimesikia hili somo leo lakini Mungu kaniponya nilikuwa na maumivu mbavuni na kifua ila yameisha hakika Mungu ni mwenye kuhimidiwa milele
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 жыл бұрын
Wow!! Amen
@emaesthermuchiri7995
@emaesthermuchiri7995 4 жыл бұрын
Hallelujah pastor...napenda vile,.unavyo chambua biblia,.maana hapo kila mtu.,anakuelewa hallelujah
@waridayangadamu174
@waridayangadamu174 3 жыл бұрын
Amina david mmbaga naitwa christina nipo mwanza magu nilikuwa na shida ya magoti yamepona ,mimi nimesikiliza leo 19 november 2020 mungu akuzidishie amen
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 жыл бұрын
Wow!! Mungu akubariki saaana
@waridayangadamu174
@waridayangadamu174 3 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga ameeeen
@shukranjulius5910
@shukranjulius5910 3 жыл бұрын
Amina barikiwa zaidi pastor nabarikiwa nikiwa Oman Muscat jina la bwana lihimidiwe 🙏
@eddahnyongesa1119
@eddahnyongesa1119 4 жыл бұрын
Napenda sana mahubiri yako mungu akubariki sana pastor mmbaga uzidi kuhubiri neno la mungu
@marcellyimo283
@marcellyimo283 3 жыл бұрын
hii ni madhabahu Mungu anahitaji nijifunze kwako naelewa na kufunguliwa sanaa.barikiwa najiunganisha na Imani yako nami nitaipata Imani kuu kama yakool
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 жыл бұрын
Amen
@rosemutinda3076
@rosemutinda3076 4 жыл бұрын
Mahubiri ya pastor David ni kama shule. Najifunzanga mapya kwa kila somo.. Sikuwa najua malaika wana kazi tofauti nimejua Leo.. Mungu akubariki
@MaryWilson-vg2mm
@MaryWilson-vg2mm 3 жыл бұрын
Wewe ni zaid ya mwalimu,mungu aendelee kukutia nguvu
@kishai6284
@kishai6284 3 жыл бұрын
kama watu tungerudia rudia kuangalia hili somo Hakika mengi yangetendeka katika dunia hii. Woga, Hofu na wasiwasi katika maisha vingeisha. Pr.Mmbaga barikiwa mno.
@dilurai4204
@dilurai4204 3 жыл бұрын
Amen Ubarikiwe Pastor unapotubariki na Maombi Mungu azidi kukupa nguvu na kibali.
@upendobaina2171
@upendobaina2171 3 ай бұрын
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako mch Mungu akuzidishie siku za kuishi Ili nawale wanaokuwa wasikie habar njema unazotufundisha. AMEN
@janetkistaojanetkistao9080
@janetkistaojanetkistao9080 4 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi naamini mwanangu amepona kwa jina la yesu
@marrymwashinga2170
@marrymwashinga2170 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji kwa mahubili mazuri,hakika yanatusogeza karibu na mungu.
@josephmatunda1109
@josephmatunda1109 4 жыл бұрын
Am really blessed by your sermons , they give me hope .
@calvinmusa8505
@calvinmusa8505 4 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri na mafundisho yako makuu. Mungu aendelee kukubariki mtu wa Mungu. Niko na Ombi la kipekee. Naendelea kufuata haya mahubiri na naamini Mungu atatenda makuu. Nitarudi kuja kushuhudia. Amina!
@calvinmusa8505
@calvinmusa8505 9 ай бұрын
Mungu alijibu hili ombi. Mungu aendelee kukubariki
@violetmageto7134
@violetmageto7134 4 жыл бұрын
Pastor hili somo limeniguza mnoo hadi machozi yamenitoka ubarikiwe Sana na Mungu azidi kukuvunulia makuu
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 4 жыл бұрын
Igo Bono! Mungu Ni mwema kwetu
@angel-y
@angel-y 4 жыл бұрын
Amen. I have been blessed very much, God bless you too Pastor more so for your selfless giving.
@bayroneboniphace289
@bayroneboniphace289 3 жыл бұрын
Nakuxhukur mchungaji maan somo hili limekuw Kama mwalim kwangu
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 6 ай бұрын
Umefanya Mungu aniongezee Imani na Roho Mtakatifu kuniongezea Karama za Roho. Wengi wamepona kwa huduma yangu toka nianze kukusikiliza. Namtukuza Mungu kwa ajili Yako.
@shishshikoh4979
@shishshikoh4979 4 жыл бұрын
Pastor, nimekuwa naumwa na Koo vibaya Sana...lakini baada tu ya maombi nimesikia maumivu yametoweka....sijui nishukuru vipi...nalia tu ..ubarikiwe sana
@madamanney
@madamanney 4 жыл бұрын
Amen
@timothywaritu4762
@timothywaritu4762 4 жыл бұрын
Pole Sana jitaidi kutoa sadaka ya shukrani
@evenajoseph3415
@evenajoseph3415 4 жыл бұрын
Ameen
@angellajoseph1964
@angellajoseph1964 4 жыл бұрын
amen pastor namwamini mungu atanisaidia kwa kila jambo lijalo mbele yangu na kuniponya na kuniepushia kabisa magonjwa yote balikiwa sana mtumishi wa mungu
@janejoseph9009
@janejoseph9009 4 жыл бұрын
pastor kila siku unanifanya niwe nachungulia KZfaq kuangalia kama tayari umeweka somo hakika ww ni best pastor mahubiri ni mazuri mno unaaina ya ufundishaji ambao ni wachungaji wachache ambao wanao
@magynzioka1122
@magynzioka1122 4 жыл бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU umeninjenga kwa imani imani ni kila kitu imani ni uti wa mwanadam nakubuka mtoto wangu alisumbuliwa na mafupa yakimuhuma anankucha mikono na mingu watu walisema amerongwa wengi wakisema ana majini wengine wakisema ameambukizwa uo ungonjwa na rafiki yake mtoto mwezake nikimpeleka sipitali na picha kupingwa hakua na ungonjwa ila akihaza iyo shida analia kwa uchungu na kumbuka siku moja walim wali mshanga na kuniambia hawajawai ona mtoto kama yeye akiwa na ungonjwa kama uo ni mchukue mtoto nikae nae hadii hapone mimi sikuwai amini mwanangu ni mngonjwa hata kama nilimuona na watu kushuhudia na kushawishiwa niede kwa wanganga mimi sikuwai amani ungonjwa wa mtoto wangu naka mblili na mtoto wangu umuona mwaka mara moja kwa um ali niliko wa kanzi mchungani nilimuombea mwanagu kwa imani saii amepona kabisa wale walio nishudia ungonjwa wake wa hajabu wananishuhudia uponaji juu yake kwa imani mwangu alipona na nilikua mbali maombi na imani hakika ndio sila yetu🙏🙏🙏🙏
@happymasisi1530
@happymasisi1530 4 жыл бұрын
Nabarikiwa saana na mahubiri yako barikiwa saana
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 4 жыл бұрын
Nabarikiwa sana mahubiri haya
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 жыл бұрын
AMEN
@billionairetz256
@billionairetz256 4 жыл бұрын
Natamani siku moja ufundishe somo la Zaka maana naona hatufanyi sawa sawa na Biblia
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 4 жыл бұрын
@@billionairetz256 mbona Alisha fundisha sana, ukiwa ni mfuatiliaji Wa kila somo analo post somo LA zaka na sadaka alisha fundisha,,
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 4 жыл бұрын
@@billionairetz256 mbona Alisha fundisha sana, ukiwa ni mfuatiliaji Wa kila somo analo post somo LA zaka na sadaka alisha fundisha,,
@joyceomolo8749
@joyceomolo8749 4 жыл бұрын
Masomo haya yanabariki sana. Mungu aendelee kukutumia kutubariki
@richardndikumana7938
@richardndikumana7938 3 жыл бұрын
Amen,asante sana mchunganji nimebarikiwa MUNGU awenanyi
@esthernashipai
@esthernashipai Жыл бұрын
Neno la Mungu kila siku Lina ujumbe mpya....Barikiwa mtumishi,so blessed 🙏
@omankadara6418
@omankadara6418 9 ай бұрын
Ameer pasita kwa mafundisho manzur ubarikiwe sana
@mariammagawi4166
@mariammagawi4166 3 жыл бұрын
Pastor unanibariki Sana Mungu wambinguni aendelee kutupingani naomba umuombee binti was Dadangu ambae anasumbu nanguvu za giza anadaikwamba anafuatwa na wachawi usiku wakatimwingine anasikia halufu ya damu
@HolloKibishi-nt5ui
@HolloKibishi-nt5ui 5 ай бұрын
Me piah naamini Bwana ameniponya kwa zababu najiskia mwili uko salama kabisa Mungu jina lako lihidimiwe mille na nipone daima
@josephinesanita4904
@josephinesanita4904 Ай бұрын
😂😂😂😂😂 wazungu walifanya Ile kitu, nabarikiwa sana na mahubiri haya mungu akubariki sana pastor David
@pheobejacob6009
@pheobejacob6009 3 жыл бұрын
nashukuru sana nabarikiwa nikiwa taveta kenya
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 4 ай бұрын
Aminaa ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 4 жыл бұрын
Pastor wewe nakupenda Sana unanibariki Sana
@gwamakamsyanogwamakamsyani7846
@gwamakamsyanogwamakamsyani7846 3 жыл бұрын
Asanteeeh paster mafundisho yako vizuri
@raelbosibori7131
@raelbosibori7131 Жыл бұрын
Thank pastor umeniinua kiroho mungu akubariki nilikuwa na changamoto mingi kubitia mahubiri tv niko salama nashukuru mungu sana be blessed
@emmanuelpaulo2772
@emmanuelpaulo2772 4 жыл бұрын
Muchungaji barikiwa sana masomo yako yananibsriki sana
@maryaoko5027
@maryaoko5027 2 жыл бұрын
Amen.....hakika mahubiri yananikuza kiroho sana.....MUNGU AZIDI KUKUWEKA MTUMISHI
@evaristerwagasore3668
@evaristerwagasore3668 3 жыл бұрын
Umenisaidia sana nikiwa Rwanda Mungu akubariki sana
@lucciepuccietuccie3028
@lucciepuccietuccie3028 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wamungu
@ernestissack9103
@ernestissack9103 4 жыл бұрын
Ameen
@GesainaNyamisegere-ff4ok
@GesainaNyamisegere-ff4ok Жыл бұрын
Nimebarikiwa mtumishi wa mungu,samahani naomba mungu akupe kibari siku Moja ufike mara
@dericsonkeya6234
@dericsonkeya6234 3 жыл бұрын
Mchungaji nabarikiwa sanaa mungu mwenyewe akujalie baraka na hakufunulie makuu bwanawe nabarikiwa sanaa kutoka kenya Nairobi
@mariamujackson5223
@mariamujackson5223 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mbaga
@sheilaombongi8086
@sheilaombongi8086 4 жыл бұрын
Asante umenigusha sana kwamahubiri yaleo Barikiwa sana pastor, ninaomba niwenaimani naombanga nipate pesa ninunue ata viti katika kanisa langu sijapata Kwai mani nitapata Amina
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 4 жыл бұрын
Ekiababa kwa imani utapata
@bettygesare5948
@bettygesare5948 Жыл бұрын
God bless you all pr Mmbaga thanks plz pray for me to be healed at back
@rhinakiza
@rhinakiza 4 жыл бұрын
I am glad to stop here wonderful preaching pastor God bless you❤
@mgassazefrini8511
@mgassazefrini8511 4 жыл бұрын
Mungu amubariki Sana na Ni vyema tukutane makao ya milele maana mafunzo yako yanatujenga kirohoo
@jacksonprojestus397
@jacksonprojestus397 4 жыл бұрын
Because of your humility, God's words are settled in your mind
@asmitacatering8660
@asmitacatering8660 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.
@princessmunii2530
@princessmunii2530 4 жыл бұрын
You are so genius pastor nimekombolewa mimi
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 жыл бұрын
NI KWA NEEMA TU!! 🙌
@evancemwakyusa2617
@evancemwakyusa2617 2 жыл бұрын
Mchungaji Ubarikiwe kwa mafundisho. Ni mlemavu carpal yangu imekatika nahitaji kupata Mpya sina 900000= kwa imani nitapata ingawa Sina Kati.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 2 жыл бұрын
Uko wapi
@rehemahanti5800
@rehemahanti5800 2 жыл бұрын
Ameen ..biblia inatosha jaman mambo ya mafuta ya upako ....tuwaachie wenye UKIRO.. Yaani upungufu wa kinga rohoni.
@jessikaakinyi8445
@jessikaakinyi8445 3 жыл бұрын
Ni kweli pastor hata Mimi alininyamazia kimya baadaye ndipo anajibu
@jeniyamo74
@jeniyamo74 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana Pr Mwenyezi aendelee kukubariki
@steliakyteisiehello6096
@steliakyteisiehello6096 4 жыл бұрын
Amen Amen Amen baba Barikiwa sana
@jameslushinge
@jameslushinge Жыл бұрын
Bwana akubariki saana mtumishi
@evelynmachora3848
@evelynmachora3848 2 жыл бұрын
Haya!!!sikujua malaika Wana kazi tofautitofauti,barikiwa pastor
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y 4 ай бұрын
I appreciate you pastor...be blessed
@mkatitheeventplanner6594
@mkatitheeventplanner6594 4 жыл бұрын
Naitwa Amina kutoka kahama nahitaji msaada wako sana pastor David Mmbaga nilikuwa Rc nimebahatika kuijua sabato miezi mitatu sasa I need a serious help pastor mungu akuongoze 0762252388 0654153855
@lightnessshayo1783
@lightnessshayo1783 3 жыл бұрын
Hongera sanaaa
@witnessfredrick555
@witnessfredrick555 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki Mchungaji
@michaelassam5789
@michaelassam5789 4 жыл бұрын
Pastor nakuomba mwisho wa mafundisho haya, sehemu ya mbaraka wa maombi uwepo tunabarikiwa na kufunguliwa sana...
@claudinebatamuriza7804
@claudinebatamuriza7804 4 жыл бұрын
Amen 🙏 God bless you pastor
@marymachete9152
@marymachete9152 3 жыл бұрын
Asenta kwa mafundishi apostle amen
@emmanuelmbwambo6571
@emmanuelmbwambo6571 3 жыл бұрын
Pastor mm nimevumbua dhahabu,tumeng'ang'ania live sana kumbe hazina ya kutosha ipo nyakati zilizopita.🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
@nice4really503
@nice4really503 3 жыл бұрын
💌💌
@mn9484
@mn9484 4 жыл бұрын
Amina ni vizuri kurudia Masomo maana najifunza kila siku kitu kipya. Mungu awabariki wote mnaotazama somo hili Amina.
@mkamakusaga5785
@mkamakusaga5785 4 жыл бұрын
M
@mamalevinalevina5820
@mamalevinalevina5820 2 жыл бұрын
Barikiwa sana pasta unanifungua
@abigaelwamuyu5759
@abigaelwamuyu5759 2 жыл бұрын
You have blessed my family
@francisyandu1256
@francisyandu1256 Жыл бұрын
Am really appreciate you from your preach that's truth 🙏🙏🙏
@barakaungenge939
@barakaungenge939 4 жыл бұрын
Hakika barikiwa
@danielnshokano7693
@danielnshokano7693 Жыл бұрын
Mcungaji minafataka mahubiri yako huwa na barikiwa sana kwahiyo MUNGU naazidi kulinda
@mashaelieazer6120
@mashaelieazer6120 4 жыл бұрын
PR, mungu akuriki kwa kutubariki,kunibariki
@georgemerere6097
@georgemerere6097 4 жыл бұрын
Mch Mungu akubaliki sanaaaaaaaaa
@RosetteFessa
@RosetteFessa 2 ай бұрын
Pasteur ubarikiwe
@edwardmarro978
@edwardmarro978 4 жыл бұрын
Mibaraka ninayopata kupitia mahubiri tv hakika ni mkono wa BWANA pekee
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 жыл бұрын
AMEN
@miraclegospel3527
@miraclegospel3527 Жыл бұрын
God bless you for sucher wonder full sermon Amen
@mtanzaniahalisimungunimwem673
@mtanzaniahalisimungunimwem673 4 жыл бұрын
Pastor Asante kwa mafundisho mazr. Naomba nikuulize je wewe uliwahi kuita Moto angalao cheche tuu. Motoooo
@frolamaginga1287
@frolamaginga1287 4 жыл бұрын
Pasta ubarikiwa sana
@bossladyjv3828
@bossladyjv3828 Жыл бұрын
Naomba roho ya ukimwi iondoke kwangu kwa jina la Yesu kristo
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 4 жыл бұрын
Kwa imani baba mzazi atapona,,,,,,ndoa yangu ina matatizo was divorced nikao tena,,sijui ndilo suluhu?? Later mother to my child anaitaji turudiane!! Nashindwa sasa!!! Naomba Mungu anionyeshe
@aumamadina7100
@aumamadina7100 10 күн бұрын
Nimepona pastor Asante Asante sana 🙏
@MK-bg8jp
@MK-bg8jp 3 жыл бұрын
You are blessed pastor.
@jacklineathoo9667
@jacklineathoo9667 3 жыл бұрын
Amen amen mtumishi wa Mungu
@moiseesrael1849
@moiseesrael1849 3 жыл бұрын
Nasema asante kwa somo hili( limekuwa baraka kwangu) yaani hapana bahati katika kazi ya Mungu( ni malaika ndio wanatumika!!
@mlishohadija6923
@mlishohadija6923 6 ай бұрын
Be blessed mtumishi
@gelitemahimbo6076
@gelitemahimbo6076 4 жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@thomaselvis-mg7sr
@thomaselvis-mg7sr Жыл бұрын
Unanibariki sana mchungaji
@chungwasingers
@chungwasingers 2 жыл бұрын
Pastor Mungu azidi kukutumia sana katika kazi yake kupitia haya masomo nimekuwa jasiriii wa imani siku hadi siku jina la Bwana litukuzwe na ninaomba imani kama yako mara3
@odettemaman
@odettemaman Жыл бұрын
Pasta naomba musaanda wa maombi ili mungu anisamehe naaniponye ma gongwa.
@JohnNdunya
@JohnNdunya Жыл бұрын
God bless u man of God
@hapynestitus9369
@hapynestitus9369 3 жыл бұрын
Mchungaji naomba niweke kwenye maombi mme wangu awe msabato siku moja asimame na kumkiri bwana na mwokozi wake na ndoa yangu naomba uniombee
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 жыл бұрын
MUNGU AJIFUNUE KWAKE AMJUE KRISTO NA KUWA MFUASI WA KRISTO
@marrymwashinga2170
@marrymwashinga2170 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@marycheupe8613
@marycheupe8613 4 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@amozmwaz1494
@amozmwaz1494 Жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana mutumishi
@catherinekihengu2420
@catherinekihengu2420 Жыл бұрын
Amina Pastor Mungu akubariki
VITA YA MIUNGU (ACHA MUNGU APIGANE MWENYEWE VITA HII)
1:00:19
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 77 М.
SIRI YA KUINUKA TENA BAADA YA HASARA
51:47
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 48 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 52 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 75 МЛН
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 31 МЛН
KWANINI UNAPITIA VITA KIASI HIKI? ( OFFICIAL VIDEO)
58:25
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 87 М.
NGUVU YA SADAKA - Pastor Myamba.
1:08:02
Pastor Myamba
Рет қаралды 27 М.
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10
Ikwabe Injili tv
Рет қаралды 15 М.
ELEWA VITU VINAVYO ZIPA MADHABAHU NGUVU ZA KUKUTESA
56:24
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 39 М.
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 30 М.
DHAMBI ISIYOSAMEHEKA NI IPI?(OFFICIAL VIDEO)
58:54
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 161 М.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: "Sadaka Inapotumika Kutengeneza Maisha ya Familia Yaliyofungwa na Sadaka"
9:09
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 287 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 52 МЛН