Nmepitia changamoto nyingi na kubwa ila sijawahi kukata tamaa nawashauri ndugu, jamaa na ma rafiki msikate tamaa kwani Kuna maisha baada ya changamoto zote.
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Asante Joel mungu akupe uzima2023 ufike mbali na utufundshe zaidi,karibu kuwajibu watu kwa wakati wengine wapo kwenye dalili izo Sasa ivi,
@herimailo8183 Жыл бұрын
Mungu akulinde ili tuendelee kupata mafunzo mazuri pia tutimize malengo yetu.thanks brother.
@zakayooranga2894 Жыл бұрын
Extreme Negative Feeling... Ni moja kati ya vitu vinanisumbua sana. Nahitaji msaada katika hili Coach!
@mudathiral-gh1bo Жыл бұрын
Asante broo mungu akulipe kheri kwa elimu yako unoifikisha kwetu
@joycemugaka3039 Жыл бұрын
Hili somo la kwangu nilipitia Hali hiyo asila ilikua inapitiliza ,ni boss alinizababisia hiyo kazini alinikandamiza vibaya bt niliajila mungu alinizaidia nikaajilia saaii nimeanza kurudi kawaida
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Umenimbusha mbali Sana Leo lkn mungu ni mwema sana
@justinmganiwa2790 Жыл бұрын
Video zoooote za Joel nanauka Zina alama nyekundu kweny my u tube
@joaneslaurent5896 Жыл бұрын
Much blessings to you sir
@ramadhanbashir8484 Жыл бұрын
Kutokana na Elimu hii nimegundua tupo wengi wenye Ugonjwa wa akili ndani ya Dunia hii na wakiwemo viongozi wengi pia .
@immaculatajacob3677 Жыл бұрын
Thankyou Joel🙏
@jacobkilimba748 Жыл бұрын
Waiting
@timothykengere2535 Жыл бұрын
Shukran 📚📚📚
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Nilipitia hicho kipindi nilikosa usingizi sana kweli kbs alhamdulillah now Niko poa mungu ni mwema ukuweke uzidi kutuelimisha
@dullahtechtz3422 Жыл бұрын
Mimi napitia mpka nimeze dawa ndio nilale we ulifanya nini my
@ashaidd2912 Жыл бұрын
@@dullahtechtz3422 zilikuwa stress za maisha lkn alhamdulillah niliweza kubadili maisha now poa kbs
@MsigwaLAT Жыл бұрын
Naomba kujua njia uliyoitumia naamini nitumie dear
@ashaidd2912 Жыл бұрын
@@MsigwaLAT nilifokasi kufanya kazi Kwa bidii ndugu
@nasrachaya10 ай бұрын
@@dullahtechtz3422mi mwnyw nlkuwa nakunywa dawa daaahh😢
@claudinemushimiyimana18047 ай бұрын
Thanks very much sir
@kudeshifilm6997 Жыл бұрын
waiting😊😊
@kifuramukono6330 Жыл бұрын
unanibariki sana, Mungu akubariki
@omarjuma1794 Жыл бұрын
#JoelNanauka Jenius by Discovery
@shukransanga1040 Жыл бұрын
Amen
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante sana
@user-op3dl2sr3g5 ай бұрын
Asant kwakutufundisha Mungu akubarik. Mimi kunabaadhi ya mambo yananihusu hapo nimefikia wakat napoteza haha kumbukumbu
@johnsonjoseph19606 ай бұрын
Mimi niko kwe hoyo hali mpaka sai nakosa hamu yakula na ninalala sana naniko na mawazo hasi
@BHaT-pb7ch Жыл бұрын
Nitaishi kukuelewa siku zote kaka. Mungu akubariki
@adrianrichard7383 Жыл бұрын
Daah hakika Mungu akuweke maana yote yako kwangu
@TravoriusShimbaxАй бұрын
Napitia iyo changamoto
@josej9888 Жыл бұрын
Ukiona hakuna mtu ambaye anaweza kukusaidia, utafanyaje ili ujisaidie mwenyewe?
Yuko mama mmoja Ana sumbuka Sana Yani kula alinvizuli napia kula dakika Ana badili Sana nguo maana kilanguo anayo ivaa Ana Ina aimfai na pia Ana shutumu watu Wana mloga
@alexbushishi8342 Жыл бұрын
Nilivurugwa hadli nikapoteza mapenzi ya kusoma vitabu.
@user-ub5iy1bq7e6 ай бұрын
Good
@prospermaro8800 Жыл бұрын
Kitu kikubwa Sana kwa habari ya mahusiano/ndoa yangu
@user-vx9vx2xv3i6 ай бұрын
Je ufanyaje kama una hayo uliyoyazungumza😢
@jumashedafa Жыл бұрын
Somet hiz ni dalili za sonona(depression) au stress( msongo wa mawaz)...ambaz baadae hupelekea afya ya akili ukishindwa kuvuka ktk hiy stage ya sonona
@mulhathamadomar4451 Жыл бұрын
Sir Joel Nanauka Yani Hii Ni Yng Kbs Km Vile Umeingia Ktk Mfumo Wng Wa Akili Hizi Dalili Zote Niko Nazo . Naomba Unisaidie Ktk Hili Km Kuna Kitabu Chenye Njia Ya Kulitatua Hili Bs Npo Tyr Au Kitu Gn Nifanye ?
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Pole Sana ata Mimi niliwai kuwa Kama wewe baada ya kuachwa na kukimbiwa na mwenzi wangu,nilikutana na click ya Joel ya JINSI YA KUONDOKA na stress ya huyo Joel,2) Nenda faragha ambalo akina watu pa kimya inama mpaka kwenye ardhi weka uso wako Chini muite mungu akuondolee unachopitia,sema Dear God🙏🙏nilitmia njia izo karibu usipuuzie,
@IreneMlwale Жыл бұрын
Napitia sana hiyo situation mpk inafika time nawaza ni bora nijiuwe tu nakataa tamaa kabisa hakuna kit kinaenda sawa kwangu
@ferrotechafricaltd7 ай бұрын
Pole sana dada Mungu akusaidie ila nikutie moyo hakuna magumu yasiyo na mwisho
@SizzoSela29-sh8nz6 ай бұрын
Yani Mimi napiga vitu natamani kujijuwa nifanyeje sasa
@MwanaasiaKassimu-nt6jd28 күн бұрын
Habari hiyo changamoto mm niko nayo naomba msaada
@sylviacornely4688 Жыл бұрын
hata mm Nina hasira sana nomba msaada wa kupinguza hasira na mtazamo hasi
@mayombotz Жыл бұрын
Nina dalili 3 kati ya 4 zilizoko hapo nimeanza kuligundua hiloo😪
@albertkarakha4364 Жыл бұрын
Mama wangu mzazi ana tatizo hilo,na tumejaribu Kila aina ya matibabu mpaka tumeshindwa naomba unisaidie.
@shuwehaharuna630910 ай бұрын
Ngoja nicheke kwanza😂😂😂
@gabbyedward407910 ай бұрын
Ahsante kwa darasa zuri Ndugu Joel Katika hizi dalili ulizozitaja..! Kuna dalili ambazo zimegusa sehem ya maisha ninayoishi kwa sasa. Mojang iwapo ikiwa ni kulala kupitiliza La pili ikiwa Kuwa na msongo wa mawazo uliopitiliza pamoja na kuwa na hofu. Hivi vitu vinanitesa sana sehemu ya maisha yangu Naomba msaada wako Kaka yangu
@Georgemorisiamani-oy3hf Жыл бұрын
Bwana asifiwe mtumishi nifanye nini mana dalili Moja wapo kati ya izo ninayo
@user-ke6zu7lj6z6 ай бұрын
Kiongozi dalili km mbili ninazo tena km la hofu ndo linanimaliza msaada wako plz naelekea kubaya plz plz
@barakamyouyouhave5943 ай бұрын
kaka mimi nina tatizo kuna mda huwa napata hofu na huwa najisikia vibaya nakosa ham rahaa
@issaally497 ай бұрын
😭😭😭😭😭
@abdillahomar4541 Жыл бұрын
Tumekutanazo tukaumwa na pressure afu ujajikuta unafanya maamuzi mengine ambayo unahisi sio sahihi
@Alama_Tv_online Жыл бұрын
Sasa unasaidiwaje kama dalili zote zipo ? Ni maombi / au nini
@AkyooGrace-su9ls Жыл бұрын
😭😭😭
@RadioSafinaHabari Жыл бұрын
Mie nina shida kwenye eneo la kuogopa kubadilisha ninachofanya niende kwenye jambo jingine
@petromashaka-ks5cl Жыл бұрын
Je, ni namnagan tunaweza kumsaidia mtu mwenye tatizo Hilo?
@alfanoah5354 Жыл бұрын
Mwalim ninapitia hilo kwa sasa sijafikia hatua ya kupiga mtu. naibuwaziri patrobas p katambi ananisumbua anahalibu mazao yangu kahalibu mabandayagu ya mifugo kwa kutumia ofisi ya jiji kwakutumia cheo chake
Hhhhhhhhhh. Brother Joel, haya bana. Mi nilikua najua nimatunda ya changamoto; ndio maana mtu anakua hivo. Nakama nihivo, bina daamu soote tunamatatizo hayo. Nikulingana tu uko kwenye changamoto gani. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂