UKRISTO NA POMBE

  Рет қаралды 22,124

Mzee wa upako

Mzee wa upako

6 ай бұрын

Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za KZfaq Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Пікірлер: 151
@anjelinamwinga
@anjelinamwinga 6 ай бұрын
Wana wa mungu popote mlipo simameni imara yesu anakuja na malipo
@marylucy1455
@marylucy1455 21 күн бұрын
Wana wa Mungu, kimbieni hapo hapana kitu mtaachwa na Yesu Kristo anarudi.
@user-im4zj5wn7y
@user-im4zj5wn7y 6 ай бұрын
Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho uliokuwa mwema
@stephenlembo8986
@stephenlembo8986 6 ай бұрын
Ktk Ufunuo anasema nawachukia walevi, wazinzi na waabudu sanamu
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 4 ай бұрын
Si wote wanywao pombe ni walevi. Anaekunywa pombe chupa moja si mlevi ni mnywaji na Biblia haikatazi anywaye kiasi.
@NeemaKwingwa
@NeemaKwingwa 2 ай бұрын
Nyakat zamwisho watu wataipend dunia,ndio haya,tusimame kwamiguu yetu tuachane namanabii yusome sana neno lamungu
@HappyKiteboarder-du9th
@HappyKiteboarder-du9th 2 ай бұрын
Wakristo kama haya ndiyo mafundisho yenu mmh hongereni sana na diniyeni ya mchongo
@abelialsen5383
@abelialsen5383 6 ай бұрын
Mzee anazeeka vby pole sana
@StephanChika
@StephanChika 26 күн бұрын
Dah mzee nawapa pole walio kaa kuku sikilizeni naona kama hata wewe mwenyewe hujielewi
@nuruemmymkayula861
@nuruemmymkayula861 2 ай бұрын
Nyakati za mwisho hofu ya Mungu itatoweka kabsa
@bakariramaddhani5689
@bakariramaddhani5689 6 ай бұрын
anakubali, anakataa, mzee wa bapa yaliyoujaza moyo...
@ErnestLule-z7t
@ErnestLule-z7t 6 күн бұрын
Wagalatia 5:19-21 19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, 20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, 21 husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
@JescarkarugabaJescar
@JescarkarugabaJescar 19 күн бұрын
Kaeni makini,haya hayana budi kuwepo
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 6 ай бұрын
Endelea na konyagi mzee wa bapa
@KanalIdrissah-dh5hj
@KanalIdrissah-dh5hj Ай бұрын
Tatizo hamjamuelewa mzee ypo sawa
@bishopstephanosaid9205
@bishopstephanosaid9205 Ай бұрын
Sababu mjinga mzee
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 3 ай бұрын
Umeishiwa!
@doricesanga9783
@doricesanga9783 6 ай бұрын
Hapo tayari kishalewa
@user-ot9ch5kl3w
@user-ot9ch5kl3w 6 ай бұрын
Kuwa mtaarabu kumbuka ana watoto uyo unavo andika ivo unamaana gani
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
anganyikiwa baba
@PeterMagoye
@PeterMagoye 2 ай бұрын
Huenda kashalewa tiyari
@martinkisha6307
@martinkisha6307 6 ай бұрын
Kunywa tu mzee
@user-os3tg5bo6v
@user-os3tg5bo6v 6 ай бұрын
Soma lsay 5:11,22, Lk 1:15. Amen
@aziziabdulrahman3914
@aziziabdulrahman3914 6 ай бұрын
Mzee me nakuelewa sana wache waseme yao mwaga ukweli ila siku ukitaka kuwa muislam karibu usione haya
@esaubakuza2640
@esaubakuza2640 6 ай бұрын
Aje awafudishe kulewa kwenye miskiti yenu, mnaweza kumpa hata semina miskitini mwenu.
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 5 ай бұрын
Duu nilikuwa sijui kumbe miislam inaluhusu ulevi kumbe sheh kishki mazinge niwalevi basi lusekelo ata wafaa 😏😏😏😏
@blessingcharles-lc1rr
@blessingcharles-lc1rr Ай бұрын
Amen,
@lovenessrichard9969
@lovenessrichard9969 6 ай бұрын
Upo sahihi mchungaji....huo ndo ukweli...tena ukitaka kujiona wewe ni Mtakatifu lewa pombe....mambo utakayofanya baada ya kulewa ndio yaliyopo moyoni mwako
@user-kp2jf5jc2i
@user-kp2jf5jc2i 5 ай бұрын
Hautabiriki!
@ErnestLule-z7t
@ErnestLule-z7t 6 күн бұрын
2 Wakorintho 6:14-18 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. 18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike,
@user-jn6il2zi6l
@user-jn6il2zi6l 6 ай бұрын
Dah
@user-wu7sy6dp2o
@user-wu7sy6dp2o 2 ай бұрын
Mafundisho ya kipepo ayo mzee wa upako
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Ай бұрын
Vita vya upinzani wa historia ya Kristo iachwe vibaya tunakataa ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai mbaya sana Tusamehe Tusaidie Yehova tumalize salama. Uchambuzi mwingine hauna lazima mtaua wengi jamani. Si mtulie nayo acheni watu wamalize hivyo wajuavyo. Itawaghalimu na mtajibu kwa ajili ya hao wadogo ambao Yesu Kristo Aliyehai Aliwafia.
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 6 ай бұрын
pombe mumehalalishiwa kabisaaa munywe mulewe mpaka muanguke😂😂 nyinyi kila baya mumeingiziwa na waandishi wa kizungu ndipo tunapogundua bibilia sio tabu la mungu Mungu hawezi kuwaamuru machafu
@SmilingBuoy-kb1yn
@SmilingBuoy-kb1yn 5 ай бұрын
Jamani hukumu ya.mwanadamu anaye jua ni mungu ila.wanadamu kazi ni kusema
@joycerichard9274
@joycerichard9274 2 ай бұрын
Ni nyakati za mwisho
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 5 ай бұрын
Duh lusekelo atakua anapenda mitungi😂😂😂
@BatazalNdifwa-nk2hl
@BatazalNdifwa-nk2hl Ай бұрын
Hah hah hah hah! Lusekeloooooooooo! Ok
@mabondolawrence1812
@mabondolawrence1812 6 ай бұрын
Feel free
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 6 ай бұрын
Ni kweli pombe siyo zambi Ila nikisababishi
@prochesernest5439
@prochesernest5439 6 ай бұрын
Pombe ni dhambi isiipambe pombe ni kilevi ndomaana biblia imesema walevi hawataurithi uzima WA milele ulevi unatokana pombe na mengineyo nyenye kilevi pombe inakilevi ndani yake wakati biblia inaandikwa hakukuwa jina pombe wara bia konyagi mbege na ulanzi na kitochi maana pombe Ina majina mengi
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 6 ай бұрын
Pombe ni tamu kiukweli
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 ай бұрын
Pombe siyo dhambi ..ulevi ndiyo dhambi.
@amanamani4429
@amanamani4429 6 ай бұрын
Mmmh
@EvelinQueen
@EvelinQueen 2 ай бұрын
Chukizo la uharibifu limeshasimama mahali patakatifu wana wa Mungu tuwe macho tunakaribia kwenda
@BboossBILLY
@BboossBILLY Ай бұрын
Unawachanga sasa
@norahmike7643
@norahmike7643 6 ай бұрын
Mungu atuhurumie😢
@edsonmruma4833
@edsonmruma4833 2 ай бұрын
Kuna kuzidiwa lkn watu wa Mungu waambiwe ukweli.
@user-cg6iy2et7q
@user-cg6iy2et7q 3 ай бұрын
Vichungajigani hivi?
@juliusmartin1839
@juliusmartin1839 2 ай бұрын
Habakuki 2:15 Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao! Woe unto him that giveth his neighbour drink, that puttest thy bottle to him, and makest him drunken also, that thou mayest look on their nakedness! Habakuki 2:16 Umejaa aibu badala ya utukufu; unywe nawe, uwe kama mtu asiyetahiriwa; kikombe cha mkono wa kuume wa BWANA kitageuzwa ukipokee, na aibu kuu itakuwa juu ya utukufu wako. Thou art filled with shame for glory: drink thou also, and let thy foreskin be uncovered: the cup of the LORD'S right hand shall be turned unto thee, and shameful spewing shall be on thy glory.
@Mgutehekima.
@Mgutehekima. 6 ай бұрын
Mmh😮 Ujasiri unatoka wapi huu?
@richarddavidmk
@richarddavidmk 2 ай бұрын
Huyu mzee bolt zimekata
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 6 ай бұрын
Mmmmmmmmmmmmmmmm eleza maana ya kosa
@Elikanashileka
@Elikanashileka 4 ай бұрын
Bas ipo siku utaitwa kubariki mtaji wapombe
@philemonkafyulilo7128
@philemonkafyulilo7128 6 ай бұрын
Kunyweni kanisani
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 5 ай бұрын
Mm muislam ila mzee mambo mengine unaongea ukwel ila pombe haifai ni dhambi na ndo baba wa maasi # na kwa akili ya kawaida tu ukichunguta utaona pombe haifai ina madhara mengi sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Wewe Mlevi wa Kvant mchungaji gani hufai kabisa ndiyo maanavunatetea pombe
@shadraachshadinho
@shadraachshadinho Ай бұрын
Jamaa simuelewi kabisa huyu
@jumahili8121
@jumahili8121 6 ай бұрын
Mzee wa Upako nimekuelewa. Mtu hataenda jehanum kwa kunywa pombe.
@nyimbozakuabudu2650
@nyimbozakuabudu2650 6 ай бұрын
Unatakiwa uelewe dhambi ni nini ? Dhambi sio kuvunja amri kumi za Mungu pekee ... jaribu kusoma maandiko utaelewa Wagalatia 5:19-21 ,(Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 6 ай бұрын
Kuzini kumeandikwa kuwa tusizini,ila ukianza kusema kuhusu kuzini wanaozini watakushambulia kwa kuwa wanafaida nalo,hivo wote wanaomtetea Lusekelo ni kwa sababu Amelita mlemle wanapopapenda.kwenye angle yao.pole
@asifiwedeus4122
@asifiwedeus4122 5 ай бұрын
Wakala wa shetani
@giclifetv-lq8dn
@giclifetv-lq8dn 2 ай бұрын
Lusekelo unajaribu kuonyesha wewe ni wawapi
@elibarikimeela2761
@elibarikimeela2761 6 ай бұрын
Tafuta kazi nyingine ya kufanya,,,,, ya uchungaji huwezi.
@samsonmwaipaja4839
@samsonmwaipaja4839 5 ай бұрын
Aiseyi Hilo ni tatizo la kuwa na waalim wengi Yak 3:1,2
@bishopstephanosaid9205
@bishopstephanosaid9205 Ай бұрын
Sasa mzee unaipamba dhambi rangi dah pole heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake mzee
@NeemaKwingwa
@NeemaKwingwa 2 ай бұрын
Huyu anaejiita mzee waupako kwanza mwenyewe nimlev ndio mana anatetea dhamb tazamen hata liuso lake lilivyo lamtu mlev kabis
@yohanamorisi9027
@yohanamorisi9027 6 ай бұрын
Mbona imeandikwa mselewe kwa mvinyo!! MLEVI MKUBWA WEWE
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 6 ай бұрын
Hahahahahahahaha Yani hajajirudi tu
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 6 ай бұрын
Ajabu 😮
@user-ot9ch5kl3w
@user-ot9ch5kl3w 6 ай бұрын
Umesikiliza vzuri sikiliza vzuri sio unalopoka tu acha utoto
@catherinemhule6519
@catherinemhule6519 6 ай бұрын
Huyu ni mlevi mkubwa kuna cku alilewa akaanza kutukana matus
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 5 ай бұрын
Duh 😂😂😂
@user-gr8sh5hl1m
@user-gr8sh5hl1m 10 күн бұрын
Watu wangu wamekua kondoo waliopotea wana wachungaji wao wamewapoteza
@kesterkanyala7718
@kesterkanyala7718 2 ай бұрын
MIMI NAONA,MZEE HUYU...ANAKOSA ZA KUSEMA AU KUFUNDISHA KANISANI MWAKE. -AMESHAMKANA HATA,"YESU KRISTU KUWA NI MUNGU" -HII SIJUI NI IMANI GANI
@MichaelJohn-et8mk
@MichaelJohn-et8mk 23 күн бұрын
Huyu ni mlevi kama walevi wengine kaeni mbali na hiyo roho ya ulaghai
@Direct-0000
@Direct-0000 6 ай бұрын
Siasa izi ...na ushoga nao mnasema si dhambi nao ni kosa kwani dhambi Nini.? Dhambi si Imani dhambi ni kosa huu uhuni mtupu...😮
@PeterJuliusSabuni
@PeterJuliusSabuni Ай бұрын
Haya bwana yanatokea kwasababu ya kosefu wa ajira yaani huyu mzee ni mpigaji nawaambia jamani, tuweni makini
@davidmalila9221
@davidmalila9221 2 ай бұрын
Tutawatambua kwa matunda yao
@tiracymbombo5337
@tiracymbombo5337 2 ай бұрын
hiyo injili yako ina mashaka hakuna ulevi bila bombe.
@josephinamkono5183
@josephinamkono5183 6 ай бұрын
Hizi ninyakati za ukweli na uwazi
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 6 ай бұрын
Wewe Mzee tubu kabla hauja lala usiwapotoshe watu usiitete dhambi kisiasa
@desderiushaule4264
@desderiushaule4264 5 ай бұрын
Soma vizuri biblia mzee wa upako ili ujue habari ya pombe. Mit 23:20-21
@nickokihongole2249
@nickokihongole2249 5 ай бұрын
Mithali 31 :4
@ZENAMHUMBA
@ZENAMHUMBA 2 ай бұрын
Mtumishi wa shetani huyu
@benedictmhina4819
@benedictmhina4819 3 ай бұрын
Kwani mzkosa na dhambi tofauti yake ni ipi hapo?
@user-nw8ct3ud3f
@user-nw8ct3ud3f 6 ай бұрын
Amekengeuka
@user-ot9ch5kl3w
@user-ot9ch5kl3w 6 ай бұрын
Kuwa mstaarabu ndgu maneno mazito ktka account ya mtu hasa ukizingatia ni mtu mzima uyo
@user-nw8ct3ud3f
@user-nw8ct3ud3f 6 ай бұрын
@@user-ot9ch5kl3w mtu mzima anapotosha neno la Kristo,upumbavu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 6 ай бұрын
​@@user-ot9ch5kl3wmtu mzima haambiwi ukweli?
@barakakibuti3324
@barakakibuti3324 4 ай бұрын
Wewe Bado mchanga Sana wa maandiko tatizo unaongozwa na hisia zaidi na sio ukweli
@user-zz9gr1vd9h
@user-zz9gr1vd9h 2 ай бұрын
Watu wanashangilia kunywa pombe jamani tunapelekwa wapi ? hii injili ya sasa
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 6 ай бұрын
Unajiaibisha
@johnjohnkipokola5077
@johnjohnkipokola5077 6 ай бұрын
Acha kudanganya watu wakaangamie.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 ай бұрын
wewe mlevi wa Kvant mchungaji gani hovyo kabisa
@cliffdenis144
@cliffdenis144 6 ай бұрын
Walimu wa uongo Hawa tayari wameanza
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 2 ай бұрын
POMBE IMEKATAZWA Walawi 10:8 Waamuzi 13:3 - 5 usinywe pombe Luka 1:15 Efeso 5:18
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 6 ай бұрын
Wale ambao wanajiita walokole wa kukaririshwa.ni ngumu kukuelewa.kwa kuwa watakusikiliza lakini hawatakuelewa.wakatoliki tunasema pombe ni mzizi was dhambi wala mapadri hawatoi jasho kuhuniri pombe.Bali neno LA Bwana.unaweza kuwa hunywi pombe lakini mwongo.utapataje kupona.
@msemakweli243
@msemakweli243 6 ай бұрын
Uyu mzee ni mtume wa shetani lkn mkumbusheni yesu anarudi
@zachariazachaaa4958
@zachariazachaaa4958 2 ай бұрын
Pombe ni dhambi
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 5 ай бұрын
Mwana wajoka yupo kutetea maslahi Yake uku dhamila iki msuta anajua anacho kifanya ila hana namna amesha fika mbali sababu ya tamaa mbaya sawa ila haichelewi atakukuta MUNGU wa moses kulola 😢😡
@samwelndaki201
@samwelndaki201 6 ай бұрын
Wewe umekwisha sababu ya. Fedha zako
@jastinmkoba
@jastinmkoba 6 ай бұрын
Umesemaje?.....ludia tena? Apo nimekuelewa ni kwasababu wewe mwenyewe mlevi
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 6 ай бұрын
Msiposilimu wote mtaishia motoni
@denisharris2889
@denisharris2889 6 ай бұрын
Ifahamu hiyo Dini Yako mpya, uliohamia kabla haujashauri watu waje huko. Isije ikawa uko tayari moyoni Kwa kumkataa Yesu.
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 2 ай бұрын
We ni mlevi tu ndio maana unaitetea.
@laurianogerold5129
@laurianogerold5129 6 ай бұрын
Kunywa pombe sio dhambi ila ni makosa, kwani kosa sio dhambi? Danganya watu tu
@titokwareh1852
@titokwareh1852 6 ай бұрын
Sio lzm. Dhambi Ni zile zilizomo kwenye amri 10 za Mungu. Ndo maana anakuambia pombe sio dhambi
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 6 ай бұрын
Pombe ni tatizo kwa waafrka kwani hawana kiasi wala si pombe waafrka tuna anasa nyingi na ubnafs na ulafi na unafki neema ya Mungu tu itusaidie
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 2 ай бұрын
Biblia haijakataa pombe je matendo ya pombe he sijui jamani
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 2 ай бұрын
Wkiristo mnakazi pombe si zambi ila ni makosa ila pombe ni mlango wa shatani sasa zambi ni ipi? Na ushani ni upi? Njani katika wislam na ww mzee wa upako geuza kanisa weka msikiti acha kudanganya watu
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 6 ай бұрын
We kunywa kama umeamua kunywa pombe ila ujue kunywa pombe ni dhambi
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 6 ай бұрын
Mlevi hutetea ulevi
@PeterJuliusSabuni
@PeterJuliusSabuni Ай бұрын
Acha nisimalize bando langu kwa ajili ya huyu mjinga
@EBENEZEREMMANUELtv
@EBENEZEREMMANUELtv 6 ай бұрын
HABAKUKI 2:15 ole wake yeye ampae jirani yake kileo
@user-os3tg5bo6v
@user-os3tg5bo6v 6 ай бұрын
Biblia inakataa pombe Moja Kwa Moja,wewe una agano la pombe toka kwa shetani,wewe na wote wanaokunywa,kumpa kileo,kulewa,kutapika,kuanguka wote jehanamu.
@amaningalla9420
@amaningalla9420 6 ай бұрын
Usiibadilishe biblia ikafuata matakwa yako,dhanbi ni dhambi hata ukiiipaka rangi ni dhambi tu.
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 6 ай бұрын
amina
@user-ot9ch5kl3w
@user-ot9ch5kl3w 6 ай бұрын
Acha ujinga sikiliza somo alaf pia kapitie ilo somo
@calistusmahombo-ty8ni
@calistusmahombo-ty8ni 6 ай бұрын
Mtawatambua Kwa matunda Yao,ole wake ampaye jirani yake kileo,usinywe mvinyo ujazwe Roho, (Hekima ya Dunia hii ni upuuzi mbele za MUNGU,(Roho hushuhudu pamoja na roho zetu...)SIKU za mwisho watakuja makristo wa uongo na manabii wa.....
@joh_001
@joh_001 6 ай бұрын
wewe aliekufundisha ndiye alokupoteza..tuambia kunywa pombe ni dhambi ya amri ya ngapi???
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 6 ай бұрын
​@@joh_001jibu hana, ila watu wanaona pombe sigara ni dhambi ila Zina fitna uongo na nk sio dhambi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 6 ай бұрын
Huyu vipi sio kosa na sio dhambi tukuelewe je
@SamwelNyika
@SamwelNyika 3 ай бұрын
Ka
HISTORIA YA VITA VYA WAYAHUDI NA WAPALESTINA
21:53
Mzee wa upako
Рет қаралды 36 М.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 91 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,8 МЛН
Mzee wa Upako afunguka kuhusu kunywa pombe
19:24
EastAfricaTV
Рет қаралды 183 М.
YESU NI MUNGU AU SIO MUNGU
51:26
Mzee wa upako
Рет қаралды 20 М.
SIRI YA MAFUTA NA MAJI YA UPAKO | MZEE WA UPAKO
19:21
Mzee wa upako
Рет қаралды 51 М.