Nimekuja kufungukiwa kimaisha Alhamdulilah baada ya kuhama sheikh shukran Allah akujaze kheri nyingi
@benhorta51214 жыл бұрын
Mm ni mkristo lakini... Somo nzuri sana limenitia nguvu sana Kwanini nife mnyonge eneo nililozaliwa lazima niame na kwa uwezo wa Mungu litafanikiwa ...Nitarudi siku moja hapa kuja kuweka shuhuda yangu pale jambo hili la kuhama litakapo fanikiwa
@neamusic2601 Жыл бұрын
Ubarikiwe broh
@user-ei3ps8dw8h2 ай бұрын
Mungu akupe njia haki amin
@emmanuelmajele57844 жыл бұрын
Yeni mm mkristo lla nimekuelewa sana jinsi yakuama Mungu Akulinde
@zamabuu77074 жыл бұрын
Shukran
@dktabbaimran20022 жыл бұрын
Karibu kwa dini ya haki
@user-ei3ps8dw8h2 ай бұрын
Mungu akujalia na akupe njia haki
@peterambrose26574 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu xana shekhee mm ni mkristo nimekuelewa xana nimepata moyo
@D-Man.B-Free4 жыл бұрын
Daaah,nimekubali,nimehama maisha kabadilika namshukur Allah
@iddramadhani27154 жыл бұрын
MaashaAllah mawaidha mazuri, na kuhama faida yake sio kufanikiwa kimali tu bali na fikra zinahama na kujifunza mengi, ndio maana ya wahenga wakasema tembea uone.
@aminajuma14354 жыл бұрын
Maashaallah Nimekuelewa maalim... hata katika Qur'an ALLAH ametuambia "ametuumba mataifa na makabila tofauti tofauti ili tupate kujuana hakika aliem'bora niyule amchae mwenyezimungu." Sasa ikiwa mtakaatu sehemumoja bila kuhama mtajuana vipi. Shukran shekh .
@mussaismailbadawy26864 жыл бұрын
Allah akbar
@saidnasor23174 жыл бұрын
Assalaam alaykum, shekh upo vizuri na umelipa nguvu wazo langu, mimi sehemu ninayoishi nimepata mtihani wa maisha, nikapata wazo la kuhama kuna walionipinga lakini kwa mada hii nahama shekh.
@HassanHassan-sn5cj4 жыл бұрын
Usitafutie nyumbani sheikh ni mtihani. Natamani nikuone nikupe nguvu kwenye swala zima la hijra au kuhama.!! Safar njema na Allah akufungulie!!!
Shehe asante sana mi mkiristu lkn hapo kwenye kuhama ni kweli ukitaka maendeleo toka nje ya eneo lako ulikozaliwa na kukulia
@saidmbanga28674 жыл бұрын
Debora Komba Hii ndo dini ya kweli.
@ogenylaurent79614 жыл бұрын
Debora Komba InshaAllah Mungu akufanyie wepesi uweze kuingia katika Uislamu
@user-ih8yq8dp4z4 жыл бұрын
Kweli shekhe wetu
@mwakahassan87423 жыл бұрын
@@ogenylaurent7961 IN shaa Allah
@mwakahassan87423 жыл бұрын
@@saidmbanga2867 IN shaa Allah ipo cku atakuwa mwezetu
@mohamedfaris30004 жыл бұрын
Assalam alaikum, wale wote tuliohama tujuane kwa like ❤
@mansurahmed21764 жыл бұрын
Vipi faris salaam Allah alleykom Mimi kama hivyo uko wapi.
@bellbell92943 жыл бұрын
Shukraan Sana sheikh wetu uko sahihi kabisa sheikh kwa swala la kuhama Allah akuhifadhi sheikh wetu umetuzindua jazakallahu kher
@mwanaidishibe92754 жыл бұрын
Shekhe hayo maneno nikweli kabsaa nshayaona..yani mada zako uwanisafi sana na zinaeleweka...mashaallaah
@samsonezekiel9704 жыл бұрын
Somo liko mzuri
@mbaga824 жыл бұрын
Sheikh ni kweli kabisa hili Nimehama kwenye nyumba moja hivi hata wiki moja haikuisha nikapata nafasi kazini. Nilikuwa na kiwanja nikaanza ujenzi Alhamdullah nilimaliza na ujenzi
@heyumi23402 жыл бұрын
wiki moja umejenga ww noma
@dktabbaimran20022 жыл бұрын
Masha Allah
@yussufkhamis65362 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuweke na akujaalie pepo iwe ndo makazi yako shekh Asante Kwa darsa
@abdulrazackkipingu54374 жыл бұрын
Inshaa Allah subhaanahu akuzidishie kila lilokua lakheri kwa elimu unayo tupatia
@rahmanakapi40714 жыл бұрын
Shukrani nimeta da'awa inshaallah nitalifanyia kazi mana shekhe kanigusa
@tatuali13794 жыл бұрын
Shukrn shekhe
@neemafatu78854 жыл бұрын
Mashaallah sheikh wewe unaongea point sana
@ZuleikhaAbdallah Жыл бұрын
سافر ففي الاسفار خمس فوائد. شكرا وجزاك الله خيرا
@fatumababy17564 жыл бұрын
Nimepiti baadhi ya comenti wanamkosoa shekhe na ndio tatizo letu sisi watanzania, shekhe kamaanisha ukikaa huo muda woote halafu huna maendeleo yoyote ya kidunia na akhera basi hama hiyo sehemu huenda kwa kufanya hivyo huko unakokwenda mungu ndiko alikokupangia wewe kupata mafanikio,, na Mimi naamini hilo
@hassanramadhan89784 жыл бұрын
Swadakta
@mohamedmariano56994 жыл бұрын
Mmh
@mwanaimaabdallah78254 жыл бұрын
باراك الله فيكم وجزاك الله خير
@abdallahmuttaq73064 жыл бұрын
Mwalimu uthmaani hii hta mimi niliiona niliishi sana Tanga lkni kiukweli vijana walio hama kutoka tanga kuja dar walibadirika kiuchumi kiukweli hata mimi baada ya kupata fursa ya kuhama nimejaaliwa sasa nataka nianze kujenga chamazi insha'Allah na hukohuko tanga nipo kwenye kumalizia kununua kiwanj, shekhe usipo hama kiukweli hata ubongo wako unakuwa na fikra mgando.جزاك الله خيرا
@fatmaswaleh70044 жыл бұрын
Kweli kabisa
@dktabbaimran20022 жыл бұрын
Masha Allah
@japhetikongo4532 жыл бұрын
Mimi ni Mhanga wa kung’ang’ania Mahali nilikozaliwa . Hakika nimedidimia Sana Na Siwezi kujikwamua tena Maana umri umekwenda, Nimehamia Mkoa Mwingine nijaribu Kuiona tofauti ya Maisha ya Mwanzo Na Sasa.
@nassorsalum80184 жыл бұрын
Usipo hama na ukipata maendeleo kuna tatizo
@dezainermedia10354 жыл бұрын
Maashallah Allah akuweke sheikh
@fatmaameer53334 жыл бұрын
Mashallah shekhe ALLAH akuhifadhi ujumbe mzuri
@barkaabdallah24074 жыл бұрын
MashaAllah jazakalahu kheri.Allah atupe wepesi katika mambo ya kheri
@saidimasimba98194 жыл бұрын
Jaman Allah atup wepes inshaallah
@ashazaharan17504 жыл бұрын
Masha Allah shukuran saana
@osamashakeeb71944 жыл бұрын
Masha Allah
@abdallahjambia65963 жыл бұрын
Be blessed shekh
@hussainomar18494 жыл бұрын
سافر تجد عوضًا عمن تفارقه وانصب فإن لذيذ العيش في النصب.
@ussikhamisussi48824 жыл бұрын
MashaAllah!
@mariamukajiru18984 жыл бұрын
WALE WALIOGOMA KUHAMA NYUMBANI NA KUZEEKEA KWAO POVU LINAWATOKA.
@ZuleikhaAbdallah Жыл бұрын
Sana
@harrishussein6992 Жыл бұрын
Hata usipo fanikiwa lakin utakua umejifunza mambo mengi sana ukihama kama mimi hapa namshkr Allah nimehama nimejenga na kujenga mjini nanyumbani pia maana kwetu hakuna lakufanya zaidi ya kushinda vijiweni bora nilihama kweli kabisa maalim
@salmahamis74154 жыл бұрын
Sheikh kweli kabisa miepia nimehama niko omani kimaisha ni meamini usemayo
@halimayusufu63054 жыл бұрын
Mawaidha mazuri yarabi tujaalie mwisho mwema
@inabikorwaneema88154 жыл бұрын
Barak'Allahu fiiQ
@issamkondoa71834 жыл бұрын
Mada nzuri sana Allah akuhifadhi sheikh!
@ameenaoman74164 жыл бұрын
kwakweli asemayo ni hakika sasa hivi kariakoo yote inamilikiwa na wageni.
Kweli kunamaeneo mengine usipo hama huwez endilea ndomana mungu akaona likukalia vby eneo unahamia kungine.
@mwanakombaabbas934 жыл бұрын
Swadakta kabisa shekh wetu jazakallah kheir
@mussashabaan12194 жыл бұрын
Masha Allah shekh khamis Allah akuhifadhi, ameen.
@Boyz2nabii4 жыл бұрын
Nabii akubariki kwao
@alimzushi66263 жыл бұрын
Swadakta kabisa sheikh wangu
@osamashakeeb71944 жыл бұрын
Allah akulipe pepo
@hamisiramadhan1044 жыл бұрын
MashaAllah
@ameenaameena57274 жыл бұрын
Shukran shekh una mistari mashaalah
@kazungucharo24134 жыл бұрын
Swadakta sheikh maneno ya kweli kabisa. Yassin Kakiyo
@rashid.mwenyezimunguakurin29684 жыл бұрын
mawaidha mazuri sana
@nassororajabu58734 жыл бұрын
Inshaallah
@salmahamis74154 жыл бұрын
Shehe kweli kabisa maneno yako
@faizasaid82624 жыл бұрын
Mashallah shukuran
@hussenahmed42844 жыл бұрын
Kwli kbsa sheikh MUNGU akuweke na akulipe kila la kheir.
@faizahamim99354 жыл бұрын
Naam sheikh naku kubali kabisa yani umeongeya kweli kabisa
@fatumaramadhanmashaallahal99664 жыл бұрын
Kweli kabisa shehe wetu shukran wajazaka llahu heri
@amissesefu4454 жыл бұрын
Mm shekh mguu wa kutoka mtume kauombea mm nyumban nilipigaka kinoma lkn tokea niondoke nashkur maisha yang kidog afuen
@hajimgwami52244 жыл бұрын
Namkubari sana huyu Sheikh, Allah amuweke insha Allah
@mzammirchanneltv73904 жыл бұрын
nam shekh Allah akulipe
@lucialibaba2024 жыл бұрын
Do Do mile nimekubali maneno yako kuhama kumenipa utajir kila nlipohamia nmejenga asante she he
@muhammadahmedaliyyu38544 жыл бұрын
LA hawla wala quwata illah billah 😭😭😭🤢
@salmaanhemed26654 жыл бұрын
iwapo sehemu unayo ishi hupati kufanya ibada kutokana naukafiri ulipo..
@mozasaid38694 жыл бұрын
Shukran shekhe, Ni kweli kuhama sehemu moja kwenda sehemu nyingine ni dawa!
@issamussa97264 жыл бұрын
Aya hiyo inahusu watu waliokuwa waisilam kisha kwa kuzidiwa nguvu na makafiri watu wale wakarudi kwenye ukafiri tena. Ndio muda wanapokufa huulizwa na malaika sababu ya kufa makafiri nao hujibu Tulikuwa wanyonge tukazidiwa nguvu na makafiri wakaturudisha kwenye ukafiri. Ndio huulizwa ni kwa nini hamkuhama hapo mlipozidiwa nguvu mkaenda mahala pengine ambapo huko mngepata utulivu na ardhi ya Mungu ni pana!? Hii ndio hoja ya aya hiyo sio kuwa ni lazima mtu ahame mahala pa asili yake ndio afanikiwe. Hizo ni katika tawaaqui za kimaarifat kwa sababu huwezi kusema leo kuwa mtoto wa bakhresa asipoondoka alipozaliwa na kwenda kuishi kwingine atakuwa hana maendeleo!!
@Zinjibartvzanzibar4 жыл бұрын
DAH : HUU NDO UBAYA WA CHUKI kzfaq.info/get/bejne/bd5dd7OVz5bFqqc.html
@nurdinathumani39894 жыл бұрын
Hujamuelewa shekh
@khamisjuma76164 жыл бұрын
Huyo anaelezea faida za hijra ila kuhusu ile aya makusudio ni wale wanaorejea ktk ukafiri baada ya kuzidiwa na makafiri ndio wataulizwa kwani ardhi ya Allah ni wasaa .ila hijra ina faida sana sana
@asphathbashiru20524 жыл бұрын
Shekhe yupo sahih mada IPO wide hyo ktk maisha yko yte migration ni KTU cha msing, ww unasemea kipengele kmoja tu
@kalikalisalehe37014 жыл бұрын
Naam but aya makusudio ni hivii na si alivyosema Sheikh lkn hijra ina depend na mtu mwenyewe hali alokua nayo
@dirayaduniageneralviews3124 жыл бұрын
Mashekh wengi wanapenda raha tu vijijini wanapakwepa sana unakuta msikiti mmoja mashekh kumi hapo ni mjini
@qariikhamisiqarii59203 жыл бұрын
Na wewe pia uhame uta ongeza akili
@twariqanairobi58974 жыл бұрын
UKWELI MTUPU .MASHAALLAH
@mwanakombaabbas934 жыл бұрын
Maneno ya kweli kabisa
@fatmamohammedali43064 жыл бұрын
Ndio maana sisi Wapemba tunafanikiwa kumbe ukenda Marekani utamkuta London yupo China hakosekani Dubai ndo usiseme Tunduru yupo Mtwara Moshi Arusha shikamoo mpemba
@aishaaisha14954 жыл бұрын
Mashallah Shekhe uko vzl Sana kielim na kutuelimisha
@shufaahamza9926 Жыл бұрын
Nikweli hata maendelo ya mji huwa yanaletwa na wageni maan ht ukifanya kz huwa hawakuungi mkono zaidi yakukuombeya ushindwe
@sharifarajabu72554 жыл бұрын
Shukurn sana na mimi nitahama umesema kweli kabisa
@sabunisop10504 жыл бұрын
Uko sawa sheh
@aishaomar43184 жыл бұрын
Kweli kabisa haswa kwa znz niwakarim na ndio io yakufanya kazi za bure mpaka kwa majiran
@abdullathabithemed93774 жыл бұрын
Duh
@ibnumarwaonlinetv4456 Жыл бұрын
Ukweli kabisa
@hassanjumabajwala18624 жыл бұрын
Allah akulipe fact tupu
@winfridamwamban10783 жыл бұрын
Shekhe tunashukuru kwa muongozo
@ndolimanaamani91063 жыл бұрын
Asante
@ndolimanaamani91063 жыл бұрын
38pp to up 08 up 7 ok 0u up 0l
@anifauwizeyimana84684 жыл бұрын
yani umeongelea point
@amourmtungo6234 жыл бұрын
Kuhama maana yake ni kuonna, kufanya, kupanga pia ni kusoma mazingira mapya na kuona jinsi ya watu wengine wanavyoishi. Hakika kusafiri ni elimu lakini sina uhakika na usemi wa Sheikh kuwa utakuwa maskini kama hujaondoka kwenye maeneo yako.
@heyumi23402 жыл бұрын
mie naona kaongea kweli ukihama unapata hata ufumbuzi au akili nyingine nn cha kufanya mm kipindi niko kijijin maisha yalikua ya dhiki sana nikaja dar nikakaa miaka saba kwa sasa nipo oman nashukuru mungu nimebadilisha hata maisha yangu
@binlubawa83873 жыл бұрын
11:40 Dunia inatembea pia sio jua peke yake linalotembea na kutembea kwa Dunia zipo aya katika Qur-an zimebainisha kutembea kwa Dunia, shekh soma vizuri Qur-an.
Nakubali Sheikh mtu anasoma hapo anaolewa ama anaoa then anazekea tu hapo da!
@neamusic2601 Жыл бұрын
Kweli kaka na anajukuu hapo maendeleo huwezi kuyapata.
@fatmaswaleh70044 жыл бұрын
Swadakta ni kweli kabisa wallahi nmeona hakika QURAN YA ALLAH IMEKAMILIKA
@dktabbaimran20022 жыл бұрын
Nimepata hidaya kutoka kwako Shekhe langu
@muhidinali81804 жыл бұрын
Jitahidimni msome tafsiri za wanachuoni ili utowe tafsiri sahihi Aya haizungumzii ulazima wa kuhama ulipozaliwa Bali inazungumzia waislam waliobakia maka hawakumfata mtume s a w kuhama maka kwenda madina
@rosemwinyi49254 жыл бұрын
Muhidin Ali .....endelea kubaki hapo hapo ulipozaliwa maendeleo yko yatakuwaje ....halaf baadae ujiangalie tofaut kati ya awal na mara ya pili ...........akili yko uciigandisha kufaham kitu pekeee lazma uwe na (istim-batw) .....pia jitahd Kuwa na adabu ktk elimu yko ...akhui SHUKRAN fkir ndpo utende
@binausimohammed7754 жыл бұрын
Kwani aya zote katika kurani zilishushwa kwetu sisi? Asbaabi nuzuli ya aya zote zimeshuka wakati wa mtume
@kingbabumusictzkingbabumus62854 жыл бұрын
Qur_an Hai jawai kuexpire kwa kuwa Dunia ndo ile ile na mambo ndo Yale Yale
@abdulhamidkipweza59784 жыл бұрын
Mashaallaah endeleaa kujifunza uendelee kutufunza tusojuaa pia
@wolfugangtesha57244 жыл бұрын
Naked truth
@rashidihassani31702 жыл бұрын
Vp
@naamohamed99644 жыл бұрын
😃😃😃nimecheka wallah
@yusufathman24783 жыл бұрын
Q 4:97-100
@yusufathman24783 жыл бұрын
Tupe tafsir ya ibn taymiya kuhusu aya hizo sheikh..maneno matamu lakini kwa quran umejalizia maneno yako
@kassimali19434 жыл бұрын
Mimi kunamtu ariniambia maneno hayo hunapozariwa ukiishi apo huenderei kipato
@user-hb8vi9fx6g2 жыл бұрын
MAWAIDHA NI MAZURI SANA BALI KAWAIDA YETU TUTAKUTUHUMU KUA UNANIA YA KUWATOA WENYEJI MSIKITINI UBAKI WEWE !
@saidimrisho8834 жыл бұрын
Kama umemuelewa SHEKH ingia ktk uislamu usiogope watu
@ezekielshija92514 жыл бұрын
Nimemuelewa sheikh lakini hajatuambia tuache ukristo.
@MctMct-tt4rq3 жыл бұрын
👏👏👏
@kamarimtangi98143 жыл бұрын
Audio
@estamelejomah5724 жыл бұрын
Ishaallah
@mbaroukabdalla39674 жыл бұрын
Baaraka Allah fyk
@abdallahmuttaq73064 жыл бұрын
Hta hapa Qatar ni hivyo hivyo misikiti yote ipo chini ya wizaratul auqaf wa shu uun islamiyya wacha shekhe kuongea mada ya kutenganisha watu misikiti yote huwezi kukaa kma misikiti ya nyumbni maskani.miskiti ina nidhwamu ya hali ya juu.
@Zinjibartvzanzibar4 жыл бұрын
DAH : HUU NDO UBAYA WA CHUKI kzfaq.info/get/bejne/bd5dd7OVz5bFqqc.html
@issaabdi91294 жыл бұрын
Sasa wewe nani kaingiza msikiti. Aya mingi ALLAH amesisitiza wati wahe kama pale aloposema ardhi yake ni wasiya mwende mkatawanyike . sasa hiyo chuki umetowa wapi?
@saeedmugandja41874 жыл бұрын
Ndiyo malimu nimwkuelewa
@editrudesmbonde90513 жыл бұрын
Nipo nilipozaliwa sijahama,na nina maendeleo Shekh,kwa hapo kidogo umekosea.
@hamzaswaibu94702 жыл бұрын
Ndugu hujamuelewa vizuri
@editrudesmbonde90512 жыл бұрын
@@hamzaswaibu9470 Wewe si umeelewa?inatosha tu hata ukielewa wewe tu ni Cool😎👍