USTADH SHAFII AMLIPUA MWAMPOSA NA UONGO MAFUTA YAKE

  Рет қаралды 16,706

KALELA ONLINE TV

KALELA ONLINE TV

4 ай бұрын

Пікірлер: 64
@MariannaJoseph-uv2sp
@MariannaJoseph-uv2sp 4 ай бұрын
Yeah waislam wapambania kuiyona pepo wakristo wakazania kupata maajabu kwa frimason😮 MOLLA wetu ni mmojatu wa kuabudiwa tu ubarikiwe ostath❤
@user-bp5pq9to9e
@user-bp5pq9to9e 4 ай бұрын
Mwaminini Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea!pasipo YESU KRISTO Mbinguni hakuna kuingia!ewe mtanzania nakualika uje Kwa YESU KRISTO Sasa uachane na dhambi! AMANI YA BWANA YESU KRISTO isikupungukie Kila mwanadamu yeyote aaminiye Neno la Mungu!
@GamingLimbe
@GamingLimbe 4 ай бұрын
Mimi ni Muislam ila huu ni Upumbavu na Upuuzi Nimeamini sasa wakristo kununua mafuta ya mwamposa sio kosa lao hata hawa waislam wanaoitikia NDIOOOO nao ndio wale wale tu Nyie Mashekh mnadhiimma kubwa Swali la msingi… Mtume (saw) alishawai fanya hivyo au kufundisha hayoo Napatwa na hasira kuona upotovu wa namna hiiii
@msagamastv7638
@msagamastv7638 4 ай бұрын
Huwezi kufananisha nyakati za manabii na nyakati hizi kuokoa watu wa sasa kunahitaji gharama mike anayotumia gharama,kuna umeme hapo,usafiri sasa unafananisha na enzi za ngamia kaka
@madrassatulihyaa-ilislaami2911
@madrassatulihyaa-ilislaami2911 2 ай бұрын
Wew hujapatikana, na dini yenyew pia huijui vzur....Hakika mtume amewafundisha maswahaba dawa
@user-zv4sx9iv8z
@user-zv4sx9iv8z 4 ай бұрын
Allahu Ak'bar, tuna ridhika
@augustinechitemo8207
@augustinechitemo8207 4 ай бұрын
Unapotosha watu Huo ni Ushirikina na uganga!
@user-ei3iy5fu1i
@user-ei3iy5fu1i 4 ай бұрын
Kubukeni mungu akuzariwa kwenye mitishaba mungu arizariwa kwenyewantama waporini kama nyani sokwe mutu musitwabie sisiviziwi vipofu mara kifua kikuu
@Issamuemede
@Issamuemede 4 ай бұрын
Kwani binahadamu wa kwanza Kwa mujibu wa bíblia na kurhani walikuwa ni masokwe?
@user-ft3sl3jd4i
@user-ft3sl3jd4i 4 ай бұрын
Wallahi njoo Kenya mombasa na hayo mafuta Kenya uchawi uko thele
@CyimanaHamiss-rm5qv
@CyimanaHamiss-rm5qv 4 ай бұрын
Shekh shafii assalam alaikum warahimatullah wabarakatuh mimi binafus huwa napenda kufuwta hutuba zako sasa mimi naka rwanda kamembe hayo mafuta tutapata adje.hatakama itacukuwa garam ngapi tutalipa bila tupate samahani sana binafusi nielekeze natayapata aje?
@mudiali4506
@mudiali4506 4 ай бұрын
Sheikh watu wanauliza tel iweke hapo kwenye screan,
@loner_wolf
@loner_wolf 4 ай бұрын
Darasa na ushirikina.....ustadh umeua kibabe sana.
@ConfusedChicken-ze9fz
@ConfusedChicken-ze9fz 4 ай бұрын
Sasa uo si uganga?acha uongo wewe utakufa vibaya
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 4 ай бұрын
Naona umechukia mwamposa kuwanyang'anya waumini
@khalifamahondo191
@khalifamahondo191 4 ай бұрын
waumini fake😂
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 4 ай бұрын
@@khalifamahondo191 Yesu ni Mungu
@hassanhamis2244
@hassanhamis2244 4 ай бұрын
mbona km biashara hiyo sasa,ningeona ni jambo la maana kwa kua waisilamu wanazijua hizo aya,kwa maelekezo uliotoa ni elimu tosha kwa wao kwenda kuiandaa,na sio kuwauzia,sio kwa ubaya ila haijakaa sawa
@juliusakilimali9424
@juliusakilimali9424 4 ай бұрын
Mimi ktk Dunia hii napita tu!! Yangu masikio na macho kuona na kusonga mbele kumtafuta Yesu wangu!
@Nim68182
@Nim68182 4 ай бұрын
ati kwa jina la shafiii😂😂😂
@mudiali4506
@mudiali4506 4 ай бұрын
Tizama tel hiyo hapo juu
@rayyanothumanmohammed8261
@rayyanothumanmohammed8261 4 ай бұрын
Yesu atakukataa tu Mt7:22
@Nim68182
@Nim68182 4 ай бұрын
@@rayyanothumanmohammed8261 umemaliza kusom japo 23 na kuenderea, nii juu yawatendao maovu, Mtu yeyote afanyae maovu atamkana haswaaa
@mimimimi-pg5uk
@mimimimi-pg5uk 2 ай бұрын
@@rayyanothumanmohammed8261 shida yako ray unataman kudanganya wote, not easy shuka mstari wa 24 sio kusoma mstari mmoja halafu ukautumia kukatisha watu tamaa and by the way sidhan kama unajua umefundishwa ili uje ubishane
@ExcitedCrab-ph5kp
@ExcitedCrab-ph5kp 4 ай бұрын
Sheikh mimi naomba kuuliza kuhusu ufahamu hata mtu mzima ambae hafahamu hiyo dawa itamfaa au naomba jibu
@kalelaonlinetv
@kalelaonlinetv 4 ай бұрын
sijaelewa swali
@FadiAhmed-zw1cu
@FadiAhmed-zw1cu Ай бұрын
Nko kenya nayapata aje
@kalelaonlinetv
@kalelaonlinetv Ай бұрын
tupigie
@samwelluhwago705
@samwelluhwago705 4 ай бұрын
Tatizooo bongoo siasa kila mtu mjuajiii 🤔
@AdolfinaSebastian
@AdolfinaSebastian 4 ай бұрын
Aaaaaaa sasa wewe unshindana na nguvu za mungu ila mwamposa kiboki yenu ndomana hamuishi kumpiga vijembe😅
@shabanimaijo9148
@shabanimaijo9148 4 ай бұрын
Uchawi gani??anasema kweli huyu,hao wachungaji wa uongo ndo wachawi
@mimimimi-pg5uk
@mimimimi-pg5uk 2 ай бұрын
mwamposa pamoja na huyu wote ni kitu kimoja.. kumbuka Ukristo sio mwamposa.
@TheGame-nz7um
@TheGame-nz7um 4 ай бұрын
Mnaemtaja mwenyewe walaaaa hawawazii kabsaa...huyo jamaa anawashinda mbaali sana..mmekalia uswahili uswahili tu kshindana na kila kitu.
@user-he8gu4dr1r
@user-he8gu4dr1r 4 ай бұрын
Huna akili
@khalifamahondo191
@khalifamahondo191 4 ай бұрын
maujanj tunampa sisi
@zahorokasentisenti6761
@zahorokasentisenti6761 4 ай бұрын
Achane fitna bhana tengenezen na nyie tuje kununua Kwa buku tu
@adamomar9382
@adamomar9382 4 ай бұрын
Shehe haya mafuta ya pangusa znz yatakuja lini
@kalelaonlinetv
@kalelaonlinetv 4 ай бұрын
aguzia utayapata
@pastor.frank.tmwaisemba7401
@pastor.frank.tmwaisemba7401 4 ай бұрын
Mwamposa ni kiboko yenu
@mimimimi-pg5uk
@mimimimi-pg5uk 2 ай бұрын
ni kweli ila ni kiboko yenu nyinyi YESU NI BWANA SIO MWAMPOSA Wewe ni binadam umepewa akili sio mbwa. huyu mchawi anaefundisha pamoja na mwamposa wote wanatekeleza jambo moja tu.
@manjoriwakunesa7006
@manjoriwakunesa7006 4 ай бұрын
Nitaka napataje
@darbychannel354
@darbychannel354 4 ай бұрын
mafuta aina 14 + haltiti kisha chemsha
@SalimuMbonyumukiza
@SalimuMbonyumukiza 4 ай бұрын
Marimu tapataje mafuta hayo shekh shafi
@kalelaonlinetv
@kalelaonlinetv 4 ай бұрын
uko wap
@nehemiapatrickmkomamkoma3630
@nehemiapatrickmkomamkoma3630 4 ай бұрын
Napataje mafuta hayo nipo mbeya
@samwelluhwago705
@samwelluhwago705 4 ай бұрын
😂😂😂
@geofreyndambo8635
@geofreyndambo8635 4 ай бұрын
Hawa kila kitu ni wao,utasikia ndege ni waislamu,magari ni waislamu,sasa mbona kwenye Listi za wagunduzi hakuna mwislamu hata mmoja😂
@KhamisHaroub-uj5ci
@KhamisHaroub-uj5ci 4 ай бұрын
Katik kugunduwa pia tulianza muislam kupitiya kiongozi wetu Muhammad kwaio makafir hawana jipya
@azizihfarijala5307
@azizihfarijala5307 4 ай бұрын
mimi na familia yangu tumetumia mafuta ya bwana mdogo mwamposa kwa muda zaidi ya miezi sita lakini sikupata mafanikio ila nilipokwenda tandika katika duaa na kuchukua. mafuta baba mwenye nyumba alitumbia tuhame kumbe yeye alikuwa muhusika . kwa hiyo mwamposa hayakufaa
@Pablolookman
@Pablolookman Ай бұрын
Dunia Ina mengi​@@azizihfarijala5307
@joycebongo9275
@joycebongo9275 4 ай бұрын
Shee.shafii mimi niko kenya jee nitayapataje
@kalelaonlinetv
@kalelaonlinetv 4 ай бұрын
tunakutumia unayapata
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 4 ай бұрын
Kwa mwamposa waumini wengi ni waislam ndio wamejazana uko
@user-do1pq2uu1c
@user-do1pq2uu1c 4 ай бұрын
Hao sio waislam
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 4 ай бұрын
Umetumwa
@Pablolookman
@Pablolookman Ай бұрын
Tofautisha muumini na muislam muumini Hakurupuki ila muislam anafanya chochote bila hofu
@Pablolookman
@Pablolookman Ай бұрын
Tofautisha waumini na waislam muislam anawezi ishi mwaka bila kusali lakini muumini hata anashida kiasi gani atafanya ibada kufunga na ibada mbali mbali pia Mungu kawahidi Pepo waumini sio waisilam
@masumbukomoussa977
@masumbukomoussa977 4 ай бұрын
Subhanallah hakuna tofauti Yako na mwamposa kabisa nyote matapeli tuu na katik ujinga huyo utwakuta wanawake ndio wengi
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 4 ай бұрын
Mimi nakushukru kwa sababu unatambua mafuta ya nwamposa yanaponya, sasa wewe unafundisha watu uchawi
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 4 ай бұрын
Poyoyo vipi yanakuhusu nini
@mudiali4506
@mudiali4506 4 ай бұрын
We hujui kitu ni waji GA WA nao Iba elimu y WA, Islam. Kwa maslahi yenu. Njaa ndio Ina wahangashan mwamposa wenu
@rayyanothumanmohammed8261
@rayyanothumanmohammed8261 4 ай бұрын
Mt 7:22 biblia
@Pablolookman
@Pablolookman Ай бұрын
Uzuri wa muislamanakifundisha bure bila kukufosi uingie katika dini
@smadon5638
@smadon5638 28 күн бұрын
Mwambie aende hospitali
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 43 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 89 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
Czn Burak vs Argenby Which sigma is better?
0:19
ARGEN
Рет қаралды 14 МЛН
Why Is He Unhappy…?
0:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 38 МЛН