Yeah waislam wapambania kuiyona pepo wakristo wakazania kupata maajabu kwa frimason😮 MOLLA wetu ni mmojatu wa kuabudiwa tu ubarikiwe ostath❤
@user-bp5pq9to9e4 ай бұрын
Mwaminini Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea!pasipo YESU KRISTO Mbinguni hakuna kuingia!ewe mtanzania nakualika uje Kwa YESU KRISTO Sasa uachane na dhambi! AMANI YA BWANA YESU KRISTO isikupungukie Kila mwanadamu yeyote aaminiye Neno la Mungu!
@GamingLimbe4 ай бұрын
Mimi ni Muislam ila huu ni Upumbavu na Upuuzi Nimeamini sasa wakristo kununua mafuta ya mwamposa sio kosa lao hata hawa waislam wanaoitikia NDIOOOO nao ndio wale wale tu Nyie Mashekh mnadhiimma kubwa Swali la msingi… Mtume (saw) alishawai fanya hivyo au kufundisha hayoo Napatwa na hasira kuona upotovu wa namna hiiii
@msagamastv76384 ай бұрын
Huwezi kufananisha nyakati za manabii na nyakati hizi kuokoa watu wa sasa kunahitaji gharama mike anayotumia gharama,kuna umeme hapo,usafiri sasa unafananisha na enzi za ngamia kaka
@madrassatulihyaa-ilislaami29112 ай бұрын
Wew hujapatikana, na dini yenyew pia huijui vzur....Hakika mtume amewafundisha maswahaba dawa
@user-zv4sx9iv8z4 ай бұрын
Allahu Ak'bar, tuna ridhika
@augustinechitemo82074 ай бұрын
Unapotosha watu Huo ni Ushirikina na uganga!
@user-ei3iy5fu1i4 ай бұрын
Kubukeni mungu akuzariwa kwenye mitishaba mungu arizariwa kwenyewantama waporini kama nyani sokwe mutu musitwabie sisiviziwi vipofu mara kifua kikuu
@Issamuemede4 ай бұрын
Kwani binahadamu wa kwanza Kwa mujibu wa bíblia na kurhani walikuwa ni masokwe?
@user-ft3sl3jd4i4 ай бұрын
Wallahi njoo Kenya mombasa na hayo mafuta Kenya uchawi uko thele
@CyimanaHamiss-rm5qv4 ай бұрын
Shekh shafii assalam alaikum warahimatullah wabarakatuh mimi binafus huwa napenda kufuwta hutuba zako sasa mimi naka rwanda kamembe hayo mafuta tutapata adje.hatakama itacukuwa garam ngapi tutalipa bila tupate samahani sana binafusi nielekeze natayapata aje?
@mudiali45064 ай бұрын
Sheikh watu wanauliza tel iweke hapo kwenye screan,
@loner_wolf4 ай бұрын
Darasa na ushirikina.....ustadh umeua kibabe sana.
@ConfusedChicken-ze9fz4 ай бұрын
Sasa uo si uganga?acha uongo wewe utakufa vibaya
@odhiaodhia98984 ай бұрын
Naona umechukia mwamposa kuwanyang'anya waumini
@khalifamahondo1914 ай бұрын
waumini fake😂
@odhiaodhia98984 ай бұрын
@@khalifamahondo191 Yesu ni Mungu
@hassanhamis22444 ай бұрын
mbona km biashara hiyo sasa,ningeona ni jambo la maana kwa kua waisilamu wanazijua hizo aya,kwa maelekezo uliotoa ni elimu tosha kwa wao kwenda kuiandaa,na sio kuwauzia,sio kwa ubaya ila haijakaa sawa
@juliusakilimali94244 ай бұрын
Mimi ktk Dunia hii napita tu!! Yangu masikio na macho kuona na kusonga mbele kumtafuta Yesu wangu!
@Nim681824 ай бұрын
ati kwa jina la shafiii😂😂😂
@mudiali45064 ай бұрын
Tizama tel hiyo hapo juu
@rayyanothumanmohammed82614 ай бұрын
Yesu atakukataa tu Mt7:22
@Nim681824 ай бұрын
@@rayyanothumanmohammed8261 umemaliza kusom japo 23 na kuenderea, nii juu yawatendao maovu, Mtu yeyote afanyae maovu atamkana haswaaa
@mimimimi-pg5uk2 ай бұрын
@@rayyanothumanmohammed8261 shida yako ray unataman kudanganya wote, not easy shuka mstari wa 24 sio kusoma mstari mmoja halafu ukautumia kukatisha watu tamaa and by the way sidhan kama unajua umefundishwa ili uje ubishane
@ExcitedCrab-ph5kp4 ай бұрын
Sheikh mimi naomba kuuliza kuhusu ufahamu hata mtu mzima ambae hafahamu hiyo dawa itamfaa au naomba jibu
@kalelaonlinetv4 ай бұрын
sijaelewa swali
@FadiAhmed-zw1cuАй бұрын
Nko kenya nayapata aje
@kalelaonlinetvАй бұрын
tupigie
@samwelluhwago7054 ай бұрын
Tatizooo bongoo siasa kila mtu mjuajiii 🤔
@AdolfinaSebastian4 ай бұрын
Aaaaaaa sasa wewe unshindana na nguvu za mungu ila mwamposa kiboki yenu ndomana hamuishi kumpiga vijembe😅
@shabanimaijo91484 ай бұрын
Uchawi gani??anasema kweli huyu,hao wachungaji wa uongo ndo wachawi
@mimimimi-pg5uk2 ай бұрын
mwamposa pamoja na huyu wote ni kitu kimoja.. kumbuka Ukristo sio mwamposa.
@TheGame-nz7um4 ай бұрын
Mnaemtaja mwenyewe walaaaa hawawazii kabsaa...huyo jamaa anawashinda mbaali sana..mmekalia uswahili uswahili tu kshindana na kila kitu.
@user-he8gu4dr1r4 ай бұрын
Huna akili
@khalifamahondo1914 ай бұрын
maujanj tunampa sisi
@zahorokasentisenti67614 ай бұрын
Achane fitna bhana tengenezen na nyie tuje kununua Kwa buku tu
@adamomar93824 ай бұрын
Shehe haya mafuta ya pangusa znz yatakuja lini
@kalelaonlinetv4 ай бұрын
aguzia utayapata
@pastor.frank.tmwaisemba74014 ай бұрын
Mwamposa ni kiboko yenu
@mimimimi-pg5uk2 ай бұрын
ni kweli ila ni kiboko yenu nyinyi YESU NI BWANA SIO MWAMPOSA Wewe ni binadam umepewa akili sio mbwa. huyu mchawi anaefundisha pamoja na mwamposa wote wanatekeleza jambo moja tu.
@manjoriwakunesa70064 ай бұрын
Nitaka napataje
@darbychannel3544 ай бұрын
mafuta aina 14 + haltiti kisha chemsha
@SalimuMbonyumukiza4 ай бұрын
Marimu tapataje mafuta hayo shekh shafi
@kalelaonlinetv4 ай бұрын
uko wap
@nehemiapatrickmkomamkoma36304 ай бұрын
Napataje mafuta hayo nipo mbeya
@samwelluhwago7054 ай бұрын
😂😂😂
@geofreyndambo86354 ай бұрын
Hawa kila kitu ni wao,utasikia ndege ni waislamu,magari ni waislamu,sasa mbona kwenye Listi za wagunduzi hakuna mwislamu hata mmoja😂
@KhamisHaroub-uj5ci4 ай бұрын
Katik kugunduwa pia tulianza muislam kupitiya kiongozi wetu Muhammad kwaio makafir hawana jipya
@azizihfarijala53074 ай бұрын
mimi na familia yangu tumetumia mafuta ya bwana mdogo mwamposa kwa muda zaidi ya miezi sita lakini sikupata mafanikio ila nilipokwenda tandika katika duaa na kuchukua. mafuta baba mwenye nyumba alitumbia tuhame kumbe yeye alikuwa muhusika . kwa hiyo mwamposa hayakufaa
@PablolookmanАй бұрын
Dunia Ina mengi@@azizihfarijala5307
@joycebongo92754 ай бұрын
Shee.shafii mimi niko kenya jee nitayapataje
@kalelaonlinetv4 ай бұрын
tunakutumia unayapata
@odhiaodhia98984 ай бұрын
Kwa mwamposa waumini wengi ni waislam ndio wamejazana uko
@user-do1pq2uu1c4 ай бұрын
Hao sio waislam
@abubakarimussa91314 ай бұрын
Umetumwa
@PablolookmanАй бұрын
Tofautisha muumini na muislam muumini Hakurupuki ila muislam anafanya chochote bila hofu
@PablolookmanАй бұрын
Tofautisha waumini na waislam muislam anawezi ishi mwaka bila kusali lakini muumini hata anashida kiasi gani atafanya ibada kufunga na ibada mbali mbali pia Mungu kawahidi Pepo waumini sio waisilam
@masumbukomoussa9774 ай бұрын
Subhanallah hakuna tofauti Yako na mwamposa kabisa nyote matapeli tuu na katik ujinga huyo utwakuta wanawake ndio wengi
@odhiaodhia98984 ай бұрын
Mimi nakushukru kwa sababu unatambua mafuta ya nwamposa yanaponya, sasa wewe unafundisha watu uchawi
@abubakarimussa91314 ай бұрын
Poyoyo vipi yanakuhusu nini
@mudiali45064 ай бұрын
We hujui kitu ni waji GA WA nao Iba elimu y WA, Islam. Kwa maslahi yenu. Njaa ndio Ina wahangashan mwamposa wenu
@rayyanothumanmohammed82614 ай бұрын
Mt 7:22 biblia
@PablolookmanАй бұрын
Uzuri wa muislamanakifundisha bure bila kukufosi uingie katika dini