Рет қаралды 536
Ni Mafrater wa Seminari Kuu ya Mt Anthony wa Padua Ntungamo Jimbo Katoliki la Bukoba, katika Picha ya pamoja baada ya Misa takatifu ya kuvaa rasmi vazi la Kikrelo (Makanzu).
Jumla ya Mafrater 85 wamevaa rasmi vazi la Kikrelo (Makanzu ) kutoka majimbo na Mashirika mbali ya Kitawa nchini Tanzania.
Misa takatifu imeadhimishwa na Askofu Method Kilaini Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki la Bukoba kwa kusaidiana na Mapadre wa ndani na nje ya Jimbo na Mapadre walezi Seminarini hapo.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja