MSTAAFU KIKWETE AFICHUA BABA'AKE MANJI ALIVYOFARIKI KWA SARATANI ya NGOZI AKAMWAMBIA AMLEE MANJI...

  Рет қаралды 19,819

Global TV  Online

Global TV Online

Ай бұрын

MSTAAFU KIKWETE AFICHUA BABA'AKE MANJI ALIVYOFARIKI KWA SARATANI ya NGOZI AKAMWAMBIA AMLEE MANJI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 33
@user-ts7hj5yp8w
@user-ts7hj5yp8w Ай бұрын
Hongera sana Raisi mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa hekima & busara kubwa sana ambayo Mwenyezi Mungu amekujalia kuwa nayo. 👉Wewe ni mmojawapo ya viongozi wastaafu katika bara la Afrika, ambao bado uko mioyoni mwa wananchi walio wengi. 👉Mwenyezi Mungu akujalie Afya njema, Nguvu tele & Uzima tele katika majukumu yako ya kila iitwapo leo.
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 25 күн бұрын
Dr jakaya hakika wewe ni baba wa taifa mungu akulinde inshallah 🙏
@PastoryNdemela
@PastoryNdemela 21 күн бұрын
Hongera sana Mwananchi
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Ай бұрын
Mzee ananchekesha kila msiba yeye lazma anastori flani hivi ambayo hakuna aliewahi ijua
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i Ай бұрын
Ni mtu wa watu
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Ай бұрын
​@@user-ip4ie7pt6iSiyo mtu wa watu,ni mcheshi kama wacheshi wengine tu
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i Ай бұрын
@@mataypanga5262 ok
@modyworldmody4297
@modyworldmody4297 Ай бұрын
انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه
@akbarkisamo8392
@akbarkisamo8392 Ай бұрын
🎉🎉
@publicrelations4600
@publicrelations4600 Ай бұрын
Best president ever in Tanzania
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Ай бұрын
Duuuuu
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 Ай бұрын
Hakika kaka
@ModextaModexta-on7mi
@ModextaModexta-on7mi Ай бұрын
🙏🤲🤲
@user-ts8bf4ef3u
@user-ts8bf4ef3u Ай бұрын
tajiri yeyote akiwa ni shabiki wa yanga anajua mwanao, sipendi sema sana ila una ubinafsi sana, icon zipende timu zote coz wewe ulikua ni kiongozi wa nchi!!!
@calvinmaro6445
@calvinmaro6445 Ай бұрын
Ulikua unamliwaza au unambeba rais wetu acha zako basiii😂😂😂
@yahayaallytv2852
@yahayaallytv2852 Ай бұрын
Uongozi wa Magufuli alimuonea sana manji
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq Ай бұрын
Nivyema walivyo kuteua kuamgeni Rasmi Wewe ni mtu muhimu sana! Tuwape pole wafiwa INNA LILAH...
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha Ай бұрын
Kumbe ufisadi ulianzia mbali! Baba yake Manji alijua kuwa nafasi ya fisadi huyu ingemfanya Kikwete awe ngazi nzuri ya kuchumia utajiri haramu. Nchi ikiwa na viongozi wa hovyo na wenye uwezo mdogo wa kufikiri wanatumiwa kama nepi. Nashukuru sikuishi chini ya utawala wa fisadi huyu aliyeacha makashfa makubwa kama vile Richomond, EPA, Escrow , IPTL na mengine mengi.
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 Ай бұрын
Wewe ndie rais wangu bora mpaka sasa
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t Ай бұрын
Wauzaji wa nchiiiii
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 Ай бұрын
Mtu Huna Chakukomenti Unatulia Tu. Ndio Ubinadamu
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 Ай бұрын
JK Rais wangu wa wakati wote. Hivi hairuhusiwi kugombea Tena?;
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Ай бұрын
Hakustahili,agombee nini tena😂
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 Ай бұрын
Ni suala lakikatiba lakini kubwa zaidi ni kuwa Tanzania yetu ina hekma katika suala la uongozi hasa kutazamia umri wa mtu, mamlaka imemtambua mstaafu katika malezi ili iwe lulu na kivutio kwa vizazi vijavyo mfano mzuri ni mzee mwinyi alibamba makini zetu hasa kwa vichekesho vyenye vioja kadha wa kadha lakini hakusahau kutufunza kwa kutumia stara na busara zake.
@user-cy5jg4cx7i
@user-cy5jg4cx7i Ай бұрын
Hmmmm hata sauti moyo unashtuka nilisikia huyu baba naogopa maana huyu ni mungu wa dunia
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Ай бұрын
Duuu
@kisomekiguwa3706
@kisomekiguwa3706 Ай бұрын
Kafanya nini watz mna mambo ya ajabu sana mmezoea kukaririshwa kikwete hana tatozo ila watz wamezoea kukariri mtu akisemwa na mbaya wake basi wote wanazomea bila kujua nini kinaendelea.
@frankjoely3313
@frankjoely3313 29 күн бұрын
Maskini wengi wamejaa wivu tu.
@user-ki7hd3lg2q
@user-ki7hd3lg2q Ай бұрын
Raisi wangu pendwa
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 Ай бұрын
Katiba ndio kikwazo ila mzee unastahili kuendelea kuwa Raisi
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 Ай бұрын
Mmmmmhhhhhh!!!
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 Ай бұрын
Ndo maana ukampa rasilimal za nchi yetu Tz kwa kufaidsha tumbo lako ee,..mkafkr Maguful ndo wakufa ye hatakufa?..ndo mjue muache kuuwa wengne kwan kila mtu atakufa,..na muwe wazalendo wa kwel muache unafk
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 25 күн бұрын
Dr jakaya hakika wewe ni baba wa taifa mungu akulinde inshallah 🙏
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 7 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 27 МЛН
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 52 МЛН
Атака ВСУ на Курскую область: что происходит?
24:16
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 1,6 МЛН
Maandamano ya nane nane, waandamaji wamejitokeza miji tofauti
8:55
KTN News Kenya
Рет қаралды 17 М.
SNAKE BOY | ep 27 | SEASON TWO
32:35
CLAM VEVO
Рет қаралды 861 М.
KIKWETE "MAGUFULI SIKUKWAMBIA YULE MSUKUMA UMFUKUZE KAZI"
4:14
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 20 М.
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 7 МЛН