WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..

  Рет қаралды 176,175

Global TV  Online

Global TV Online

4 ай бұрын

WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa eneo la jengo la ghorofa lilipo Kariakoo jijini Dar es salaam ambalo sehemu ya jengo hilo lilitolewa Waqfu na marehemu Sheikh Mohamed Ardini ambaye aliacha usia.
Waziri Silaa alifika eneo hilo ambalo limekuwa na ugomvi mkubwa wa ndugu ambao ni watoto wa marehemu Ardini waliogawanyika katika pande mbili zinazokinzana kuhusu usia wa kuwekwa Waqfu eneo la Madrasa katika jengo hilo.
Aidha, baada ya kusikilizwa kwa pande mbili za ndugu ambao ni watoto wa marehem Mzee Ardini Waziri Silaa aliamuru kurejeshwa kwa Madrasa ambayo ilikuwa ndio usia wa marehem.
Awali, ndugu wawili wanao pingana na wenzao waliamua kuhamishwa kwa madrasa hiyo nje ya eneo hilo la Kariakoo na kumuuzia mtu mwingine sehemu ya kengo hilo.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 668
@globaltv_online
@globaltv_online 4 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@BilalShingwa
@BilalShingwa 3 ай бұрын
Baadhi ya watoto. Hawajawa tiyari kuuza
@josephmakrina8851
@josephmakrina8851 3 ай бұрын
Jamani na Mimi nina kesi ya Shamba naombeni namba ya SILAA NINAMATUMAINI ATANISAIDIA
@saningolenoi8961
@saningolenoi8961 3 ай бұрын
​@@BilalShingwa😊😊iijj
@RamaRashid-ym1yz
@RamaRashid-ym1yz 17 күн бұрын
Samahani sana na mm tuna nyumba yetu apoapo gerezani mtaa wasomali nakuomba nisaidie ndug zangu
@mussamtupa
@mussamtupa 4 ай бұрын
Mpaka nitokwa machozi😢 Waziri jinsi anavyo dada vua vizuri sana Allah akulipe
@user-pf2mb2ri2d
@user-pf2mb2ri2d 4 ай бұрын
Waziri nimekusikiliza zaidi ya mara moja Mungu akulipe kila la kheri
@Mozline1
@Mozline1 4 ай бұрын
Uyu waziri ni mzuri sana, mungu amlinde
@FranciscoKatakwa
@FranciscoKatakwa 2 ай бұрын
Sawa lkn n Mungu co mungu
@ricklandennis
@ricklandennis Ай бұрын
Ww ni mwalimu wa shule gani😂😂​@@FranciscoKatakwa
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 Ай бұрын
SLAA IS NEXT PRESIDENT OF TANZANIA, wanafata haki sio maslahi God bless you
@justinemcharo1727
@justinemcharo1727 3 ай бұрын
Hongera sana mh silaa ukweli kazi unaiweza mama ameteua mtu sahihi
@IsihakaAmbar
@IsihakaAmbar 2 ай бұрын
Mama Samia hongera sana kuchagua watu sahihi katika uongozi wako!! CCM oyeeeeeeee
@user-hz3jx7wu4p
@user-hz3jx7wu4p 2 ай бұрын
Mr . ministry u deserve to be a president ❤
@elenzianjk5543
@elenzianjk5543 3 ай бұрын
Pele limepata Mkunaji. Asante Mbunge wangu Mh. Jerry Silaa, Elimu hii nami nimestafidi si haba. Kila la heri katika majukumu yako. "TUKAMILISHIE BARABARA YA MAJOHE KUWA KIWANGO CHA LAMI TAFADHALI. INAVIGEZO NA SIFA ZOTE KULIKO ILE YA ULONGONI MAMBAYO YENYEWE TAYARI" (Nimechomekea hapo! Kila la heri Mh Waziri)😊
@arafatahmed6049
@arafatahmed6049 Ай бұрын
mashAllah I wish huyo waziri tungekuwa nae inchini Kenya mungu akupe moyo huo mwenye kutenda hakiii
@QweAsd-ry7tb
@QweAsd-ry7tb Ай бұрын
Ukweli mawaziri wetu hawajali wananchi
@user-ws8bc1jn7z
@user-ws8bc1jn7z 4 ай бұрын
Mama usimtoe kwenda sehemu yengine silaa yupo vizuri apo umepata jembe kwa sisi wanyonge
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 ай бұрын
Mpk natokwa machozi ya furaha kwa huyu kijana.
@maulidimopen1273
@maulidimopen1273 4 ай бұрын
Congratulations Minister SLAA
@mulolemary1317
@mulolemary1317 2 ай бұрын
Kwakweli Wewe ni Waziri ALLAH azidi kukulipa MashaALLAH ivi marehemu anaendeleya kujipatiya thawabu zaki madrasa yamerudi ALLAH azidi kukupa afya njema
@richarddavidmk
@richarddavidmk 4 ай бұрын
Huyo waziri Ana Akili sana🎉
@husseinmeena4175
@husseinmeena4175 2 ай бұрын
Nikweli anaakili nyingi anakipaji, na anajua kuongea kwa point
@mussamabawa2973
@mussamabawa2973 4 ай бұрын
Wazir slaa Mungu akulipe kwa utendaji wenye uadilifu
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 2 ай бұрын
Mhimili wa mahakama mjitafakari hii kazi sio ya wazir Ila mmeshindwa kusimamia haki sababu ya rushwa
@nikundiweamosi5087
@nikundiweamosi5087 Ай бұрын
Haha sheria mahakamani,tulia shehe haki itendeke mahakama hopeless kwan wako wapi
@user-qz7xl1xj7v
@user-qz7xl1xj7v 4 ай бұрын
Ocd ukipewa agizo na kiongoz unatakiwa kupiga salute sio kuitikia kwa kichwa
@mzarendo.com9624
@mzarendo.com9624 4 ай бұрын
Sahihi kabisa !
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 3 ай бұрын
Zimepigwa sana
@josephtambali9149
@josephtambali9149 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@collinsstanley6126
@collinsstanley6126 2 ай бұрын
Kweli mkuu nimeshangaa pia huyo muite ofisini uumpe elimu
@mathiasmwingira6951
@mathiasmwingira6951 Ай бұрын
Na yeye anashangaa mambo yanavyoenda
@husseinidd5751
@husseinidd5751 4 ай бұрын
Allah amjaalie afya njema huyu Mh waziri,anasaidia kweli kweli,halafu ni kijana wa mjini,ukija kiujuaji anakuja hivo hivo,na vifungu vya sheria vimelala..
@mohamedmtahiyatu9113
@mohamedmtahiyatu9113 3 ай бұрын
HUYU WAZIRI ANA AKILI NYINGI ALLAH AMLINDE
@laylayl5166
@laylayl5166 Ай бұрын
Amiin
@NicoNey5
@NicoNey5 3 ай бұрын
Kazi nzuri sanaa mungu atu jalie viongoz kama wewe kwenye nchi yetu ya Tanzania..
@fatmasaleh9516
@fatmasaleh9516 3 ай бұрын
Masha Allah wazir m.mung axidi kukuongoza kwenye kheri dah kuna watu wahikma humu
@fatmasaleh9516
@fatmasaleh9516 3 ай бұрын
Wazir silaa kijana mmbich mwerev shupavu na kajaaliwa hikma pia
@FranciscoKatakwa
@FranciscoKatakwa 2 ай бұрын
Ni Mungu sio mungu
@chembejohn9605
@chembejohn9605 4 ай бұрын
Shekh...msimamiz umepotoka....unapenda vitu vy duniiaa.inalilah waina rajiun
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 3 ай бұрын
Ndio aoao mashehe makanzu wanaswali wanawaza ubaya
@MsAggie5
@MsAggie5 3 ай бұрын
Ndo nashangaa, wanaume wazima na makanzu yao hata aibu hawaoni. Ukiona walivyo waongo eti wanamfundisha sheria waziri wakati ni mwanasheria.
@abdulsataribashiri8300
@abdulsataribashiri8300 2 ай бұрын
Kbsaaa
@georgekimboka9821
@georgekimboka9821 3 ай бұрын
Hakuna waziri Mzuri Mama Samaia amapata kama Huyu Jamaa,ana Akili za kizalendo zaidi Mh Raisi mlinde sana Huyu Waziri ameitendea Haki sana hii nafasi
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 2 ай бұрын
Hakika
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 4 ай бұрын
Yaani waziri umetengua kesi ambayo miaka kadhaa hata mahakama imeshindwa, uamuzi wako mzuri mno..!
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 2 ай бұрын
KWANI YEYE NI MAHAKAMA! HATUNA NCHI ! YANI WAZIRI KAWA HAKIMU / JURO/ PROSECUTOR / na Hakimu hapo hapo ! / MIFUMO YETU HOVYO NA HII INADHIHIRISHA !
@baloz8974
@baloz8974 2 ай бұрын
​@@onionpeeling5822hiyo ndio moja wapo kazi ya waziri kutatua matatizo ya ardhi kama hujui uliza utaambiwa
@swahilifashion2206
@swahilifashion2206 2 ай бұрын
Najiukiza hivi kweli rushwa itaisha maana huyu sio hakimu wala wakili lakini anayajua vipi wenye nafasi za hakimu na wakili wameshindwa kudadavua yote hayo miaka yote.😂😂😂😂
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 2 ай бұрын
​​@@swahilifashion2206 Eti kisa Waziri tu ndo kaenda kutengua kesi iliyoshindikana MAHAKAMANI ! inamaa yeye ni above the law ! WEZI WATUPU HAWA GENGE LA WAHUNI KUTUIBIA NCHI YETU// HATUNA NCHI / HATUNA MIFUMO / MIFUMO YOTE IMETEKWA NA WAZURUMISHI SO CALLED VIONGOZI
@swahilifashion2206
@swahilifashion2206 2 ай бұрын
@@onionpeeling5822 maswali ni mengi mno ndugu yangu kwamba hawakuwaza alivyowaza au sheria hazikueaongoza na je waziri ndio kajua sheria ama
@leokamil6284
@leokamil6284 4 ай бұрын
Asante sana Mheshimiwa Slaa Mungu akubariki sana. Mh Raisi Samia nakuomba usimtoe huyu Waziri kwenye hii Wizara asante
@UpendopeterPeter-cq8ds
@UpendopeterPeter-cq8ds 3 ай бұрын
Mh, Waziri silaa uko vizuri sana.Mungu akubaliki sana katika utendaji wako Nakuomba Mh,Rais wangu Samia usimtoe huyu waziri
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 4 ай бұрын
Mungu ambariki huyo baba huko aliko
@user-cq4bw6xt9j
@user-cq4bw6xt9j 3 ай бұрын
Duuuh...! Nimesikiliza kwa makini sana yani anamaliza tatizo kirahisi kabisa nimeona hekima ya suleiman Mungu akupe rehema mh ; Jerry slaa
@kambamazig02024
@kambamazig02024 4 ай бұрын
Hapa kuna kazi, kumbe Slaa kumbe una busara sana, wewe una weledi sana.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Rais wangu Samia umechagua waziri sahihi.Yaan Silaa mtendaji mzuti sana.❤❤❤❤❤🙏🙏👍👍
@jamalibaruti7126
@jamalibaruti7126 3 ай бұрын
Maashaalah Mh.Waziri Silaa wewe uwe mfano wa kuigwa uko dhahiri ktk kusimamia haki hongera sana Allah azidi kukuongoza ktk kusimamia haki😊
@user-ki3gt6gy1l
@user-ki3gt6gy1l 4 ай бұрын
Mweshimiwa uko vizuri big up piga kazi msaidiye mama kazi kama makonda hongereni
@gudimbwana8088
@gudimbwana8088 3 ай бұрын
Slaaa mwili Mdoogo AKILI kubwaaa busara zimejaa hongera sana
@user-zn9zl4kh1w
@user-zn9zl4kh1w 2 ай бұрын
Huyu wazur ni mtt wa doctor Slaa wa Chadema au
@RoseMshana-pm8op
@RoseMshana-pm8op 2 ай бұрын
Huyu mwamba wa ccm anajua sanaaa, alafu mtoto wa mjini haswaaa ❤❤❤mungu akulinde,
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 12 күн бұрын
Wewe ndio kiboko yao. Fanya kazi msela wangu. Mungu atakubariki kwa kuwatetea wanyonge wanao dhulumiwa haki zao.
@user-ng1po1dh4z
@user-ng1po1dh4z 3 ай бұрын
Waziri Slaha, umenena jambo la Ukweli na Busara❤
@neemabright3635
@neemabright3635 3 ай бұрын
Jerry slaa mfano wa kuigwa na mawaziri wote wakuu wa mikoa wilaya be responsible he is definitely doing a good Job
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 2 ай бұрын
True
@baloz8974
@baloz8974 2 ай бұрын
Very smart and intellectual man
@user-rw5jl9qp6y
@user-rw5jl9qp6y 2 ай бұрын
Cs Silaa is the Best Minister in Tanzania the Way He Go throughout His Groundwork I Could Adore Him To be Kenyan Cs blessed Silaa Waziri wa Ardhi Tz (Bongo)
@saidgawawa8519
@saidgawawa8519 2 ай бұрын
Allah amlinde na kumhifadhi huyu waziri jasiri mwenyewe hekma bila kumdhulumu raia yeyote kwa kupata haki yake! Inshalla awe Raisi mtarajiwa siku za usoni ..mhe, marehenu Rais magufuli kweli aliwapa elmu na mafundisho raia wake katika kutekeleza haki kwa raia yeyote yule....
@manikanaseatcover1474
@manikanaseatcover1474 17 күн бұрын
Respect mbunge wetu Allah akuongoze Mashaallah.
@Ambeniwatano
@Ambeniwatano 4 ай бұрын
Aliegundua pesa kwakweli amejua kutupata Sasa Mali kaacha Mzee na amefarik kaacha wosia mashekh maimamu wameitupa qruan wanashupalia dhuruma Kuna kitu nilicho kigundua Kuna watu wanagombea vyeo misikitini kwa maslahi binafsi
@Hbk206
@Hbk206 4 ай бұрын
I like how he is respectful, teaching and taking charge All the time representing well.
@richbird.123
@richbird.123 2 ай бұрын
Mashallah waziri Allah akuongeze. Apa nimejifunza mambo mengi sana na sai 3:34am sijalal nafatilia silaa❤
@maimunahemedi6491
@maimunahemedi6491 4 ай бұрын
Huyu waziri yupo vizuri sana, mola amjaalie sana aendelee hvhv
@hamisimwinzagu6624
@hamisimwinzagu6624 2 ай бұрын
Kiukweli bila unafki uyu inabidi apewe nchi kuongoza apa mh,samia kumteuwa uyu kuwa waziri wa ardhi apa nakubari umeupiga mwingi sanaaa ivi hawa wengine wanafanyakazi gani
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 4 ай бұрын
Safiiiiiiiiii madrasa irudi yeeeeeee baba kaburi lako lipo pepon inshallah 🙏
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 3 ай бұрын
Huyu jamaa anasifa zote za kuwa Raisi wa nchi yetu, INSHAALLAH siku moja atakuwa Raisi wa nchi yetu 🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@linamosha2453
@linamosha2453 3 ай бұрын
Jery Mungu akubariki sana
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 2 ай бұрын
Mwenyewe kalala anataka duwa kwa kweli nimempenda huyu baba❤❤❤
@hameesnassoro7158
@hameesnassoro7158 4 ай бұрын
Waqfu sio lazima iandikwe yaani kule kutamka tu hii ni Waqfu yatosha ni kama mfano wa Talaka sio lazima iandikwe kule kutamka tu nimekuacha si mke wng ndo tayari tena hiyo haina utani, ila mzee mwnyewe marhumu Allah amrahamu alifanya hvyo alishawaona watoto wake mwenendo wao.
@chuchufplatnumz4888
@chuchufplatnumz4888 4 ай бұрын
Unachokisema ni Sawa kisheria za dini. Ila Sheria za nchi zinahitaji kisajili hvyo vyote
@faridanurdin9635
@faridanurdin9635 4 ай бұрын
MashaAllah
@OmaryLiku
@OmaryLiku 3 ай бұрын
Ameen
@Ins3ctsworld
@Ins3ctsworld 3 ай бұрын
Kwamaisha yanavoenda kasi sasaivi itapendeza iandikwe binadamu vigeugeu shk
@user-lk3pz6uq6q
@user-lk3pz6uq6q 2 ай бұрын
​@@Ins3ctsworldsisi tumefanyiwa hivihivi na familia Ila tunamuachia Mana alotafta amekufa
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 4 ай бұрын
Waziri very smart mungu akubariki
@FranciscoKatakwa
@FranciscoKatakwa 2 ай бұрын
🙏,lkn n Mungu co mungu
@careen26mrope76
@careen26mrope76 Ай бұрын
@@FranciscoKatakwa Yaani nachukia mimi kuandika mungu😪😪
@user-up2kg1wm9p
@user-up2kg1wm9p 4 ай бұрын
Mungu ninusuru na vituvyamiradhi
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo 2 ай бұрын
Watu wanauwanaga hivihivi
@DaimaNyakunga-jb6do
@DaimaNyakunga-jb6do 4 ай бұрын
Safi sana Tena sana tu
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 ай бұрын
Mashallah, hongera sana Wazir nimekukubali sana, Warithi wa Maguful bado wapo, Alhamdulilah 🙏Alhamdulilah Allah kareem, haki ya mtu haipotei, nimejifunza kitu hapa, wosia ni muhimu sana 🙏
@user-dz5jc6pp8e
@user-dz5jc6pp8e 4 ай бұрын
Allah akulinde allah azidi kukupa urinzi slaa akuna waziri wa ardhi aijawai kutokea tanzania uko km rula umenyooka hadi kiama utapelekwa kuliko nyooka
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 Ай бұрын
MH Waziri SiLLA MUNGU akubarik umejua dasaka tul jaliya kwa marehem
@AinesiKissuda
@AinesiKissuda 2 ай бұрын
Katika mawaziri wote wewe ni kichwa mungu akubariki sana akuzidishie hekima busara na maarifa mara mia pia akupe maisha marefu uwatumikie watu wake
@FranciscoKatakwa
@FranciscoKatakwa 2 ай бұрын
Sawa lkn n Mungu co mungu 🙏
@user-od1xx3tk9y
@user-od1xx3tk9y 3 ай бұрын
Tuhitaji kua na mawazir kama hawa maashaallah. Mungu akuongoze kitika kuonahaki inshaallah
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 2 ай бұрын
Huyo aliyenunua imekula kwake. Nyumba za urithi kuna utaratibu mpana. Na huyu marehemu alikuwa na akili kubwa sana kwenda kusajili wosia. Big up marehemu. Wewe uliyenunua mdai msimamizi wa miradhi kukutapeli. Tena wewe uliyenunua ukionekana hapo unafukuzwa huna hati miliki😂😂 Duh balaa
@demicratia4071
@demicratia4071 2 ай бұрын
fundishoooo kwa wote
@demicratia4071
@demicratia4071 2 ай бұрын
FUNDISHO KWA WOOTEE KUMBE URIDHI UNASAJILIWA HATA ARDHI JAMANI ARDHI TUFUNDISHENI MENGIIII ILI KUTATUA WALANGUZU KILAIINI
@IsmailElmazroui
@IsmailElmazroui 2 ай бұрын
Atachukua hio ilojengwa ilala ghorofa na mbili na madras na km haitoshi makusanyo ya Kodi atalipwa deni lake
@user-dl2fp8eb7r
@user-dl2fp8eb7r 2 ай бұрын
Go go go jerry Mungu yupo na wewe kwa kila hatua utakayoipiga
@Amry-xx4ps
@Amry-xx4ps 3 ай бұрын
Professor jerry silaa🔥🔥🔥🔥
@ismailjuma1452
@ismailjuma1452 3 ай бұрын
Jerry mkuu umetenda haki ubarikiwe sana suala la hela watamalizana wenyewe
@user-yv7xg4em4s
@user-yv7xg4em4s 4 ай бұрын
Waziri wetu hyu tunamuombea.
@mako331
@mako331 2 ай бұрын
Huyu waziri Mungu ambariki saana, nimejifunza mengi hapa
@nuruathumani1590
@nuruathumani1590 2 ай бұрын
Daaah ,nimejifunza kwa muda mfupi ,kumbe busara ni tunu ,YAAH ALLAH TUJAALIE TUWE NA BUSARA JUU YA KUTATUA MAJAMBO YETU
@hassanjuamchipua9384
@hassanjuamchipua9384 2 ай бұрын
Wallahy umenifurahisha sana waziri
@hassanamtunzitv2368
@hassanamtunzitv2368 4 ай бұрын
Asante sana Mh Waziri
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 3 ай бұрын
Hongera sana waziri na inaonyesha Jengo lina waqfu ila wanataka kuleta janja janja.
@AliBaba-v7v
@AliBaba-v7v 16 күн бұрын
J E R R Y S LAA : Bravo!!!!!
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 3 ай бұрын
Safi Sana Mkuu hao walo uza nyumba wana tamah tu nja Zina wasumbua uko vzr Mkuu Mungu akulipe
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 4 ай бұрын
Safi sana mkuu fanya kazi yako wewe sio mtu wa rushwa wewe ni mtu wa watu na haki inshallah 🙏 haki itendeke dada wa watu apewe haki yake
@EmeldaMachary
@EmeldaMachary 2 ай бұрын
Hongera sana mh Silaa wizara imepata jembe
@bokuquran5359
@bokuquran5359 26 күн бұрын
Allah akulinde waziri am from Kenya waqf ni muhimu kwa marehemu .what a judgement
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 4 ай бұрын
Hongera sana silaah unatenda haki allah akurinde na shari uyo arienunua mgumu wa kuerewa ubishi unaingia hasara
@MsanyaMrisho
@MsanyaMrisho 2 ай бұрын
Mungu akuoneshe njia iliyosahihi wazari umeongea haki umenigusa mno duwa yangu kwako sima hivyohivyo
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 4 ай бұрын
Duu chezea sheria wewe heshima yako Waziri
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 4 ай бұрын
Basi jambo kama hili lilitaka kutukuta sisi hapa tabata na baba wa kambo anataka kuuza nyumba binafsi ya marehemu mama yetu bila haki wakati ana nyumba za majina mawili tena iliingia hadi udini. !
@MsAggie5
@MsAggie5 3 ай бұрын
​@@hassanmfaume4522watu wezi Sana.
@elbattawy2864
@elbattawy2864 4 ай бұрын
Yaani yoote yachelewe lakini madrasa irudi, safi sana nimempenda waziri bure bure, Nimejifunza sana kupitia huu mgogoro
@soudbako5925
@soudbako5925 4 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi muheshimiwa waziri
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 12 күн бұрын
Mungu akubari waziri silaa❤
@user-zz1sj6sp8z
@user-zz1sj6sp8z 2 ай бұрын
Mashaallaah hongera waziri umeongea. Vipi
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 Ай бұрын
Daa kweli waziri mungu atakulinda sana mkuu🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@aishakhalifan4960
@aishakhalifan4960 9 күн бұрын
Huyu SLAA Mungu amjaalie awe raisi
@kanobayirelambert8400
@kanobayirelambert8400 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akupe kila la kheir, Waziri Slaa
@lindermuro8113
@lindermuro8113 3 ай бұрын
Mheshimiwa Waziri Slaa uko vizuri keep it up
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 2 ай бұрын
Mungu akujalie waziri wangu kwa kutenda haki kwa sisi wanyonge
@khadijaseif3897
@khadijaseif3897 3 ай бұрын
Sahihi kabisa mashaAllah Alhamdulillah
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Ай бұрын
Huyu ndiye JERRY SILAA... ..moja ya vitu wengi hawajui ni kujua kuwa Mh. Slaa ni Mwanasheria tena nguli HASWAAAAA
@ZenaMwakalambile
@ZenaMwakalambile 4 ай бұрын
Hongera waziri,watoto wa mama mwenye upepo kutatua matatizo.anamawaziri bora.samia suluhu hasan.
@kikoadventures6933
@kikoadventures6933 3 ай бұрын
Nimejofunza kitu hapa, salute Mh. Waziri
@Desireyakubu
@Desireyakubu 4 ай бұрын
Mimi ni Mcongo lakini nimepata ilimu kubwa kupitiya huyu waziri
@bagaileshabani3179
@bagaileshabani3179 4 ай бұрын
Haka ka bwana Kako vzr sana kamenyooka mungu akajaalie kafike mbali ( srah )
@tobosha3236
@tobosha3236 4 ай бұрын
Huyu waziri Mungu amtangulia nimemfwatilizia sana jinsi anavo toa maamuzi ya haki bila ubaguzi
@ullymwaipopo398
@ullymwaipopo398 2 ай бұрын
Moja ya Mawaziri mahiri kabisa. Huyu CCM hata wakija kumpa nchi wala hawatakuwa wamekosea. Mwerevu, jasiri, eloquent akiongea! Hawa ndo wanafaa kukaa kwenye uongozi! Mungu akubariki Mh. JS!
@suleim505
@suleim505 3 ай бұрын
MAMA SAMIA, RAISI WETU MPENDWA: HUYU: SLAA ANATOSHA HASSA KATIKA NAFASI ALIYOPO, HANA UBAGUZI NA NI ISHARA YA KUTOKUPENDA RUSHWA.
@yassirrashid7802
@yassirrashid7802 4 ай бұрын
Safi sana waziri
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 4 ай бұрын
Msishangilie jamani! Yaskie tu kwingine! Ukishatoa pesa zako taslimu! Kununua nyumba kama hio afu kumbe kuna mgogoro usioujua! Unaweza kufa kabla ya sku zako! Stoshe unaambiwa na waziri kuwa nyumba sio yako huku umeshailipia!!
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 ай бұрын
Kwani hakuwa na wakili wakati anataka kuinunua hiyo nyumba?
@ismailjuma1452
@ismailjuma1452 3 ай бұрын
Wakili nae si mpenda hela tuu
@ismailjuma1452
@ismailjuma1452 3 ай бұрын
Michael kaambia amfungulie mashitaka msimamizi wa mirathi kazi kweli kweli
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 3 ай бұрын
Kama kalipa hela kweli adai kwa kina hao waliuza mirathi
@user-kz2jk1jf5l
@user-kz2jk1jf5l 3 ай бұрын
Asante sana wazili wambie watafute pesa zao hio mali ya malehemu
@tinaalbert4065
@tinaalbert4065 17 күн бұрын
I love u Mr Jerry. Songa mbele mwamba
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 3 ай бұрын
Namuelewa silaha vizuri .mungu mtunze silaha
@user-pz9mj2rm2q
@user-pz9mj2rm2q 4 ай бұрын
Mh silaa Allah akupe afya njema
@saidhmuhammad5567
@saidhmuhammad5567 3 ай бұрын
Waziri uko vizuri..well done..ww unajua kazi yko
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,6 МЛН
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 13 МЛН
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 74 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,6 МЛН