''WEWE UMESOMEA NINI? KUANZIA LEO NAKUPANDISHA CHEO - UTAKUWA MSAIDIZI WANGU'' - MAKONDA...

  Рет қаралды 172,128

Global TV  Online

Global TV Online

2 ай бұрын

''WEWE UMESOMEA NINI? KUANZIA LEO NAKUPANDISHA CHEO - UTAKUWA MSAIDIZI WANGU'' - MAKONDA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 429
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@didahstan1760
@didahstan1760 2 ай бұрын
Nimetoa machoz
@ikupambuli6219
@ikupambuli6219 2 ай бұрын
Da mlio toa machozi kwa furaha juu ya huyu mtendaji gonga like hapa❤
@jaymesgigs
@jaymesgigs 2 ай бұрын
Kumbe siko peke yangu waa that is God
@SethMsigwa
@SethMsigwa Ай бұрын
Mm moja wapo
@adonismuganyizi226
@adonismuganyizi226 Ай бұрын
nashwindwa kuyazuia kumwagika
@goodluckbenny123
@goodluckbenny123 Ай бұрын
yaaan daaah
@jackgodgivenzihindula
@jackgodgivenzihindula 11 күн бұрын
Uyu mtendaji yuko wapi Siku izi???
@user-pe2ww6vc4y
@user-pe2ww6vc4y 2 ай бұрын
Hawa ndio vijana tunawataka kwenye ofisi za umma! very humble guy.
@kiflikhamis5205
@kiflikhamis5205 2 ай бұрын
Ni kweli
@tanzaniantraveller
@tanzaniantraveller 2 ай бұрын
Kabisa ndugu
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 2 ай бұрын
Kabisa
@ngatatv1365
@ngatatv1365 2 ай бұрын
Kwakweli ila watu wamhimu awadumu man kikubwa tuwaombee tu
@peterkerenge9207
@peterkerenge9207 2 ай бұрын
Hawa ndio wale walionyooka kazini,wanatenda haki ila wanaonekana washamba sababu hawaibi.Leo kala kitengo,hakuna cha vyeting wala nini Mungu ambariki sana
@alhajikangalawe6178
@alhajikangalawe6178 2 ай бұрын
Mungu hataacha kuwainua
@sarahmushi5011
@sarahmushi5011 2 ай бұрын
Nimefurahi mpaka machozi mimi.
@user-mr3fn1hc2y
@user-mr3fn1hc2y Ай бұрын
Makonda barikiwa Sana kwa kazi yako.wewe ni makufuli wa pili Mimi ni mkenya ,napenda kazi yako nakuombea mungu utakuwa raisi wa Tanzania
@donaldtadeodontado9991
@donaldtadeodontado9991 2 ай бұрын
Nimejisikia machozi big up mwamba wakati wa Mungu ndio sahihi
@user-yd1pc8uy8x
@user-yd1pc8uy8x 2 ай бұрын
Yaani dah...
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Mwamba Kala Cheo sababu Kanyooka...Big up sana kwako Mh MAKONDA...Jamaa alaliza Mgogoro kisomi na Kibusara..Big up sana
@lloydmanongi5095
@lloydmanongi5095 2 ай бұрын
Ukweli ni kwamba kazi iliyoifanya kumfuatilia Tatizo la msingi la mlalamikaji na kuwa na solution na wapi limekwama Hilo tu limetosha kujua utendaji wake na ufuatiliaje wake na kitendo Cha kumuuliza amesoma nn ... Tayari alijiongeza na kuonekana kama mwanasheria lakini ni Hr imetosha kufanya mkuu wa mkoa kuona kilicho ndani ya kijana amefanya kazi bila upendeleo na Kwa umaridadi . Hongera sana kijana unastahili ❤
@Juke995
@Juke995 2 ай бұрын
Hakun kitu kizuri kama kujua kujieleza bila kupindisha maneno 🙌na kusikiliza kabla haujajibu mtendaji kichwani zimo na zimetulia
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 2 ай бұрын
Huyo nimkweli ndiomaana sotetumempenda angekuwamuwongo angejing'ata
@hamiszali1434
@hamiszali1434 2 ай бұрын
Kasoma na kaelewa alichokisomoe,,yan huyu ni msomi
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
Yani kumsikiliza hadi raha hachoshi
@cleversalbaba-em4jf
@cleversalbaba-em4jf 2 ай бұрын
Kijana huyu nimesoma naye alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi he was very very humble haya tunayoyaona ni kweli kabisa. Hongera sana mheshimiwa John Nkini chapa kazi kijana wangu.. uwepo wa Bwana uwe nawe....❤
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
@@cleversalbaba-em4jf yupo vizuri,MUNGU AMBARIKI mnoooo
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
Halafu alivyoulizwa wewe umesomea nini.? Dhaa alivuta pumzi akijuwa labda kakosea mahali,KUMBE NI MUNGU ANAMLETEA HABARI NJEMA.NIMEFURAHIII MNOOO😢
@user-tn3gw5qv9e
@user-tn3gw5qv9e 2 ай бұрын
Wakati wa MUNGU ni wakati SAHIHI 🙏🏾
@user-ck3sj6ni4z
@user-ck3sj6ni4z 2 ай бұрын
Mpaka machozi ya furahi ilinitoka aisee..
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
@@user-ck3sj6ni4z hata mwenyewe,ningekuwa HAPO kwenye mkutano ningemkimbilia nimpe msimbazi mmoja akitoka HAPO akanywe supu ya kuku,Mimi napenda mafanikio ya mtu mwingine mwenye haki Kwa kweli.
@golebenson4597
@golebenson4597 2 ай бұрын
Pamoja na giza lote mungu kwamwinua kijana wawatu🎉🎉🎉
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka 2 ай бұрын
Dua za wazazi tuwafanyieni wazazi mazuri ata kama mmoja katangulia huyo mmoja tusimuache hizo ni baraka za wazazi
@ammaherman3391
@ammaherman3391 2 ай бұрын
The guy is clear and very smart. he deserves it.
@roseafrael75
@roseafrael75 2 ай бұрын
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi
@skjjsj1889
@skjjsj1889 2 ай бұрын
Mungu humwuinua amtakae Jamaa wala hakutarajia kama atapandishwa cheo Hongera mkuu kwa kumteua kijana mchapa kz
@user-pk9nk7ch5f
@user-pk9nk7ch5f Ай бұрын
Mweshimiwa mungu ikimpendeza akuinue zaidi usaidie nchi nzima,wewe unanifanya niendelee kuipenda nchi yangu kiukweli. Naamini ipo siku nchi itakua chini yako.
@abudoeugenio6903
@abudoeugenio6903 2 ай бұрын
Daaaaahhhhh, Allah azidi kukubariki Makonda unamoyo mzuri sana.
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 2 ай бұрын
Safii sana mkuu wa mkoa kwani huuyu jamaa yupo sawa kabisa ktk ufailiaji
@KhmsNsr
@KhmsNsr 2 ай бұрын
Kuna watu maelezo yao tu unajua hao siwala rushwa makonda una maono ya mbali sana.
@user-zt6re1dr5f
@user-zt6re1dr5f 2 ай бұрын
Kijana Yuko vzr, Makonda uko SAWA,Utakipwa na Mwenyez Mungu tu
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 2 ай бұрын
Ukweli unachelewa lakini una malipo hongera sana mtendaji
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 2 ай бұрын
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote.
@fredrickmgona
@fredrickmgona 2 ай бұрын
Safii sana Kaka machozi ya furaha yanataka kunitoka kwa ajiri Kaka mungu akupe hekima zaidi
@NandiChale-sx9nn
@NandiChale-sx9nn 2 ай бұрын
Makonda mungu akubaliki sana kwa utendaji wako wa haki ulio tukuka,nakupenda sana sana
@relaykimario4118
@relaykimario4118 2 ай бұрын
Duu🙏nimemfurahia jamaa anajua kunjieleza mpk kapandishwa cheo, Bg up mheshimiwa, Umemweshimisha kijana, roho wa Mungu yupo juu Yako.
@user-ug4dg3zh1w
@user-ug4dg3zh1w 2 ай бұрын
Nimeangalia ii klipu nimesikia raha mpk machozi yanatoka Mungu akitaka kupa akuletei barua
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 2 ай бұрын
Hata mm jamani
@robertempire9542
@robertempire9542 2 ай бұрын
Hakika acheni Mungu aitwe Mungu Mana akikuandia Yes hakuna wa kukushusha..
@kiyumbijustine3434
@kiyumbijustine3434 2 ай бұрын
MUNGU ni mwema siku zote 🙏🙏
@NeemaMzuri
@NeemaMzuri 2 ай бұрын
Wewe ni kama dr magufuli mungu akutunze sanaa
@hurumamushi1059
@hurumamushi1059 2 ай бұрын
Tufanye kazi Kwa haki, Mungu atakuinua tuu muda ukifika
@B.O-ij8cm
@B.O-ij8cm 2 ай бұрын
Hongera Sana Mtendaji kwa ufuatiliaji mzuri wa matatizo ya wananchi ❤❤❤
@mohammedlipindula5415
@mohammedlipindula5415 2 ай бұрын
Makonda utakumbukwa sana kwamoyo wako nimfano wa hayati magufuli kazi njema mungu akutangulie kwakila jambo tanzania tunaitaji viongozi kama nyie msalimie waziri mkuu pia nyie mnastahiki pongezi
@daudbutunga1190
@daudbutunga1190 2 ай бұрын
Makonda ww noma sana Cheo cha Mkuu wa Mkoa umafit na umepitliza Hyo nafasi haikufai kbsa undeserve kuwa Waziri na zaid ya Waziri Time will tell
@faustaemmanuel1390
@faustaemmanuel1390 2 ай бұрын
Pale Mungu akikupangia mafanikio yako mbelen nidham na utendaji KAZI mzuri ni muhimu kwa watumishi simfaham uyu kaka lkn nmefurah sana alivosupriziwa na mkuu wa mkoa❤❤
@anoldgeofrey5192
@anoldgeofrey5192 2 ай бұрын
Mungu akaibariki kaz ya mikono yake ....
@isaacmunisi5559
@isaacmunisi5559 2 ай бұрын
Hakika mungu akisema anakuinua hakuna wakupinga. Hongera mkuu wamkoa mungu akulinde sn. Wapo watu wanaonea watu sn wakiwemo wenye nyumba wanazopangishia watu kumekua na uonevu wahali yajuu sn.
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 2 ай бұрын
Kaka unaupiga mwingi sana big up..... Jamaa yuko smart sana
@ramiamisanya9873
@ramiamisanya9873 2 ай бұрын
Mungu ni mwema
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 ай бұрын
Hakika❤
@athumanially906
@athumanially906 2 ай бұрын
Yec ,hiii iko sawaa,kabsaa , ana uwezo mkubwa sanaa,halafu et mtendaji wa kijiji dar!! Halafu wapumbavu wengnee ndo wanakula bata
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
Inauma sana,yani natamani ningekuwa hapo nimpige ni misimbazi huyo mtendaji, yupo vizuri mnooo
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur 2 ай бұрын
Barikiwa sanaaaa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mchungaji Paul CHRISTIAN makonda
@israeluronu9958
@israeluronu9958 2 ай бұрын
Safi sana mtendaji! Wakati wa Mungu ni wakati sahihi
@zablonmuterian3620
@zablonmuterian3620 2 ай бұрын
Ningefurahi kumfahamu na kukutana na mtendaji aliyepandishwa cheo na kuhamia Ofisi ya Mkuu wa mkoa.Yuko vizuri Sana Sana.
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta 2 ай бұрын
Mungu humtoa mtu kutoka chini na kumpandisha juuu. kumketisha pamoja na wakuu ,wenzangu na mimi wao wanapindisha tu haya endeleeni kupindisha hivyo hivyo mtap
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 2 ай бұрын
Hongera sana classmate ❤
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw 2 ай бұрын
Mkuu makonda chapa kazi Mungu yupo pamoja na ww maana hayeye anajua wanyonge wanavyo teseka Mungu aendelee kukulinda.
@majidfrolian4904
@majidfrolian4904 2 ай бұрын
Hadi rahaaaaaaaaaaaa tunaiona picha ya Magufuliiiiii 🙏🙏🙏
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Kaka Amepanda cheo ❤
@georgemanase6266
@georgemanase6266 2 ай бұрын
Hii video nimeangalia zaidi ya mara mbili Mungu ni wa ajabu sanaa. Unaweza ukawa unafanya kitu bila kujua ndo njia ya kutokea. Mungu akusaidie na wewe ukutane na muujiza wako
@KNOTS-TZ
@KNOTS-TZ 2 ай бұрын
Imenisisimua jaman makonda mungu akupe maisha marefu
@SadickSued
@SadickSued 2 ай бұрын
Jamani makonda mungu ampe maisha marefu atumwe bukoba wananchi hawana msaada
@joycelaura4611
@joycelaura4611 2 ай бұрын
jaman Mungu anaona na analipa watu kwa kadri ya haja zao
@Hdhdj-t7j
@Hdhdj-t7j Ай бұрын
Waooo mh makonda 75% ya mh magufuli mungu akulinde baba ccm oyeee miaka 1000
@mustafamandindi6434
@mustafamandindi6434 2 ай бұрын
Makonda acha mungu akubaliki mkuu kwan uko poa sawa
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 2 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki sana kutetea wanyonge
@toyi7605
@toyi7605 2 ай бұрын
Mungu akupe mahisha malefu katika Mku Wa Mkowa arusha
@Angelmbise-dq6jn
@Angelmbise-dq6jn Ай бұрын
Dah n.elia jamn daha Mungu akitaka kukuinua hakuandikii barua wallah dah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-yy6gf4my9f
@user-yy6gf4my9f 2 ай бұрын
Tena huyu jamaa atakuja kuwa mkuu wa mkoa fulani muda utaongea
@user-yy6gf4my9f
@user-yy6gf4my9f 2 ай бұрын
Kabisa yani
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
Mimi namuombea kwa Mungu,RAIS AIONE HII CLIP
@maximusalnono6425
@maximusalnono6425 2 ай бұрын
Jamaa kichwa sana hapindishi maneno wala hasiti kujibu kwa anachoulizwa ananyooka kwa kiswahili kizuri tunahitaji watu wa aina yake kulijenga taifa bega kwa bega na makonda
@evidencemaimu1883
@evidencemaimu1883 2 ай бұрын
Aiseeeeeee💗💔💔💔Mungu kamuonekania HR 5YRS as Mtendaj 😊ila amshukuru huyo BABU 😅😅KUMTAJA
@juliethmsaky4099
@juliethmsaky4099 2 ай бұрын
Kabisa yaani
@Fadhilimwamlima
@Fadhilimwamlima 2 ай бұрын
Nasikusote mungu anakupitisha kwenye njia nyingi apo amushukulu mungu
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
Na unajuwa huyo mzee ni malaika katumwa na MUNGU KABISA
@lucykiwango2834
@lucykiwango2834 2 ай бұрын
Mungu humwinua mtu kwa wakati wake hongera baba
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 2 ай бұрын
Very emotional jamani
@user-fj4kj8xc5x
@user-fj4kj8xc5x 2 ай бұрын
Mungu akubariki mtendaji kwa uajibikaji mzuri, mungu akuinue zaidi na kukupa hekima na busara katika uwajibikaji katika KAZI ya uma
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 2 ай бұрын
Yaaani nimejikuta narudia Rudi a hii sehemu ya nakupandisha cheo daaah jamaaa wewe unafaa kuwa president dadeki
@user-ph1pm3ud1d
@user-ph1pm3ud1d 2 ай бұрын
Mwenyew nmerudia mara mbili
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp 2 ай бұрын
Namimi kabisa
@jeskashilinde8875
@jeskashilinde8875 2 ай бұрын
Nmerudia mara tat tatu jaman🎉❤❤
@stelasanga1121
@stelasanga1121 2 ай бұрын
Hata mm had machoz yamenitoka
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 2 ай бұрын
@@user-ph1pm3ud1d Daar
@LeahKazeni
@LeahKazeni Ай бұрын
Makonda umenifanya nipende utensaji wako wa kazi unanifurahisha sana Mungu akutunze
@julianamasato5655
@julianamasato5655 2 ай бұрын
kutoka mtendaji wa kijiji mpaka msaudizi wa mkuu wa mkoa ,taa ya MUNGU ikikuwakia hata uwe wapi utafikiwa
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 2 ай бұрын
Umeonaeee
@victoriarichard8761
@victoriarichard8761 Ай бұрын
Safi sana bro, ukishajitoa kuwa kiongozi ktk jamii lazima uwe mzuri ktk kumbukumbu kichwani yani siyo mpuuziaji wa mambo ovyoovyo ukiulizwa unasema mara hujui mara umesahau inatia hasira lakini huyu kaka mi smart sana kichwani kufatilia vitu anakumbuka mpaka majina ya wanajamii siyo rahisi. Hongera sana Wakati wa Mungu ni wakati sahihi. Mimi HR mwenzio ambaye bado sijapata ajira nakupongeza sana . Hongera mh makonda kwa kazi nzuri yenye weredi
@mejamiela7436
@mejamiela7436 2 ай бұрын
An nmefurahi adi nahx machoz
@eliudgathuthi8601
@eliudgathuthi8601 2 ай бұрын
Heko Makonda I love Tanzania will visit one day, specifically to attend one of these public hearing. I loved and hoped to come and meet Magufuli in one of his meeting unfortunately God loved him more
@broka_genius3615
@broka_genius3615 2 ай бұрын
Wakati wa mungu
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 2 ай бұрын
Umeongea neno kubwa sana sana sana sana.
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 ай бұрын
Kabisaa yaani ❤
@user-tq5di6mv9c
@user-tq5di6mv9c 2 ай бұрын
Wakati wa mungu ni sahihii
@ananiamkasu8847
@ananiamkasu8847 2 ай бұрын
Mheshimiwa rais ampe mkoa huyo mtendaji yupo vizuri!
@charlesmbise2344
@charlesmbise2344 2 ай бұрын
Makonda anachapa kazi pia ni mbunifu
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 2 ай бұрын
Amina MUNGU amefanya njia pasipo na njia MUNGU awalinde Shaloom
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 2 ай бұрын
Mashallah
@nadiatanzania
@nadiatanzania 2 ай бұрын
Boss ukazid kutenda haki kwa wanyonge
@Zuu673
@Zuu673 2 ай бұрын
Dah 😢yani nimejikuta nalia kwa furaha mungu akubariki makonda,hama kweli wakati wa mungu ni sahihi😊
@kassangaibrahimisihaka2655
@kassangaibrahimisihaka2655 2 ай бұрын
Makonda unaeleweka vizuri sana ipo siku mimi nakutabilia utapewa nchi bila pingamizi kwani hawa wanaichi unaowasaidia ndio ukombozi wako wa kula ya uchaguzi lakini wanao kubeza hawapendi wanaichi wapate hakizao ila wadhulumiwe pasipo sababu mungu akubariki sana amini inshallah
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 2 ай бұрын
Huyu kijana ni mkuu wa mkoa ajaye . Nimependa jinsi makonda anavyofanya ajira zake. Wapo vijana wazuri kiutendaji lakini ndio wamefichwa huko. Nimempenda huyu kijana. Yupo smart
@user-nt6fb2ky3t
@user-nt6fb2ky3t 2 ай бұрын
Hata kama ningekuwa mimi huyu nisingemuacha..,yupo Smart kichwani na logically man👍
@damaschosen
@damaschosen 2 ай бұрын
MUNGU wa mbinguni anifanyie hivi na kuzidi ameeen
@carlykloon6253
@carlykloon6253 17 күн бұрын
At class, hugo kijana ni mzuri sana
@edwardmwakisulu4655
@edwardmwakisulu4655 2 ай бұрын
Mtendaji safi sana, na mkuu wa mkoa upo vizurii. Binafsi nakupongeza mh : Makonda
@user-wk9mh7wz2z
@user-wk9mh7wz2z 2 ай бұрын
Kwa nini usifike mkos wa ruvuma ,,na akatutembelea wilaya ya Tunduru jamani ,,,makonda baba ukuje na huku kwetu siku Moja jamaniiiii
@SadickSued
@SadickSued 2 ай бұрын
Kuna watu wanakula era za watu bukoba mjini kata bakoba wasaidie mama Samia kikund Cha Sr women
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l Ай бұрын
Mpka machozi yamenitoka, kwa furaha ya huyo kaka kubadilishiwa position. God has done to you❤, hongera mheshimiwa. Huku Dar.- es - salaam, tuko kama tumetulia mjini Ila ndio sio salaam kabisa.
@estivillercherish9873
@estivillercherish9873 Ай бұрын
Mungu humwinua mnyonge kutoka mavumbini na kumketisha pamoja na wakuu
@user-ce3ri5zu8q
@user-ce3ri5zu8q 2 ай бұрын
Daah kweli mungu yupo jmn wakat wa mungu ni wakat cahihi nimemkumbka phina
@user-hu1ev9pt8q
@user-hu1ev9pt8q 2 ай бұрын
Safi sana❤❤
@user-mi3bi3fj3s
@user-mi3bi3fj3s 2 ай бұрын
Hongera sanaa makonda Kwa kusimamia haki za watanzania,pia na kumpa nguvu hyo kijana Kwa ajili ya utendaji wake mzuri
@paulm.kaponda2300
@paulm.kaponda2300 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mh Makonda
@naligiatomaso5006
@naligiatomaso5006 2 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏kweli wakati wa mungu ukifika hakika Atafanya maajab mbele zako
@rahmambugi2322
@rahmambugi2322 2 ай бұрын
Nimetokwa na machozi, makonda nakukubali mno mungu akupe maisha marefu yasiokua na maradhi
@herbethlukogela7657
@herbethlukogela7657 2 ай бұрын
Yani haya maisha usipokuwa na mambo mengi lazima utafanikiwa tu.....
@alhajikangalawe6178
@alhajikangalawe6178 2 ай бұрын
Duh, asanteMungu......Magufuli is alive and Mama Hon Samia Is dong right..MUNGU AWATUNZE. VIVA MAKONDA VIVA MRISHO GAMBO VIVA!!!!
@abdulazizabdillahkijaro3070
@abdulazizabdillahkijaro3070 Ай бұрын
This guy is very brilliant
@user-mi4hq7fw4m
@user-mi4hq7fw4m 20 күн бұрын
The guy he’s very smart 🤝🤝🤝💪💪🎉🎉🎉
@ramadhanmusa2878
@ramadhanmusa2878 2 ай бұрын
MAKONDA kiongozi Mzuri🤝hongera....watching from MOMBASA
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 2 ай бұрын
Amina! Mungu atukuzwe kwa yote yaliyojiri hapo
@WilliamKulwa-lj1jc
@WilliamKulwa-lj1jc 2 ай бұрын
Mungu amlinde
@robbyman6213
@robbyman6213 Ай бұрын
Mungu Akiamua Kukupandiaha Hakuna Wa Kukushusha.
@sein.208
@sein.208 2 ай бұрын
Masha Allah
@kulapafrancis8138
@kulapafrancis8138 Ай бұрын
Makonda unaupiga Mwingi sana, umeona kazi ya mtendaji wa kata, hawa watu ndo wanaotakiwa kwenye Jamii, wanafanya kazi ya MUNGU kwakweli
@user-ix9kq6ke2m
@user-ix9kq6ke2m 2 ай бұрын
Mashaa Allah
@rahmarama5669
@rahmarama5669 2 ай бұрын
Safi mnooooooo Mungu Huwa Hachelewi
@JasusiKaringa
@JasusiKaringa 2 ай бұрын
Namwona Paul Makonda kwenye level ya president ila najua wenye choyo hapo sasa maana akiwa mwenezi walitengeneza majungu
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 8 МЛН
Schoolboy - Часть 2
00:12
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 4,9 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 68 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 5 МЛН
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 8 МЛН