Mahojiano kamili na Balozi Masilingi na Mbunge Tundu Lissu

  Рет қаралды 389,090

VOA Swahili

VOA Swahili

5 жыл бұрын

Mbunge wa upinzani Tundu Lissu na Balozi Wilson Masilingi wa Tanzania nchini Marekani katika mahojiano na Sauti ya Amerika mjini Washington
Originally published at - www.voaswahili.com/a/4777565....

Пікірлер: 566
@habibmohdali206
@habibmohdali206 5 жыл бұрын
Kama umemuona balozi anataka kushika glass ya maji lakini imemshinda kuichukua,,kwakumuogopa lissu gonga like
@aizackalifredkawishekawish670
@aizackalifredkawishekawish670 4 жыл бұрын
Lisu iko visuri
@finiasfidelis1475
@finiasfidelis1475 5 жыл бұрын
Kama umeelewa tofauti ya serikali na taifa katika mjadala huu gonga like tujuane
@nelsonmwasisoba5400
@nelsonmwasisoba5400 5 жыл бұрын
tatizo analelewa ndo maana anashindwaa kuongea
@mansoormushweki1349
@mansoormushweki1349 4 жыл бұрын
Sema usikike
@rafiikiumbe1722
@rafiikiumbe1722 5 жыл бұрын
Eti wapinzani wanaogea wanapo taka kila sehemu duuuuuuh....! Gonga like km umeskia
@emanuelhingi
@emanuelhingi 5 жыл бұрын
Kama umeona balozi alitaka kunywa maji akaona kikombe cha moto acha like yako hapa tujuane
@oscarwissa
@oscarwissa 4 жыл бұрын
Napenda sana Lissu anavyopanga hoja.
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Lissu is genious
@thadeipeter2592
@thadeipeter2592 5 жыл бұрын
Barikiwa sana Mh. Lissu
@eliasmushi6792
@eliasmushi6792 5 жыл бұрын
Hahahaha ukiwa unampenda tundu lissu...unapata raha sana...
@barakaluis5158
@barakaluis5158 5 жыл бұрын
Sasa wewe kama shoga unaachaje kumpenda Tundu Lissu na ngojea wazungu waje watawalamba kweli
@benjaminsolomon1970
@benjaminsolomon1970 5 жыл бұрын
big up...lissu... #viva lissu#
@foibekajiru7243
@foibekajiru7243 5 жыл бұрын
Halafu humu inayomwona Tundu Lisu ni mjinga ni mitoto ya mifisadi"ukute mitoto ya mawaziri au mibunge ya ccm!'"Mungu amempa Tundu lisu nafasi nyingine ya kuishi mwacheni ashuhudie makuu Mungu aliyomtendea:'",,THE LIVING MIRACLE!!!!
@chaavikachangilamathew5753
@chaavikachangilamathew5753 5 жыл бұрын
it sounds
@livingstonenyambaya1640
@livingstonenyambaya1640 5 жыл бұрын
Balozi Hugo ni choko anataka dereva arudi kiholela wamuuwe
@fredypastoryutd4864
@fredypastoryutd4864 5 жыл бұрын
Mi nadhani bora baraza la mitihani, NECTA waandae majibu sahihi juu ya swala hili (marking scheme) la sivyo mtu anaweza akarusha ngumi hivi hivi.
@mussasaidali5720
@mussasaidali5720 5 жыл бұрын
Kila hatuwa duwa tundu lisu one love
@oriojoseph4518
@oriojoseph4518 5 жыл бұрын
Tundu Lissu Mungu akubariki achana na hao wasaka tonge hata kuongea hawawezi wanatetea matumbo yao tuu. Tunaendelea kukuweka kwenye maombi yetu Comrade.
@danielleoterindulu7315
@danielleoterindulu7315 5 жыл бұрын
wote mnaemuombe tundu lisu katka opereshen yake ya 23 like hapa twende sawa
@stevenmnzavajoseph
@stevenmnzavajoseph 5 жыл бұрын
Pale akili ndogo inapokutuna na akili kubwa. God bless you hon. Lissu.
@benjaminsolomon1970
@benjaminsolomon1970 5 жыл бұрын
sijui Kama balozi n Baba kwny familia yake... ajielewi
@salehehassan3665
@salehehassan3665 5 жыл бұрын
Baloziiiiiiiii, umeminywa😂😂😂😂
@fazeelshomary8743
@fazeelshomary8743 5 жыл бұрын
When you speak the truth you become so confident and when you speak the lies you become so emotional Mmoja kati ya hao amekasirika na mmoja anaongea kwa kujiamini, mwenye akili timamu ameshajua nnachomaanisha.
@rasnchimbi
@rasnchimbi 5 жыл бұрын
Dhambi ya kumwaga damu inawamaliza kwakweli!
@cosmasthobias5226
@cosmasthobias5226 5 жыл бұрын
Huyu jamaa amuwezi lissu watafute mtu mwengne apambane na lissu huyo kashindwa
@shadrackrabison8032
@shadrackrabison8032 5 жыл бұрын
You very intelligent Tundu Lissu than huyo Mashilingi. Mashilingi anatetea ugali wake huyo.Ningekuwepo balozi ningempa ngumi moja ya pua.
@barakalukumay
@barakalukumay 5 жыл бұрын
Huyu balozi gani hana weledinwa kujibu maswali kama ndio hivi unafikiri kuna usalama gani kwa mwenendo huu hafai huyu kengele jibu swali acha hasira za kiyaya
@hechechacha4032
@hechechacha4032 5 жыл бұрын
Masilingi anazungumza hoja kama mtu wa mtaani eti watoto bure hajui watu wanachangishwa kwa nguvu 60,000/= kila darasa
@shivobs4485
@shivobs4485 5 жыл бұрын
Kikojozi tu huyo jamaa bure ya wapi tunasoma bure elimu haitukomboi
@siamollel9725
@siamollel9725 5 жыл бұрын
60 tu,,,hela zakulipa walimu je
@foibekajiru7243
@foibekajiru7243 5 жыл бұрын
Mbona balozi umepaniki!?!ukweli huwa unauma jamiii
@hundamaniamania872
@hundamaniamania872 5 жыл бұрын
Huyu hana Sifa ya kuwa balozi mbn anabishana kienyeji tena anamkatisha Lisu duuuh ,,kweli ushabiki mbaya
@johnbusoro6018
@johnbusoro6018 5 жыл бұрын
0
@ambokileosward8850
@ambokileosward8850 5 жыл бұрын
Nenda ukawe Balozi wewe bata wewee
@shukurually2011
@shukurually2011 5 жыл бұрын
Hunda mania Mania tatizo kutetea tonge ivi kweli kama angekufa uchunguzi ucngefanyika? jibu la balozi ndani kuja jambo kiukweli lisu amemfafanulia vizuri sn balozi ameelewa ila anahofia kuwa kunamtu anaangalia lazima ajibu kihuni
@valentinamussa4212
@valentinamussa4212 5 жыл бұрын
Hata kama niwewe unadhani unaweza kuungana na tundu lisu,uharibu ugali mbele ya magufuri,
@shukurually2011
@shukurually2011 5 жыл бұрын
Valentina Mussa ndio maana hajitambui eti kama ngekufa kufa basi balozi hajui hata kumjibu mtu balozi akiongea lisu ananyamaza lisu akiongea yeye anamzuia alafu anajiita mwana sheria ndio maana lisu kamuuliza ww mwanasheria gani kwasababu haongei pwenti
@Shirimatunda
@Shirimatunda 5 жыл бұрын
Huyu balozi si level ya lissu kabisa
@fanikioshaweji8174
@fanikioshaweji8174 4 жыл бұрын
LAST GENERATION
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 5 жыл бұрын
Jasho lina kutoka Mashiringi
@issaathumani4682
@issaathumani4682 5 жыл бұрын
Kwakweli kama balozi unatakiwa kuwa na hekima unapojibu hoja, Ni kweli kila mmoja ana mapungufu yake lakin kwa hili hapana mmezidi na inaonekana wewe kama balozi unashindwa hata kumvumilia mtu ejieleze kwa uhuru, mpe uhuru jenga hoja na jibu hoja ya kujibuu
@alexgeorge6744
@alexgeorge6744 5 жыл бұрын
Kijana tulia baba aongee we vip nanataka arud tanzania hili mtume watu wasio julikana hiiii.aujui ata kuongea hiloooooo Chadema oyeeeeeee
@Byondorujulika17
@Byondorujulika17 5 жыл бұрын
Lisu unahistahili kuwa raisi wa TANZANIA;jamaa analinda kibaruwa.dr Congo tumupate mtu kama mheshimiwa Lisu ni raha sana ila nabii hana heshima kwao.
@alquinmadoro6090
@alquinmadoro6090 5 жыл бұрын
Huyu balozi nae kichwa maji kabisaaa ,kateuliwa na ccm kwa hiyo hata huyu balozi ni kichwa maji
@harunmpuga8122
@harunmpuga8122 5 жыл бұрын
Nusu
@harunmpuga8122
@harunmpuga8122 5 жыл бұрын
Nusu
@greensky9607
@greensky9607 5 жыл бұрын
Hujioni kuwa kichwa maji ni wewe?
@mageminja8052
@mageminja8052 5 жыл бұрын
mungu akulinde lisu..hakika hutokufa utadumi milele
@sumatraveler1957
@sumatraveler1957 5 жыл бұрын
Balozi mjinga kweli eti anamwambia Tundu lisu kufa sasa wauwaji wakubwa nyie.
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 5 жыл бұрын
Suma Hunga kasema hukufa sasa hujamsikiliza vizur
@jambostaamringa9490
@jambostaamringa9490 5 жыл бұрын
Nimecheka kifala et kufa ssa uyu baloz amka ki2 apo
@smarty1064
@smarty1064 5 жыл бұрын
Suma Hunga masikio yako umepeleka wap? kasema NDO HUKUFA SASA yaani uko mzima
@lizb2012
@lizb2012 5 жыл бұрын
@@smarty1064 kusikiliza ni karama pia si kila mmoja anayo. Hawa vijana wameamua kusikia yale ambayo wameyajenga mawazoni mwao na si kinachozungumzwa. Wamepoteza ufahamu 😁😁
@smarty1064
@smarty1064 5 жыл бұрын
@@lizb2012 ni kweli, hapo ndo linakuja swala la namna ubongo unavyotafsiri, kuna slow learners, kuna intelligent people na wengine ni ma genius kwahiyo twende nao polepole
@hechechacha4032
@hechechacha4032 5 жыл бұрын
Masilingi wakati wote ambao kikwete amekuwa raisi tukumbushe lini kuliwahi kutokea wabunge kupigwa risasi Na watu kunyanyaswa kiasi kama cha leo
@saidshoka4770
@saidshoka4770 5 жыл бұрын
Duuh unajua nini tunaumbuka daah inatia huruma sana lissu wasamehe hawa watu huwenda wakajirekebisha wakiumbuka wao kilio chao ni aibu kwa taifa
@mohamedothman9769
@mohamedothman9769 5 жыл бұрын
Inatakiwa waumbuke wajutie makosa yao
@josephmichael2225
@josephmichael2225 5 жыл бұрын
Said Shoka amsamehe nani we nyau mwenye utindio wa ubongo?
@masoudsaid6427
@masoudsaid6427 5 жыл бұрын
Said Shoka haaa haaa duh umeliona hilo mkuu
@mohoniajoseph9067
@mohoniajoseph9067 5 жыл бұрын
Huyu Masilingi amepwaya kama chupi ya kuazima. Asante sana Lissu
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Uyo balozi ni mzushi
@abassgwandondeye2283
@abassgwandondeye2283 5 жыл бұрын
Nimemkubali lisu
@nkatakulimamkuwa4872
@nkatakulimamkuwa4872 5 жыл бұрын
Huyu baloz kilaza kweli anongea mpaka anataka kulia
@mohamedothman9769
@mohamedothman9769 5 жыл бұрын
Kaona kitumbua kinatiwa mchanga, keshazoea unyamwezini tena akitumbuliwa....?!
@subekhasleyium8862
@subekhasleyium8862 5 жыл бұрын
Duuh kumbe hata wewe umemuona aiseee balozi katia aibu swali la kwanza tu alitetemeka mpaka akawa hajui kama anywe maji au ajibu swali kabaki anapepesa macho
@adrianokubila8374
@adrianokubila8374 5 жыл бұрын
Huyo balozi akili nyepesi mtetea tumbo
@nicksongerson6416
@nicksongerson6416 3 жыл бұрын
Hii tz mabalozi wetu ndio wajing kiasi hiki ... Kweli ndio maana wazungu wametuonea muda wote
@mbcgrams5415
@mbcgrams5415 5 жыл бұрын
Mabalozi wengine bana si bora mnipatie hata mimi huo ubalozi
@sirialemmy37
@sirialemmy37 5 жыл бұрын
Usijadharau kiasi hicho bro! Time yako itafika na utakula Kwenye sahani yako iliyosafi. Mkosee tuu mtu ila kiwango chako kama raia mwema wa nchi yetu huwezi linganishwa na mabongo Lala!
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 5 жыл бұрын
Watu wa chama cha mapinduzi nguvu tu
@geofreyemanuel8939
@geofreyemanuel8939 5 жыл бұрын
Wanao msifia mashilingi wote akili zao zikapimwe...kwataarifa yenu mashilingi kakutana na moto chuma ety anamladhimisha lissu arudi nyumban kwel hawajamaa wanatetea matumbo yao ameulizwa jeshi la polisi limemhoji nan anaanza kumumunya maneno....na subirini Tundu lisu aupate uraisi ndio tutaelewana manake watu wasisiemu mmezidi sana uonevu
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 5 жыл бұрын
Anataka Arudi wakammalize tu hawa huyu ambassy analilia kula yake
@stevenkambeytz2459
@stevenkambeytz2459 5 жыл бұрын
Geofrey Emanuel mmm
@josephmichael2225
@josephmichael2225 5 жыл бұрын
Geofrey Emanuel we nae ni nyumbu kweli kweli
@barakaluis5158
@barakaluis5158 5 жыл бұрын
Wewe huna akili ndio maana huoni kitu fall wewe na nahisi wewe ni shogaaa kataaa Mungu anakuona jinga wewe
@ericmashulano8769
@ericmashulano8769 5 жыл бұрын
wewe utakua mwebdawazimu sio bure
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 5 жыл бұрын
Mashiringi mbona una jazba ? Jicho lime kutoka, jibu hoja sio una payuka payuka
@alenfelix8610
@alenfelix8610 5 жыл бұрын
Hana uwezo wa kubishana Kwa hoja
@erasmusaloyce4398
@erasmusaloyce4398 5 жыл бұрын
Olivia Seth anayepayuka ni yule anayetukana, na akijibiwa ana anasemama mwanasheria Wa wapi , wakati mwenzake ana first class ya degree ya sheria isitoshe ana experience kubwa kuliko yeye na katka mahojiono ya kingereza alikili hilo,
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
Kwani first class ndo nini ?? Mitihani??
@abdalomari5912
@abdalomari5912 5 жыл бұрын
lissu wa Tanzania tunaimani nae hajawai kutuzalau watanzania wala hajatukana watanzania uyu balozi anatetea tumbo lake
@jamesnicholas6091
@jamesnicholas6091 5 жыл бұрын
Watanzania na nani
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 5 жыл бұрын
Mungu Mkubwa Ongera sana Tundu Lisu Huyo Balozi siyo Revo ya Tundu Lisu labda Wangemleta mtu mwingine
@singidaboy1586
@singidaboy1586 5 жыл бұрын
Hhhhhhhh hhhhhhhh tundu brother unawapa tabu watu alwayzzzzz mungu akulinde nakukubali sanaa ndgu
@massive1765
@massive1765 5 жыл бұрын
"Wewe mwanasheria wa wa wapi!??" lissu
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 5 жыл бұрын
Huyu balozi anatumbuliwa muda si mwingi maana anaonekana hajui hata kujibu maswali
@adrianokubila8374
@adrianokubila8374 5 жыл бұрын
Balozi apimwe mkojo maana hiyo siyo akili ya mtu mzima
@hchriss7930
@hchriss7930 Жыл бұрын
Utabili wako ulitimiaga alishatmbuliwaga kitambo sana
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Жыл бұрын
@@hchriss7930 kumbe??
@veronicasalvatory8559
@veronicasalvatory8559 4 жыл бұрын
Pole sana tundu lisu. Nashukuru mungu umepona.
@husseinsalimmaula4254
@husseinsalimmaula4254 5 жыл бұрын
Long long life tundu lisu .
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t 2 ай бұрын
Masilingi tulia basi hiyo ngoma ni nzito
@calvinroyson891
@calvinroyson891 5 жыл бұрын
Nmecheka sana et asante balozi
@lucky9285
@lucky9285 5 жыл бұрын
Masilingi kafunikwa
@victorkawinner126
@victorkawinner126 5 жыл бұрын
Sasa wewe balozi una taka kuliya kwasababu ume hulizwa maswali magumu yenye kujaa ukweli ,wewe ni Mjinga kweli
@luganostewart8320
@luganostewart8320 4 жыл бұрын
Huyu Balozi ni Aibu tupu kwa taifa!!!!! Brother Masilingi Katika mjadala mzito kama huo kupitia chombo kikubwa cha habari duniani ulitakiwa udhihirishe wazi nafasi yako kama mwakilish thabiti wa hao walio kuteua ktk kujenga na kutetea hoja, lakn imekuwa tofauti maana unaishia Kupaniki tu na huna la kujibu kutokana na Hoja za upande wa pili kujikita ktk uhalisia tupu!!!!! THINK TWICE BROTHER!!!!!
@mkumbokibona5766
@mkumbokibona5766 4 жыл бұрын
Wewekweri
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 3 жыл бұрын
Kazi nzuri ya serikali gani wanafiki
@mbokachawe9657
@mbokachawe9657 5 жыл бұрын
Mashilingi umeambiwa mambo mawili matatu... Hahahhh unataja mambo meeengiiiiiii.... Chaaaaa!!!! Taja ya muhimuuuu!!! Doooooh...
@mariahansen3341
@mariahansen3341 5 жыл бұрын
Huyo barozi walichelewa kumpa somo kachemsha kweli kaka .Tundu Lissu wasamehe tu .Huyo balozi hawezi hatakujibu swali just kutapatapa alivyo tumwa kujibu hawezi bora arudishe kulima kuliko Aibu .Duuuuu Jesus Bless Tundu Lissu Amen.
@bakarimashi8711
@bakarimashi8711 5 жыл бұрын
Balozi anatetea ugali wa familia yake tu pumbavu
@claverygavana5244
@claverygavana5244 5 жыл бұрын
Huyu balozi ni mwanasheria wa wapi mbna hafati protocol
@damianmgonela5827
@damianmgonela5827 5 жыл бұрын
barozi hajibu maswali yanayostahili Na siyo mwanasheria huyo anatakiwa kutulia asikilize hoja halafu ajibu nasiyo kumkatisha maongezi yake siyo haki kabisa hiyo ndiyowatu husema ndiyo Wale wale
@taphtweve1892
@taphtweve1892 5 жыл бұрын
Duh sio kwa ku Punic huko
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 5 жыл бұрын
Balozi wetu kwa tundulisu ni mwepesi sana tundu ni Level nyengine kabisa mpaka unamuona hapo kasha kwepa mishale mingi!
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
hahahha, nimecheka kwa kweli
@waltermbelwa4973
@waltermbelwa4973 5 жыл бұрын
Ushauri kwa Tundu Lissu.Uko mahiri sana ktk kujibu maswali kwa ufasaha ,hoja nzito na weledi wa sheria.Dosari ndogo kwako iko kwenye lugha ya mwili (body language).Jizuie kumnyooshea usoni kidole yule unayeongea naye.Vinginevyo Mungu amekujaalia umahiri wa kujieleza.Hongera kijana.
@johannesmaloda8209
@johannesmaloda8209 4 жыл бұрын
Masilingi humuwezi huyo...Kabudi ndo level zake!
@toptictoc1884
@toptictoc1884 5 жыл бұрын
Hahaha wanang'ang'ania arudi Tanzania ili wamkamate. Ccm bwana wanajifanya wajanja, Mr Lissu usirudi tz ng'o
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 5 жыл бұрын
Sio kumkatama tu watamuuwa kabisa
@eliajimmy4841
@eliajimmy4841 5 жыл бұрын
Wanataka wakamuue kabisa lisu ama kweli ccm ni magaidi
@theictguru5791
@theictguru5791 5 жыл бұрын
Viva Lissu Viva ...Niko tayari kuingia msituni kupigana kwa ajili yako
@raphaelmtweve2674
@raphaelmtweve2674 5 жыл бұрын
Wana akili ndogo sana. Live long lissu!
@abdalomari5912
@abdalomari5912 5 жыл бұрын
lissu upo vizuli sana umesema ukweli lissu
@abdulrahimmohamed7066
@abdulrahimmohamed7066 4 жыл бұрын
Mashiringi hawez bishana na lisu , lisu is too good for him
@mashakagwesa9983
@mashakagwesa9983 5 жыл бұрын
kwa kifupi balozi hamuwezi lissu
@raymondpaulla6801
@raymondpaulla6801 5 жыл бұрын
balozi hajui anachokiongea anakua Kama sio mwanasheria hajui kujielezea na hana ushaidi wakutosha anabishana kienyeji tu
@donaldthomas3728
@donaldthomas3728 5 жыл бұрын
Raymond Paulla Uncle Hakuna kazi ngumu Kama kuongea uongo ndo maana baloz amepata tabu, ukwel una tabia ya kujitetea wenyewe, Hata huyo baloz najua nafc inamsuta ila no way
@bijojawas6581
@bijojawas6581 4 жыл бұрын
Tundu lisu mmoja ni sawa na wabunge wote wa ccm.
@deomichael3081
@deomichael3081 5 жыл бұрын
Wanyeeeeee babaaaaa
@laumlimbila4337
@laumlimbila4337 5 жыл бұрын
this is America Mr gambino
@pangapaul659
@pangapaul659 5 жыл бұрын
Huyu Baloziiii nimemshusha hadhi ya kuwa baloziiii kwa pressure hii!shida sana!
@kassimjuma8713
@kassimjuma8713 5 жыл бұрын
Huyu Balozi alichaguliwa kwasababu ni NGOSHA. and Muhaya.
@davidphidelis2553
@davidphidelis2553 4 жыл бұрын
Umeonanee
@misambo7539
@misambo7539 5 жыл бұрын
Barozi anaweweseka Kweli Kapanic mbaya hana hoja za kumjibu Lissu zaidi ya kusema arudi nyumbani. Waswahili wanasema mchawi akikuroga akashindwa kukuua anapokuona unatembea huwa anumia sanaa.
@johaivenmugisha4919
@johaivenmugisha4919 4 жыл бұрын
Mbunge wa zamani wa Muleba kasikazini
@nelsonmataba1426
@nelsonmataba1426 5 жыл бұрын
Power of knowledge vs power position
@adrianokubila8374
@adrianokubila8374 5 жыл бұрын
Balozi kilaza
@victorkawinner126
@victorkawinner126 5 жыл бұрын
Uyu balozi aliye na mapungufu ya akili na elimu , ndo anaye kuwakilisha marekani kweli !?
@donaldthomas3728
@donaldthomas3728 5 жыл бұрын
UJINGA SANA halafu hivi kuna watu wanaamini kuwa wabongo ni wajinga na wanaweza kuwadanganya watakavyo, Asa ivi watu ni werevu Sana ukitoa hoja ujipange ,Balozi kakurupuka hata uso unamsuta na dalili za kuzidiwa ni kupora muda wa mwenzio
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 5 жыл бұрын
Ndio chama chako iyo chukua chako mapema
@victorkawinner126
@victorkawinner126 5 жыл бұрын
@@ukweliunauma4570 Mjinga
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 5 жыл бұрын
@@victorkawinner126 mjinga wewe au mie umejuaje kama wewe sio mjinga pia
@victorkawinner126
@victorkawinner126 5 жыл бұрын
@@ukweliunauma4570 kwasababu naji elewa ,wew ahu jielewi
@beatusjosephat6594
@beatusjosephat6594 5 жыл бұрын
Mhaya hajui kiswahili najichekea mie
@beatricebenson9099
@beatricebenson9099 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@ndeziboysanga
@ndeziboysanga 5 жыл бұрын
Uyo hana sifa zakua boloz iv ingetokea kapigwa yy lisasi ingekuaj? Hana maana.
@salumsaburi5049
@salumsaburi5049 5 жыл бұрын
Huyu balosi ameekwa tu hajui llte sijui kama hata amefika form4
@idgafbmw295
@idgafbmw295 5 жыл бұрын
Ndezi boy sanga lisu ksvulugwa ,siurudi kwenu kwanza au kama hukutaki njoo uchukue family yako
@idgafbmw295
@idgafbmw295 5 жыл бұрын
Ndezi boy sanga Dah hili pank, kiduku?
@marcomashimba2225
@marcomashimba2225 4 жыл бұрын
moringa. devid
@marcomashimba2225
@marcomashimba2225 4 жыл бұрын
moringa. devid
@DADYTV2067
@DADYTV2067 5 жыл бұрын
Afya ya kuzulula uko unayo yakurudi huku huna heeeh aya saw
@benjaminsolomon1970
@benjaminsolomon1970 5 жыл бұрын
balozi una fact....pointless unatetea tumbo
@jacobphilipotibaijuka9573
@jacobphilipotibaijuka9573 5 жыл бұрын
Duh hawana sheria jaman duh
@ismailihassan4593
@ismailihassan4593 5 жыл бұрын
Uyubalozi nimlevi xana
@samwelkobe6455
@samwelkobe6455 5 жыл бұрын
Ukitumwa ukajibu hoja za lissu duh kimbia LA sivyo utaaibika😂😂😂😂😂😂😂
@cosmasbenadr5179
@cosmasbenadr5179 5 жыл бұрын
Huyu balozi kajaa upepo usio na sabubu mpaka anashindwa kujenga hoja ya msingi hii inaonyesha kuwa kinacho semwa na Mheshimwa Lisu ni kweli kabisa
@paulomichael2933
@paulomichael2933 5 жыл бұрын
Duuuh
@mkizakamuhungilao3439
@mkizakamuhungilao3439 5 жыл бұрын
Kama Tanzania yetu kuna wanasheria wa aina ya Masilingi, hawafai kuwa Watanzania kabisa, maana wanasheria wa aina hii mwisho wa siku ndio wanaotusainia mikataba mibovu, sasa mwanasheria gani anaulizwa swali kuwa mmefikia wapi kuhusu kesi ya Lissu? eti anajibu Lissu hajaonyesha ushirikiano, Lissu anamuuliza tena ningekuwa nimekufa msingefanya uchunguzi? mwanasheria Masilingi anamjibu haujakufa hupo, wakati wanajua kabisa huyu jamaa ndg Lissu yuko kitandani anaumwa zaidi ya mwaka sasa hakuna uchunguzi uliofanyika, kwa maana kwamba Lissu akipona aje afanye mwenyewe uchunguzi wa waliompiga lisasi, maana tumeanza kuona baadhi ya wabunge wa ccm wakitoa majibu ya namna hiyo ya kuwa Lissu anatakiwa aje afanye uchunguzi mwenyewe atawabaini waliompiga lisasi. Kwa majibu haya inaonyesha dhahiri shahiri wanawajua waliomshambulia Lissu na ndio maana uchunguzi hauwezi fanyika habadani. Ila wakae wakijua siku za mabadiliko ya kweli zaja na ndio itakuwa kuna kulia na kusaga meno,namaliza kwa kusema hivi hao wasiojulikana wangejulikana wangepewa kazi maalum ya kuwaondoa wanasheria wa aina ya Masilingi ambao wapo nhchi hii kwa masirahi yao binafsi.
@paultarimo4152
@paultarimo4152 5 жыл бұрын
Mkiza Kamuhungilao
@patrickmilanzi5915
@patrickmilanzi5915 5 жыл бұрын
Lisu yuko vizuri mno isipokua huyo balozi ni mpiga debe wa CCM
@hashimuismail5587
@hashimuismail5587 5 жыл бұрын
TUNDU LISSU shikamooo
@josephmichael2225
@josephmichael2225 5 жыл бұрын
Balozi masilingi kunywa mvinyo mi nipo kwenye dream liner nakuja kulipa bili hiyo nyambafu umepigilia misumali ya maana kweli.
@ev.mhugohantish288
@ev.mhugohantish288 5 жыл бұрын
hahahahaha 😂 6:12 Balozi "unajua kwanini TUNAUMBUKA...?" kumbe unafahamu kuwa mnaumbuka eh?
@mwamuzipaul3991
@mwamuzipaul3991 4 жыл бұрын
Mwenyez múng. amulnde lsu
@annaemmanuel4657
@annaemmanuel4657 5 жыл бұрын
Nimemuelewa balozi sana, hataki longo longo hataki maneno ya kusikia
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Inamaana maisha yako yote balozi hukuwahi kusikiliza maneno ya watu, mpka ujionee mwenyewe?
@twayibmood7319
@twayibmood7319 4 жыл бұрын
Talent one lissu
@reaganassey4594
@reaganassey4594 5 жыл бұрын
duuh balozi hana uwezo wa kuongea wala kujenga hoja, walio koswa koswa kuuliwa wanajua thaman ya uhai,bravo lisu,, yan hapo shikilia nchi ni ya wananchi wa tanzania na si serikali
@MajiTakaMaji
@MajiTakaMaji 5 жыл бұрын
Safi sana nchi yangu Tanzania Pimbi kama huyu inatakiwa kula nae sahani kama hivi
@petrodaniford338
@petrodaniford338 5 жыл бұрын
balozi anafaa kutolewa kafara ya nnchi
@ndelemwalonde2145
@ndelemwalonde2145 5 жыл бұрын
Balozi anapewa shule lakin naona haelewa kabosaaa
@ramlasalumusalumu9056
@ramlasalumusalumu9056 5 жыл бұрын
Uyu balozi ahaaaaaaa
@mussabuma9592
@mussabuma9592 5 жыл бұрын
Duhu
@mustafaseif164
@mustafaseif164 4 жыл бұрын
Lissu anaongea ukweli kabisa 💯💯💯💯
@mathayoyohana479
@mathayoyohana479 Жыл бұрын
Ni kweli kweli kweli
@baranmohamedmbashir5299
@baranmohamedmbashir5299 4 жыл бұрын
Mungu ataleta Kheri yake inshallah
Tanzania's Democratic Decline: A Conversation with Opposition Leader Tundu Lissu
1:13:10
Elliott School of International Affairs
Рет қаралды 896 М.
Mahojiano na Tundu Lissu
27:29
KTN News Kenya
Рет қаралды 72 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 135 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 4 МЛН
Mahojiano kamili ya Tundu Lissu na Zuhura Yunus
7:04
BBC News Swahili
Рет қаралды 867 М.
BBC: Aliyekuwa mgombea urais Tundu Lissu, awasili Ubelgiji
6:43
Swahili Buzz
Рет қаралды 11 М.
Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
17:29
Millard Ayo
Рет қаралды 372 М.
Mkasi | S11E07 With Mh. Tundu Lissu - Extended Version
1:17:26
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 135 МЛН