VYAKULA (10) VYENYE SUMU KWA KUKU:!!!

  Рет қаралды 122,303

AGALUS  TV

AGALUS TV

3 жыл бұрын

🙏Epuka kuwapa kuku vyakula vyenye sumu. Vyakula vya kuku hivi ni hivi vifuatavyo kupitia somo hili

Пікірлер: 128
@felixkato6283
@felixkato6283 2 жыл бұрын
Hakika kupitia chanel hiii ntafanikisha kwenye ufugaji Wang. Mbarikiwe
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Tupo pa1 ndugu ila Ubarikiwe nawe🙏🙏
@felixkato6283
@felixkato6283 2 жыл бұрын
Amina
@MESANGAMACHERA
@MESANGAMACHERA Ай бұрын
Asante kwa kutufundisha njisi ya ufugaji wa kuku
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@shabanabunga6318
@shabanabunga6318 Жыл бұрын
Santé mwalimu kwa mafundisho .napenda kuuliza, viazi mviringo vina hasara gani kwa kuku
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Vibichi ni sumu
@user-nl2xe3qe6e
@user-nl2xe3qe6e 4 ай бұрын
Asante sana mwalimu kwa mafundisho mazuri,Mimi nauliza umesema pilipili ni nzuri kwa upande wa mafua je ni aina Gani ya pili au pilipili zozote
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 ай бұрын
Cayenne peppers AU ukiwa na kichaa ndio nzuri zaidi lakini kama huna izo basi yeyote Ile iwe imeiva vizur tumia tu
@user-gj5nv8sj6l
@user-gj5nv8sj6l 2 ай бұрын
Ansati sana kwa kuifundisha jinsi ya kufuga kuku za kienyeji na hiyo ndio ndoto yangu nikitoka majuu na nitashidi kuwavuatilia
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@zariaomary7851
@zariaomary7851 2 жыл бұрын
Asante sana mwalimu nimejifunza vitu vingi kupitia darasa lako.Mungu akubariki sana.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Amina🙏
@jumiirashid2953
@jumiirashid2953 2 жыл бұрын
Asante kwa somo... jee pili pili iko na madhara
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Hapana tena tiba nzur
@jumiirashid2953
@jumiirashid2953 2 жыл бұрын
@@AGALUSTV shukran
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Pa1🤝
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 2 жыл бұрын
Maashaallaah asante kaka kwa somo mungu akubalik ktk kaz zako mungu akufanyie wepes
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Amin🙏ubarikiwe nawe
@YohannaMkanege
@YohannaMkanege 2 ай бұрын
Asante kwa elimu👍
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Barikiwa pia
@maryamlmaryamwanje4334
@maryamlmaryamwanje4334 2 жыл бұрын
SAMAHANI SWALI LANGU LIKO NYUMA SANA NAULIZA JE VP KUKU KUANZIA KIFARANGA ANAEZA KUCHIA UMRI WA MIEZI MINGAI HAI KUJA KUTAGA
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Miez 6/7 apo
@LuijinaMalata
@LuijinaMalata 11 күн бұрын
Asante,
@AGALUSTV
@AGALUSTV 11 күн бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
@felixyegon-gb5ri
@felixyegon-gb5ri 10 ай бұрын
Asante sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@PaskalinaDeemay
@PaskalinaDeemay 2 ай бұрын
Je tangawizi na kitunguu saumu ukiwapa vifaranga vina madhara
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
KIFARANGA kiwe na zaidi ya mwez
@nasseralkharusi2060
@nasseralkharusi2060 3 жыл бұрын
Ahsante kwa somo Suala langu kuku wangu wapenda sana tomata na majani kama fijili kabichi jee kila siku naweza kuwapa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Wape ila nyanya zisiwe mbichi 🙏
@agrpinagaspery9142
@agrpinagaspery9142 2 жыл бұрын
@@AGALUSTV Naomba kuuliza Kaka yang
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Karibu uulize🙏🙏
@agrpinagaspery9142
@agrpinagaspery9142 2 жыл бұрын
@@AGALUSTV Ahsante kaka Agalus, kuku Wang anapenda mabibo, na nyanya ni vyema nisiwape? Halafu umetufundisha vitunguu c vzr, lkn mbona tunaambiwa swaumu ni nzuri Sana kwa kuku, inasaidia tiba, na Kinga, na huongeza mayai?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Wape ila yawe yameiva. Vitunguu ni vitunguu maji endapo utawapa kwa wingi🙏🙏
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Nimekuelewa
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa
@MaaneML
@MaaneML 2 жыл бұрын
1. Mbegu na ganda la parachichi 2. Mbegu ya apple 3. Kitunguu kinaleta kukausha damu 4. Machungwa na limao inapunguza mayai 5. Maharage mabichi 6. Vyakula vya asili ya sukari inaleta unene kupitiliza 7. Chumvi Ila wape kidogo kwenye chakula chao 8. Vyakula vya kuchacha au kuharibika 9. Viazi mviringo vibichi vyenye ganda la kijani 10. Yai Ila ganda la Yai ukisaga ni zuri linaongeza calcium Kwa kuku
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
🤝🤝 Safi summary nzuri🙏
@rehemamagwila4305
@rehemamagwila4305 2 жыл бұрын
Vp vitunguuu swaum kuna sehem nimesoma nimeambiwa n vzr kwa kuku
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ni sahihi ona somo hili apa👇 kuhusu vitunguu saumu kwa kuku faida zake kzfaq.info/get/bejne/aLt2qKWjrrClXXU.html
@user-ln7zf5ei1x
@user-ln7zf5ei1x 2 жыл бұрын
wanao tengeneza chakula cha kuku maharage wanaweka yalio. pikwa ama??
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Maharage yawe makavu apo haijakua na maana ya ubichi kama kutoiva 🙏🙏
@omarisenkondo5422
@omarisenkondo5422 2 жыл бұрын
Asante kwa mafunzo au maelekezo unayotupa sisi wafugaji wa kuku. Thanks alot.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@margrethwisakwisa8586
@margrethwisakwisa8586 2 жыл бұрын
Asante kwA dalasa naomba Visio ya Banda lako Kama ipo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Banda ujenzi hii kzfaq.info/get/bejne/hsB7gJt037XUlas.html
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 2 жыл бұрын
Viazi hivi vya kijani hata kwa binaadam ukikila kinakuwa na test fulani mbaya sana yaani uchungu si uchungu uwasho si uwasho.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Oooh kumbe🙏
@maggiemamaafricaofficial7080
@maggiemamaafricaofficial7080 2 жыл бұрын
Lakini nilikua nawapa kuku wangu vitungu walinawiri vizuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ok 🙏
@fatmahemed2189
@fatmahemed2189 Жыл бұрын
Masha Allha kwaiyo chakula gani ambacho Niki zur ili watage vizur?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Madini, mboga mboga za majani na vyakula vya protini
@shegashega2421
@shegashega2421 2 жыл бұрын
Asnteni jaman
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙌
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pamoja
@AshaSaleh-qu8rk
@AshaSaleh-qu8rk 10 ай бұрын
Je kwabahati mbaya akila koko la ovacado nimpe nini
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Kwa Mara 1 si mbaya
@kijanamsimbe8785
@kijanamsimbe8785 3 жыл бұрын
Mimi mfugaji napenda elimu hii
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu sana🙏
@neemashirima6121
@neemashirima6121 2 жыл бұрын
Nanasi je
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ngoja tufuatilia nasi kuhusu nanasi
@mwanaidhassan6170
@mwanaidhassan6170 2 жыл бұрын
Mimi nahitaji kyfuga je naweza kupata vifaranga vya kuku wa kienyeji nitumie Namba
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Upo wapi?
@abusheheJuma-ck2np
@abusheheJuma-ck2np 2 ай бұрын
Vipi kama nitawapa kuku wangu mashudu yenye mchangnyiko was dagaa,pumba na mashudu ya alizeti?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Sawa tu waweza ila zingatia vipimo sahihi.
@veronicamkanzabi443
@veronicamkanzabi443 2 жыл бұрын
Ufugaji wa Kuku wa kienyeji
@veronicamkanzabi443
@veronicamkanzabi443 2 жыл бұрын
Ufugaji wa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ok
@lenagb8064
@lenagb8064 2 жыл бұрын
Vifaranga vyangu vinaonekana kuwa na baridi na mabawa yanadondoka niwape dawa gani
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Vitamin na antibiotics na dawa za Homa za matumbo au typboid
@leticiakato478
@leticiakato478 3 жыл бұрын
Asante kwa somo.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Barikiwa🙌🙌
@rosepaul7901
@rosepaul7901 2 жыл бұрын
Viazi mviringo vinaandaliwqje ktk kulisha kuku?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Viazi vibichi ndyo sumu na ndyo kilichoelezwa ktk channel hii🙏🙏🙏
@nestorymwalongo6659
@nestorymwalongo6659 2 жыл бұрын
Hiyo mboga au hayo majani yanaitwaje??
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Nayajua kw jina la kilugha tu ngoja tutafute jina sahihi
@lestherusitukanesanasomaam1339
@lestherusitukanesanasomaam1339 Жыл бұрын
Je nikiweka chumvi kwenye dagaa chumvi unapochanganya chakula cha kuku?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Inaruhusiwa japo kwa kiasi kdogo
@shabanabunga6318
@shabanabunga6318 Жыл бұрын
Tomate kumpa Kuku ni vizuri?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Hapana
@angelasanga6518
@angelasanga6518 Жыл бұрын
Naweza wapa pilipili kuku wangu?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Yaaah iyo Sawa ni nzuri kwao
@rosepaul7901
@rosepaul7901 2 жыл бұрын
Lkn je wali ni mbaya kwa kuku?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Mabak ya VYAKULA yanaleta magonjwa y matumbo kw kuku
@Is-hakaRocky-ce1zq
@Is-hakaRocky-ce1zq Жыл бұрын
Tatiizo langu ni wadudu waharibifu wanakula vifaranga na mayai usiku nifanyeje?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Kama panya, paka n. K au
@sikujuwabackari3554
@sikujuwabackari3554 Жыл бұрын
Panya panya Kabisa anatuuzi sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Poleni Sana 😭 ngoja tutakuja na ufumbuzi wake
@meryLeonard-is8ry
@meryLeonard-is8ry 2 ай бұрын
Ni namna ipi ya kuhifadhi mayai ya kuku wa kienyeji kwenye mikoa yenye joto? Na je joto linasababisha yai kupungua na lisifae kwa kutotoleshwa?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Kwa njia ya trey tu na yasikae zaidi ya wiki mbili
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
TUMIA trey tu yaani makasha ya MAYAI
@japhetmsarifir4889
@japhetmsarifir4889 Жыл бұрын
Video za Uzalishaji Funza wakuku whtsap napataj?!!
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Hapana ndugu video hizi hatusambazi wasap 🙏🏿🙏🏿🤔🙏🏿sory
@joycemabena9981
@joycemabena9981 2 жыл бұрын
Kuku wangu wananenepa hawtagi niwape nn ili watage?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Punguza chakula na angalia mchanganyiko w hakula chako punguza chakula chenye mafuta zaidi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Punguza chakula na angalia mchanganyiko w hakula chako punguza chakula chenye mafuta zaidi
@priscillamwangangi5212
@priscillamwangangi5212 2 жыл бұрын
Kitunguu ni dawa ya minyoo kwa kuku
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ok 🙏 Karibu kupeana uzoefu kwenye ufugaji
@hildaayoo6853
@hildaayoo6853 2 жыл бұрын
Si ndio hata mimi nashangaa akisema ni sumu.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Vitunguu ni sumu endapo watapewa kwa wingi 🙏 tena ni vitunguu maji
@stewartchilolo1207
@stewartchilolo1207 2 жыл бұрын
Somo zuri Asante Ila ongeza kusema madhara ya kila chakula unachoongelea coz ukisema2 linamadhara bila kutaja hayo madhara nadhani sio sahihi. Pia khs kitunguu nahisi kinasaidia hasa vitunguu swaumu.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Sawa ila kuhusu vitunguu saumu faida zake hizi apa, kzfaq.info/get/bejne/aLt2qKWjrrClXXU.html
@masongatz
@masongatz 3 жыл бұрын
Naomba namba yako ya wasap bro!
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Poa
@masongatz
@masongatz 3 жыл бұрын
Niwekee humu kk 0756329976
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Sasa apo unahitaji link ya iyo video au
@user-zo8kw3zk4y
@user-zo8kw3zk4y 6 ай бұрын
Hivi naweza walisha kuku wangu nyanya na je zinafaida gan?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Usiwape mbichi. Pia kama zilizoiva hakikisha hazina dawa. Kwa UFUPI si vizuri kuwapa
@user-zo8kw3zk4y
@user-zo8kw3zk4y 6 ай бұрын
Asante mkuu nashkuru sana na tuko pamoja ktk masomo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@user-zo8kw3zk4y
@user-zo8kw3zk4y 5 ай бұрын
Mkuu Toka Jana kuku wangu wawili nimeona wanakula huku wamelala kama miguu Yao imekosa nguvu nikiwasimamisha wanatembe hatua mbili au tatu Kisha Wana shuka chini je yaweza kua shida Nini? Naomba msaada wako, pia naomba msaada wa namba yako
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Pole Sana ndugu angalia kama Wana hara kinyes gani
@diphinahnanjala7584
@diphinahnanjala7584 3 жыл бұрын
0ngera baba kumipa helimu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa 1 sana
@obetkoko3212
@obetkoko3212 2 жыл бұрын
Somo zuri Asante!
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏🙏
@restutastephano8748
@restutastephano8748 4 ай бұрын
Asante sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 ай бұрын
Tupo pamoja
@faridamohammed6689
@faridamohammed6689 Жыл бұрын
Asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pamoja
@dorisurio8001
@dorisurio8001 2 жыл бұрын
Asante sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Barikiwa🙌
Mbinu 8 za Kupata kuku bora wa Kufuga wa kienyeji
14:11
AGALUS TV
Рет қаралды 28 М.
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 33 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 30 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 65 МЛН
JINSI YA KULEA VIFARANGA VYA KUKU WA ASILI BILA MAMA YAO
19:45
AGALUS TV
Рет қаралды 122 М.
TIBA ASILI YA UTITIRI NA VIROBOTO KWA KUKU
7:35
AGALUS TV
Рет қаралды 45 М.
MAAJABU YA MKAA Katika Kutibu KUKU Wa KIENYEJI
8:07
Kuku Village
Рет қаралды 172 М.
FAIDA 8 ZA TANGAWIZI KWA KUKU
8:05
AGALUS TV
Рет қаралды 33 М.
Jinsi  ya kupata kuku  wengi wa kienyeji
10:46
AGALUS TV
Рет қаралды 333 М.
Jinsi ya Kutunza Vifaranga vya Kuku wa Kienyeji
8:19
Changamkia Fursa
Рет қаралды 237 М.
JINSI  YA KUTENGENEZA FUNZA  KAMA  CHAKULA CHA KUKU
7:08
AGALUS TV
Рет қаралды 66 М.
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 33 МЛН