🙏Epuka kuwapa kuku vyakula vyenye sumu. Vyakula vya kuku hivi ni hivi vifuatavyo kupitia somo hili
Пікірлер: 128
@felixkato62832 жыл бұрын
Hakika kupitia chanel hiii ntafanikisha kwenye ufugaji Wang. Mbarikiwe
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Tupo pa1 ndugu ila Ubarikiwe nawe🙏🙏
@felixkato62832 жыл бұрын
Amina
@MESANGAMACHERAАй бұрын
Asante kwa kutufundisha njisi ya ufugaji wa kuku
@AGALUSTVАй бұрын
Tupo pamoja ndugu
@shabanabunga6318 Жыл бұрын
Santé mwalimu kwa mafundisho .napenda kuuliza, viazi mviringo vina hasara gani kwa kuku
@AGALUSTV Жыл бұрын
Vibichi ni sumu
@user-nl2xe3qe6e4 ай бұрын
Asante sana mwalimu kwa mafundisho mazuri,Mimi nauliza umesema pilipili ni nzuri kwa upande wa mafua je ni aina Gani ya pili au pilipili zozote
@AGALUSTV4 ай бұрын
Cayenne peppers AU ukiwa na kichaa ndio nzuri zaidi lakini kama huna izo basi yeyote Ile iwe imeiva vizur tumia tu
@user-gj5nv8sj6l2 ай бұрын
Ansati sana kwa kuifundisha jinsi ya kufuga kuku za kienyeji na hiyo ndio ndoto yangu nikitoka majuu na nitashidi kuwavuatilia
@AGALUSTV2 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@zariaomary78512 жыл бұрын
Asante sana mwalimu nimejifunza vitu vingi kupitia darasa lako.Mungu akubariki sana.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amina🙏
@jumiirashid29532 жыл бұрын
Asante kwa somo... jee pili pili iko na madhara
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hapana tena tiba nzur
@jumiirashid29532 жыл бұрын
@@AGALUSTV shukran
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝
@haseanatnsanya20792 жыл бұрын
Maashaallaah asante kaka kwa somo mungu akubalik ktk kaz zako mungu akufanyie wepes
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amin🙏ubarikiwe nawe
@YohannaMkanege2 ай бұрын
Asante kwa elimu👍
@AGALUSTV2 ай бұрын
Barikiwa pia
@maryamlmaryamwanje43342 жыл бұрын
SAMAHANI SWALI LANGU LIKO NYUMA SANA NAULIZA JE VP KUKU KUANZIA KIFARANGA ANAEZA KUCHIA UMRI WA MIEZI MINGAI HAI KUJA KUTAGA
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Miez 6/7 apo
@LuijinaMalata11 күн бұрын
Asante,
@AGALUSTV11 күн бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
@felixyegon-gb5ri10 ай бұрын
Asante sana
@AGALUSTV10 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@PaskalinaDeemay2 ай бұрын
Je tangawizi na kitunguu saumu ukiwapa vifaranga vina madhara
@AGALUSTV2 ай бұрын
KIFARANGA kiwe na zaidi ya mwez
@nasseralkharusi20603 жыл бұрын
Ahsante kwa somo Suala langu kuku wangu wapenda sana tomata na majani kama fijili kabichi jee kila siku naweza kuwapa
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Wape ila nyanya zisiwe mbichi 🙏
@agrpinagaspery91422 жыл бұрын
@@AGALUSTV Naomba kuuliza Kaka yang
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Karibu uulize🙏🙏
@agrpinagaspery91422 жыл бұрын
@@AGALUSTV Ahsante kaka Agalus, kuku Wang anapenda mabibo, na nyanya ni vyema nisiwape? Halafu umetufundisha vitunguu c vzr, lkn mbona tunaambiwa swaumu ni nzuri Sana kwa kuku, inasaidia tiba, na Kinga, na huongeza mayai?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Wape ila yawe yameiva. Vitunguu ni vitunguu maji endapo utawapa kwa wingi🙏🙏
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Nimekuelewa
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa
@MaaneML2 жыл бұрын
1. Mbegu na ganda la parachichi 2. Mbegu ya apple 3. Kitunguu kinaleta kukausha damu 4. Machungwa na limao inapunguza mayai 5. Maharage mabichi 6. Vyakula vya asili ya sukari inaleta unene kupitiliza 7. Chumvi Ila wape kidogo kwenye chakula chao 8. Vyakula vya kuchacha au kuharibika 9. Viazi mviringo vibichi vyenye ganda la kijani 10. Yai Ila ganda la Yai ukisaga ni zuri linaongeza calcium Kwa kuku
@AGALUSTV2 жыл бұрын
🤝🤝 Safi summary nzuri🙏
@rehemamagwila43052 жыл бұрын
Vp vitunguuu swaum kuna sehem nimesoma nimeambiwa n vzr kwa kuku
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ni sahihi ona somo hili apa👇 kuhusu vitunguu saumu kwa kuku faida zake kzfaq.info/get/bejne/aLt2qKWjrrClXXU.html
@user-ln7zf5ei1x2 жыл бұрын
wanao tengeneza chakula cha kuku maharage wanaweka yalio. pikwa ama??
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Maharage yawe makavu apo haijakua na maana ya ubichi kama kutoiva 🙏🙏
@omarisenkondo54222 жыл бұрын
Asante kwa mafunzo au maelekezo unayotupa sisi wafugaji wa kuku. Thanks alot.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@margrethwisakwisa85862 жыл бұрын
Asante kwA dalasa naomba Visio ya Banda lako Kama ipo
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Banda ujenzi hii kzfaq.info/get/bejne/hsB7gJt037XUlas.html
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Viazi hivi vya kijani hata kwa binaadam ukikila kinakuwa na test fulani mbaya sana yaani uchungu si uchungu uwasho si uwasho.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Oooh kumbe🙏
@maggiemamaafricaofficial70802 жыл бұрын
Lakini nilikua nawapa kuku wangu vitungu walinawiri vizuri sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ok 🙏
@fatmahemed2189 Жыл бұрын
Masha Allha kwaiyo chakula gani ambacho Niki zur ili watage vizur?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Madini, mboga mboga za majani na vyakula vya protini
@shegashega24212 жыл бұрын
Asnteni jaman
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙌
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pamoja
@AshaSaleh-qu8rk10 ай бұрын
Je kwabahati mbaya akila koko la ovacado nimpe nini
@AGALUSTV10 ай бұрын
Kwa Mara 1 si mbaya
@kijanamsimbe87853 жыл бұрын
Mimi mfugaji napenda elimu hii
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Karibu sana🙏
@neemashirima61212 жыл бұрын
Nanasi je
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ngoja tufuatilia nasi kuhusu nanasi
@mwanaidhassan61702 жыл бұрын
Mimi nahitaji kyfuga je naweza kupata vifaranga vya kuku wa kienyeji nitumie Namba
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Upo wapi?
@abusheheJuma-ck2np2 ай бұрын
Vipi kama nitawapa kuku wangu mashudu yenye mchangnyiko was dagaa,pumba na mashudu ya alizeti?
@AGALUSTV2 ай бұрын
Sawa tu waweza ila zingatia vipimo sahihi.
@veronicamkanzabi4432 жыл бұрын
Ufugaji wa Kuku wa kienyeji
@veronicamkanzabi4432 жыл бұрын
Ufugaji wa
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ok
@lenagb80642 жыл бұрын
Vifaranga vyangu vinaonekana kuwa na baridi na mabawa yanadondoka niwape dawa gani
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Vitamin na antibiotics na dawa za Homa za matumbo au typboid
@leticiakato4783 жыл бұрын
Asante kwa somo.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Barikiwa🙌🙌
@rosepaul79012 жыл бұрын
Viazi mviringo vinaandaliwqje ktk kulisha kuku?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Viazi vibichi ndyo sumu na ndyo kilichoelezwa ktk channel hii🙏🙏🙏
@nestorymwalongo66592 жыл бұрын
Hiyo mboga au hayo majani yanaitwaje??
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Nayajua kw jina la kilugha tu ngoja tutafute jina sahihi
@lestherusitukanesanasomaam1339 Жыл бұрын
Je nikiweka chumvi kwenye dagaa chumvi unapochanganya chakula cha kuku?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Inaruhusiwa japo kwa kiasi kdogo
@shabanabunga6318 Жыл бұрын
Tomate kumpa Kuku ni vizuri?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Hapana
@angelasanga6518 Жыл бұрын
Naweza wapa pilipili kuku wangu?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Yaaah iyo Sawa ni nzuri kwao
@rosepaul79012 жыл бұрын
Lkn je wali ni mbaya kwa kuku?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Mabak ya VYAKULA yanaleta magonjwa y matumbo kw kuku
@Is-hakaRocky-ce1zq Жыл бұрын
Tatiizo langu ni wadudu waharibifu wanakula vifaranga na mayai usiku nifanyeje?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Kama panya, paka n. K au
@sikujuwabackari3554 Жыл бұрын
Panya panya Kabisa anatuuzi sana
@AGALUSTV Жыл бұрын
Poleni Sana 😭 ngoja tutakuja na ufumbuzi wake
@meryLeonard-is8ry2 ай бұрын
Ni namna ipi ya kuhifadhi mayai ya kuku wa kienyeji kwenye mikoa yenye joto? Na je joto linasababisha yai kupungua na lisifae kwa kutotoleshwa?
@AGALUSTV2 ай бұрын
Kwa njia ya trey tu na yasikae zaidi ya wiki mbili
@AGALUSTV2 ай бұрын
TUMIA trey tu yaani makasha ya MAYAI
@japhetmsarifir4889 Жыл бұрын
Video za Uzalishaji Funza wakuku whtsap napataj?!!
@AGALUSTV Жыл бұрын
Hapana ndugu video hizi hatusambazi wasap 🙏🏿🙏🏿🤔🙏🏿sory
@joycemabena99812 жыл бұрын
Kuku wangu wananenepa hawtagi niwape nn ili watage?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Punguza chakula na angalia mchanganyiko w hakula chako punguza chakula chenye mafuta zaidi
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Punguza chakula na angalia mchanganyiko w hakula chako punguza chakula chenye mafuta zaidi
@priscillamwangangi52122 жыл бұрын
Kitunguu ni dawa ya minyoo kwa kuku
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ok 🙏 Karibu kupeana uzoefu kwenye ufugaji
@hildaayoo68532 жыл бұрын
Si ndio hata mimi nashangaa akisema ni sumu.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Vitunguu ni sumu endapo watapewa kwa wingi 🙏 tena ni vitunguu maji
@stewartchilolo12072 жыл бұрын
Somo zuri Asante Ila ongeza kusema madhara ya kila chakula unachoongelea coz ukisema2 linamadhara bila kutaja hayo madhara nadhani sio sahihi. Pia khs kitunguu nahisi kinasaidia hasa vitunguu swaumu.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Sawa ila kuhusu vitunguu saumu faida zake hizi apa, kzfaq.info/get/bejne/aLt2qKWjrrClXXU.html
@masongatz3 жыл бұрын
Naomba namba yako ya wasap bro!
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Poa
@masongatz3 жыл бұрын
Niwekee humu kk 0756329976
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Sasa apo unahitaji link ya iyo video au
@user-zo8kw3zk4y6 ай бұрын
Hivi naweza walisha kuku wangu nyanya na je zinafaida gan?
@AGALUSTV6 ай бұрын
Usiwape mbichi. Pia kama zilizoiva hakikisha hazina dawa. Kwa UFUPI si vizuri kuwapa
@user-zo8kw3zk4y6 ай бұрын
Asante mkuu nashkuru sana na tuko pamoja ktk masomo
@AGALUSTV6 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@user-zo8kw3zk4y5 ай бұрын
Mkuu Toka Jana kuku wangu wawili nimeona wanakula huku wamelala kama miguu Yao imekosa nguvu nikiwasimamisha wanatembe hatua mbili au tatu Kisha Wana shuka chini je yaweza kua shida Nini? Naomba msaada wako, pia naomba msaada wa namba yako
@AGALUSTV5 ай бұрын
Pole Sana ndugu angalia kama Wana hara kinyes gani