WAKAZI USO KWA USO NA WASHEKESHAJI ELIUD NA KIPOTOSHI BAADA YA KUWAPONDA HAWAJUI KUCHEKESHA

  Рет қаралды 64,774

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

5 ай бұрын

#RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 175
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 ай бұрын
Makavu live Wanyakyusa sio wanafiki Safii sanaaa
@finetinah9784
@finetinah9784 5 ай бұрын
Eliud genius sana @wakazi kubali bro ulikurupuka
@mdachiog5211
@mdachiog5211 5 ай бұрын
Wakazi mjuaji sana
@RebecaAdam-js6ox
@RebecaAdam-js6ox 2 ай бұрын
Acha roho mbaya we mkaka wenzako wanapambana ili wapate ridhiki zao waishi nafamilia zao Ilawewe unaponda loo unajiona unajua Sana au muheshimu mungu wakzi minnaumia kwasababu wakaka wa watu wanategemewa na familia
@user-bd3zh2tn6u
@user-bd3zh2tn6u 5 ай бұрын
Pigen kaz washkaji zang wakaz ni nan yeye bas akaishi malekani hii ndo bongo land✊️kipo,eliud🙏
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo 28 күн бұрын
Awa wanyakyusa wana mchana live Jamaa
@officialngalya3062
@officialngalya3062 5 ай бұрын
Kitu nimekikubali kwa Eliudi huyu jamaa sio mnafiki anakuchana live tu, safi😂
@amisasadock6857
@amisasadock6857 5 ай бұрын
Wakazi mwenye anaoneka anastrees huyo af anataka utuletee umelekani sisi ayatuusu na umejua kunifuraisha eliud umetumia vzr unyakyusa ujataka kumsemea pembeni
@jastinarts
@jastinarts 5 ай бұрын
Eliudi umeongea vizuri
@user-vk5nb4uz6h
@user-vk5nb4uz6h 5 ай бұрын
Kwani wakazi ni nani mpaka aseme kitu na kionekane ni sahihi, Mziki Umemshinda Atulize Shanga.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 ай бұрын
Ndo nani kwani😂
@kinzupdate752
@kinzupdate752 5 ай бұрын
apo nimemuelew sana eliud is not just comedian but also ni mtu anatambua nn anaongea lakin wakazi it's seem kama ni kwel alikulupuka. sometimes hizi social media zinataka kufanya mtu atengeneze ka dunia kake kakuweka kilakitu kiwe perfect 100% ni kwel unavyopost kitu atleast think twince kwasab ujumbe haumfukii pekee ake mtu uliyemlenga but inawafikia na wale wasio walengwa wenye thinking ability kubwa (HIVI WAKAZI ANAFANYA KAZI GANI MBONA JINA LAKE AU
@meshackngaboss1236
@meshackngaboss1236 5 ай бұрын
WAKAZI MJUVIIII ANAJIKUTA ANAJUA KILA KITU NA YEYE NI FAILURE HANA KITU CHOCHOTE SUCCESSFUL KELELE NYINGIIIII
@saeedmagoda9651
@saeedmagoda9651 5 ай бұрын
Daaah Eluid Amekasirika sana na imemuuma sana hii kitu
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo 28 күн бұрын
Wakazi anabowa
@jeremiasilla3586
@jeremiasilla3586 29 күн бұрын
Wakazi we ni kengeee
@Commentsplus
@Commentsplus 5 ай бұрын
Wakazi anaushamba sana anajikuta anajua kila kitu
@rogersiddy
@rogersiddy 5 ай бұрын
Sanaaaa anajiona yeye ndo kila kitu MAREKANI yote anaijua yeye pmj na sheria zake 😂😂
@jamaliselemani850
@jamaliselemani850 5 ай бұрын
Asa wakaz ni msanii anaimba vinini nayeye mbn mm sijawahi kumwelewa
@Commentsplus
@Commentsplus 5 ай бұрын
Wakazi unaboa hata nimeshindwa kukupa sikio mpaka mwisho
@tonoboymwatonokaaa2862
@tonoboymwatonokaaa2862 5 ай бұрын
Wakazi marecani imemwalibu, yeye anaweza akaisi wamalekani wanachekesha afu nikaenda mm nikanza kulala usingizi
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 5 ай бұрын
Mjuaji sana
@user-ss7ko2hc5n
@user-ss7ko2hc5n 5 ай бұрын
Eliud mwamba sana haogop mtu kwenye ukweli anakupa makavu hata kama upo hapo😂😂
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Ай бұрын
Wanyakyusa ndo tulivyo 😂😂
@afisamipango005
@afisamipango005 5 ай бұрын
Wakazi naona anajaribu kuponyoka mikononi mwa Eliud😅😅
@joeandres9744
@joeandres9744 5 ай бұрын
wanyakyusa huwa hawafichi kitu ni watu wa makavu hapo hapo...eliudi kaiva😂
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 3 ай бұрын
Sanaaaaa big up wanyakyusa
@moviekaa
@moviekaa 5 ай бұрын
Wakazi kila kitu marekani....afu anajua kila kitu duniani hapa.😂😂😂
@prospermwambeje5007
@prospermwambeje5007 5 ай бұрын
Hiyo ndiyo raha ya Mnyakyusa hapendi unafiki ukikosea anakuchana hapohapo bila kupepesa macho. Huyo Wakazi anajifanya mjuaji sana hapo amekamatika 😀😀😀
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 4 ай бұрын
Nmekaa na wanyaki sana...wakarimu sana,halafu hawapindishi maelezo...anakupa kavu
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 3 ай бұрын
​@@andrewmmbaga1665asanteeee
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 3 ай бұрын
Yaan sahihi sana ukitaka kukaa na mnyakyusa ukawa hupendi ukweli utapata shida. Hawaogopi nani na nani ni UKWELI tuuuuu
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 5 ай бұрын
Huyu dada nna mahaba nae nampenda sana jmn
@kesphaanyitike7751
@kesphaanyitike7751 5 ай бұрын
🔥
@JosephmasanjaShilinde-jv9rh
@JosephmasanjaShilinde-jv9rh 5 ай бұрын
Huyoo star,s stoke tuuu NBC iendelee
@dostovan5142
@dostovan5142 5 ай бұрын
Just coz u been to the states don't mean u know everything
@mgayamgaya
@mgayamgaya 5 ай бұрын
Pigeni kazi mpuuzieni maana kwenda marekani sio yeye wa kwanza kila kitu anataka kufananisha na marekani
@user-qn4hs2jz1m
@user-qn4hs2jz1m 5 ай бұрын
Eliud fanyeni kazi kwenye hii dunia siyo kilamtu atapenda unacho kifanya
@annamarychristopher1675
@annamarychristopher1675 3 ай бұрын
sema eliudi anaconfidence
@user-tx5pn3jd4e
@user-tx5pn3jd4e 5 ай бұрын
DAAAH WANAUME MUNGU ANAKUPA BAHATI TUNACHEZEA UYO DEMU BADO MBICHI JAMANI TUACHE UJINGA WANAUM
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 5 ай бұрын
Hahaha hicho si ni kiini cha yai home boy🔥🔥🔥😆😆😆🤣🤣🤣🤣
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 5 ай бұрын
Waisa wameandamana,lazima wakupe ukweli wako,umekamatika wakazi
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 3 ай бұрын
Yaan hawalazi damu
@PhyinaElias-mu4wf
@PhyinaElias-mu4wf 5 ай бұрын
Eliud 🤣🤣 haogopi yupo na confidence ya kwenda (kwenye maswali)😂
@Stanley.kapumbira
@Stanley.kapumbira 5 ай бұрын
Kabisa yupo vzr
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Ай бұрын
Wanyakyusa hatuogopi
@kyalagwamaka1550
@kyalagwamaka1550 4 ай бұрын
Wanyakyusa huwa hawana shobo za kishamba hata uwe nani ukizingua anakuchana tu big up ghwakukajha elihuti kwanzawWakazi ndo nani eti?
@ChoraKisiki-zz3ut
@ChoraKisiki-zz3ut 5 ай бұрын
Wakazi wakazigani snich uyo
@user-zh5pb9tx2m
@user-zh5pb9tx2m 5 ай бұрын
Me nishabiki wa Roma wakazi wakazi Gani
@mrenjoyfootball8403
@mrenjoyfootball8403 5 ай бұрын
Nakubali sana wanangu sanaa daaah ahahhahahahha Kipotoshi daaah
@kwisa4899
@kwisa4899 5 ай бұрын
wakazi yupo sawa ,lakini watu wanachelewa kumuelewa kwa sababu wachekeshaji wengi shule hakuna, uchekeshaji unahitaji akili kubwa sana ,
@njoroboihastla
@njoroboihastla 5 ай бұрын
Naam! Ni vile tu watu waliamua kuchagua upande wakumupinga..
@gwamakawilliam5895
@gwamakawilliam5895 5 ай бұрын
Wew unafanya nini?
@user-mr2ow1yi3g
@user-mr2ow1yi3g 5 ай бұрын
Hajui hata anachoongea,kweli ni mshamba, tu,
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 5 ай бұрын
Wakazi we Ni Nan Kwan..? tuliza Wenge
@samwelsalon6590
@samwelsalon6590 5 ай бұрын
wakazi elimu umetoa✊
@zaunamoody7311
@zaunamoody7311 5 ай бұрын
Kwaza uyo wakazi Ndio namsikia leo ni nani jamani 🤔🤔
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 ай бұрын
Hata mi ,ndo nani
@adozenaziz8362
@adozenaziz8362 5 ай бұрын
eliud nilimwona toka akiwa na like 10 nanilimwona natuedfon tweupe😂
@arostoyaoo7098
@arostoyaoo7098 5 ай бұрын
safi wakazi kashauri wasanii wote wa tz mziki,uchekeshaji,uigizaji n.k
@deusmbuge5740
@deusmbuge5740 5 ай бұрын
Yeye mbona kuimba hawezi
@gwamakawilliam5895
@gwamakawilliam5895 5 ай бұрын
Kashauri nini wakati na yeye mwanamziki, na mbna kazi zake hazitembei
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 5 ай бұрын
Huyo naye kila kitu anajua toa na zako basi kenge wewe
@BenLeeBl
@BenLeeBl 5 ай бұрын
eliudi kamkanda vizuri😅😅😅😅😅
@user-ub1pq4dp1v
@user-ub1pq4dp1v 5 ай бұрын
Eliud amempa za uso jamaa 😅😅😅
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 5 ай бұрын
😂😂😂kwelu kabisa yani wale mammonta na vilanja walikuaga wanaona km washayapatia maisha walikua wanajua wakifika nje watakuwa hivyohivyo ila namkumbukua mmoja nampenda sana yule mdada jmn alikua akiambia kagua vidumu vya maji km vimeja anakagua anajua kabisa kidumu chako hakina majia hata robo kidumu hayafiki na anakausha hasemi
@user-dm7br6sl1i
@user-dm7br6sl1i 5 ай бұрын
wakazi ana akili uyo
@shearbytz
@shearbytz 5 ай бұрын
Washekeshaji 😮
@fadhilsalum2143
@fadhilsalum2143 5 ай бұрын
Sema Eliud ana SHOMBO sana😅😅😅😅
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Ай бұрын
Kusema ukweli ndo shombo
@kafungorajab5897
@kafungorajab5897 5 ай бұрын
Leo wakazi kayatimba😂
@kingswebe3251
@kingswebe3251 4 ай бұрын
Niseme ukweli nimemfahamu wakazi leo hii kupitia eliud
@castorymakwanda4344
@castorymakwanda4344 5 ай бұрын
Naona mkono uliteleza badala ya wachekeshaji imeandikwa washekeshaji
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 5 ай бұрын
Sio kla mckchji unaweza kumechi nae ,
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 4 ай бұрын
Shida ya wakazi ni kuvunga anajua kila kitu
@yohanamussa4134
@yohanamussa4134 5 ай бұрын
Simjui huyu jamaa
@brightontheogenes5093
@brightontheogenes5093 5 ай бұрын
mwanangu ananichekesha na suti yake ya njano😅😅😅
@Geeze905
@Geeze905 5 ай бұрын
Mie nashangaa mpaka sasa hivi kampuni ya Rangi ya Sadolin hawajamfanya Balozi wao, aseeee😂😂😂😂😂😂
@lwitikomayele5819
@lwitikomayele5819 5 ай бұрын
"Mafanikio sio lazima aprove wakazi"
@BenLeeBl
@BenLeeBl 5 ай бұрын
huyu tangu aende marekan kila kitu marekani
@salmabinyaga2357
@salmabinyaga2357 5 ай бұрын
Mshamba huyu mbuzi
@samwelisack2076
@samwelisack2076 5 ай бұрын
Hahahah
@eaglenotorious2527
@eaglenotorious2527 5 ай бұрын
Opposite na IKULU😅😅😅
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 5 ай бұрын
Hapo kwenye kujipata hapo Joel nanauka anasema student A wanafanya kazi kwa student C kwasbabu student C walipofeli walichagua kitu cha kufanya na wale student A waliendelea kukomaa shuleni
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 5 ай бұрын
Huyu wakazi ndiyo nani? Anafanya nini cha zaidi kwrenye sanaa ya bongo?na ana mafanikio gani ktk nchi yetu?
@sammasika3627
@sammasika3627 5 ай бұрын
Wakaz we choko
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 5 ай бұрын
kusema hawajui kuchekesha wakati hao ndo wanaotuchekesha unatukosea
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 5 ай бұрын
Cheka tu ninoma zaidi ya hawa watu baki
@Khalidniya380
@Khalidniya380 5 ай бұрын
Huyu wakazi anaboa sana bwege kabisa
@mdachiog5211
@mdachiog5211 5 ай бұрын
Wakazi huna kazi Mana hata mziki wako hamna kitu😂😂😂
@nyotamy3678
@nyotamy3678 5 ай бұрын
Sasa mmeshindwaje kumuacha kipotoshi aongee mmemkatisha?
@gwamakawilliam5895
@gwamakawilliam5895 5 ай бұрын
Kwani huyo wakazi ndo anafanyaga nini nchi hii?
@frankSimle-gx1jv
@frankSimle-gx1jv 5 ай бұрын
😅😂
@bandit3779
@bandit3779 5 ай бұрын
Eliud ni moto na Question ni hatarii
@user-eu3ed2uy6b
@user-eu3ed2uy6b 4 ай бұрын
Uo n uongoooo bwanaaaa,,,, mkojaniiii howw
@Commentsplus
@Commentsplus 5 ай бұрын
Wakazi acaha ujuaji
@patrickpatrick6386
@patrickpatrick6386 5 ай бұрын
Wakazi kajifanya mzungu eti
@kennyclever524
@kennyclever524 4 ай бұрын
Tatizo la wakazi ni kwamba yeye huwa ni mjuaji
@FucianeBulemo-nd4wc
@FucianeBulemo-nd4wc 5 ай бұрын
Huyo wakazi hana uwezo wa kuzuia riziki ya mtu.
@kimbwapulekig8126
@kimbwapulekig8126 5 ай бұрын
wakaz hajuaji kitu huyoo
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 5 ай бұрын
Ebuu chekesha ww wakaz tuone
@robertsimfukwe1097
@robertsimfukwe1097 5 ай бұрын
Wakazi hajawahi kuwa naakili timamu na uwezo wake wakunifimilia ni mdogo sana expore yake haina positive impact kwenye industry nfio maana mwenyewe hawezi kujisimamia mpaka atembee na upepo wawenzake
@dangomc_niger
@dangomc_niger 5 ай бұрын
nimependa ujaogopa kumchana hapohapo
@isaacknjuguna6398
@isaacknjuguna6398 2 ай бұрын
Mtu wenye matunda hupigwa mawe..waisa pigeni kazi uyo jamaa hajielew Kwan lazma acheke yeye
@mwansasu
@mwansasu 5 ай бұрын
Wakazi umetwangwa nakitu kizito na Eliudi
@godfreyamyinga5759
@godfreyamyinga5759 5 ай бұрын
Wakazi hana kazi ,mwambie abadilishe kofia hiyo
@fizzozimba
@fizzozimba 5 ай бұрын
Kipaji juhudi na bahati
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 ай бұрын
Uzuri tunakukubali eliud,akafie mbele huko
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 5 ай бұрын
Nafasi gan anayo uyu wakaz
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l 5 ай бұрын
Huyu wakazi mbona simjui
@semenitheclassic
@semenitheclassic 5 ай бұрын
Wakazii Wakiiii😂😂😂
@benancejohn1198
@benancejohn1198 5 ай бұрын
Kwa hiyo Wakazi anajua kila kitu sasa 🤔
@khalidmdotta3843
@khalidmdotta3843 3 ай бұрын
Ww fala siulikuwa mwanamuziki raper ulifanya nini acha usenge acha watu wapambane maisha
@user-if6xd4hz4p
@user-if6xd4hz4p 5 ай бұрын
Wakazi amna kitu madudu matupu izi alisema hayati you know America
@Zillionking627
@Zillionking627 5 ай бұрын
Kwani uyu jamaa ninani 😢
@Zillionking627
@Zillionking627 5 ай бұрын
Wakazi😢😢mjuaji sanaa 😢😢😢
@mozasalum8742
@mozasalum8742 5 ай бұрын
Huyu mpumbavu wakazi anajiona anaakili nyingi wakati chengu2 kilakitu anatanguliza wivu2 walayeye hanaliwalo
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 5 ай бұрын
Eliud vs yombo hapo vp
@njoroboihastla
@njoroboihastla 5 ай бұрын
Rich anacheka tuu😂😂😂
@ministererickluhanga810
@ministererickluhanga810 5 ай бұрын
Hamna baya comedians huko huko marekeni mtaenda
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 5 ай бұрын
Kil kitu anajitia anajua
@ikabako2454
@ikabako2454 5 ай бұрын
W kwenye kofia yake inastand for “wack” ! Wakazi hanaga issue ni ujuaji tu ambao hauna msingi.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 506 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 19 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 12 МЛН
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 65 МЛН
#EXCLUSIVE: ELIUD WA CHEKA TU MAISHA YAKE, MAHUSIANO NA KAZI  PART 1
20:50
MC ELIUD ALICHOKIFANYA KWENYE HARUSI HII UTACHEKA
17:02
Eliud Samwel
Рет қаралды 71 М.
KIPOTOSHI: UOSA LIVE COMEDY SHOW / FINALIST EDITION
13:44
seto tv
Рет қаралды 70 М.
DAKIKA 14 ZA ELIUD  KWENYE USIKU WA VIJANA MBEYA (PART1)
14:01
Eliud Samwel
Рет қаралды 72 М.
Зря они облили полицейскую водой...😂
0:25
Man tries outrunning cops on skateboard
0:10
Frankie Lapenna
Рет қаралды 23 МЛН
Парковка ТАКСИ от клоуна!
0:22
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 4,5 МЛН
Incredible magic 🤯✨
0:53
America's Got Talent
Рет қаралды 29 МЛН
Сын вернулся с войны и сделал сюрприз 🤯
0:17
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 987 М.
Парковка ТАКСИ от клоуна!
0:22
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 4,5 МЛН