Leo tarehe 7 July 2024,tale MH.nimekuona mawasiliano kwenye bodaboda na bahasha mkononi?
@mariamdaniel-hg2cn4 күн бұрын
Babu tale nakuelewa sana maana ninapitia hizo changamoto.nikiwazaga hicho cha kufananisha niliekuwa nae na nitakae kuwa nae uwa naona naweza kumkosea maana hatafanya vile alivokuwa ananifanya mwenzake kwa hy lzm patatokea maumivu.so najikuta najipa muda.lbd badae ntasahau.miaka 11 tangu afariki lkn uwa naona nikama jana tu. kufiwa na mtu uliemuelewa ni sawa na donda ndugu.mungu atusaidie
@mariamdaniel-hg2cn4 күн бұрын
Acha kabisa kufiwa sikia kwa mtu babu tale nakuelewa unachokisema.maumiv ya kufiwa hayaeleweki kwa yule ambae hajapitia huu mtiti..kikubwa uzima mengine mungu ataleta kheri
@StoneEmanuele-yy3pv9 күн бұрын
King tale
@erickmrema68508 күн бұрын
kinĝ tale anajua talk kulingana na wakati...big up
@EmmanuelKasumuru-c7j5 күн бұрын
Good
@peterdavid42308 күн бұрын
Nawadei kila kitu napokea kwa positive😅
@user-cr4th9lr6b7 күн бұрын
It’s time babu Tale ukubali qadar Kama muislam layman u move on hi Tena kila make wangu wooote tutakufa. Dini ni nyepesi na uoe update mwenza wa kukupaka hata Vicks watoto watakua na wataanza maisha Yao na acha kumpa shemeji yako kazi ya kukulelea watoto kwani ukioa utaambiwa ulikuwa humpendi Mkeo.
@zahormohammed44764 күн бұрын
Babu tale inatutia wasi wasi na uislamu wako inajiita alhaji wakati bado unamenege musicians na unatuthibitishia hauna mke bali una mpenzi sasa haufungi ndoa au ndio tuseme ni wapenzi wa namna gani au unakwepa kununua gari kwa vile yupo anaekupa lift
@aairraahseif56489 күн бұрын
Hata msukuma ati nae dakitari 🤗🤗😛😛😛mnashangaza nyie
@roudhamahmoud7638 күн бұрын
Tale nakuelewa sana hapo ktk mke mana niliishi na mke miaka 19 akafa hafla na kaniacha na wtt sasa nashindwa kumuv on hadi sasa huu mwaka wa 2 na mienzi kadhaa😢😢😢ila mungu muweza atupe sbra na awalaze pema marehem zetu
@Shokolokobango93858 күн бұрын
Magu hayupo uchaguz unakuja ngoja tuone
@aairraahseif56489 күн бұрын
Alie anzisha hii hana akili ni mpuuzi tu, mnataka kutupa udakitari kwa kipi? Tena bila ufahamu mtu akiamka tu anapewa udaktari 😂😂