WENGI WANAUMIA MIMI KUPEWA UDAKTARI WA HESHIMA| NAPITIA WAKATI MGUMU, SIPO SINGLE ILA NINA MPENZI

  Рет қаралды 7,610

Wasafi Media

Wasafi Media

10 күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 16
@gagedamoursarusaru8079
@gagedamoursarusaru8079 9 күн бұрын
Handsome and smart TALE❤❤❤
@user-st3ws1ns5g
@user-st3ws1ns5g 6 күн бұрын
Leo tarehe 7 July 2024,tale MH.nimekuona mawasiliano kwenye bodaboda na bahasha mkononi?
@mariamdaniel-hg2cn
@mariamdaniel-hg2cn 4 күн бұрын
Babu tale nakuelewa sana maana ninapitia hizo changamoto.nikiwazaga hicho cha kufananisha niliekuwa nae na nitakae kuwa nae uwa naona naweza kumkosea maana hatafanya vile alivokuwa ananifanya mwenzake kwa hy lzm patatokea maumivu.so najikuta najipa muda.lbd badae ntasahau.miaka 11 tangu afariki lkn uwa naona nikama jana tu. kufiwa na mtu uliemuelewa ni sawa na donda ndugu.mungu atusaidie
@mariamdaniel-hg2cn
@mariamdaniel-hg2cn 4 күн бұрын
Acha kabisa kufiwa sikia kwa mtu babu tale nakuelewa unachokisema.maumiv ya kufiwa hayaeleweki kwa yule ambae hajapitia huu mtiti..kikubwa uzima mengine mungu ataleta kheri
@StoneEmanuele-yy3pv
@StoneEmanuele-yy3pv 9 күн бұрын
King tale
@erickmrema6850
@erickmrema6850 8 күн бұрын
kinĝ tale anajua talk kulingana na wakati...big up
@EmmanuelKasumuru-c7j
@EmmanuelKasumuru-c7j 5 күн бұрын
Good
@peterdavid4230
@peterdavid4230 8 күн бұрын
Nawadei kila kitu napokea kwa positive😅
@user-cr4th9lr6b
@user-cr4th9lr6b 7 күн бұрын
It’s time babu Tale ukubali qadar Kama muislam layman u move on hi Tena kila make wangu wooote tutakufa. Dini ni nyepesi na uoe update mwenza wa kukupaka hata Vicks watoto watakua na wataanza maisha Yao na acha kumpa shemeji yako kazi ya kukulelea watoto kwani ukioa utaambiwa ulikuwa humpendi Mkeo.
@zahormohammed4476
@zahormohammed4476 4 күн бұрын
Babu tale inatutia wasi wasi na uislamu wako inajiita alhaji wakati bado unamenege musicians na unatuthibitishia hauna mke bali una mpenzi sasa haufungi ndoa au ndio tuseme ni wapenzi wa namna gani au unakwepa kununua gari kwa vile yupo anaekupa lift
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 9 күн бұрын
Hata msukuma ati nae dakitari 🤗🤗😛😛😛mnashangaza nyie
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 8 күн бұрын
Tale nakuelewa sana hapo ktk mke mana niliishi na mke miaka 19 akafa hafla na kaniacha na wtt sasa nashindwa kumuv on hadi sasa huu mwaka wa 2 na mienzi kadhaa😢😢😢ila mungu muweza atupe sbra na awalaze pema marehem zetu
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 8 күн бұрын
Magu hayupo uchaguz unakuja ngoja tuone
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 9 күн бұрын
Alie anzisha hii hana akili ni mpuuzi tu, mnataka kutupa udakitari kwa kipi? Tena bila ufahamu mtu akiamka tu anapewa udaktari 😂😂
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 37 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 4,2 МЛН
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 68 М.
🔴#LIVE: JANA NA LEO NDANI YA WASAFI FM  03 JULY 2024
1:23:25
Wasafi Media
Рет қаралды 5 М.
Вот как нужно танцевать😁
0:15
Айваз Идиатуллин
Рет қаралды 3,6 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
0:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 10 МЛН