Safi sana wazili unacho kifanya ndio sahihi watoto hawajui mapenzi yao yalikuaje good
@RoanCorporation2 ай бұрын
Very good minister , he deserve even more
@heronimomsefya319010 күн бұрын
Mwenyezi mungu akupe Maisha marefu sana mheshimiwa Jerry Slaa
@IsmailJuma-zb5ni2 ай бұрын
Wallah watu kama ingekua tunafuata sheria za Allah basi tusingehangaika,.
@jeanmusamba84482 ай бұрын
excellent Sir Silaa keep up the good work
@knowledgetv55942 ай бұрын
Bwana Yesu ambariki sana Waziri Jerry Slaa kwa msaada huu wanaoufanya.
@shamimhayat76372 ай бұрын
Mama Samia umechagua mtu safi sana J.Slaa
@scholarmawala14032 ай бұрын
Shikamoo kaka Jerry,pole kwa kazi kaka Nawaza tu mawazo ya usiku,hivi Kabla Yako waziri wa ardhii alikuwa nani?!?? Mungu akubariimki broo❤
@mr.yahzadochuno79142 ай бұрын
Mungu akulinde dk silah
@angellomarcel5677Ай бұрын
Jerry Slaa, Makonda, na Bashe...Muishi Milele
@HabibuBakary2 ай бұрын
Katika mawaziri wang ninaowapenda na kumalza bando lang ni ww muheshimiwa silaa napenda utendaj wako
@JohnMashambaАй бұрын
Mhes Silaa fanyeni kazi ya kusaidia sana wajane Mwenyezi Mungu atawabariki.
@MariaNdagile-hx5pr2 ай бұрын
Ila we baba mungu akulinde
@ismailchibonda50052 ай бұрын
Muheshimiwa silaha nakukubali sana uko vizuri.
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Mola amewalaani wanao chukia wazazi yarabi razing za watoto zipo kwenye miguuu ya wazazi
@user-nt1ww6ju2l2 ай бұрын
Hapo itendeke tuu haki jamani na mungu atawabariki
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Jamani allsh msikie kilio chake yarabi
@brigethsauzand39262 ай бұрын
Mh. Jerry Mungu abariki kizazi chako Cha kwanza Hadi Cha nne
@maryamadam56222 ай бұрын
Inaliza. Tamaa mbaya..Tuwajali wazee wetu. Mali zao wazee walizoacha zisiwe msingi wa fitna. Thawabu zao zimo katika sadaqa. Dr Slaa Allah akubarik.mtenda haki. Mja wa Mmungu
@laylayl51662 ай бұрын
Yaani natamani hata sijui nifanyejee. Waziri jinsi unavoidable nifurahishs
@MwanaishaShattry5 күн бұрын
Ndoa ya kiislamu hashirutishwi lazima uwe na cheti cha ndoa. Ndoa inasihi ikiwa aliyeolewa aliposwa, akakubaliwa, walii akatoa idhini ndoa ikafungwa, akaachwa mbele ya shahidi mwanamme ama kadhi.
@rosehaule67652 ай бұрын
Mungu mkubwa akupe ulinzi waziri wetu
@anthonymgina38932 ай бұрын
Jerry Slaa ni mtu sana, Mungu akubarki sana
@minaziparasu90742 ай бұрын
Allah ametuahid tusiposhikamana na Quroan basi tutapotea sasa hayo ndio matokeo yake watoto wakiislamu munadhalilika.Mirath yote ipo ktk Quroan nini shida waungwanaaaa
@joshemman5202 ай бұрын
TUNAJIFUNZA SANA MKUU KUPITIA WW....
@janemuga587Ай бұрын
Mweshimiwa kigamboni nako karibu huku utusaidie
@rithadonatus81102 ай бұрын
Jamani mimi huwa natamani nimalize ela zangu nisiwekeze kwenye ardhi ukiona mambo kama haya , watoto wa siku hizi wanataka mali tu.
@AbcD-bn1nz2 ай бұрын
Yaan ni shida
@lusajomwakalinga58132 ай бұрын
Wajinga sana yanapenda kujificha kwenye kichaka cha dini ya kiislamu , sheria yenyewe imejaa dhuluma na ukatili tu Bi mkubwa kavumilia kazalishwa watoto 8 unataka adhulumiwe eti dini hovyo kabisa. Thanks waziri.
@user-jt8gt9jf9q2 ай бұрын
Ww usitukane dini usio ijuwa kaisome kwanza dini hamna dhuma
@laprincessatokyo21882 ай бұрын
Alisema dini yaruhusu dhulma nani
@mamasalhat2 ай бұрын
We koma usiiseme dini vibaya tena koma usitake najibizano ya kidini hapa
Mm naomb ulinzi kwa Mungu akulinde jaka yngu akulinde akilindee ulinzi ndio ombi langu kwa Mungu
@BIGBOSS-hl3bu2 ай бұрын
Dr slaa nakuombea mungu akupe umri mrefu zaidi ,hawa watoto ni mbwa kweli
@inocentlema55742 ай бұрын
Watu wanaonewa kwenye arthi
@jaafarmanhekman2 ай бұрын
Ana deserve kuwa waziri mkuu !!!
@momylaviel2 ай бұрын
Daaah😢😢 watoto hivi mnajua machozi ya mama
@IsmailJuma-zb5ni2 ай бұрын
Machozi ya mama hapa sio tatizo kwani hana haki kwa misingi ya uislam
@susananyasani65262 ай бұрын
Waziri Jerry Silaa asema ukweli kwamba Mama mwenye Cheti cha Ndoa anayo haki ya kupewa Uridhi kutoka kwa Bwana yake kama amefariki
@iammedik39242 ай бұрын
Good work silaa
@allymwilu8089Ай бұрын
Yani watoto wakuwazaa au inakuaje sijaelewa a xe daah
@MakukaNyangoАй бұрын
Shukrani kiongozi Jerry silaha,mi pia nilihitaji mawasiliano Yako waziri
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Km upo dar mkisikia yupo mjini nenda Mambo sio kabisa
@MwanaishaShattry5 күн бұрын
Bibi hana haki akakojoe akalale.
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
😢😢duh
@user-ru9eb9yn6wАй бұрын
Huyu wzir genius
@OllerDesononline6333Ай бұрын
Huwa najifunza mengixana kupitia ww muheshiwa.
@imanimussa6256Ай бұрын
Huyu wazir ni simba wa tanzania ana hekma na busara zote
@josephminja7953Ай бұрын
Watoto wengine bana😢
@user-sj3wf5vz7l2 ай бұрын
Jamani huyu kijana mali hizi
@user-oh6pc7zd4sАй бұрын
FIDDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA ARDHI
@rehemashabaniameen2 ай бұрын
Waziri wangu tutapataje namba yako hayo mambo ni mengi sana na wanyonge wanaonewa
@assadyabdull51462 ай бұрын
Ninayo
@assadyabdull51462 ай бұрын
Naweza kukupatia vipi
@user-lm5fu5tu5z28 күн бұрын
Waziri anatatua migogoro na kutoa elimu kabisa
@user-ry2ix2pv4qАй бұрын
Sasa mheshimiwa inabidi atoe elimu kwanza jaman kazi ni ngumu hii
@zephrinekanga45542 ай бұрын
Mh comments zote humu zinakuinua wewe. Uko sawa na SSH alikupa sehemu inayoimudu. For sure wengi wamechemka wizara hii
@josephminja7953Ай бұрын
Kwawatu wenye akili hii migogoro anayotatua mh silaa iwe funzo kwenye familia zenu,ukiwa hai waandalie watoto mirath
@MasterOil-qm6vw2 ай бұрын
Uko vizur mkuu lakin mama?kama hawa wana tamaa ya mali waliwaona wanaume hawafai wakajitoa kwenye ndoa pengine kwa kudanganuwa na mwanaume mwingine ama ndagu zake na akifika huko akapauka yule mume akachuma mali na wanwake wengine eti kwakua kazaa na yule mwanaume akifa t anajifanya nae mwanafamilia haiwezekani watoto wote hapo wamkandamize huyo mama atakua anashida huyo mama
@MrsM123872 ай бұрын
Huyu mama anataka kuwa dhulumu wtt
@abdulrahmankhamis40992 ай бұрын
Huyu ma mama anaonekana ana ttzo. Mke anapoachwa kwa sheria ya dini anakpeteza haki ya kumrithi mume. Yeye anaweza kudai haki ya wanawe lakin sio haki yake.
@MrsM123872 ай бұрын
Ndiyo hujakosea kbx kaka kuna watu umu ndan hawaelewi as if wanajua full story
@user-lo8ef9qn2r2 ай бұрын
Wewe ndio unatatizo Dini Kwa maandiko yap eti akiachika anakua ana Haki ya urithi ? Ata ukienda bakwata ukiachwa anatakiwa akupe Haki yako kwenye Mali mwanamke anapewa asilimia chache Labda kama yy ndio kadai talaka ndio anakua apewi na yy anatakiwa ampe mwanaume Mahali ya kuolea mwanamke mwingine
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Sheria ya dini ya kijinga kabis
@rithadonatus81102 ай бұрын
Mtoto shetani mbona awamwonyeshi tumuone
@depetrepro25642 ай бұрын
😂😂
@drsilo2 ай бұрын
Ila dr slaa dini yetu ina kitu katika mambo yotee iloo jambo waachiee wenyewe kma mtu hakuolewa na kazaa watoto wa njee hairuhusiwi kurithi isipokuwa mpk mzee kabla ya kufariki aandike km kuwasaidia awo watoto
@emmadora78482 ай бұрын
We bana tutokee hapa ,uzinzi mnautaka matokeo yakija mnaanza dini dini ,acheni kuwazalisha nje ya ndoa alaaaa
@drsilo2 ай бұрын
@@emmadora7848na lengo la dini ni kukomesha uzinzi
@iwishtv79072 ай бұрын
Huyu sio Mjane, Huyu mama ni muongo! Kama aliachika katika kipindi cha miaka 20 si halali kwake kurithi mali za marehemu
@MrsM123872 ай бұрын
Ndiyo hana haki iyo
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Mmh
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Wanaume wajinga unaoa oa bila kuweka mazingira vzr ona ss Sheria ya wenzetu upuuzi bora za kikristo Sheria za serikali ndo zifuatwe
@Badvoice7072 ай бұрын
Mbora nile mali zangu kila mtu atafute mali yake
@verbalverbal20192 ай бұрын
Kuna time mtu unawaza hivyo aisee....
@user-ih7go2qq6k2 ай бұрын
kweli kabisa
@rithadonatus81102 ай бұрын
Kuna muda unafikiri utumie ela zako
@laylayl51662 ай бұрын
Mmmmhhh watoto wapo tayari wakupoteze ili wapate malii
@braggadachu17232 ай бұрын
Brother Jerry anajua kueleza had unamuelewa sio Kwa ukali
@abdulrahmankhamis40992 ай бұрын
Anasma anataka haki yake kwa mume aliyeishi naye kama aliachwa hanaa haki. Na kama alichwa basi huyu ni tapeli.
@masalakulwa76012 ай бұрын
tapeli bibiako
@hamzakimaro37642 ай бұрын
wewe pumbavu mkubwa unatutukania dini yetu ya uislaam!!kuwa na adabu na heshima! heshimuni dini za wangine!!
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Ameongea ukweli Kwenye hela ndo ooh sijui dini Ila nje ya hapo hutasikia hiyo
@user-sj3wf5vz7l2 ай бұрын
Asante sana waziri. Huyo mama kuzaa watoto 8 ana haki kabisa
@nully1232 ай бұрын
Dr Silaa uwe makini sana nafsi za binaadamu zimebadilika usije ukaamini sana Binaadamu tumebadilika si mzee si kijana si mtoto.Nakushauri umchunguze bibi kwanza vizuri kabla hujachukuwa uamuzi.Huyu Bibi kama aliolewa mume wa pili na yule wa kwanza alikuwa hai maanakr alikuwa keshamuacha kwa hio hapo hana mali