WAZIRI SILAA AMSAIDIA MJANE KARIAKOO

  Рет қаралды 23,244

Wasafi Media

Wasafi Media

2 ай бұрын

Пікірлер: 94
@jumashewai
@jumashewai 2 ай бұрын
Safi sana wazili unacho kifanya ndio sahihi watoto hawajui mapenzi yao yalikuaje good
@RoanCorporation
@RoanCorporation 2 ай бұрын
Very good minister , he deserve even more
@heronimomsefya3190
@heronimomsefya3190 10 күн бұрын
Mwenyezi mungu akupe Maisha marefu sana mheshimiwa Jerry Slaa
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 2 ай бұрын
Wallah watu kama ingekua tunafuata sheria za Allah basi tusingehangaika,.
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 2 ай бұрын
excellent Sir Silaa keep up the good work
@knowledgetv5594
@knowledgetv5594 2 ай бұрын
Bwana Yesu ambariki sana Waziri Jerry Slaa kwa msaada huu wanaoufanya.
@shamimhayat7637
@shamimhayat7637 2 ай бұрын
Mama Samia umechagua mtu safi sana J.Slaa
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 2 ай бұрын
Shikamoo kaka Jerry,pole kwa kazi kaka Nawaza tu mawazo ya usiku,hivi Kabla Yako waziri wa ardhii alikuwa nani?!?? Mungu akubariimki broo❤
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 2 ай бұрын
Mungu akulinde dk silah
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Ай бұрын
Jerry Slaa, Makonda, na Bashe...Muishi Milele
@HabibuBakary
@HabibuBakary 2 ай бұрын
Katika mawaziri wang ninaowapenda na kumalza bando lang ni ww muheshimiwa silaa napenda utendaj wako
@JohnMashamba
@JohnMashamba Ай бұрын
Mhes Silaa fanyeni kazi ya kusaidia sana wajane Mwenyezi Mungu atawabariki.
@MariaNdagile-hx5pr
@MariaNdagile-hx5pr 2 ай бұрын
Ila we baba mungu akulinde
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 2 ай бұрын
Muheshimiwa silaha nakukubali sana uko vizuri.
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Mola amewalaani wanao chukia wazazi yarabi razing za watoto zipo kwenye miguuu ya wazazi
@user-nt1ww6ju2l
@user-nt1ww6ju2l 2 ай бұрын
Hapo itendeke tuu haki jamani na mungu atawabariki
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Jamani allsh msikie kilio chake yarabi
@brigethsauzand3926
@brigethsauzand3926 2 ай бұрын
Mh. Jerry Mungu abariki kizazi chako Cha kwanza Hadi Cha nne
@maryamadam5622
@maryamadam5622 2 ай бұрын
Inaliza. Tamaa mbaya..Tuwajali wazee wetu. Mali zao wazee walizoacha zisiwe msingi wa fitna. Thawabu zao zimo katika sadaqa. Dr Slaa Allah akubarik.mtenda haki. Mja wa Mmungu
@laylayl5166
@laylayl5166 2 ай бұрын
Yaani natamani hata sijui nifanyejee. Waziri jinsi unavoidable nifurahishs
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 5 күн бұрын
Ndoa ya kiislamu hashirutishwi lazima uwe na cheti cha ndoa. Ndoa inasihi ikiwa aliyeolewa aliposwa, akakubaliwa, walii akatoa idhini ndoa ikafungwa, akaachwa mbele ya shahidi mwanamme ama kadhi.
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 ай бұрын
Mungu mkubwa akupe ulinzi waziri wetu
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 2 ай бұрын
Jerry Slaa ni mtu sana, Mungu akubarki sana
@minaziparasu9074
@minaziparasu9074 2 ай бұрын
Allah ametuahid tusiposhikamana na Quroan basi tutapotea sasa hayo ndio matokeo yake watoto wakiislamu munadhalilika.Mirath yote ipo ktk Quroan nini shida waungwanaaaa
@joshemman520
@joshemman520 2 ай бұрын
TUNAJIFUNZA SANA MKUU KUPITIA WW....
@janemuga587
@janemuga587 Ай бұрын
Mweshimiwa kigamboni nako karibu huku utusaidie
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 ай бұрын
Jamani mimi huwa natamani nimalize ela zangu nisiwekeze kwenye ardhi ukiona mambo kama haya , watoto wa siku hizi wanataka mali tu.
@AbcD-bn1nz
@AbcD-bn1nz 2 ай бұрын
Yaan ni shida
@lusajomwakalinga5813
@lusajomwakalinga5813 2 ай бұрын
Wajinga sana yanapenda kujificha kwenye kichaka cha dini ya kiislamu , sheria yenyewe imejaa dhuluma na ukatili tu Bi mkubwa kavumilia kazalishwa watoto 8 unataka adhulumiwe eti dini hovyo kabisa. Thanks waziri.
@user-jt8gt9jf9q
@user-jt8gt9jf9q 2 ай бұрын
Ww usitukane dini usio ijuwa kaisome kwanza dini hamna dhuma
@laprincessatokyo2188
@laprincessatokyo2188 2 ай бұрын
Alisema dini yaruhusu dhulma nani
@mamasalhat
@mamasalhat 2 ай бұрын
We koma usiiseme dini vibaya tena koma usitake najibizano ya kidini hapa
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 Ай бұрын
Acha ujinga kenge ww,yaan umeanza vzr una maliza vby mbwa ww
@EstherKemba-hr2zr
@EstherKemba-hr2zr Ай бұрын
0:10 😊
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 ай бұрын
Mm naomb ulinzi kwa Mungu akulinde jaka yngu akulinde akilindee ulinzi ndio ombi langu kwa Mungu
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 ай бұрын
Dr slaa nakuombea mungu akupe umri mrefu zaidi ,hawa watoto ni mbwa kweli
@inocentlema5574
@inocentlema5574 2 ай бұрын
Watu wanaonewa kwenye arthi
@jaafarmanhekman
@jaafarmanhekman 2 ай бұрын
Ana deserve kuwa waziri mkuu !!!
@momylaviel
@momylaviel 2 ай бұрын
Daaah😢😢 watoto hivi mnajua machozi ya mama
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 2 ай бұрын
Machozi ya mama hapa sio tatizo kwani hana haki kwa misingi ya uislam
@susananyasani6526
@susananyasani6526 2 ай бұрын
Waziri Jerry Silaa asema ukweli kwamba Mama mwenye Cheti cha Ndoa anayo haki ya kupewa Uridhi kutoka kwa Bwana yake kama amefariki
@iammedik3924
@iammedik3924 2 ай бұрын
Good work silaa
@allymwilu8089
@allymwilu8089 Ай бұрын
Yani watoto wakuwazaa au inakuaje sijaelewa a xe daah
@MakukaNyango
@MakukaNyango Ай бұрын
Shukrani kiongozi Jerry silaha,mi pia nilihitaji mawasiliano Yako waziri
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Km upo dar mkisikia yupo mjini nenda Mambo sio kabisa
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 5 күн бұрын
Bibi hana haki akakojoe akalale.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
😢😢duh
@user-ru9eb9yn6w
@user-ru9eb9yn6w Ай бұрын
Huyu wzir genius
@OllerDesononline6333
@OllerDesononline6333 Ай бұрын
Huwa najifunza mengixana kupitia ww muheshiwa.
@imanimussa6256
@imanimussa6256 Ай бұрын
Huyu wazir ni simba wa tanzania ana hekma na busara zote
@josephminja7953
@josephminja7953 Ай бұрын
Watoto wengine bana😢
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 2 ай бұрын
Jamani huyu kijana mali hizi
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s Ай бұрын
FIDDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA ARDHI
@rehemashabaniameen
@rehemashabaniameen 2 ай бұрын
Waziri wangu tutapataje namba yako hayo mambo ni mengi sana na wanyonge wanaonewa
@assadyabdull5146
@assadyabdull5146 2 ай бұрын
Ninayo
@assadyabdull5146
@assadyabdull5146 2 ай бұрын
Naweza kukupatia vipi
@user-lm5fu5tu5z
@user-lm5fu5tu5z 28 күн бұрын
Waziri anatatua migogoro na kutoa elimu kabisa
@user-ry2ix2pv4q
@user-ry2ix2pv4q Ай бұрын
Sasa mheshimiwa inabidi atoe elimu kwanza jaman kazi ni ngumu hii
@zephrinekanga4554
@zephrinekanga4554 2 ай бұрын
Mh comments zote humu zinakuinua wewe. Uko sawa na SSH alikupa sehemu inayoimudu. For sure wengi wamechemka wizara hii
@josephminja7953
@josephminja7953 Ай бұрын
Kwawatu wenye akili hii migogoro anayotatua mh silaa iwe funzo kwenye familia zenu,ukiwa hai waandalie watoto mirath
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 2 ай бұрын
Uko vizur mkuu lakin mama?kama hawa wana tamaa ya mali waliwaona wanaume hawafai wakajitoa kwenye ndoa pengine kwa kudanganuwa na mwanaume mwingine ama ndagu zake na akifika huko akapauka yule mume akachuma mali na wanwake wengine eti kwakua kazaa na yule mwanaume akifa t anajifanya nae mwanafamilia haiwezekani watoto wote hapo wamkandamize huyo mama atakua anashida huyo mama
@MrsM12387
@MrsM12387 2 ай бұрын
Huyu mama anataka kuwa dhulumu wtt
@abdulrahmankhamis4099
@abdulrahmankhamis4099 2 ай бұрын
Huyu ma mama anaonekana ana ttzo. Mke anapoachwa kwa sheria ya dini anakpeteza haki ya kumrithi mume. Yeye anaweza kudai haki ya wanawe lakin sio haki yake.
@MrsM12387
@MrsM12387 2 ай бұрын
Ndiyo hujakosea kbx kaka kuna watu umu ndan hawaelewi as if wanajua full story
@user-lo8ef9qn2r
@user-lo8ef9qn2r 2 ай бұрын
Wewe ndio unatatizo Dini Kwa maandiko yap eti akiachika anakua ana Haki ya urithi ? Ata ukienda bakwata ukiachwa anatakiwa akupe Haki yako kwenye Mali mwanamke anapewa asilimia chache Labda kama yy ndio kadai talaka ndio anakua apewi na yy anatakiwa ampe mwanaume Mahali ya kuolea mwanamke mwingine
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Sheria ya dini ya kijinga kabis
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 ай бұрын
Mtoto shetani mbona awamwonyeshi tumuone
@depetrepro2564
@depetrepro2564 2 ай бұрын
😂😂
@drsilo
@drsilo 2 ай бұрын
Ila dr slaa dini yetu ina kitu katika mambo yotee iloo jambo waachiee wenyewe kma mtu hakuolewa na kazaa watoto wa njee hairuhusiwi kurithi isipokuwa mpk mzee kabla ya kufariki aandike km kuwasaidia awo watoto
@emmadora7848
@emmadora7848 2 ай бұрын
We bana tutokee hapa ,uzinzi mnautaka matokeo yakija mnaanza dini dini ,acheni kuwazalisha nje ya ndoa alaaaa
@drsilo
@drsilo 2 ай бұрын
​@@emmadora7848na lengo la dini ni kukomesha uzinzi
@iwishtv7907
@iwishtv7907 2 ай бұрын
Huyu sio Mjane, Huyu mama ni muongo! Kama aliachika katika kipindi cha miaka 20 si halali kwake kurithi mali za marehemu
@MrsM12387
@MrsM12387 2 ай бұрын
Ndiyo hana haki iyo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Mmh
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Wanaume wajinga unaoa oa bila kuweka mazingira vzr ona ss Sheria ya wenzetu upuuzi bora za kikristo Sheria za serikali ndo zifuatwe
@Badvoice707
@Badvoice707 2 ай бұрын
Mbora nile mali zangu kila mtu atafute mali yake
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 2 ай бұрын
Kuna time mtu unawaza hivyo aisee....
@user-ih7go2qq6k
@user-ih7go2qq6k 2 ай бұрын
kweli kabisa
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 ай бұрын
Kuna muda unafikiri utumie ela zako
@laylayl5166
@laylayl5166 2 ай бұрын
Mmmmhhh watoto wapo tayari wakupoteze ili wapate malii
@braggadachu1723
@braggadachu1723 2 ай бұрын
Brother Jerry anajua kueleza had unamuelewa sio Kwa ukali
@abdulrahmankhamis4099
@abdulrahmankhamis4099 2 ай бұрын
Anasma anataka haki yake kwa mume aliyeishi naye kama aliachwa hanaa haki. Na kama alichwa basi huyu ni tapeli.
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 2 ай бұрын
tapeli bibiako
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 ай бұрын
wewe pumbavu mkubwa unatutukania dini yetu ya uislaam!!kuwa na adabu na heshima! heshimuni dini za wangine!!
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Ameongea ukweli Kwenye hela ndo ooh sijui dini Ila nje ya hapo hutasikia hiyo
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 2 ай бұрын
Asante sana waziri. Huyo mama kuzaa watoto 8 ana haki kabisa
@nully123
@nully123 2 ай бұрын
Dr Silaa uwe makini sana nafsi za binaadamu zimebadilika usije ukaamini sana Binaadamu tumebadilika si mzee si kijana si mtoto.Nakushauri umchunguze bibi kwanza vizuri kabla hujachukuwa uamuzi.Huyu Bibi kama aliolewa mume wa pili na yule wa kwanza alikuwa hai maanakr alikuwa keshamuacha kwa hio hapo hana mali
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Issue ni ntaraka, kama hakupewa anashinda kesi.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Ndo alichosema waziri km Hana talaka ana haki
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 37 МЛН
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 2,6 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 37 МЛН
Why McDonald’s, Apple and Other U.S. Brands Are Losing in China | WSJ
6:21
The Wall Street Journal
Рет қаралды 711 М.
БУДЕТ ЗНАТЬ КАК ОБИЖАТЬ БАБУШКУ
0:18
МАКАРОН
Рет қаралды 1,3 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
MrBeast
Рет қаралды 106 МЛН
育児6年目の韓国人父が娘と遊ぶ方法4 #shorts
0:11
ミョリムMyorimu
Рет қаралды 26 МЛН
So Cruel!😩 Say No To Turtle Painting🐢🎨 #catvideos #catmemes #trending
0:24