Sipendi kusikiliza viongozi lakin kwa makonda ananifanya niunge bando Kila siku 👏👏👏👏👏👏👏
@khadjamhozyaАй бұрын
Kwasiku unatumia bando rashingapi jiri ya makonda
@Hmsungu-xn1xfАй бұрын
Unajua sana makonda Yuko vizur kwenye uwongozi wake
@volcaremigius6881Ай бұрын
🎉Kumbe tupo wengi jamaa katushika
@riazshaikh8577Ай бұрын
Sana wangu, kwa kweli tunawahitaji viongozi kama huyu, si kijana bado, anatembea kukagua hata kwenye matope, wazee wakichaguliwa mapresha na sukari, nahamia Arusha nione mtu anidai rushwa 😂😂
@estherkibajiro348027 күн бұрын
Kabisa😂
@PiusNjelekelaАй бұрын
wanaarusha mwombeeni sana makonda haki huwa unapigwa vita mno makonda wanamtafuta wengi ila Mungu atamlinda Piga kazi taifa litainika nakuhakikishia mama samia arusha itang'ara hutaamini umefanya vema mno kumpa kazi makonda asante sana mama
@ladislausmoris9638Ай бұрын
Kwakweli mh makonda mungu arujalie tusije kupoteza kama mzee magufuli nitakupenda hadi nakufa , love u much
@RamadanPaulАй бұрын
❤❤❤❤ sana tu
@David-if6nkАй бұрын
😢
@hamidamussa-sy4fmАй бұрын
Atauliwa naye
@IgurusiAmcosАй бұрын
Meana sports
@angelmashauri6961Ай бұрын
Hongera mh. Makonda kwa kazi nzuri…Mwenyez Mungu akulinde daima…🙏🏻
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Makonda mungu akulinde,,ur strong leader,be blessed 🙏🙏
@Zaburi-Ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@AsteriaMwati4 күн бұрын
poor grammar
@user-gn9rh7sw7rАй бұрын
Wakuu wa mikoa wengine nchini wako wapiiiii waone kazikazi wananchi wanaonewa sana Rais Samia toa neno mama waliolala maofisini waamke
@user-xk7vy4gb6gАй бұрын
Mh Makonda jeshi la mtu mmoja nguvu kazi piga spana 🔧🔧
@estellemwai5402Ай бұрын
💯✔️
@user-yf5uq6bl2wАй бұрын
Makonda nimesimama kawaida ila moyoni mwangu mikono juu kwa utendaji wako. Wewe nijembe . Viongoziwengine igeni mfano na si kumuonea kijicho huyu mkuu ktk utendaji wake. Shukrani kwa Mama Samia kwa kumleta MAKONDA ARUSHA
@godwinmasoud7180Ай бұрын
Makonda tunakuombea sana unafanya kazi kubwa sana kwenye hili taifa. Unafaa kuwa Waziri Mkuu ajae
@obedpeter6874Ай бұрын
Afande anajua kuhoji ila kuhojiwa na makonda kabaki aaa mh aaa afande OCD kawa mdogo kama pirton,usiombe kukutana na maswali ya ana kwa ana na mh makonda utaimba haleluya
@costanciamkinga5040Ай бұрын
Tatizo hili lipo ktk Halmashauri karibu zote Tz Wakuu wa mikoa wengine fanyeni angalau muige mfano huu . Big up Mwanawane👏👏
@bakarininga4100Ай бұрын
Arusha DC sio pouwa wanapiga hela sio kawaida
@jokhamohammed976Ай бұрын
Dah mungu akuepushie na Kila baraha Nakupenda sana Baba mungu akupe maisha marefu yenye baraka tere Afya njema na Amani 🎁🌹🎁🌹 pokea zawadi yako na maua yako
@lukomanomaliki5442Ай бұрын
Mama Samia, watumishi wako wanakula sana hela.Naomba utoe mwongozo wabadhirifu washughulikie.
@edrisalusonge4141Ай бұрын
Kwani Hawa wakuu wa mikoa wengine ni watu wa nchi gani mbona wamekuwa hivyo kiasi hiki Yani makonda ndio anatakiwa kuwa mkuu wa mkoa Kila sehemu kwa nyakati tofauti tofauti Hawa viongozi wengine wa mikoa ni bovyo
@user-qv2tg9cz8cАй бұрын
Mungu atuhurumie Baba piga kazi
@melanialeonard4031Ай бұрын
Makonda majaliwa jerry silaa raisi waziri mkuu na sipika wa bunge
@melanialeonard4031Ай бұрын
Ni mtu akikutwa mwizi aache kazi na arudishe ela wajue mtaan palivo pagumu
@ommyntigiry9332Ай бұрын
🎉hii nchi si mumpe jmn uyu au Kasim majaliwa mmoja Kati yao apewe nchi
@khadjamhozyaАй бұрын
Wakinani wamupe nchi
@Dipeson7006 күн бұрын
Raisi@@khadjamhozya
@msafiriomary893Ай бұрын
Saizi hata Panadol hospital hakuna wezi kibao
@mussakimaro5588Ай бұрын
Hlf wanasema makonda mtu mbaya kama alikua na mapungufu zamani now yuko sawa anakimbiza tena anamsaidia mama na waziri wa ardhi doctor silaaa hivi ni vichwa hakuna kuogopa mtu wanafanya watu wanakua na maisha magumu sana ilihali kiongozi inatakiwa asimamie haki za wananchi
@PeterJohn-sg4oeАй бұрын
Hatua zilishachuliwa na Polisi kuna haja gani ya kupiga kelele hapo kwa wananchi, hizo ni siasa tu
@AbillsnАй бұрын
@@PeterJohn-sg4oevichwa maji kama ninyi ndio sababu ya wajinga na wezi kuendelea kuwepo
@martinabayyo9982Ай бұрын
@@PeterJohn-sg4oezero brain, unasuport ujinga au nawe ni mhusika?
@emmanuelthomas1078Ай бұрын
@@PeterJohn-sg4oeWee itakuwa ndo familia ya alietoroka na hayo ma million🤔🤔
@Kidd11168Ай бұрын
Anafikiri, huyo Haji tambui nini anacho kifanya,lakini kuna papa litasimama kwenye majukwa kusema ana dharirishwa. Washindwe na WA muogope Mungu.
@kalindimazjkkabuje2562Ай бұрын
Mungu akusaidie makonda nataman upite mikoa yotee
@MukameMachelАй бұрын
Mkuu wa mkoa Arusha, wewe ndie ulikuwa unastaili kuwa kiongozi wetu Tanzania
@pascalpetro6623Ай бұрын
Asante Mungu
@mpambanajitz7026Ай бұрын
Tunataka kiongozi wa aina Gani? Tunataka Nini watanzania,, Hongera SANA MWAMBA makonda unajua kaka. Na kuna siku watajua unajua
@kanankirannko6174Ай бұрын
Huyu Dada ni mdogo sana mpeni kazi nyingine ataonewa tu hapo masikini Huu mkoa unatakiwa watu maalum Wa kufanya kazi hapa undugu mwingii ukabila mwingii
@user-kq4by2vd4qАй бұрын
Hamna ataharibu kwingine
@kwisa4899Ай бұрын
we bwana tuaangalia uwezo sio umri
@kakaaignas3675Ай бұрын
Kabisa
@kwzjkwz3532Ай бұрын
Mkoa unahitaji watu wa system
@kanankirannko6174Ай бұрын
@@kwzjkwz3532 Yes clearly under standing big up Sana
@user-gp5wx1ev9fАй бұрын
Ndugu Paul Makonda una kazi kubwa ya kufanya wanyoroshe wote waliolala. Natazama na kusikiliza nikwa Saudi Arabia RIYADH CITY ila natoka Kenya. Nataka Africa Mashariki iwe na viongozi wakuona na kutetea wananchi kama Muheshimiwa Paul Makonda Mkuu wa Mkoa Wa Arusha. Hachezi na kazi yake kabisa. Wewe ni Raisi wa miaka michache ijayo.nTanzania Juu. Nakuombea MUNGU akupe maisha marefu. Maana watumishi wengi na wataalamu hatakupenda kwa kazi unayoifanya na wakurugenzi na watemdaji bali endelea kuifanya kazi ya wananchi. MUNGU Akubariki sana. Mama Dr. Samia Suluhu Hassan. Hapo uko na Jembe la ajabu sio mchezo. Paul Makonda juu zaidi. Muache qinyoroshe Arusha kisha umpelekee kwengine nako akawayie adabu wataalamu wengine.
@malikkb6444Ай бұрын
Hivi nchi nzima ni shilingi ngapi inapotea kwa uzembe wa viongozi wasio wajibika?
@joycmsokile9220Ай бұрын
Nchi hii tunahitaji viongozi like you Rc Makonda ,
@user-sp2fu3wh6qАй бұрын
Muheshiwa Makonda mungu akubarik sana unaongea ukweri
@MasterOil-qm6vwАй бұрын
Hawa polisi wanaweza kuwafuatilia raia wakikosea lakin watumishi wanawaacha
@Jeneffershishi-ik4joАй бұрын
Congratulation muheshimiwa
@ThomasErroАй бұрын
mimi napenda kumpa makonda zawadi yake kwa kazi nzuri anaofanya je nitampaje
@taurehassan7399Ай бұрын
Nipe Mimi km ni pesa ntamfikishia ni rafiki yangu wa karibu Sana zitafika😂😂😂
@racheljephter5486Ай бұрын
😂😂😂
@hairuismail6456Ай бұрын
Hahaha 😅😅@@taurehassan7399
@KhadijaAbdala-jt9xmАй бұрын
Ahahahaha@@taurehassan7399
@joycmsokile9220Ай бұрын
Makonda anafaa kuungwa mkono kwa kazi kubwa anayoifanya,
@democritenzoisaba9117Ай бұрын
God bless Mr Makonda ,good job
@msafiriomary893Ай бұрын
HAo wanabebana ukichunguza hapo hzo pesa wote hao wanahuska wote wezi hao
@FridaUrassa-pj7ytАй бұрын
Moto wa mh Makonda umewaibua wakatngeneza uchunguzi!!!!
@user-xv7mo8tw7cАй бұрын
Mie nlkuwa nashabkia upizana ila makonda akigombea anakura yangu
@user-sg6ez3cf1fАй бұрын
Namkumbuka Magufuli kupitia utendaji wako Mh Paul Makonda.
@masikitikomwakyonde1259Ай бұрын
Mmi mwenyewe sipendi kusikiliza viongozi mara nyingi kupitia mheshimiwa Makonda nimekipenda chama Cha CCM na nikaamua chukua kadi kabisa kumbe chama sio tatizo,tatizo ni viongozi.
@user-ej5sl9mn5kАй бұрын
Kwel ni aibu sana mama kuwa mkali ktk pesa zako mamamama watoto wa masikini hawana kazi
@abiudmichaelАй бұрын
Makonda ni kiongozi thabiti sana. Nakukubali sana mkuu natamani nifanye kazi karibu na wewe🎉🎉🎉🎉
@Chamalaodancers5 күн бұрын
Makonda mungu akuweke unatufaa kuwa raisi wetu🙏🙏
@jonathanakhabuhaya1693Ай бұрын
Hongera kwa spana Mh. Makonda.Naomba Mh. Rais akuongezee cheo kikubwa. Usimamie kupiga rushwa nchi nzima.Pengine utarudisha heshima ya Serikali na Chama.
@user-kx1fp2ub4i27 күн бұрын
Mungu akubariki makonda na weendeleye nayii Hali natamani ata Congo tungepata kiongozi kama ww
@dunstanchacha2128Ай бұрын
I wish all other government officials wangetenda kazi kama Makonda.... We pray for you mheshimiwa
@RaphaelMmbagaАй бұрын
Hongera sana mh Makonda kwa kazi unayoifanya yan unafanya kaz kama mwamba. Magufuli
@BienvenueBisimwa-rn9rn3 күн бұрын
Mungu akulinde Makonda,kongo tunakupenda
@jacksportman5181Ай бұрын
Kila mahali anapoenda Makonda watumishi wanaosimama ni kina mama ivi ile 50%/50% mbona kama imefika 90%🤔
@halimamasai2234Ай бұрын
Sasa hivi 💯 😂😂😂
@halimamasai2234Ай бұрын
Wanaume mpooooo
@IsraelNadaАй бұрын
Mh
@lumulyimage4826Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@richardnganya2311Ай бұрын
Hiyo staili ni kutimia Kwa alichokiona Socrates!! Tunajikwamisha wenyewe. Muhimu ni uwezo wa mtu Kwa nafasi aliyopo.
@RamadanPaulАй бұрын
Huyu jamaa awe raisi basi❤❤❤
@SelijusiMalambo-rh6sfАй бұрын
Huyo hajuwi majukumu yake ye ye ndio alitakiwa awasaidie police
@MiliamNeneka-us5ksАй бұрын
Huyu baba anakiti chake mbinguni..... Wanyoshe tulale wote njaa
@melanialeonard4031Ай бұрын
Kabisa biashara hazitoki mambo ni magumu mno hela zipo kwa watu wachache na familia zao wanapokezana vyeo safisha wote
@fadhiliramadhani2402Ай бұрын
Kaka unapambana sana
@user-st6lo6if2lАй бұрын
Nimegundua watu wa Kanda ya ziwa vichwa sana
@iddirashidi4753Ай бұрын
Mungu akulinde Mh Makonda
@tresphorymvulla363Ай бұрын
I am actually being interesting with Paul Makonda for his ways to deal with leaders who are not trustful.
@user-vf1gn4gu3sАй бұрын
Mheshimiwa makonda big up sana kaza spanaaaaaaaaah!
@johnbernad3990Ай бұрын
Mh. Makonda Mungu akulinde sana tunakuombea sana uje kuwa kiongozi wa Taifa letu.
@ShijaNzenzuleАй бұрын
Makonda kwa namna unavyo chapa kazi unastahili ungekuwa na kazi ya kutumikia watu nchi nzima na siyo mkoa tu ili usaidie wengi maana changamoto ni nyingi Kila sehemu
@MasterOil-qm6vwАй бұрын
Kuogoza watu kama hawa yataka moyo yaan mtu kaiba pesa bado umemueka hapo kwenye ofisi kama makonda hajaenda hapo wananchi wangekula majani
@abdilillahramadhan9637Ай бұрын
Mh uko vizuri tunaimani nawewe mama chagua wakuu wamikoa kama mh makonda kazi yuko vizuri kiburi kwenye office zauma
@gideonibatangaki1317Ай бұрын
Viongozi mnaponzwa nakitu kidogo,anapotua Mh,Makonda anakuja akielewa kila kitu Sasa wao wanaingia 18 zake
@Ibrahim-ne3inАй бұрын
Wanapigwa spana 😂😂😂
@Kidd11168Ай бұрын
Hakika kazi IPO, BW Makondo unaye kazi. Watahama Mkoa, mapapa wanao walinda walisema watakufa Kwa pressure. Na hata aibu hawaoni.
@francismadirisha3511Ай бұрын
Habari ndio hiyo asante mama kwa makonda mitano tena
@ullujaffariyohani1186Ай бұрын
Dahhhhhh yaani hii Nchi ni ya ajabu sana mijitu inaiba hlf bado inaendelea na kazi 😢😮
@HajiMsangi-g7k10 күн бұрын
Safi sana akitoka mama wewe n haki kuwa raic
@omaryyusuph7877Ай бұрын
Africa ndio maana maendeleo yanasuasua sana viongozi muogopeni mungu watu wanateseka hospital nyie mnakula hera daaah Africa 😢
@paulmutailuka2417Ай бұрын
Arusha imeozaa kwa rushwaaaaaaaaaaa. Makonda pigaaa spanaaaaaaaaaaaaaaaa baba.🔧🔧🔨🛠
@MasawilaGoaАй бұрын
Ww jamaa mungu akupe maisha maref sana akulinde damu ys baba ww magu
@yusuphwaziri1189Ай бұрын
Daaaah!huwa Namuomba mungu makonda uje kuiyongoza hii nchi afu pia huwa Namuomba mungu uje kuwa kiongozi ktk mkoa wetu wa shinyanga.
@godfreybigeyo4356Ай бұрын
Mungu siku moja atakusaidia
@lucascosmas908Ай бұрын
Dah aisee yaani mkuu safi sana na mm najua viongozi wenzio takribani wote sasa wana kuangalia unavyo unguruma na ninacho shangaa awataki kuku iga mkuu hakika ww ni m'bunifu apa kazi tu ongera kiongozi makini apa spana mwanzo mwisho
@emanuelawe-ur5hfАй бұрын
Mungu akubariki
@frankbutati8343Ай бұрын
Iko siku Makonda atakuwa Rais wa nchi hii, na wezi watahama nchi
@MariamMloweАй бұрын
Mungu baba akupe maisha marefu makonda ili uendelee kusaidia wanyonge
@AugustKisaka-qy7klАй бұрын
Uongozi sasa unakufa kutuongoza baraka zangu nakupa kiongozi
@justinmasangula2142Ай бұрын
Jaman mungu ni mwem yan makonda hana tofauti na magufuli asante mungu kutupatia chombo bora
@justinmasangula2142Ай бұрын
Bab tunaomba uje kuwa hais watu matumbo moto wew ni hatari ya majambazi
@HenryHabeli-iy5dvАй бұрын
Makonda nimekukubali janja janja ilikuwa imeota mizizi mkoa was arusha hebu wanyooshe wapigaji wote
@user-cu9sq7yk3zАй бұрын
Wacha tu Makonda hongera ukiwa mwaminifu hutakiwi utauawa watu wote wanakuchukia tunakuombea udumu kazi Yako ni nzuri untetetea haki
@daudimaniseli759Ай бұрын
IBRAHIM LA CAPTAIN TRAULE
@dismaslalubare4196Ай бұрын
Makonda spana zikichakaa niite nakununulia tools box mpya box spana rings spana combination spana full na nyundo na tindo tindua wrote hawo
@mgosimkome9242Ай бұрын
Nchi hii kuna watu wanapiga hela bana asikuambie mtu, muda huo huo kuna mtu anakufa hospital kwa kukosa matibabu ya sh laki mbili
@user-ov3bt3pf1bАй бұрын
Hawajitibu na hizo hela kwa maana tayari wana kadi za bure za NHIF. Ziko tumboni kwao
@JaphasonSumarАй бұрын
Baba tunakuelewa kweli una dhamira yakweli yakusaidia ukandanizaji Kwa wananchi
@salehwaziri5062Ай бұрын
Pigakazikaka hawawanaokuchokonoa nasisitutawachokonoa wanatukerasana mungu awalaaniwote wanaokuchukia
@PrinceHendry-hp8vvАй бұрын
Umetisha mkuu makonda wanaokupinga wakanye mavi
@kanankirannko6174Ай бұрын
Hela hapa haziliwi na mtu mmoja no cheni refuuu hii ndo Arusha
@jahululamasungaАй бұрын
You are doing brother big up
@FabianfideltzАй бұрын
Mrith wa baba maguful ❤❤❤❤
@abdulibrahim8477Ай бұрын
muheshimiwa makonda siku akigombea urais kama Mwenyezi Mungu atatuweka kura yangu ni yake
@Kidd11168Ай бұрын
Nchi ina ishia kwenye mifuko na Yao na mapapa wao wanaokufa Kwa pressure.
@ConstanciaShangaliАй бұрын
PIGAA SPANAA MKUU🔧🔧⛓️🛠️💉💊
@MariamMloweАй бұрын
Makonda umenifany nipende kkusikiliza kila siku ❤❤❤
@user-mp4yt7ps5qАй бұрын
Makonda Mungu akulinde maana
@williammaemba358818 күн бұрын
Kwa nchi zilizoendelea watu kama jamii ya akina Makonda wanalindwa na kutunzwa lakini nchi zilizojaa wezi na wanuka rushwa na ufisadi wanawindwa kuuwawa ni ajabu Kwa watu weusi duniani sisi
@donathamallyaАй бұрын
Watu wana ajiriwaje hawa jamani??kujibu tu swala lepesi hivi ,kusema mtu anasimamishwa kwanza kazi ndio anachunguzwa. Mhesimiwa kipekee nakupongeza kwa ujasiri Mungu also kupa. Mungu akutangulie
@vladimirputn1809Ай бұрын
munguakulinde
@augustinomlewa9662Ай бұрын
2namshukuru sana mama anaupiga mwingi
@AbdallahSuedeАй бұрын
Kanda ya ziwa ajawai toka fala makonda urais unakuhusu mungu akutangulie
@JumaMadebe-gp7ov4 күн бұрын
Makonda, npo nabeba, zege kwa ajiri ya bando ili nikusikilize tu!