AFISA UTUMISHI aingia 18 ZA MAKONDA, APEWA KIBANO KIZITO "NIKISEMA UNALINDA WEZI NITAKUWA NAKOSEA?"

  Рет қаралды 164,559

Wasafi Media

Wasafi Media

2 ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 416
@user-wq5vf3rq7o
@user-wq5vf3rq7o Ай бұрын
Sipendi kusikiliza viongozi lakin kwa makonda ananifanya niunge bando Kila siku 👏👏👏👏👏👏👏
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
Kwasiku unatumia bando rashingapi jiri ya makonda
@Hmsungu-xn1xf
@Hmsungu-xn1xf Ай бұрын
Unajua sana makonda Yuko vizur kwenye uwongozi wake
@volcaremigius6881
@volcaremigius6881 Ай бұрын
🎉Kumbe tupo wengi jamaa katushika
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 Ай бұрын
Sana wangu, kwa kweli tunawahitaji viongozi kama huyu, si kijana bado, anatembea kukagua hata kwenye matope, wazee wakichaguliwa mapresha na sukari, nahamia Arusha nione mtu anidai rushwa 😂😂
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 27 күн бұрын
Kabisa😂
@PiusNjelekela
@PiusNjelekela Ай бұрын
wanaarusha mwombeeni sana makonda haki huwa unapigwa vita mno makonda wanamtafuta wengi ila Mungu atamlinda Piga kazi taifa litainika nakuhakikishia mama samia arusha itang'ara hutaamini umefanya vema mno kumpa kazi makonda asante sana mama
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 Ай бұрын
Kwakweli mh makonda mungu arujalie tusije kupoteza kama mzee magufuli nitakupenda hadi nakufa , love u much
@RamadanPaul
@RamadanPaul Ай бұрын
❤❤❤❤ sana tu
@David-if6nk
@David-if6nk Ай бұрын
😢
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm Ай бұрын
Atauliwa naye
@IgurusiAmcos
@IgurusiAmcos Ай бұрын
Meana sports
@angelmashauri6961
@angelmashauri6961 Ай бұрын
Hongera mh. Makonda kwa kazi nzuri…Mwenyez Mungu akulinde daima…🙏🏻
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Ай бұрын
Makonda mungu akulinde,,ur strong leader,be blessed 🙏🙏
@Zaburi-
@Zaburi- Ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@AsteriaMwati
@AsteriaMwati 4 күн бұрын
poor grammar
@user-gn9rh7sw7r
@user-gn9rh7sw7r Ай бұрын
Wakuu wa mikoa wengine nchini wako wapiiiii waone kazikazi wananchi wanaonewa sana Rais Samia toa neno mama waliolala maofisini waamke
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Ай бұрын
Mh Makonda jeshi la mtu mmoja nguvu kazi piga spana 🔧🔧
@estellemwai5402
@estellemwai5402 Ай бұрын
💯✔️
@user-yf5uq6bl2w
@user-yf5uq6bl2w Ай бұрын
Makonda nimesimama kawaida ila moyoni mwangu mikono juu kwa utendaji wako. Wewe nijembe . Viongoziwengine igeni mfano na si kumuonea kijicho huyu mkuu ktk utendaji wake. Shukrani kwa Mama Samia kwa kumleta MAKONDA ARUSHA
@godwinmasoud7180
@godwinmasoud7180 Ай бұрын
Makonda tunakuombea sana unafanya kazi kubwa sana kwenye hili taifa. Unafaa kuwa Waziri Mkuu ajae
@obedpeter6874
@obedpeter6874 Ай бұрын
Afande anajua kuhoji ila kuhojiwa na makonda kabaki aaa mh aaa afande OCD kawa mdogo kama pirton,usiombe kukutana na maswali ya ana kwa ana na mh makonda utaimba haleluya
@costanciamkinga5040
@costanciamkinga5040 Ай бұрын
Tatizo hili lipo ktk Halmashauri karibu zote Tz Wakuu wa mikoa wengine fanyeni angalau muige mfano huu . Big up Mwanawane👏👏
@bakarininga4100
@bakarininga4100 Ай бұрын
Arusha DC sio pouwa wanapiga hela sio kawaida
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 Ай бұрын
Dah mungu akuepushie na Kila baraha Nakupenda sana Baba mungu akupe maisha marefu yenye baraka tere Afya njema na Amani 🎁🌹🎁🌹 pokea zawadi yako na maua yako
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 Ай бұрын
Mama Samia, watumishi wako wanakula sana hela.Naomba utoe mwongozo wabadhirifu washughulikie.
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 Ай бұрын
Kwani Hawa wakuu wa mikoa wengine ni watu wa nchi gani mbona wamekuwa hivyo kiasi hiki Yani makonda ndio anatakiwa kuwa mkuu wa mkoa Kila sehemu kwa nyakati tofauti tofauti Hawa viongozi wengine wa mikoa ni bovyo
@user-qv2tg9cz8c
@user-qv2tg9cz8c Ай бұрын
Mungu atuhurumie Baba piga kazi
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Makonda majaliwa jerry silaa raisi waziri mkuu na sipika wa bunge
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Ni mtu akikutwa mwizi aache kazi na arudishe ela wajue mtaan palivo pagumu
@ommyntigiry9332
@ommyntigiry9332 Ай бұрын
🎉hii nchi si mumpe jmn uyu au Kasim majaliwa mmoja Kati yao apewe nchi
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
Wakinani wamupe nchi
@Dipeson700
@Dipeson700 6 күн бұрын
Raisi​@@khadjamhozya
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Ай бұрын
Saizi hata Panadol hospital hakuna wezi kibao
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 Ай бұрын
Hlf wanasema makonda mtu mbaya kama alikua na mapungufu zamani now yuko sawa anakimbiza tena anamsaidia mama na waziri wa ardhi doctor silaaa hivi ni vichwa hakuna kuogopa mtu wanafanya watu wanakua na maisha magumu sana ilihali kiongozi inatakiwa asimamie haki za wananchi
@PeterJohn-sg4oe
@PeterJohn-sg4oe Ай бұрын
Hatua zilishachuliwa na Polisi kuna haja gani ya kupiga kelele hapo kwa wananchi, hizo ni siasa tu
@Abillsn
@Abillsn Ай бұрын
​@@PeterJohn-sg4oevichwa maji kama ninyi ndio sababu ya wajinga na wezi kuendelea kuwepo
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 Ай бұрын
​@@PeterJohn-sg4oezero brain, unasuport ujinga au nawe ni mhusika?
@emmanuelthomas1078
@emmanuelthomas1078 Ай бұрын
​@@PeterJohn-sg4oeWee itakuwa ndo familia ya alietoroka na hayo ma million🤔🤔
@Kidd11168
@Kidd11168 Ай бұрын
Anafikiri, huyo Haji tambui nini anacho kifanya,lakini kuna papa litasimama kwenye majukwa kusema ana dharirishwa. Washindwe na WA muogope Mungu.
@kalindimazjkkabuje2562
@kalindimazjkkabuje2562 Ай бұрын
Mungu akusaidie makonda nataman upite mikoa yotee
@MukameMachel
@MukameMachel Ай бұрын
Mkuu wa mkoa Arusha, wewe ndie ulikuwa unastaili kuwa kiongozi wetu Tanzania
@pascalpetro6623
@pascalpetro6623 Ай бұрын
Asante Mungu
@mpambanajitz7026
@mpambanajitz7026 Ай бұрын
Tunataka kiongozi wa aina Gani? Tunataka Nini watanzania,, Hongera SANA MWAMBA makonda unajua kaka. Na kuna siku watajua unajua
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 Ай бұрын
Huyu Dada ni mdogo sana mpeni kazi nyingine ataonewa tu hapo masikini Huu mkoa unatakiwa watu maalum Wa kufanya kazi hapa undugu mwingii ukabila mwingii
@user-kq4by2vd4q
@user-kq4by2vd4q Ай бұрын
Hamna ataharibu kwingine
@kwisa4899
@kwisa4899 Ай бұрын
we bwana tuaangalia uwezo sio umri
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 Ай бұрын
Kabisa
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 Ай бұрын
Mkoa unahitaji watu wa system
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 Ай бұрын
@@kwzjkwz3532 Yes clearly under standing big up Sana
@user-gp5wx1ev9f
@user-gp5wx1ev9f Ай бұрын
Ndugu Paul Makonda una kazi kubwa ya kufanya wanyoroshe wote waliolala. Natazama na kusikiliza nikwa Saudi Arabia RIYADH CITY ila natoka Kenya. Nataka Africa Mashariki iwe na viongozi wakuona na kutetea wananchi kama Muheshimiwa Paul Makonda Mkuu wa Mkoa Wa Arusha. Hachezi na kazi yake kabisa. Wewe ni Raisi wa miaka michache ijayo.nTanzania Juu. Nakuombea MUNGU akupe maisha marefu. Maana watumishi wengi na wataalamu hatakupenda kwa kazi unayoifanya na wakurugenzi na watemdaji bali endelea kuifanya kazi ya wananchi. MUNGU Akubariki sana. Mama Dr. Samia Suluhu Hassan. Hapo uko na Jembe la ajabu sio mchezo. Paul Makonda juu zaidi. Muache qinyoroshe Arusha kisha umpelekee kwengine nako akawayie adabu wataalamu wengine.
@malikkb6444
@malikkb6444 Ай бұрын
Hivi nchi nzima ni shilingi ngapi inapotea kwa uzembe wa viongozi wasio wajibika?
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 Ай бұрын
Nchi hii tunahitaji viongozi like you Rc Makonda ,
@user-sp2fu3wh6q
@user-sp2fu3wh6q Ай бұрын
Muheshiwa Makonda mungu akubarik sana unaongea ukweri
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw Ай бұрын
Hawa polisi wanaweza kuwafuatilia raia wakikosea lakin watumishi wanawaacha
@Jeneffershishi-ik4jo
@Jeneffershishi-ik4jo Ай бұрын
Congratulation muheshimiwa
@ThomasErro
@ThomasErro Ай бұрын
mimi napenda kumpa makonda zawadi yake kwa kazi nzuri anaofanya je nitampaje
@taurehassan7399
@taurehassan7399 Ай бұрын
Nipe Mimi km ni pesa ntamfikishia ni rafiki yangu wa karibu Sana zitafika😂😂😂
@racheljephter5486
@racheljephter5486 Ай бұрын
😂😂😂
@hairuismail6456
@hairuismail6456 Ай бұрын
Hahaha 😅😅​@@taurehassan7399
@KhadijaAbdala-jt9xm
@KhadijaAbdala-jt9xm Ай бұрын
Ahahahaha​@@taurehassan7399
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 Ай бұрын
Makonda anafaa kuungwa mkono kwa kazi kubwa anayoifanya,
@democritenzoisaba9117
@democritenzoisaba9117 Ай бұрын
God bless Mr Makonda ,good job
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Ай бұрын
HAo wanabebana ukichunguza hapo hzo pesa wote hao wanahuska wote wezi hao
@FridaUrassa-pj7yt
@FridaUrassa-pj7yt Ай бұрын
Moto wa mh Makonda umewaibua wakatngeneza uchunguzi!!!!
@user-xv7mo8tw7c
@user-xv7mo8tw7c Ай бұрын
Mie nlkuwa nashabkia upizana ila makonda akigombea anakura yangu
@user-sg6ez3cf1f
@user-sg6ez3cf1f Ай бұрын
Namkumbuka Magufuli kupitia utendaji wako Mh Paul Makonda.
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 Ай бұрын
Mmi mwenyewe sipendi kusikiliza viongozi mara nyingi kupitia mheshimiwa Makonda nimekipenda chama Cha CCM na nikaamua chukua kadi kabisa kumbe chama sio tatizo,tatizo ni viongozi.
@user-ej5sl9mn5k
@user-ej5sl9mn5k Ай бұрын
Kwel ni aibu sana mama kuwa mkali ktk pesa zako mamamama watoto wa masikini hawana kazi
@abiudmichael
@abiudmichael Ай бұрын
Makonda ni kiongozi thabiti sana. Nakukubali sana mkuu natamani nifanye kazi karibu na wewe🎉🎉🎉🎉
@Chamalaodancers
@Chamalaodancers 5 күн бұрын
Makonda mungu akuweke unatufaa kuwa raisi wetu🙏🙏
@jonathanakhabuhaya1693
@jonathanakhabuhaya1693 Ай бұрын
Hongera kwa spana Mh. Makonda.Naomba Mh. Rais akuongezee cheo kikubwa. Usimamie kupiga rushwa nchi nzima.Pengine utarudisha heshima ya Serikali na Chama.
@user-kx1fp2ub4i
@user-kx1fp2ub4i 27 күн бұрын
Mungu akubariki makonda na weendeleye nayii Hali natamani ata Congo tungepata kiongozi kama ww
@dunstanchacha2128
@dunstanchacha2128 Ай бұрын
I wish all other government officials wangetenda kazi kama Makonda.... We pray for you mheshimiwa
@RaphaelMmbaga
@RaphaelMmbaga Ай бұрын
Hongera sana mh Makonda kwa kazi unayoifanya yan unafanya kaz kama mwamba. Magufuli
@BienvenueBisimwa-rn9rn
@BienvenueBisimwa-rn9rn 3 күн бұрын
Mungu akulinde Makonda,kongo tunakupenda
@jacksportman5181
@jacksportman5181 Ай бұрын
Kila mahali anapoenda Makonda watumishi wanaosimama ni kina mama ivi ile 50%/50% mbona kama imefika 90%🤔
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Ай бұрын
Sasa hivi 💯 😂😂😂
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Ай бұрын
Wanaume mpooooo
@IsraelNada
@IsraelNada Ай бұрын
Mh
@lumulyimage4826
@lumulyimage4826 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Ай бұрын
Hiyo staili ni kutimia Kwa alichokiona Socrates!! Tunajikwamisha wenyewe. Muhimu ni uwezo wa mtu Kwa nafasi aliyopo.
@RamadanPaul
@RamadanPaul Ай бұрын
Huyu jamaa awe raisi basi❤❤❤
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf Ай бұрын
Huyo hajuwi majukumu yake ye ye ndio alitakiwa awasaidie police
@MiliamNeneka-us5ks
@MiliamNeneka-us5ks Ай бұрын
Huyu baba anakiti chake mbinguni..... Wanyoshe tulale wote njaa
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Kabisa biashara hazitoki mambo ni magumu mno hela zipo kwa watu wachache na familia zao wanapokezana vyeo safisha wote
@fadhiliramadhani2402
@fadhiliramadhani2402 Ай бұрын
Kaka unapambana sana
@user-st6lo6if2l
@user-st6lo6if2l Ай бұрын
Nimegundua watu wa Kanda ya ziwa vichwa sana
@iddirashidi4753
@iddirashidi4753 Ай бұрын
Mungu akulinde Mh Makonda
@tresphorymvulla363
@tresphorymvulla363 Ай бұрын
I am actually being interesting with Paul Makonda for his ways to deal with leaders who are not trustful.
@user-vf1gn4gu3s
@user-vf1gn4gu3s Ай бұрын
Mheshimiwa makonda big up sana kaza spanaaaaaaaaah!
@johnbernad3990
@johnbernad3990 Ай бұрын
Mh. Makonda Mungu akulinde sana tunakuombea sana uje kuwa kiongozi wa Taifa letu.
@ShijaNzenzule
@ShijaNzenzule Ай бұрын
Makonda kwa namna unavyo chapa kazi unastahili ungekuwa na kazi ya kutumikia watu nchi nzima na siyo mkoa tu ili usaidie wengi maana changamoto ni nyingi Kila sehemu
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw Ай бұрын
Kuogoza watu kama hawa yataka moyo yaan mtu kaiba pesa bado umemueka hapo kwenye ofisi kama makonda hajaenda hapo wananchi wangekula majani
@abdilillahramadhan9637
@abdilillahramadhan9637 Ай бұрын
Mh uko vizuri tunaimani nawewe mama chagua wakuu wamikoa kama mh makonda kazi yuko vizuri kiburi kwenye office zauma
@gideonibatangaki1317
@gideonibatangaki1317 Ай бұрын
Viongozi mnaponzwa nakitu kidogo,anapotua Mh,Makonda anakuja akielewa kila kitu Sasa wao wanaingia 18 zake
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Ай бұрын
Wanapigwa spana 😂😂😂
@Kidd11168
@Kidd11168 Ай бұрын
Hakika kazi IPO, BW Makondo unaye kazi. Watahama Mkoa, mapapa wanao walinda walisema watakufa Kwa pressure. Na hata aibu hawaoni.
@francismadirisha3511
@francismadirisha3511 Ай бұрын
Habari ndio hiyo asante mama kwa makonda mitano tena
@ullujaffariyohani1186
@ullujaffariyohani1186 Ай бұрын
Dahhhhhh yaani hii Nchi ni ya ajabu sana mijitu inaiba hlf bado inaendelea na kazi 😢😮
@HajiMsangi-g7k
@HajiMsangi-g7k 10 күн бұрын
Safi sana akitoka mama wewe n haki kuwa raic
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 Ай бұрын
Africa ndio maana maendeleo yanasuasua sana viongozi muogopeni mungu watu wanateseka hospital nyie mnakula hera daaah Africa 😢
@paulmutailuka2417
@paulmutailuka2417 Ай бұрын
Arusha imeozaa kwa rushwaaaaaaaaaaa. Makonda pigaaa spanaaaaaaaaaaaaaaaa baba.🔧🔧🔨🛠
@MasawilaGoa
@MasawilaGoa Ай бұрын
Ww jamaa mungu akupe maisha maref sana akulinde damu ys baba ww magu
@yusuphwaziri1189
@yusuphwaziri1189 Ай бұрын
Daaaah!huwa Namuomba mungu makonda uje kuiyongoza hii nchi afu pia huwa Namuomba mungu uje kuwa kiongozi ktk mkoa wetu wa shinyanga.
@godfreybigeyo4356
@godfreybigeyo4356 Ай бұрын
Mungu siku moja atakusaidia
@lucascosmas908
@lucascosmas908 Ай бұрын
Dah aisee yaani mkuu safi sana na mm najua viongozi wenzio takribani wote sasa wana kuangalia unavyo unguruma na ninacho shangaa awataki kuku iga mkuu hakika ww ni m'bunifu apa kazi tu ongera kiongozi makini apa spana mwanzo mwisho
@emanuelawe-ur5hf
@emanuelawe-ur5hf Ай бұрын
Mungu akubariki
@frankbutati8343
@frankbutati8343 Ай бұрын
Iko siku Makonda atakuwa Rais wa nchi hii, na wezi watahama nchi
@MariamMlowe
@MariamMlowe Ай бұрын
Mungu baba akupe maisha marefu makonda ili uendelee kusaidia wanyonge
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl Ай бұрын
Uongozi sasa unakufa kutuongoza baraka zangu nakupa kiongozi
@justinmasangula2142
@justinmasangula2142 Ай бұрын
Jaman mungu ni mwem yan makonda hana tofauti na magufuli asante mungu kutupatia chombo bora
@justinmasangula2142
@justinmasangula2142 Ай бұрын
Bab tunaomba uje kuwa hais watu matumbo moto wew ni hatari ya majambazi
@HenryHabeli-iy5dv
@HenryHabeli-iy5dv Ай бұрын
Makonda nimekukubali janja janja ilikuwa imeota mizizi mkoa was arusha hebu wanyooshe wapigaji wote
@user-cu9sq7yk3z
@user-cu9sq7yk3z Ай бұрын
Wacha tu Makonda hongera ukiwa mwaminifu hutakiwi utauawa watu wote wanakuchukia tunakuombea udumu kazi Yako ni nzuri untetetea haki
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 Ай бұрын
IBRAHIM LA CAPTAIN TRAULE
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 Ай бұрын
Makonda spana zikichakaa niite nakununulia tools box mpya box spana rings spana combination spana full na nyundo na tindo tindua wrote hawo
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 Ай бұрын
Nchi hii kuna watu wanapiga hela bana asikuambie mtu, muda huo huo kuna mtu anakufa hospital kwa kukosa matibabu ya sh laki mbili
@user-ov3bt3pf1b
@user-ov3bt3pf1b Ай бұрын
Hawajitibu na hizo hela kwa maana tayari wana kadi za bure za NHIF. Ziko tumboni kwao
@JaphasonSumar
@JaphasonSumar Ай бұрын
Baba tunakuelewa kweli una dhamira yakweli yakusaidia ukandanizaji Kwa wananchi
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 Ай бұрын
Pigakazikaka hawawanaokuchokonoa nasisitutawachokonoa wanatukerasana mungu awalaaniwote wanaokuchukia
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv Ай бұрын
Umetisha mkuu makonda wanaokupinga wakanye mavi
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 Ай бұрын
Hela hapa haziliwi na mtu mmoja no cheni refuuu hii ndo Arusha
@jahululamasunga
@jahululamasunga Ай бұрын
You are doing brother big up
@Fabianfideltz
@Fabianfideltz Ай бұрын
Mrith wa baba maguful ❤❤❤❤
@abdulibrahim8477
@abdulibrahim8477 Ай бұрын
muheshimiwa makonda siku akigombea urais kama Mwenyezi Mungu atatuweka kura yangu ni yake
@Kidd11168
@Kidd11168 Ай бұрын
Nchi ina ishia kwenye mifuko na Yao na mapapa wao wanaokufa Kwa pressure.
@ConstanciaShangali
@ConstanciaShangali Ай бұрын
PIGAA SPANAA MKUU🔧🔧⛓️🛠️💉💊
@MariamMlowe
@MariamMlowe Ай бұрын
Makonda umenifany nipende kkusikiliza kila siku ❤❤❤
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q Ай бұрын
Makonda Mungu akulinde maana
@williammaemba3588
@williammaemba3588 18 күн бұрын
Kwa nchi zilizoendelea watu kama jamii ya akina Makonda wanalindwa na kutunzwa lakini nchi zilizojaa wezi na wanuka rushwa na ufisadi wanawindwa kuuwawa ni ajabu Kwa watu weusi duniani sisi
@donathamallya
@donathamallya Ай бұрын
Watu wana ajiriwaje hawa jamani??kujibu tu swala lepesi hivi ,kusema mtu anasimamishwa kwanza kazi ndio anachunguzwa. Mhesimiwa kipekee nakupongeza kwa ujasiri Mungu also kupa. Mungu akutangulie
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 Ай бұрын
munguakulinde
@augustinomlewa9662
@augustinomlewa9662 Ай бұрын
2namshukuru sana mama anaupiga mwingi
@AbdallahSuede
@AbdallahSuede Ай бұрын
Kanda ya ziwa ajawai toka fala makonda urais unakuhusu mungu akutangulie
@JumaMadebe-gp7ov
@JumaMadebe-gp7ov 4 күн бұрын
Makonda, npo nabeba, zege kwa ajiri ya bando ili nikusikilize tu!
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 68 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
Ruto: Nimebuni serikali ya kuunganisha wakenya
5:47
TV47 Kenya
Рет қаралды 4,3 М.
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 68 МЛН