tanzania millitary mighty , weapons hadware demonstration and millitary parade nguvu ya jeshi la tanzania
Пікірлер: 92
@user-tf9ez8zu6t5 ай бұрын
jeshi ndo kila kitu, Mii naona muwekeze sana kwenye ulinzi . ongeleni sana but tunataka nchi iwe na nguvu za kijeshi. yaaan nyukilia
@user-cw8zn2dn6m5 ай бұрын
Naipenda sana Tanzania!! Hakika naipenda Tanzania nchi yangu. Ni nzuri sana!!
@Dan13Speed5 ай бұрын
Great Job Tanzania. I see a lot of improvements especially from last years parade. There is no competition amongst the East African Community States. Instead we should have joint exercises, as these forces are not designed to fight neighbors, but instead to protect from external aggression.
@yussbreezy9184 ай бұрын
Agreed 👍
@nyirasabwafrancoise15675 ай бұрын
Naona muko hatari kbs. Ata na sisi hapa Rwanda tunawatazama
@MwananzengoJegakijiji-yl4vt4 ай бұрын
Yaani jeshi liko imara kweli kweli
@stonemukandjila84217 күн бұрын
Mbosso Video
@muyongahassan21884 ай бұрын
Zakizamani hizo msionyeshe siku yakupigan wameshaziona watajuwa wawazuiye vipi nyie siraha za kizman san wengin wanatumikisha série A2021 au 2022 mpaka 2026
@coolruler68205 ай бұрын
Angalau,,,,ila wenzetu weupe bado sana kuwakaribia,,,,,hapo sidhani kama kuna s8laha hata moja made in Tanzania
@user-cn9br7en7w5 ай бұрын
Zipo Kuna kifaru na ambulance na magari ya kuzima moto ambayo ni yanategenezwa na shirika la jeshi la NYUMBU
@user-ii3bn4en8e4 ай бұрын
Ayo maslaha yazaman yasha xpayaa hayapo tena asaa
@chacha-2555 ай бұрын
02:13 naziona BM 21 a.k.a sabasaba ambazo zinawasha moto huko Congo, waasi wa M23 wametoa mlio kukiri mziki wa JWTZ sio wa kitoto
@tuzonyava83064 ай бұрын
Wanapewa raha kisha wanatoa mlio 🙏🙏🙏🇹🇿Mungu ibariki Tanzania yetu Amina
@Omarjumanne-zm9zh5 ай бұрын
Siraha tunatakiwa jeshi letu tuanze kuunda wenyewe kama nchi ya Korea lran siyo kununua kila kitu tujifunze kuwa na chetu
@selemanisalum76855 ай бұрын
Bro wezenu wanazingatia Elimu leo bongo Elimu ya matabaka mtaunda kitu
@williamnathan46304 ай бұрын
Kununua teknolojia sio kitu rahisi,Tena teknolojia za kijeshi
@abdalahgunda13195 ай бұрын
Hatuonyeshagi silaa tulizonazo ktk nchi zetu za kiafrica ni hatari mbali na hayo bado vyombo mnaotuonyesha jeshi letu linaitaji silaa za kisasa sio Kula manilion ya pesa badala kununua silaa mbali mbali za kijeshi za kisasa zaidi
@rizikivincent52555 ай бұрын
Kwani mnataka kuandaa vita?vita vita hivyo visikie kwa wenzenu ukifikiwa mkifikiwa navyo mnaona dunia yote kama choo kilichobomoka
@user-jq9km2tm2h5 ай бұрын
Mbona mnaanza kuzipokeya maiti za wanajeshi wenu kutoka eastern Congo kumradhi mupewe dhahabu ya congo
@josephgomalo415 ай бұрын
Katika vita ye yote ile ni lazima upoteze askari kwa sababu nyingi.. suala ni kwamba kama JWTZ wamepoteza askari mmoja, waasi wamepoteza wangapi? Je wamekuambia?
@muyongahassan21884 ай бұрын
Wekeni mizinga yamana nyukria nzitonzito zakupiga hata mikoa 3 hadi 6
@jumannealfani95185 ай бұрын
God bless my mother land forever, my blood will be here in this soil forever
@user-ic4cg5fx2f5 ай бұрын
Ukitaka kuona vifaru vya kila Aina njoo Mozambique.
@kudrasogoti37965 ай бұрын
Tz inasili inatoa silaha za zamani
@khamisbwile43765 ай бұрын
TZ wanaakili sana hawawezi onyesha siraha zao za kisasa hizo ni zazaman kk mali hatar zimewekwa Chemba ili adui ajichanganye aone mziki wao mnene
@sbboymkaliofficial91085 ай бұрын
We Miso misondo umepigaje APO 😂😂😂 eti siraha nzito nyoo hamna haya 😂
@J4UPro5 ай бұрын
Huzijui siraha ndugu tulia hivyo hivyo tu.
@adeltuszakumuha96185 ай бұрын
mikwara miiingiiii lkn au basi
@sbboymkaliofficial91085 ай бұрын
Dogo jiangalie sikuizi comment zina fuatiliwa 😂😂
@TheofridaJohn5 ай бұрын
Yaani zinatidja
@user-rr3wu4gt1d5 ай бұрын
Jeshi letu ni zuri lipo imara.
@user-uw1fs5mj9l5 ай бұрын
Hizi zinafanya kazi kweli?mkajaribishane na hamas tuangalie moto
@shd12m555 ай бұрын
😢
@user-hx2if3ep2m5 ай бұрын
Wapi silaha za Nyuklia,
@user-jq9km2tm2h5 ай бұрын
Silaha ni upuuzi mtupu mwawadanganya wa Congo!
@Missionary_work5 ай бұрын
Kumbe ndo izo
@meekman18054 ай бұрын
Jenafa kumbe bado upo hai! 😁
@ramygichero10165 ай бұрын
Magari yamechoka jamani adi aibu
@user-cn9br7en7w5 ай бұрын
Yamechoka wapi??
@erasmobenardsangu-18545 ай бұрын
izoza mipakani naonakopresa digaikowapi tukachoro nge. mngo dini tuombemngutu tu
@leahmgunda41544 ай бұрын
Bila shaka zote tumenunua :lini tutaunda zetu tuuze?
@EphraimWekesa-je7gy5 ай бұрын
The pictures showe india Weapon.
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj5 ай бұрын
Kuwa nahakili
@McGitty5 ай бұрын
Uganda bako juu because they make some weapon in their country.so they're better than Tanzania,
@josephgomalo415 ай бұрын
Unalijua shirika la mzinga wewe? Unafikiri wanatengeneza sufuria? Lmao! Lilitengeneza silaha zilizomtoa Idi Amin na lilalamikiwa hata na wacongo wakidai Tz inauzia waasi silaha!
@J4UPro5 ай бұрын
Mr kukurupuka, you know nothing.
@user-jq9km2tm2h5 ай бұрын
Mtapata chamtemakuni au kilicho towa kanga manyoya
@user-jq9km2tm2h5 ай бұрын
Metadata chamtemakuni au kilicho towa kanga manyoya!!!!
@godfreypaul2515 ай бұрын
Nunueni za kisasa
@kassimukombe-vv6uf4 ай бұрын
Silaha tunafaa tujitengenezee wenyewe Kama Iran wala sio kununua😢
@stonemukandjila84217 күн бұрын
Mbosso 24
@gasarabwepatrick6595 ай бұрын
X❤️🇷🇼🇷🇼🇷🇼😊😮😮🤣🤣🤣 kwetu ni hari usijyaribu utapata cako kweri 😮😮
@J4UPro5 ай бұрын
Unasemaje?
@cricwambali13525 ай бұрын
Zakwenu Zina pita wapi paka zisijulikane
@cornerbroscafe5 ай бұрын
hahaaaa hii ni mishumaa bana haiuwi ata kuku
@J4UPro5 ай бұрын
Acha zalau
@elbaricktv16325 ай бұрын
Wapumbavu pekee husapot habar za kipumbav yan siraha silizotumika kupambana na nduli I'd amin had leo ni izo izo afu unawambia watu siraha za hatar
@josephgomalo415 ай бұрын
Kama unabastola ndani utaambia majirani zako na wezi kuwa una silaha? Kama wanamchukua mkeo hawataiba hiyo bastola? Uwe na akili!
@wilsongafurero42845 ай бұрын
Kagame aache ujinga wake, otherwise atapigwa sawa mtoto.
@ntarejohn18435 ай бұрын
Waca wewe pumbafu leave Kagame alone
@KarambiziMartin-xv8op4 ай бұрын
Nimekucheka hadi meno kudondoka chini yule mzee weka pembeni bro anajua kazi yule ni General wakikazi usifanye makosa nakumfananisha kwenye hili Bala la Africa 🌍
@mussakiziyzi4085 ай бұрын
Mazana law quality old & cheaper Nendeni kenya mkaone majesh na zannna za kisasa Na kubwa kuliko yote elimu
@user-cn9br7en7w5 ай бұрын
Nani kakuambia 😂😂😂😂😂😂 Kenya ndio hamna kitu
@user-cn9br7en7w5 ай бұрын
Old hebu tuoneshe za kwako hizo ambazo ni za miaka ya sasa na ni very high cost
@mussakiziyzi4085 ай бұрын
@@user-cn9br7en7wkwani we izo scraper za kwako mwamba Sio lazma ujibu ukweli wa ninoonqea km vp tuliza tu kipira
@mussakiziyzi4085 ай бұрын
@@user-cn9br7en7w Ata babako anajua kmuulize Nani east africa hii km kenya Weapon za kisasa,elimu ipo na uzoefu pia wa operation za kivita ndo usiseme Nyie bonqo Kipi zaid ya blaa blaa tu
@modestwenceslaus95 ай бұрын
Mbona sioni siraha iitwayo HIMARS haop😂😂😂
@mimiraia25315 ай бұрын
Imefichwa. Labda wametunza Solana nyingine kisiri
@pascalgashikanyi94295 ай бұрын
Uongo ngo vifa kuzidisha East Africa yote nivifa.Inapigana ao niwana Jeshi Kinwa bure kusema ongo kama ba congoman RDC simbona M23 yiko inabakimbiza n'a Angola n'a South Africa n'a Burundi mucanginyiko mû gongwa wa kicka uko Masisi bunagana kupigwa kama batoto murudushiye Bugufi n'a Baha bakwetu bira ivo mutayireka kwa Damu ku anguka kabisa
@madsonmmbwanga30375 ай бұрын
Mtoa post hujafatilia Vita ya Ukraine vifaa vingi vinafeli huko. Tunatakiwa ku upgrade zana za Vita kuendana na mifumo yakisasa ya kivita. Nchi za kisasa zinaenda na wakati.kuwekeza zaidi kwenye zana za vita.hapo bado tuna hatua kubwa sana kiukweli sio hatua tu Ila masafa marefu
@khamisbwile43765 ай бұрын
Unaongea ukweli, lkn kunasiraha nyingi na imara za kisasa ambazo haziwezi onyeshwa ni sir ya jeshi tu. Hongereni TZ
@emoalembe47905 ай бұрын
Kenya ina majeshi n'a silaa balaa !
@martinisadru98995 ай бұрын
Kawadanganye walevi wa gongo, tangu lini jeshi la Tanzania wameunda siraha hatali, sisi Africa ni 0, kazi kununua siraha kutoka Kwa wenzeti, tumeshindwa kusomesha vijana wetu jeshini kuunda siraha.
@user-qi8hy3ne9w5 ай бұрын
Senge tuu wewe .
@josephgomalo415 ай бұрын
majeshi huundwa kulingana na vita zinazopiganwa! Baada ya vita kuu ya kwanza frogmen wa jeshi la maji la marekani (NAVY) lilibomolewa na wahusika wakaenda kuwa raia.. wakati wa vita kuu ya pili likaundwa tena na kuboreshwa hadi hivi sasa linajulikana kam NAVY SEALS! Ambao hawategi na kutegua mabomu baharini peke yake bali hivi sasa hupigana baharini (SEA), hewani (AIR) na ardhini (LAND) = seal. Wakati wa amani hakuna sababu ya kujenga jeshi kubwa. na silaha hubadilika kulingana na matumizi.. hizo unazoziona ni kuonyesha maeneo ambayo JWTZ inauwezo wa kujilinda na kupambana! Lakini hawawezi kukuonyesha wanachokitegemea watakuwa wendawazimu!
@mutiojunior3 ай бұрын
Kenya tunauda silaaa hatari
@Brienvironment5 ай бұрын
Hii ni NYS HUKU KENYA😂😂😂 😂😂😂😂😂😂
@SanyengeAlex5 ай бұрын
Usifikiri wameonyesha silaha zote
@antonyndege32785 ай бұрын
Hamfikii kenya
@chacha-2555 ай бұрын
M23 wa Congo mmewashindwa lakini JWTZ ilipoenda kuwaonyesha how its done, ndani ya siku chache tu M23 wameanza kutoa mlio,, Keep calm and learn.
@robertphilip3855 ай бұрын
Silaha za mwaka 47
@demandbamulumbye49905 ай бұрын
Kagame museven kisilan sana lewo napigwa sasa batalia lewo
@ramygichero10165 ай бұрын
Hamna kitu apo. mkwara 😂😂😂
@abubakarbwika83975 ай бұрын
Sasa Silaha hizi na RPGS za Hamas si zachomwa zote 😂😂😂😂😂
@josephgomalo415 ай бұрын
nani aliyekuambia kuwa unapigana na materrorist kwa silaha nzito pekee? Kuna njia tofauti ya kupigana na materrorist na mara nyingi huhusisha special forces wenye mipango iliyoenda shule na silaha zinazobebeka! Silaha nzito zinakuwa za msaada na huwekwa mbali na front line kusaidia kuvunja mahandaki, majengo na maghala ya silaha ili kuwalinda askari wa mstari wa mbele! nenda jeshini ukajifunze na upunguze kula mihogo unakuongezea ubishi!