Huyu ndo ana uchungu na maisha mungu amsaidie amfanyie wepes biashara yake idume
@FatumaMuyaАй бұрын
Amiin
@omanoman2044Ай бұрын
@@FatumaMuya inshaallah
@SitiAbdalla-df4hgАй бұрын
Hongera dada pambana mungu atakusaidia unaakili sana maashaallah
@samiraabdimahamed4449Ай бұрын
Hawa ndio watu wa kuwasapoti , SiO wale Kina changudoa Munira
@aminaomary5567Ай бұрын
Ushauri awe anakunywa maziwa siku moja moja sio mbaya
@user-zv7qq9ew4uАй бұрын
Fabi Kuna yule mama alie fungua genge.nae yule aliekuana nachanga moto yakusikia siku nyingi hatuji maendeleo yake na mume wake alikua mgonjwa
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
Ehee wale wakiokota makopo watt wake saa hii ana genge
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Mashaallah mdogo angu anajitahidi wallah na allah atazidi kukuinua inshallah 🤲🤲penye nia pana njia kwa kweli
@user-tt6ty7st2mАй бұрын
Mashaallah
@ashashaban6484Ай бұрын
MUNGU AWABALIIKI SANA MNAOJITOLEA KUSAIDIA WATU NA KAKA FABI MUNGU AWABARIKI INSHALLAH
@FatumaMuyaАй бұрын
Amiin
@user-tt6ty7st2mАй бұрын
Mashallah
@tato8979Ай бұрын
Mungu akutangulia katika upambanaji wako
@user-fe9jc5di9fАй бұрын
Mashallah Allah akusimamie katika utafutaji wako
@Noah-se3niАй бұрын
Ana fanikiwa kwa sababu ni mkweli ongera sana kwake, chapa kazi mama wawili ,
@halimamfaume1925Ай бұрын
MashaAllah ❤ Mungu aibariki kazi yako
@asiasalim9323Ай бұрын
Masha ALLAH ❤❤
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Faby mwambie awe anakunywa maziwa ck moja moja vumbi la mkaa huo
@user-tt6ty7st2mАй бұрын
Weka na sabuni ya unga hapo
@AminaAminjay-dv8trАй бұрын
Kwakweli
@KadeejaKadeeja-ej4buАй бұрын
Mashallah ❤
@aminaomary5567Ай бұрын
Ongera zake dada huyo👍👍👍🎉🎉
@fatmaally7252Ай бұрын
Wewe kaanga chipsi jioni funga karanga ubuyu mdogo wangu weka apo
@rayaabdul-gm3hcАй бұрын
Mtu wa maana kabisa😂😂😂.mashallah
@RamaHarbi-xp3qbАй бұрын
Sana 🔥🤣
@munirasallim6450Ай бұрын
Fabi vp kuhusu mmke yassir
@AminaLibisaАй бұрын
Wanangu wakianza kuongea iyo momoo mpaka uta sichoka😂😂😂
@fatmaally7252Ай бұрын
Barikiwa baraka nyingi dada mungu akubariki sana
@zainabumartin9520Ай бұрын
Wtoto wa sikuhizi hawaamukii jaman
@zuweinaalhabsya8773Ай бұрын
Mashaallah ❤
@user-zq9jc5sw7tАй бұрын
Kaka.fabi.umbie.hao.watoto.wawe.wanasalimia
@munirasallim6450Ай бұрын
Hata nilikua nataka kusema hivo hivo kumbe umeona
@user-gy3dv3tq8dАй бұрын
Hawajui kuamkia hao watoto malezi mabaya
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Wangekuwa wako tabora hao ni shikamoo mpaka goti chin 😂
@raghida4560Ай бұрын
Wow😊 mashallaw
@ashaseif9996Ай бұрын
Fabi yule mama mwenye mume mgojwa wa ini mbona hatuna taarifa zake siku nyingi
@AmbeniwatanoАй бұрын
Mama dozedoze Baki na mkaa tu kuwa na biashara nying sio kupata uswahilin uko utarogwa
@faridahalil4456Ай бұрын
Sasa huu ni mfano mzuri kwa MUNIRA kufuata, kila kitu ni kupambana
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
Biashara ni kipaji na ukiwa muda wako wa kujipamba zaidi huna muda wa biashara
@Salma-kb1xrАй бұрын
Fabi nime miss mama yassir siku nyingi pamoja na zabibu
@khadijachacha3156Ай бұрын
Hapo pana biashara mpeleke na munira na yy akafanye biashara asikae tuu
@zuweinaalhabsya8773Ай бұрын
Vp Munira Yuko wapi?
@Fatima1234-wl1nuАй бұрын
Nawaona mulisema aende Oman sula zimewalumbuka km uji wa karimati pyeeeee😂😂😂
@user-fs7xc2bb5dАй бұрын
😂😂😂😂
@user-dg4zc2un1yАй бұрын
Mie wananikera mtu akiomba msada wanashika aende Oman sipend mie mtu kama huwez kusaidia s bs usimlazimishe mtu aende nchi za kiarabu
@AminaLibisaАй бұрын
Mashallah ila uyu dada anashindwa kuwaambia watoto wake kusalimia
@FatumaMuyaАй бұрын
Labda anasahau na watoto nao wakubwa sijui wanashindwaje kusalimia
@AminaLibisaАй бұрын
Hakuna kitu kama hicho ndo malezi alivyo walea na.fabi yamemtoka sikuizi maana hachelewi kusema niamkie sasa nashangaa ao
@FatumaMuyaАй бұрын
@@AminaLibisa mimi watoto wangu wanavyopenda kusalimia .hasa huyu mdogo wa mwaka mmoja na mwezi muda wote anakupatia mkono hadi unachoka nawaambia ndugu zake muwekeeni maziwa kwenye Chupa yake ili mgeni apumzike kusalimiwa .
@AminaLibisaАй бұрын
@@FatumaMuya hongera malezi ndugu yangu mimi wa kwangu asione mtu anapita iyo mooo utakoma tena ata akipita mbali watu wanacheka mpaka basi na mpaka wakikua wanakua ivyo asalaam aleykum na shikamoo wameweka mbele
@FatumaMuyaАй бұрын
@@AminaLibisa mashaa Allah Mungu awakuze salama watoto wetu