Al-Hady v/s Kishki ... Je Mtume Muhammad SAW hanufaishi wala hadhuru?
Пікірлер: 98
@tigersterling54178 жыл бұрын
Waislam sote ni ndugu, tupendane kwa ajli ya Allah. tuwache malumbano kama kweli niya yetu ni moja.
@saidsalim23868 жыл бұрын
Kazi nzuri Sheikh na zidi kuwafunza hawa....Na sio kuekana sawa kwa ilmu ni kukoseana la...ilmu ni bahari na haina mwisho. Na kulingana na lugha za ustadh wetu wa Tz hata ww ukiziangalia yuwamponda Mtume Swalla Llahu alayhi Wassalam... Na vile vile aingilia mambo ambayo bado hayajayajua kwa kina jambo hili lawa vip na laenda vip....mm pia nikirekebishwa ndio najifunza na najua kuwa mahali flani nimekosea yapasa nirudie vitabu na nijue kosa lngu liwapi. shukraan
@HababahappynewyearNuru7 жыл бұрын
Said Salim Mungu atuongoze njia ya haqi & atutie peponi kwa rehma zake
@HababahappynewyearNuru7 жыл бұрын
ndugu said salim umeongea vzr sana...Mungu atukubalie sote...
@bintalhwamer52916 жыл бұрын
Said Salim usipende kupost kitu ambacho hujakijua huyu ni filauni unataka tu umaalufu mnafiki mkubwa huyu
@omarhussein96128 жыл бұрын
Mashalah wafanya kazi nzuri
@ramadhanisaad66137 жыл бұрын
mfundishe huyo.
@abdullatifabdalla18437 жыл бұрын
Allah akuongoze mtoto wa watamu. ...acha kufata HAWAA Za nafsi yako
@alliabdallah93557 жыл бұрын
Abdullatif wee mwenyeo hawa za nafsi yako zinakushinda
@abdulhalimmohamed36436 жыл бұрын
Vipi Al Hatimy anakuwa na Roho mbaya kwa sababu ya kumrekebisha Kishki anapodai kuwa Mtume Sallallahualeyhi wa sallam kuwa hanufaishi?
@rashidmohammed91284 жыл бұрын
Mashaa Allah msomeshe ..kishki soma mjuwe MTUME (swa)wako kabla kuongea kwenye miskiti...kwa kweli kishik unahitaji kusoma kabla kupoteza watu
@somosomo48604 ай бұрын
Kwa loe nadani amejifunza kuliko zamani .miaka saba 2023 years ago....
@abuufaadhil12298 жыл бұрын
Asalam Aleykum Warahmatullahi Wabaraktu ndugzangu. kuekana sawa na kupatiyana ilimu ni sawa kwene uislamu. lakini jee, dini yatuelezeya vipi masala ya KUKOSEYANA na Kuvundiyana daraja sisi kwa sisi? Hatufikirii madhara ambazo yatatokea beyna waislamu na hatufikiri mapenzi ambao itapunguwa. ziko ndia nyingi zakumelezya mwenzako lakini kumfedhehesha mwenzako na kumkosea mbele za millioni ya watu kila tafautu haytajenga uislamu wala hayvutii kwa wale wataka kuingia kwene uislamu. Uislamu ni ni dini ya Salama na mapenzi. TUPENDANENI.
@khalfankhamis90835 жыл бұрын
Kishki kwa huyu haoni ndani uyu jamaa ana elimu safi sana Hatim
Maryam Ali hakupotea ila huyu ni mnafiki tu anaetaka umaalufu
@mahdsalim5 жыл бұрын
Allah akuongoe maana chuki zako zinaondosha haya usoni mwako. ALLAH akuepusha kuja kuishia mchawi maana hasad inapelekea uchawi
@osmanmanbile932710 ай бұрын
Umeeleza sna ustadh al.hatimy umebobea luqya na elimu ya kutosha
@husseinkazungu51018 жыл бұрын
Naende akasome akutia dhiki tu kishki hana elimu
@bintsalim7598 жыл бұрын
muogope Allah ndungu muislamu n.a. vilevile fikiria Kabla ya kukufuru
@mannuhussein16018 жыл бұрын
sio yey Pekee hata Wew ukasome
@abujasimabujasim41736 жыл бұрын
Ndugu zanguni mashekhe wote wa kimadhehebu hao wote washirikina mnatakiwa mrudi kwenye kitabu cha mungu pekee nacho ni Quran
@tumao9707 жыл бұрын
subhanallah ' m.mungu akusamehe maana unaonekana unachuki na roho mbaya juu ya kishki
@alliabdallah93557 жыл бұрын
Na wee Tuma mungu akuongoze tena ukasome maana kama unakubali ni haki anasema kishki jiandae na la kumjibu Allah labda ulete toba
@minaminaa16696 жыл бұрын
sheikh wetu hana wivu yuwamrekebisha kishki na pia ndio wasa kidini..
@minaminaa16696 жыл бұрын
mbona kakufuru mbele za watu alikuwa kakosa mawaidha????
@minaminaa16696 жыл бұрын
je kishki waeza simamisha wanaoimba taarabu zanzibar ayo ndio makosa makubwa ???
@alishariff86576 жыл бұрын
tuma o9 kishki ni kimbelele kama short ya kwanda ukilala na mkeo
@jamalbahdela5244 жыл бұрын
Msomeshe atajua tu inshaallah, pmj kwamba maamuma wake wanamtaka asisome awe mjinga km wao
@maryammohammed35163 жыл бұрын
Ukweli
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Subhanallah mbona hivi jamani waislamu wote ni ndugu tusichukiane
@0988907868 жыл бұрын
ما هي القصيدة في المقدمة؟!
@mansoorsadiq57216 жыл бұрын
Allah pekee ndoanae dhuru na nfoanaenufaisha
@abdisheikh61755 жыл бұрын
kishki ana kideefu , haja soma dini. pole sana wale watu waa najdi ya petro dolar wame potesha kishki
@hawraymuncw98934 жыл бұрын
Hawa mawahabi ni wapotevu walojawa na shubuhati nyingi
@abdulrahmanhaji13487 жыл бұрын
mungu awaongoze baba
@choloboy93546 жыл бұрын
Al hady bora uifute hii video cuz hii aibu kubwa kwa uislamu yani bado unawapa wakiristo kecheko kwa kuona hii video manake haina manufa kwa mtu yeyote ila kwa watu watu wenye kupenda maulidi watu wenye kupenda kuchezacheza na kutikisa mabega na mili kuitikisa maulidi hayafai dini imesimamishwa kwa upanga sio kwa dufu oyaaaah fungueni masikio
@shikandamunyasia69507 жыл бұрын
al istidhwaa ya kunufaisha na kudhuru mtu huwa nayo akiwa hai ama akiwa hata amekufa naomba kufahamu zaidi
@aminaally12486 жыл бұрын
Kumfuata kwake mm nazan. si vizur zaidi kuliko alivo fanya hivo shekh AL Hadii. ukiwa NDUGU YETU KISHIK ALITOA SIDII HIO NA IKAFAHAMIK KWA MAMILION YA WATU. BAS NAE ALHADII ANAHAKI YA KUONESHA NI WAPI ALIPOTELEZA. KWAN ANGELIMFUATA. ASINGELITOA MADA YA KUSEMA NILITELEZA MAHALA FULAN HIVO NAWAWEKA SAWA WAISLAMU. KATU HATOTOA SIDII YA NAMNA HIO. PIA WENZETU ZAMA HIZO HAPAKUWA NA MEDIA, SASA LEO HII HIZ MEDIA ZAWEZA TULETEA FITNA
Anpata faida gn huyu? Maana ukiangalia hii video unachoona ni mipasho, chuki na kibri. Mtoto wa kiume una mipasho na kidoleee juuu 👌
@adamjutto78935 жыл бұрын
We sheikh unaempiga raddi kishki kama we mwanaume mpige raddi sheikh qaasim kama hujaongea upuuzi,huyo kishki ni mchovu katka elimu,mtafute sheikh wowote wa kisalafy
We sheikh, kazi yako imekuwa kufatiliya kishiki alichosema, huna kazi nyingine? Ni kweli m/mungu ndiye anaye dhulu na ndio wenye uwezo wa kila kitu, stop hating!
@al-habibmuhammadrafiqal-ka38078 жыл бұрын
السلام عليکم ياأخي محمد الهادي ولوانا لا نفهم لغتكم تحن نفهم ان رجل اخرفي الفيديو انه من الواهابيون تقدم وادم وقم! نحن في اندونيسي معكم هل انت من "الهادي" من ال باعلوي؟ Salam,ifen we dont understand you r language,we know NURDIN KISHKI is wahabism. Just do it ya akhiy,we are from indonesia with you. Never Let wahabi said about bid'ah,because their aqidah is mujassimah,different aqidah with us,different aqidah with 4 mazhab ahlus sunnah wal jama'ah. Allah bless u ya Ahmad alhadi
@yahasalel-sheibany54037 жыл бұрын
AL-HABIB MUHAMMAD RAFIQ AL-KAFF-official Aamin
@salaamclinicoftraditionalm36416 жыл бұрын
AL-HABIB MUHAMMAD RAFIQ AL-KAFF-official Maa shaa Allaah
@maxamedcabdiraxmaan63915 жыл бұрын
نعم. هو من سادة الهادي ال باعلوي❤
@adamjutto78935 жыл бұрын
Kama ye mwanaume ampige raddi sheikh yoyte wa manhaji ya salaf
@abdulrahmanhaji13487 жыл бұрын
lakini wansifu alikwambia usimsifu namna he maulidi wacha urongo unampenda mtume zaidi he mashaba usiongeze kitu katika fini he walad
@alliabdallah93557 жыл бұрын
Abdurrahman huna kitu kichwani bufuru huna ujualo salafi wee
@bultumstudio68718 жыл бұрын
We monyewe ujamuelewa mada yakoni kutafuta ayibi yamasheke
@nicemunacute57727 жыл бұрын
Hata sikubaliani nawewe shk sasa tujifunze nn ss
@rajabkapopo6307 жыл бұрын
sio salafi mawahabi n majaahili tyu ktk dini hawan walijualo waachen n vijkanzu vyao n videfu vya uwazimu....mjinga lazm akushnde tyu kwa mujibu wa imam shaafi r.a
@bintalhwamer52916 жыл бұрын
unaloho mbaya hadi sula mtazame huon haya ivyo umekosa kazi yakufanya mpaka unatengeneza kirpu ilitu umdhalilishe shekh wetu kishky
@bintalhwamer52916 жыл бұрын
shekh wetu kishky nakuombea kwa ALLAH akuepushe na mahasidi kama hawa maana amekuandama mno shekh wetu kishky nikama mti wenye matunda haukosi kupigwa mawe kwani hata mtume muhammad alisingiziwa vitu vingi mno kwaiyo usife moyo hii nimitihani ya mwenyenzi mungu
@somosomo48604 ай бұрын
Kama akutoa pinga atungeli jifunza .
@yahyaslim19387 жыл бұрын
Kishki ni mtupu kabisa kama tissue paper ilmu yake ndogo sana, cha ajabu Kuna watu wanamuona msomi kumbe ni mtupu. Kingine ni kwamba mawahabi Wanafanya ugomvi na bwana Mtume SAWW huku wakimvunjia heshima kwa mafunzo ya viongozi wao wapotevu akina Muhammad bin Abdulwahhab na Ibn Taymiyya
@bintramadhani40187 жыл бұрын
Yahya Slim Ww huenda hata Sura fatiha huijui humfikii hata shekhe kishki hata robo yake tengua kauli yako ndio wenyewe watu wabidaa
@alishariff86576 жыл бұрын
Yahya Slim kweli yako bro
@zuweenanabhani70966 жыл бұрын
Yahya Slim €
@jamalbahdela5244 жыл бұрын
Swadakta shekh Yahya Salim
@mansoorsadiq57216 жыл бұрын
Wewe achakumhusudu kishki
@hassandabaso32786 жыл бұрын
Wacha kumpiga vita kishki
@bintalhwamer52916 жыл бұрын
tumesha kujua baba unatafuta kiki
@salaamclinicoftraditionalm36416 жыл бұрын
Bint Alhwamer Acha unaafiq
@alkashaaiy97227 жыл бұрын
huyu ni mjinga na AHLUL BID'AA NA KAMA ASIPOTUBU NI AHLU NNAAR
@rukiaomar12927 жыл бұрын
hii yake sasa n chuki hata km hana elmu n ww pia hujakamilika
@greenflower20786 жыл бұрын
Sote tunakupenda sheikh kishki hongera big up usihofu huyo ni fitna tu
shekhe ww Punguza Husda juu ya shekhe Kishki kwasababu Allah ndiyo mwenye kudhuru na Kunufaisha hapo ukisema kwamba Nabii mohammad anadhuru na ananinufaisha na wakrsto wanavomuabudu Nabii Issa wapo sasa? ?jiulize Nabii mohammad Anaweza kukupa Riziki au anaweza kukukadiria Riziki ?au anaweza kukuletea maradhi? Usituchanganye Ukisema Nabii Mohammad Anadhuru na ananufaisha wataka Tumuabudu kama wakrsto wanavyomuuabudu Nabii Issa? shekhe ww utakufa kwa husda zako Shekhe Kishik yupo swahihi kwasababu Mtume swala Allah Alayih wasalam hawezi kukukadiria Riziki wala maradhi hiyo ni kazi ya Allah MAUULIDI NI BIDAAA NA WW WA SHEKHE NI WABIDAA NA ELIMU YAKO ULIPOITOA NI KWENYE BIDAA WW NDIO UFUNDISHWE NA SHEKHE KISHKI SIYO WW UMUFUNDISHE SHEKHE KISHKI USIOGOPE MTU NA USIRUDI NYUMA KWA HUSDA ZA WATU WABIDAAA
@mannuhussein16018 жыл бұрын
wapoteza mda kufanya kazi isiyo ya msingi... je kuna ajr Hapo??? sio tabia ya muislam kufanya kazi hii...ungemfata personal
@queenmaya80226 жыл бұрын
Mannu Hussein Mashallah bola ata ww ulivyosema xx anawadaidisha. Watu kumfedhehesha mwnzak
@alishariff86576 жыл бұрын
Mannu Hussein hatafutwe na ilahali ameponda waumini kwa KZfaq
@husseinkazungu51013 жыл бұрын
Kishki ni jahil alievaa kilemba
@mustayoo6 жыл бұрын
Watu wa huzushi wana taabu.uzushi ni uzushi vyote motoni
@husseinsuleiman20134 жыл бұрын
Acha bidaa.. rudi katika manhaji salaf
@salaahmuswlih43786 жыл бұрын
ewe sufi ! mtume wa allaah ametufundisha namna ya kumuita yeye ktk hadith mashuhuri لاتطروني كما أمرت النصارى ابن مريم إنما أنا عبد فقولوا أنا عبد الله ورسوله ametamrisha tuseme yeye ni mja wa allaah na mtume wake. EWE SUFI ! mche allaah tumuite mtume kama alivyoitwa na allaah na kwa mujibu ya mafundisho yake. EWE SUFI ! Mtume mwenye anataka baraka kutoka kwa allaah , nashangaa ww wataka baraka kutoka kwake ukamsahau muumba wako !. MCHE ALLAAH يقول الله ليحملوا أوزارهم كاملة يوم القيامة ومن أوزار الذين يضلونهم بغير علم ...... الأية بغير علم أي بغير علم شرعي .
السلام عليكم ورحمة الله وبركته. HATUNA BUDI YA KUMSHUKURU ALLAAH kutujalia Sote kuwa waislamu .Ndugu zangu KATIKA IMAN. SHEKH NURUDIN KISHK YUKO SAHIHI PIA SHEKH AL HADII NAE YUKO SAHII. KWAN WOTE WAPO KTK KUITAFUTA HAKI. HAYA HATA ENZI ZA MASWAHABA YALITOKEA by Dr Faraji Ally juma. from singida central Tanzania
@khalfankhamis90835 жыл бұрын
Hajuwi mbona Othman maalim hakosolewi kishki hana elimu upo swa Hatim
@user-ql2om7qj3v4 жыл бұрын
Wewe sheikh nizuzu washindana na nurdin mbona hatujakusikia ukimradi mtume feki hamsa issa washindana namtu amekwambia ukweli.jinaga wewe kasome huna elmu yoyote sisi hatukutambuwi kama nisheikh nakutambuwa kama msani
@fuadabubakar5768 жыл бұрын
wewe hurekebishi ni ufidhuli tu
@nicemunacute57727 жыл бұрын
Umeonae badala kulingania waso waislamu nyie mwakosoana live ukiona mada akosea mfate private unatufunza nn shk