Hapo katika idadi kuna sura katika quran nimepikiwa ila Allah s.w.ametupa waislamu uwezo wa kuwaathir makafiri katika tabia ,naimani pia katika vita huenda ile aya siku ielewa vizuri lakini katika nilivyoielewa ni kwamba Allah sw katupa neema ya muislamu mmoja kuwashinda makafiri kumi lakini awali alitupa uwezo wa muislamu mmoja kuwapiga makafiri miamoja kitu kama hiko i think lakin yote ya yote makafiri wanawaogopa majeshi ya kiislamu kuliko mwenyezimungu ndio maana wanauwa bila kuhofia dhambi lakin wanaogopa wanajeshi wa kiislamu sana
@user-rt9qr3ie9g2 ай бұрын
Kiufipi tunajitajia Khillafah kuwakomboa waislam hasa mashaeiki ya kati
@salimabdallah51762 ай бұрын
ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR
@emmanuelmlekwangano9991Ай бұрын
Acha unafiki sudani damu inamwagika hamuongelei kutwa kuchwa ni Palestine waafrika bwana
@salehkhalfan7345Ай бұрын
Taarifa ya Sudan toa ww ikiwa na mashiko watu watakuskiliza
@user-ls1ot6fs4v2 ай бұрын
Shekh tumeiga mila za mahudi na manaswa kama mibunduki mibomu midege mikombor badala ya kadari hakika mwezimungu ni qawiyu l'azizi mwenye kushinda
@saidhamisisetembosetembo90392 ай бұрын
Nabii musa alitumia fimbo Kama silaha ,mtume Muhammad s.a.w alipigwa mawe Kama silaha na parestina walianza kutumia mawe Kama silaha nenda na uislamu daima uko na Kasi ya ajabu acha kujirudisha nyuma je ukitaka kwenda kuhiji maka kutoka hapo u lipo utatumia usafili gani? Mugu ndio mwenye elimu katupa binadamu kiduchu we ukigongwa na gari kkoo mungu anajalia unakufa wenzako walio kupiga picha video KZfaq magazeti simu hospital kuibeba maiti yako na kuisafilisha watapata maokoto hii jifunze Allah ndio mwenye elimu juu ya yote wao wametengeneza mungu hashindwi kuigeuza siraha uliyounda ikuuwe jifunze kisa cha firauni na nabii musa kinatosha