Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 107
@kakawamashariki89784 ай бұрын
Kazi nzuri..🇹🇿+🇷🇼 kiswahili. Dada amependeza karibu Sana Tz.
@shamsahaji62024 ай бұрын
Anaongea kiswahili kizuri sana hongera sist.
@saumusalimuhassan24994 ай бұрын
Mashallah, Nimependa uyu Dada anavyoongea kiswahili, anaongea vizuri sana, maana hatujachoshwa na English Leo,jiamini Mrembo uko vizuri kwenye kiswahili 😘😍
@user-bq8ny7tt5z4 ай бұрын
Dada zutu wa Bongo wajifunze kutoka kwake yani Dada anajielewa hana mbwembwe na kuongea kwake kuna umakini sanaaa 👌👌👌
@user-qq6mv6vh3e4 ай бұрын
Ukweli
@suleydamour40594 ай бұрын
Nafulahi sana kuwaona badhii ya watu maarufu rwanda kutembelea Chanel hii yetu Pendwa
@judithjulius59934 ай бұрын
Dada nimekupenda Mimi ni muhaya nimeishi na wanyarwanda nakuelewa Tena nimeishi nao kwenye vile vinyumba vya nyasi na udongo I' like you
@bamurangepeace95674 ай бұрын
Wakola mno kutwenda owatata❤❤
@uwimana65334 ай бұрын
Muha nimrundi alopotea Tanzania nyote nindugu 😂
@robertphilip3854 ай бұрын
Mugambire stop
@antostyles4 ай бұрын
Congrs Alliah wagerageje pe igiswahili cyawe ni kiza!
@rachelpease73024 ай бұрын
Respect 🙏 I just love her❤ Watching from USA 🇺🇸 but from congo
@musabyeyezujoseline90484 ай бұрын
Waaawoo cool kama jina lako umeweza dada angu na kiswahili chako kizuli tuu na unawashinda wengii huku Rwanda I love you ❤❤❤❤❤❤
@sallammuslimah4 ай бұрын
Hohoooo!! ❤❤ Cyaaze komeza utwike mukobwa Wacu 😜
@user-bq8ny7tt5z4 ай бұрын
Wow!!!!! SKY huyu Dada anaongea kiswahili vizuli sanaaa yani tumuelewa kbs 👌
@sabrinaraphael34744 ай бұрын
I like her she’s such a hardworking lady and very open❤
@mossaalbusaidi22924 ай бұрын
I really like this girl keep up Alia We love u from Oman....
@user-pi9od4hs3u4 ай бұрын
Kumbe wasanii wa Rwanda wapo hvyo Wana heshima hongera Dada mrembo she's so humble jamani Kuna wenzangu na mm sijui tungeringajee
@hahmadhabibu20764 ай бұрын
Alliah !? Wow sky ipo vizuri sana
@3erffeoui864 ай бұрын
working hard bring soft life kufanya kazi kwa bidii kupambana matekeo yako ni maisha nyororo
@jasminedada-mn4ib4 ай бұрын
Alliah cool wahatwitse mwana wiwacu hongera Sana
@user-cj1ft4mw2l4 ай бұрын
SHE IS GOOD , AND SHE LOOKS SO TANZANIAN
@nailaniyonkuru25604 ай бұрын
Wavuze igiswahili cyiza pee bravo
@ezekiambise25954 ай бұрын
Wow I like rwandise❤
@mweusiasili83454 ай бұрын
Dada yuko safi sana hana majidai kanipa moyo katika maisha ya kila siku tunatakiwa kujiamin
Nakupenda sana alliah😊 unajiamini na unajitahidi sana😊 Waite mama slay wakuje uwafundishe namna ya kutumia fursa
@DurratMisfah4 ай бұрын
Big up Aliya wacu mashallah ❤❤❤❤We love you from oman
@alphonsegahongayire94504 ай бұрын
Hongera sana Cool’ umejitahidi sana kwa kiswahili,, Jifunze pia kunyenyekea ukiwa Bongo’ Maana hao watu ni culture yao…..
@henriettenkuba32404 ай бұрын
Namimi nikija kutembea TZ naomba unipokee sns.mimi ni fan wenu
@user-mt8pb3hf7j4 ай бұрын
Nimempenda huyu dada yupo vizuri
@musason16804 ай бұрын
Binti mzr sana na anaonekana amelelewa vzr na kichwani Kuna akili sio hawa wa huku kwetu
@user-xp6rg6vj6g4 ай бұрын
Beauty with brain. Hongera.
@MaryamSaid-id6yh4 ай бұрын
That’s what you called, “a woman of substance “
@aishakambenga61914 ай бұрын
NDAGUKUNDA CHÉRIE ❤
@user-zv2ng6ov2k4 ай бұрын
bivuge mugiswahili nakupenda chr
@prettynayally21774 ай бұрын
Ni kweli rwanda hawatumii majina ya baba
@m___ck7994 ай бұрын
Very good interview Sky 🫡 this lady anajielewa sana hongera kwake👌
@user-tt3lx7ly2m4 ай бұрын
Ma Shaa Allah
@vincentmbaire26664 ай бұрын
Anajieleza vizuri dada yetu ule kwa swahili yake lakini kwa wandugu zetu kule wakumusikiliya wivu utakuta wana muponda kwetu kule kigali courage mtoto wetu wengine wenye akili wanaweza kuiga kitu kwako hongera sana utafika mbali saana
@josepha-yp5cw4 ай бұрын
😂😂😂
@luciamsani4 ай бұрын
Interview nzuri yenye mafunzo mrembo na mchapakazi safi sana congrats to her
@upendomsuya89614 ай бұрын
Kabisa amenivutia sana 😍😍🤗🤗✍️✍️✍️
@Mohaa43094 ай бұрын
Roho nzuri mcheshi❤❤❤❤❤❤
@salimjumaa81804 ай бұрын
Sema Bundala wacheka wacheka2, vp ushapagawa na zigo🤣. Busara itawale bc chombo kisitoke bure bure chuma ulale ndani ya parking.
@kamikazineema19574 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@rukiyyarukiyya63174 ай бұрын
Nimekupenda❤❤
@FatumaIssa-kw3vv4 ай бұрын
So humble and gorgeous 😍 ukomere cane 😊
@user-qq6mv6vh3e4 ай бұрын
So beautiful
@user-lu8ny2gu7t3 ай бұрын
Hongera sana mpambanaji
@ayubumbaras7763 ай бұрын
Huyu dada anaongea vizuri
@scollantandu23504 ай бұрын
Jamani mpolee nakupenda bureee kwanza mkweli ❤
@zahhstarboymk54274 ай бұрын
Dada yetu Li🥰🥰
@galileemsangwa93114 ай бұрын
WOW INTERVIEW KALI SANA 🎉
@ManirampaRodrigue-pl6mx4 ай бұрын
Kunabaki wa burundi ❤
@elishahenry92574 ай бұрын
Sky walker tunaomba historia ya AYATI EDWARD LOWASA
@dannysengata22984 ай бұрын
For sure I like this girl she's so funny 😍😅
@RealG-ie7sv4 ай бұрын
Such A Cool Spirit.. ❤
@OmanOman-pf9ut4 ай бұрын
❤❤
@Eng24604 ай бұрын
sns🙌🙌
@emmanuelcuthbert26664 ай бұрын
Nadhani ulienjoy sana hii interview
@barakakusa76064 ай бұрын
Kuna warembo na hawaringi
@mwaminindayishimiye31494 ай бұрын
Mzuri ❤❤❤❤ kisha mpole
@user-wu8qe4fv4j4 ай бұрын
Mnyarwanda mzuri mstarabu
@user-yh2gy1lp7w4 ай бұрын
Iyo story inanitowa majonzi ❤❤❤
@yunusutuyisenge86984 ай бұрын
Dada yetu kajitahiti kweli ni vigumu kuona mu nyarwanda anaezungumza kiswahili namna hivyo komerezaho
@Boralifesyle4 ай бұрын
❤❤❤❤
@emmyndisabiye96024 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@sallammuslimah4 ай бұрын
Yeet 😝🇷🇼🇷🇼🔥
@3erffeoui864 ай бұрын
sky apo kwa 59:14 kuna mtu inaweza kua kaa ....
@MyAryana14 ай бұрын
Wangekuwa wetu vingereza vingi
@user-yh2gy1lp7w4 ай бұрын
Maybe 30 years
@user-uz3hr3jw4b4 ай бұрын
Ninde wumvishe nukuri😂 tera imbere mama
@user-zv2ng6ov2k4 ай бұрын
unaongeakiswahilikizuli hata zaidi yangu kwasababu cangu nica buja
@itNeza4 ай бұрын
Eti Mjasilia Mali / Mfanya Biashara Niacheni nicheke 😂😂😂
@sonnyr18994 ай бұрын
Kina madebe wamesha jipanga
@georgekabaka3774 ай бұрын
Na miaka 33 kodi ya chumba kimoja sh elf 40 naitafuta mpaka napagawa😂😂😂
@user-mo9nm2vv8l4 ай бұрын
🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@asadiagilly42374 ай бұрын
Pic kali
@opioandrew16244 ай бұрын
Beauty with no brain
@user-el7om5su2h4 ай бұрын
Wanya rwanda 🇷🇼 huwa hawapendi kutaja umbri 😂
@henriettenkuba32404 ай бұрын
Barakubaza ngo Ommy mwamenyanye gute ukisetsa Kandi Ari kibazo normal ? Kutamenya wee ngo he jamani.yagutangaye sky kuko yabonye wikanze😂😂😂😂😂
@sallammuslimah4 ай бұрын
C'mon she's good 😢😂
@daduha87714 ай бұрын
Ariko yabivuze ko bahujwe na The Ben ntimugakunde kureba utuntu tubi gusa mujye Muba positive murahe courage umuntu
@simmbaaima2154 ай бұрын
Ako abantu nkamwe kweli mwaja murajira positive mind
@user-gk9dq3iw8u2 ай бұрын
Henriette we urashyanutse pe uvuze ubusa
@nshimirimanablaise27634 ай бұрын
😂😂😂😂
@ZaiBin.4 ай бұрын
Free Congo #GOMA
@zahhstarboymk54274 ай бұрын
Free yourself first (wabaguzi )
@satiespoir19934 ай бұрын
Mbaguzi mwenyew, unajuw mangapi wanayo pitia watu hao unao waita wabaguzi? Unajuwa wamesha zika watu wangapi? Ww subir mda utawajiy utakuj kujuw kam kweli wabaguz au la..
@sallammuslimah4 ай бұрын
@@satiespoir1993 Rwanda is on the move 🇷🇼😜 just keep talking and we're moving on! No time for this shit. We suffered enough and now it's time to focus on our main target
@sallammuslimah4 ай бұрын
@@Elize391 we're not responsible for their freedom. They should fight and sustain it. And they have too! We do not lead them, we do not control them and especially we've no authority over them. So what is free congo. They should and you should free yourselves from poor mentality and stand up for what is right! That's a fact!
@Elize3914 ай бұрын
@@zahhstarboymk5427 Bandoki 🇷🇼
@bosschick24174 ай бұрын
YES WANYWARWANDA NI SHAMBA SANA AND WAME POA SANA 😂😮
@NasmaHamis-qk3ft4 ай бұрын
Bana mnaniboa nahao wachaga kwasababu mnafanya makabila mengine yawe inferior na wanapambana pia kila siku wachaga wachaga akat weng pesa si za halal aaah
@nestorassani54614 ай бұрын
mda sio mrefu tuta muona kond village 😂😂😂
@barakakusa76064 ай бұрын
Kweli Konde hapitwi na kitu
@user-fh1kj2rr8t4 ай бұрын
Yani kaja uku kututambia kwamba ana mjengo
@hadijamandanje61894 ай бұрын
Amekuja kutupa hamasa kwamba inawezekana kwa uongozi wa Mwenyezi Mungu
@user-fy9pw2zr8l4 ай бұрын
sasa amekuja kufanya intewiew ama amekuja kutwambia kama ananyumba😂😂
@sallammuslimah4 ай бұрын
Negativity in the air 😂😂😂😂
@NepporSabith4 ай бұрын
Bilashaka unakitu kinakunyoa moyoni mwako
@itNeza4 ай бұрын
Eti Mjasilia Mali / Mfanya Biashara Niacheni nicheke 😂😂😂
@sundayjohn12854 ай бұрын
Yuko sahihi ni mjasiriamali pia ni mfanyabiashara labda uombe usaidiwe kutofautisha kati hao lakini mtu yoyote anaweza kuwa mjasiriamali pia ni mfanyabiashara