MBOSSO ageuka MBOGO baada ya kuchanwa na MBONGO wa CANADA kuwa yeye na RAY VANNY wamewaletea NYODO

  Рет қаралды 29,872

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

11 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 120
@Chrizabizzy1
@Chrizabizzy1 9 күн бұрын
Me nipo Canada 🇨🇦 ila Elly unautafuta ustar kwa hali na mali😅😅😂😂
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 9 күн бұрын
Huyu elly,huwa ana kazi gani,he looks like a stay home dad,who comes to social media to just say anything right after dropping kids at school or summer camp 😂😅. Mara aongelee mapenzi,mara wasanii ,mara ndugu waliomdharau ilimradi tu.
@jesselingard7186
@jesselingard7186 9 күн бұрын
😂😂😂 Nimefikiri hilo pia
@mylasadick5189
@mylasadick5189 9 күн бұрын
He’s a pastor
@ellykiswaga
@ellykiswaga 9 күн бұрын
Anajiona nani cjui uy mbona analopoka2 et nyimbo mbaya si aimbe yeye izo nyimbo nzuri.. kama ni rahisi pumbavu zake!!...
@bahatiolivier1312
@bahatiolivier1312 9 күн бұрын
Rayvanny alikuwa na show TORONTO akazinguwa kupaform July 6th
@DERICK_SUB_ZERO18
@DERICK_SUB_ZERO18 8 күн бұрын
Ikionaivo juwa plomota kazingua kwenye malipo maana msani anapewa pesayake akiwa back stejiy
@GbpAud_King
@GbpAud_King 9 күн бұрын
Elly David tangu aishi Canada anatoa ushauri una kela sana
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 9 күн бұрын
Wah mbosso kumbe sio kidogo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hopemusictz9353
@hopemusictz9353 9 күн бұрын
Mbosso yupo sahihi🎉🎉🎉
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 9 күн бұрын
Sishangai watanzania sisi tuna chukua vyakwetu
@sonnyr1899
@sonnyr1899 9 күн бұрын
Mbosso kayatimba huyu jama nae anafurahi sasa kawa star rasmi maana huyu pia ni wale watu wa mitandao mitandao ila apa ni kama katoka rasmi sasa 😂😂😂😂
@MasterVoltron-f9w
@MasterVoltron-f9w 9 күн бұрын
anajua kutumia fursa Sasa tumeshamjua kuwa ni mbongo mwenzetu ila anaishi Canada ila ni mlalamikaji wa mitandaoni😂😂😂😂
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 9 күн бұрын
​@@MasterVoltron-f9w🤣🤣
@sonnyr1899
@sonnyr1899 9 күн бұрын
@@MasterVoltron-f9w Ndio hivyo mwanangu 😂
@paulhema5713
@paulhema5713 9 күн бұрын
Huyu jamaa anazingua sana.....ko wasanii wetu hawajui kitu sio....da nimeumia sana😢😢😢
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 9 күн бұрын
Hawajui😂
@flavourboyke
@flavourboyke 9 күн бұрын
Kichwa kinaisha nywele,, ila mbosso bana😂😂😂
@tumainimayala8187
@tumainimayala8187 6 күн бұрын
😂😂
@MS.independent8934
@MS.independent8934 9 күн бұрын
Ebuuu kaswaki kwanza uko unatema mate hovyo kama mbwa, kwani kusalimia ni lazima.ww acha ushamba huo ninii makasiriko nyau weee😂😂😂
@user-sr8tc8ke6q
@user-sr8tc8ke6q 9 күн бұрын
Show za nje huwaga zakitapeli sana
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 8 күн бұрын
Nakumbuka giggy money akilala kochini😂😂😂
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 6 күн бұрын
Safi sana
@thadeusmahendeka4466
@thadeusmahendeka4466 9 күн бұрын
Kazi ipo 😂😂😂
@Stoperanimator
@Stoperanimator 9 күн бұрын
anaongea aonekane nayeye upo canada😂😂 na ndio maana analopoka anayoonatu😂😂
@edwardmakuruti3726
@edwardmakuruti3726 9 күн бұрын
Mimi 30 min nipo Vancouver watu hajafurahiya kitendo wamefanya
@vanessastafford6426
@vanessastafford6426 9 күн бұрын
Kwa kweli nyimbo zao ni mbaya, matusi tu. Hakuna ujumbe wa ku last forever. Komo Sava nyimbo nzuri sana
@jemaarsen6996
@jemaarsen6996 8 күн бұрын
Kama unataka ujumbe kasikilize gospel music
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 9 күн бұрын
Kama wamelipwa kwa contract na ilikuwa a professional official issue kwanini aje alalamike social media? Hawa artists wana managers nani kapokea kibunda? This is so petty mchizi ana pigo za kitoto sana🤔 Hawa wasanii ni wakubwa sana hawawezi kufanya ujinga huu under WCB🔥
@jaymandy8136
@jaymandy8136 9 күн бұрын
Embu kua muelewa bhana Mbosso kishasema hakua na show Toronto sasa unataka tukuamini ww na huyo boya wa Canada??
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 9 күн бұрын
Kumuelewesha a chizi utajipa kazi , achna nae
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 9 күн бұрын
@@jaymandy8136 nielewe bruh mi pia nawatetea wakina Mbosso
@ISSASHABANI-sw7lx
@ISSASHABANI-sw7lx 9 күн бұрын
Msanii mkubwa nani
@ursulinenyandindi3051
@ursulinenyandindi3051 9 күн бұрын
Sijui mnaongelea nini lakini watu wa entertainment lazma waje mtandaoni hata kabla ya polisi sababu wao kuongelewa ni faida kwao.. yan hata nyumba ikishika moto kabla ya kjpiga simu emergency , anarekodi kwanza clip ya instastory.
@dullydebadest5738
@dullydebadest5738 9 күн бұрын
Bwana weeeee asitufokeeee🤣🤣
@marleshjimmy1972
@marleshjimmy1972 8 күн бұрын
Sky anavyo fafanua rahaa kbx 😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤️
@AugustinMuswabantu
@AugustinMuswabantu 9 күн бұрын
Hapo kwenye nyimbo mbaya sasa😂😂😂
@issabaraka2404
@issabaraka2404 9 күн бұрын
Simuoni sawa huyo mjinga kila kitu yuko shenzi😢😢😢😢😂😂😂😂
@prince_kayz
@prince_kayz 9 күн бұрын
Uyu kweli shangazi 😂😂😂
@Maishacanada
@Maishacanada 9 күн бұрын
Mbosso hakuepo
@itNeza
@itNeza 9 күн бұрын
Hamna Kijana anachuki zake tuu, Kama mkataba Hausemi Nisisemi lolote Kwanini Nivifanye ? 🤔😎
@masoudabdoul8447
@masoudabdoul8447 9 күн бұрын
Ka' senge😂
@mkulimatanzania
@mkulimatanzania 9 күн бұрын
Uyu Elly ni mjinga mjinga tuu hana kazi maalumu Canada. Elly kuzamia ulaya kusikubweteshe vijana hawa wamekuzidi akili, umaarufu, ela nk kwa iyo acha wivu deal na management yao they are now working professionally sio kama we nasikia uko huna kazi maalumu umesoma njoo bongo tumikia nchi yako acha kuangaika Elly. Wivu unaua kaka
@BenjaminNickson
@BenjaminNickson 9 күн бұрын
Who this guy
@oscafrica1
@oscafrica1 9 күн бұрын
$4000 bro hata wewe Elly ungeshika mic bro?..I understand wao kuwa na nyodo za kijinga but bro Buku nne ni ela ya wiki ssa kama unataka starehe unemfuata Vancouver 😂😂😂
@surusuru1994
@surusuru1994 9 күн бұрын
Asate mbosso
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 9 күн бұрын
Waambie kuomba yenyewe live hawajui
@mariecruz921
@mariecruz921 9 күн бұрын
Kwa hyo atoke tz aje Canada afike mpaka eneo la tukio alafu wakatae kuimba?hakuna anaetaka kuharibu jina lake kiasi hcho! "Tafuta pengine pa kutokea bro, kiki waachie wenyewe"✌️
@reaganmethod3309
@reaganmethod3309 8 күн бұрын
Guest appearances Huwa haimbii alalamike kama kawalipa ili wafanye show
@allymwilu8089
@allymwilu8089 9 күн бұрын
Jamaa kanyooka sana watoto wanavimba sana alafu nothing
@mohayussuf2057
@mohayussuf2057 9 күн бұрын
Wasanii wa bongo Wana nyondo
@kshayofurniture2941
@kshayofurniture2941 9 күн бұрын
Kwani Canada ni ulaya 😂😂
@R1Lifestyle-f6n
@R1Lifestyle-f6n 9 күн бұрын
america
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 9 күн бұрын
@@R1Lifestyle-f6n waswahili abroad wanaita ulaya🤣🤣,sasa lakini ye ni leprofesseri ila bado anaita Canada ulaya .........
@R1Lifestyle-f6n
@R1Lifestyle-f6n 9 күн бұрын
@@neemayatosha1618 mambo ni mengu ndugu yangu.. mitandaoni hii ina mengi🤣🤣
@ramadhaniwasafi4516
@ramadhaniwasafi4516 9 күн бұрын
huu ana ropokatu panya mkubwa kwanza yeye asalimiwe kama nani? ndo kutafuta kiki hio sasa
@MasterVoltron-f9w
@MasterVoltron-f9w 9 күн бұрын
Huyu jamaa alitakiwa aseme wasanii lakini amekosea sana kumtaja jina kabisa sasa hicho ndo achokuwa anakitafuta ajibiwe maneno na kashifa huyu jamaa anajikuta cake 😂😂😂 Akajua akimu-attack mbosso, Mbosso atakaa kimya oohoooh😂😂😂😂
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 8 күн бұрын
Ni content anatengeza😂
@emmasonanjawe9042
@emmasonanjawe9042 9 күн бұрын
Basi huyo jamaa ndo hajaekewa anamakasiliko
@babasarahprovideo
@babasarahprovideo 9 күн бұрын
Huo ni ukweli na tabia hizo ndomana mkiandaa show zenu mnakosa watu watu 100 nichangamoto hao mnao wazarau eti ninyi brand ndo wanao wa support mziziki wakiswahili utabaki uko bongo tu sio usa au Canada ndomana wa Nigeria wanawagaragaza wana discipline
@MasterVoltron-f9w
@MasterVoltron-f9w 9 күн бұрын
Duh eleweni kuwa mbosso hakupiga show Toronto huyu jamaa anakurupuka
@straightkonect1613
@straightkonect1613 9 күн бұрын
Ngoja kidogo bro hivi unaelewa maana ya SPECIAL APPEARANCE?msanii alipwe appearance halafu ashike mic?Rudi shule jomba
@all4970
@all4970 9 күн бұрын
Mambo yamebadilika sana, now days wabongo wengi wanaoishi Marekani ndio washamba, waropokaji... 😂😂😂 Dogo povu limemtoka kisa Mbosso.. 😂
@aftapat5365
@aftapat5365 8 күн бұрын
😂😂😂😂
@ms123ru
@ms123ru 9 күн бұрын
Kwan marekani ni ulaya 😂😂
@constanciomarcos5484
@constanciomarcos5484 9 күн бұрын
Sky zugumuzia show ya alikiba canada
@hadijagere
@hadijagere 9 күн бұрын
Mwijaku wa ulaya 😂😂😂😂 ndio wale wale roho za korosho
@rogersdavis3058
@rogersdavis3058 9 күн бұрын
Huyi nae tangu awe nje ya nchi mashauzi kibao
@LastMsusu
@LastMsusu 9 күн бұрын
HUJUI MANA SPECIAL APPLIANCES
@AminaAbdullah-ws3wy
@AminaAbdullah-ws3wy 8 күн бұрын
Tuwasamee
@LyonWalker_
@LyonWalker_ 9 күн бұрын
anajua maana ya special appearance limemshuka
@user-ki9wu6no3d
@user-ki9wu6no3d 9 күн бұрын
Ila dola 4000 ni ndogo mno
@user-if6xd4hz4p
@user-if6xd4hz4p 9 күн бұрын
Weeew akuna mtu naemshamba
@nadiaamisha2958
@nadiaamisha2958 9 күн бұрын
Hivi kwa nini watu wengi wa Africa wakifika kwenye hizi nchi za watu wanajiona wamefika 🤣🤣🤣una uhakika uko Canada 🇨🇦 🤣🤣🤣🤣mbona hufanani na Canada 🙄🙄🙄
@sarastephano3409
@sarastephano3409 9 күн бұрын
mbosso hajamuelewa huyu Kaka anacholalamika Ni kutokusalimia mashabiki sio kuperfom
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi 9 күн бұрын
Canada ni ulaya mm nlkuwa sjuw
@Zenny89
@Zenny89 9 күн бұрын
Boss kamjibu kunya jamaa Sababu msela anaishi Canada🤣
@abdulhamidbasha2108
@abdulhamidbasha2108 9 күн бұрын
Jamaa kawapa ukweli
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x 9 күн бұрын
Yah
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 9 күн бұрын
Htuyu mkaka atakuwa na hangover wasafi hawabaga mbambamba
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 9 күн бұрын
Mbosso ungemjibu kistaarab tuu bila kujal yeye amukuuliza vp kumbuka ww ni msanii ni kioo cha jamii
@dollabrucy
@dollabrucy 9 күн бұрын
Kwa wasani wa Bongo mtasikia vituko vingi mboso ametapeliwa na pck hataki tu kusema tena wasani wenu waki tanzania wawe ma Professional kwenye show pakiwa itilaf alie anda show ndo huwa anaandika nini imesababisha show isikuwepo sio msani… show inaanda mtanzania na mcongomani ikifeli eti wa naijeria hawatupendi
@MasterVoltron-f9w
@MasterVoltron-f9w 9 күн бұрын
Vitu vingine ni private sio kila kitu mtu aseme kwenye social media.Sasa ataakisema ametapeliwahio pesa haito Rudi ng'o
@albertkadyanji9722
@albertkadyanji9722 8 күн бұрын
Wcb wapo smart kwenye hizo ishu ayo maoni yako mzeeeee
@silverman6930
@silverman6930 9 күн бұрын
Talking none sense… go bed … if you don’t have their numba I can give you …:
@Stevekapugi
@Stevekapugi 9 күн бұрын
Mjinga huyo canada ni ulaya yaani hata hajui anaishi.wapi😂😂😂😂😂😂
@chesco9241
@chesco9241 9 күн бұрын
Kwani Canada Iko bara Gani mjuaji?
@magigegeofrey4507
@magigegeofrey4507 9 күн бұрын
North America
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 9 күн бұрын
"Hizo nyodo bakini nazo huko bongo, ndiko watu wanakopapatikiapapatikia watu, sisi huku ulaya tunapapatikia pesa.." 😂😂😂😂😂 Hivi kweli kabisa mpaka leo bado kuna watu wanaamini ukiishi ulaya ni mjanja, hizi akili za kizamani sana, halafu usikute alipambana kishenzi aende ulaya, yaani hapo usikute anajiona amefanikiwa kishenzi😂😂😂😂... PIMBI!
@ATM_FAMIL
@ATM_FAMIL 9 күн бұрын
KICHWA KIKUBWA AKILI NDOGO! Hawa ndo wale watu! Ukiongea kizungu we msomi... NYEUSI CHAFU NYEUPE SAFI.... tuwaache wata zinduka tu na watajicheka wenyewe
@DattiKassim
@DattiKassim 9 күн бұрын
Sasa kati ya wasanii hao wasanii hao wajinga tu rayvanny wazee kiki
@HoseaBeltha
@HoseaBeltha 9 күн бұрын
Kwan marekani na Canada ni ulaya kweli? Anatuchukuliaje huyo jamaa? Alafu anaapa eti hawatafanya tena show Canada Kama vile nchi ya baba ake.....
@davidshaban7375
@davidshaban7375 9 күн бұрын
Huyu jaamaa nili mu unfullow kila mahali sipendi namna yake ya kuzungumza.
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 9 күн бұрын
Wewe ni kama mimi.Sikuwa napenda namna anavyowasilisha hoja zake,ni mjivuni f'lan hivi.Nikamu unfollow kila mahali.🚮
@davidshaban7375
@davidshaban7375 9 күн бұрын
@@shyfettymtunda4619 Aiseee!! I'm glad we share the same thing in life.
@hamisijumanne4137
@hamisijumanne4137 9 күн бұрын
Yani masta wabongo bwana apo mtandaoni kujisifu kwamba wamelipwa pesa nyingi kumbe teni tu
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 9 күн бұрын
😂😂😂
@kingoflove9536
@kingoflove9536 9 күн бұрын
😂😂kwani yeye ana juwa kutunga nyimbo 😂😂
@pendonoor8869
@pendonoor8869 9 күн бұрын
Mimi sipendi jibu la Mbosso. Kawaida wewe ukielewa maana ya PR, ungemwacha tu, sio lazima uwonyeshe makali yako! Kuna wakati silence ina faida au tu umwelezee points zako kuliko kutumia maneno ya kejeli!
@jaymandy8136
@jaymandy8136 9 күн бұрын
Yaani azushiwe habari za uongo na kutukanwa kisha akae kimya hivi ww wa wapi?
@pendonoor8869
@pendonoor8869 9 күн бұрын
@@jaymandy8136 simaanishe hivyo. Anaweza mwelezea kwa mafupi bila kudondosha maneno ya hasira. That's my point. If someone goes low, you just go high!
@jaymandy8136
@jaymandy8136 9 күн бұрын
@@pendonoor8869 sio kila mtu atatukanwa kisha akae kimya kwaio Mbosso alifanya pw sana kumjibu huyo boya kwa hasira sana maana next time that bozo Will think twice before attacking Mbosso again on social media
@lakasid3860
@lakasid3860 9 күн бұрын
​@@jaymandy8136Mbosso ni brand hakutakiwa kujibu hivyo elewa hilo iyo kazi angeiachia management wamshtaki uyo jamaa kwa taarifa za uongo na sio kuanza kuchambana nae
@pendonoor8869
@pendonoor8869 7 күн бұрын
@@jaymandy8136 umemskia Mbosso Sns? Sasa?
@dvjtwentyfivedecember4398
@dvjtwentyfivedecember4398 9 күн бұрын
Jamaa ana hoja asikilizwe.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 9 күн бұрын
nani ana nyodo sasa? huyu jamaa hata jina simjui ila ana force umaarufu saaana , anaongea shombo saaana kwenye video zake, kuna majamaa wapo Canada tokea uhuru lakini huwasikii wakiongea kwa nyodo, ki ukweli hawa ndugu zetu walikuja dar kwa ajili ya masomo alafu wakapata fursa ya kwenda ulaya wana nyodo saaana, Wabongo wanapenda kufuatana fuatana hadi makalioni , maisha wanayoishi tz hadi wakija huku, hao jamaa ni wasanii wakubwa Tz wape heshima yao
@Uchukhan_
@Uchukhan_ 9 күн бұрын
Ukitoa ushabiki Utamuelewa Nn Anaongea Ila Km unaushabiki Utaelewa
@peloabandelwa6927
@peloabandelwa6927 9 күн бұрын
Kwani wewe unaishi canada
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 9 күн бұрын
​@@Uchukhan_Sasa c ameelezew kuwa Mbosso hakua na show Canada
@user-tz7sw8wj5x
@user-tz7sw8wj5x 9 күн бұрын
Mfagia choo ulaya
@ALCADOJAMES
@ALCADOJAMES 9 күн бұрын
Hili nalo limetokea wap nan kakwambia ulipie mjinga sana
@rahjah5882
@rahjah5882 9 күн бұрын
Basi wewe unapenda matusi kwanini unalipa mjinga wewe?
@erqmusic5973
@erqmusic5973 9 күн бұрын
Sky watu kama hawa usiwaangiazie wanachuki binafsi broooo
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 9 күн бұрын
Mbona mboso anajibu kama mtoto wa kike vile??? Au ndio bwabwa tenaaaa?? Huyo ni shabiki yako ulipaswa umueleleze tu ki gentle man!! Watanzania tunajua ni van boy ndio alipaswa kuperfom toronto na sababu zake amesha weka wazi kwa nn ilishindikana na amesha eleweka!!
@zahararamadhanisalmu395
@zahararamadhanisalmu395 9 күн бұрын
😂😂 yaaaani uyo kaka alivyo nalipua alafu anajiongelesha2 kwan kuna m2 alimuomba aende uko kwenye show
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 39 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,4 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 57 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 135 МЛН
Mustang Shelby GT500: The Ultimate Muscle Car
0:14
9EPIC
Рет қаралды 12 МЛН
ВСТРЕТИЛ БРАТА НА ДОРОГЕ😎
0:20
MEXANIK_CHANNEL
Рет қаралды 1,4 МЛН
TOYOTA @ArcticTrucksRussia  ремонт в лесу...  #aleksey_mercedes
0:12
Ява 638 сегодня в Тренде ?
0:14
TS Moto
Рет қаралды 1,8 МЛН