Рет қаралды 13,406
Kwa uso wa upole na unyenyekevu wa Baba kwa watoto wake Askofu mkuu wa Jimbo kuu katoliki la Dar Es Salaam Mhasham Yuda Thaddeus Ruwai'ch amewataka waumini kuilinda na kuitetea imani ya kanisa katoliki huku wakiachana na manabii wa Uongo ambao wanatumia ushawishi mwingi pamoja na kuhubiri injili nyepesi za uponyaji na miujiza, ambazo kwa kiwango kikubwa ni upotoshaji na kamwe kanisa katoliki haliwezi kufanya mazingaumbwe kwani linaamini kupitia Msalaba.
#kanisakatoliki #breezonlinetv #daressalaam