Рет қаралды 27,158
Azam FC imebanwa mbavu na kulazimishwa suluhu na mashujaa FC kwenye dimba la nyumbani, Azam Complex, Chamazi, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa leo...
Ilikuwa ni mechi ngumu kwa kila upande, iliyosheheni mashambulizi makali ya kila aina....
Tazama Highlights...